< Malasu 27 >
1 Aya hamomu hou amo mae gaguia gadole hidale ilegema. Be di da fa: no misunu hou hame dawa:
Usijisifu kwa ajili ya kesho, maana hujui siku italeta nini.
2 Eno dunu amola degabo ba: i dunu da dima nodone ofa: mu da defea. Be di da dina: maedafa ofa: ma.
Mtu mwingine akusifu na wala si kinywa chako mwenyewe, mgeni na wala si midomo yako mwenyewe.
3 Igi amola boso amola da dioi bagade. Be gagaoui dunu ea mosolasu hamoi da amo dioi baligisa.
Fikiria uzito wa jiwe na uzito wa mchanga- uchokozi wa mpumbavu ni mzito zaidi kuliko hivyo vyote.
4 Udigili mi hanai hou da dodona: gi amola dunu eno wadela: lesisa. Be mudasu hou da dunu eno baligili wadela: lesisa.
Kuna ukatili wenye ghadhabu kali na mafuriko ya hasira, lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?
5 Di da dunu eno ea hou afadenema: ne gagabole sia: musa: dawa: sea, mae wamolegele, hima odagia sia: mu da defea. Agoane hame hamosea, di da ema hame asigisa e da dawa: mu.
Ni bora karipio la wazi kuliko upendo uliofichwa.
6 Dia dogolegei da di fidima: ne, dima odagia sia: sea, se iaha. Be dima ha lai dunu da dima nonogole, asigiwane sia: sea, dawa: ma: i!
Mwaminifu ni jeraha zilizosababishwa na rafiki, lakini adui anaweza kukubusu kwa kuomba radhi mno.
7 Di da ha: i mai amo sadisia da agime hano hedai ha: i manu higasa. Be di da ha: i bagadedafa ba: sea, ha: i manu gamogai da hedai ba: sa.
Mtu aliyekula na kushiba hulikataa hata sega la asali, bali kwa mtu mwenye njaa, kila kitu kichungu ni kitamu.
8 Dunu hina: fifilasu yolesili udigili lalebe ea hou da sio ea musugai amo da: iya mae diaheda: le, fisili asi agoai gala.
Ndege anayezurura kutoka kwenye kiota chake ni kama mtu anayepotea sehemu ambayo anaishi.
9 Susuligi amola gabusiga: na manoma ulasea da dia da: i noga: le hisisa. Be dima bidi hamosu doaga: sea, dia asigi dawa: su noga: i da dafane goudane fofonoboi agoai ba: sa.
Pafumu na manukato huufanya moyo ufurahi, lakini utamu wa rafiki ni bora kuliko ushauri wake.
10 Dia dogolegei amola dia ada ea dogolegei dunu amo mae gogolema. Mosolasu da dima doaga: sea, dia oladafa amo ea fidima: ne mae adole ba: ma. Be dia na: iyado, di gadenene esalebe, amo ea da di noga: le fidimu. Be dia oladafa da badiliadafaba: le, di noga: le hame fidimu.
Usimwache rafiki yako na rafiki wa baba yako, na usiende kwenye nyumba ya ndugu yako katika siku ya msiba wako. Ni bora rafiki ambaye yupo karibu kuliko ndugu ambaye yupo mbali.
11 Na mano, dawa: su noga: i lama! Amasea, na da hahawane ba: mu. Amola dunu eno da nama gadele sia: sea, na da ilima adole imunusa: dawa: mu.
Mwanangu, uwe na busara, moyo wangu ufurahi; kisha nitamjibu yule anayenidhihaki.
12 Noga: le molole dawa: su dunu ilia da bidi doaga: su manebe hedolo ba: sa, amola gaga: sa. Be noga: le hame dawa: su dunu da amo bidi doaga: su amo noga: le hame ba: beba: le, amodili ahoa. Amola fa: no e da bu da: i dione dawa: sa.
Mtu mwenye busara huiona taabu na kujificha mwenyewe, lakini mjinga huendelea mbele na kuteseka kwa ajili ya taabu.
13 Degabo ba: i dunu da liligi bidi lale, bidi mae iawane fa: no imunu sia: sea, be eno dunu da amo dunu ea fa: no imunu bidi, amo hi da wali imunu sia: sea, e da gagoule agoane hamosa. Amola degabo ba: i dunu da bidi bu hame iasea, bidi iasu dunu da gagaoui dunu amo ea soge lamu da defea.
vazi kama mwenyewe anaweka pesa kama dhamana kwa deni la mgeni; lichukue kama anaweka dhamana kwa malaya.
14 Di da dia dogolegei amo hahabe golai dialebe amo nedigima: ne ha: giniwane halaga: la: sea, e da fofogadigili se nabimu. Amo hou da ema gagabusu aligima: ne agoai ba: sa.
Anayempa jirani yake baraka kwa sauti ya juu mapema asubuhi, baraka hiyo itafikiriwa kuwa laana!
15 Uda gesa: gesa: i ea hou da gibu dasea dadadibi agoai ba: sa.
Mke mgomvi ni kama siku ya manyunyu ya mvua ya daima;
16 Di da gesa: gesa: i uda ea hou habodane ouiya: ma: ne sia: ma: bela: ? Dia loboga fo mabe gagumusa: dawa: bela: ? Dia loboga susuligi usuna gagumusa: dawa: bela: ?
kumzuia ni kama kuuzuia upepo, au kujaribu kushika mafuta kwa mkono wako wa kulia.
17 Ouli aduna ele degenana mebe agoai gala. Amo defele, dunu aduna da gilisili sia: dasea, ela galu dawa: lasa.
Chuma hunoa chuma; kwa njia ile ile; mtu humnoa rafiki yake.
18 Figi ifa noga: le ouligisia, di da figi fage manu galebe. Hawa: hamosu dunu da ea hina dunu noga: le ouligisia, hina dunu da e nodone ouligimu.
Yule anayeutunza mtini atakula matunda yake, na yule mwenye kumlinda bwana wake ataheshimiwa.
19 Di da hanoa gudu ba: le gudusia, dina: baba ba: sa. Amola dia dogo ba: sea, dia asigi dawa: su houdafa ba: sa.
Kama maji yanavyoakisi taswira ya sura ya mtu, ndivyo hivyo moyo wa mtu humwaksi mtu.
20 Bogosu soge da hamedafa nabamu. Amaiwane, osobo bagade dunu da liligi hanai gala. Amola sadimu hame dawa: (Sheol )
Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol )
21 Dunu da gouli amola silifa amola laluga gogobele adoba: sa. Amo defele, dunu ilia da eno dunu ea hou adoba: sa.
Kalibu ni kwa fedha na tanuru ni kwa dhahabu; na mtu hujaribiwa anaposifiwa.
22 Di da gagaoui dunu fanana, fanana, e bogomu gadenesea fawane fisisa, be ea gagaoui hou fadegale fasimu hamedei agoane ba: mu.
Hata kama utamponda mpumbavu kwa mchI- pamoja na nafaka- bado upumbavu wake hautatoka.
23 Dia sibi amola bulamagau noga: le dawa: le ouligima.
Hakikisha unajua hali ya makundi yako na ujishughulishe juu ya makundi yako,
24 Bai liligi gagui hou da ebelemu. Amola fifi asi gala huluane da dagomusa: dawa: la.
maana utajiri haudumu daima. Je taji hudumu kwa vizazi vyote?
25 Di da bulamagau ha: i manu gisi bugi amo huluane none dagosea, eno gisi da heda: sea, gisi amo da agolo la: idi gala nosa.
Majani huondoka na ukuaji mpya huonekana na milima ya chakula cha mifugo hukusanywa ndani.
26 Di da sibi ilia hinaboga, abula amunimu amola goudi bidi lale, muni lai amoga soge eno bidi lamu.
Wanakondoo watakupatia mavazi yako na mbuzi watakupatia gharama ya shamba.
27 Amola goudi eno hame bidi lai lelebe, amoga di da dodo maga: me dia sosogo fi amola dia hawa: hamosu a: fini huluane defele moma: ne dimusa: dawa: mu.
Kutakuwa na maziwa ya mbuzi kwa chakula chako- chakula kwa kaya yako- na chakula kwa watumishi wako wasichana.