< Malasu 24 >
1 Wadela: i hamobe dunu amo mae mudale ba: ma! Amola amo dunu amo bisili mae dogolegema.
Usiwe na husuda kwa wenye ubaya, wala usitamani kuambatana nao,
2 Ilia asigi dawa: su ganodini da mosolamusa: fawane dawa: lala. Amola eso huluane ilia lafidili esega dunu eno amo se nabima: ne sia: daha.
kwa sababu mioyo yao inapanga njama za vurugu na midomo ya huongea juu ya madhara.
3 Sosogo fi ilia hou noga: le dadawa: le fifilasu da igi bai magufu fa: i noga: i agoai gala.
Kwa hekima nyumba hujengwa na kwa ufahamu huimarishwa.
4 Diasu da amo da: iya gagui amo ea sesei huluane da fedege agoane, dawa: su noga: idafa amola liligi ida: iwane gala, amoga nabai gala.
Kwa maarifa vyumba hujazwa vitu vyote vya thamani na utajiri wa kupendeza.
5 Noga: le dadawa: su hou da da: i hodo gasa hou baligisa.
Shujaa wa hekima ni imara, na mtu wa maarifa huongeza nguvu zake;
6 Amasea, gegena masunusa: gala, hidadea iligelalu masa. Amola fada: i sia: noga: le ha: ini nabalu ahoasea, dilia da ha lai ilima osa: la heda: mu agoai ba: mu.
maana kwa uongozi wa busara unaweza kufanya vita na kwa washauri wengi kuna ushindi.
7 Gagaoui dunu da dadawa: su sia: fada: ne hame dawa: Dawa: su dunu da fada: i sia: bagade sia: dasea, gagaoui dunu da amo sia: fidili mae sia: ne, ouiya: le esala.
Hekima ipo juu sana kwa mpumbavu; hafumbui kinywa chake kwenye mlango.
8 Di da eso huluane wadela: i hou hamomusa: ilegesea, dunu eno ilia da di da mosolasu hamosu dunu amane dawa: mu.
Kuna yule mwenye kupanga kufanya mabaya- watu wanamwita bwana wa njama.
9 Gagaoui dunu da wadela: i ilegemusa: fawane dawa: lala. Dunu mogili da dunu eno ilima gasa fili higasu hou hamosa. Dunu huluane da amaiwane dunuma higasa.
Mipango ya mpumbavu ni dhambi na watu humchukia mwenye dhihaka.
10 Se nabasu bagade doaga: sea, di da gasa hame agoane hamosea, gogayeidafa dunu agoane ba: mu.
Kama utakuwa dhaifu na mwenye kuogopa siku ya taabu, basi nguvu zako ni haba.
11 Fofada: su dunu da wadela: i hame hamosu dunu amo giadofale medole legemusa: dawa: sea, defea, mae ha: aligima. Amo dunu hedolo gaga: ma.
Waokoe wanaochukuliwa kwenda kwenye mauti na uwashikilie wale wanaopepesuka kwenda kwa mchinjaji.
12 Amo hou da dia liligi hame agoane mae sia: ma. Bai Gode da dia hou dawa: , amola dia hamobe E da adoba: lala. Amola E da dia hamoi defele dima bidi imunu.
Kama utasema, “Tazama, hatujui chochote juu ya hili,” je yule anayepima mioyo hajui unachosema? Na yule anayelinda maisha yako, je hajui? Je Mungu hatampa kila mmoja kile anachostahili?
13 Nagofe! Di agime hano amo moma. Amo da dia gona: suga leba: le ba: sea, hedaiwane ba: sa.
Mwanangu, kula asali kwa kuwa ni nzuri, kwa sababu matone ya sega la asali ni matamu unapoonja.
14 Amo defele, molole dawa: su sia: da dia da: i hodo amola asigi dawa: su obenasa. Di da molole dawa: su lasea, hahawane esalumu.
Hekima ndiyo ilivyo katika nafsi yako - kama utaitafuta, tumaini lako halitabatilika na kutakuwa na tumaini.
15 Wadela: le hamosu dunu da moloidafa dunu amo ea liligi amola ea diasu wamolamusa: ilegelala. Be di da agoane mae ilegema.
Usisubiri kwa kuvizia kama waovu ambao hushambulia nyumba ya mwenye haki. Usiiharibu nyumba yake!
16 Moloidafa dunu da dafasea, e da hedolo bu sinidigisa. Be se nabasu da wadela: i hamosu dunu ilima doaga: sea, e da wadela: lesi dagoi ba: mu.
Maana mwenye haki huanguka mara saba na kuinuka tena, lakini waovu huangushwa kwa maafa.
17 Se nabasu bagade da dia ha lai dunuma doaga: sea, mae nodoma. E da dafasea, hahawane mae ba: ma.
Usisherekee wakati adui yako anapoanguka na wala moyo wako usifurahi anapojikwaa,
18 Dia ha lai dunu da se nababeba: le, di da nodosea, Hina Gode da amo hou higa: i hodosa. Amasea, e da dia ha lai ema se iasu hame ima: bela: ?
au Yehova ataona na kutoridhika na kuondoa ghadhabu juu yake.
19 Wadela: le hamosu dunu ilia hamobeba: le, mae da: i dioma. Amola, ilia wadela: i hou hamobeba: le, liligi bagade lasea, mae mudama.
Usifadhaike kwa sababu ya watenda mabaya, na wala usiwahusudu watu waovu,
20 Bai ilia da hame fifi ahoanumu. Fa: no misunu hahawane hou da ilima hame doaga: mu.
maana mtu mbaya hana matumaini na taa ya watu waovu itazimika.
21 Nagofe! Hina Godema beda: ne nodoma. Amola osobo bagade hina bagade amoma nabasu hou hamoma. Nowa dunu da Hina Gode o hina bagade ilima odoga: sea, ilima mae gilisima.
Mwanangu; mche Yehova, na umwogope mfalme, usishirikiane na watu wenye kuasi dhidi yao,
22 Agoane odoga: su dunu ilia da hedolodafa dafasu dawa: Gode amola osobo bagade hina bagade dunu da ilima se imunusa: dawa:
maana kwa ghafula msiba wao utakuja na ni nani ajuaye ukubwa wa uharibifu utakao kuja kutoka kwa hao wote?
23 Molole dawa: su dunu da amo eno sia: su sia: i. ‘Fofada: su dunu da dunu aduna elama fofa: da: sea, e da dunu afamagamu da defea hame.’
Haya ni maneno ya wenye busara pia. Upendeleo katika kuhukumu kesi kwa sheria si vizuri.
24 E da wadela: le hamosu dunu da moloidafa sia: sea, dunu huluane da e aligima: ne gagabumu amola e higamu.
Anayemwambia mwenye hatia, “Wewe upo sawa,” atalaaniwa na watu na mataifa yatamchukia.
25 Be fofada: su dunu da wadela: le hamosu dunu ilima se iasea, e da hahawane ba: mu amola eno dunu da ema nodomu.
Bali wenye kuwakemea waovu watakuwa na furaha na zawadi za wema zitakuja kwao.
26 Nowa dunu da moloidafa adole iasea, amo da eno dunuma dogeleidafa hou agoai.
Anayetoa jibu la kweli hutoa busu kwenye midomo.
27 Dia diasu gaguli, fifi lamusa: dawa: sea, hidadea ifa abalegele, ha: i manu heda: sea, dia manu defele ba: sea, dia diasu gaguli, fifi laloma.
Andaa kazi yako ya nje, na tayarisha kila kitu kwa ajili yako mwenyewe shambani; baada ya hapo, jenga nyumba yako.
28 Dia da udigili eno dunuma mae fofada: ma. Amola bai hamedei hou amola ema ogogolewane mae fofada: ma.
Usitoe ushahidi dhidi ya jirani yako bila sababu na usidanganye kwa midomo yako.
29 Amola di amane mae sia: ma, “Na da e nama hamoi defele ema hamomu. Na da dabemu,” amane mae sia: ma.
Usiseme, “Mimi nitamtendea kile alichonitendea; nitalipiza kwa kile alichofanya.”
30 Na da hihi dabuli gagaoui dunu amo ea waini efe sagai amodili asi.
Nilikwenda jirani na shamba la mtu mvivu, nikapita kwenye shamba la mzabibu la mtu asiye na akili.
31 Amo ganodini, aya: gaga: nomei amola gisi heda: i bagade bai. Amola igiga gagoi amo da mugululi sa: i dagoi ba: i.
Miiba imeota kila sehemu, ardhi ilikuwa imefunikwa kwa upupu, na ukuta wake wa mawe ulikuwa umebomoka.
32 Amo na da ba: lalu, amola na da bu dawa: i, amola amo ea bai dawa: i dagoi.
Kisha nikaliona na kufikiria juu yake; nikatazama na kupokea mafundisho.
33 Bai di helefili golamu da defea. Dia lobo sogoba: digili fa: bihadi golama.
Kulala kidogo, kusinzia kidogo, kupumzika kwa kukunja mikono kidogo-
34 Be di da golai dialoba, wamolasu dunu da doagala: be defele, hame gagui hou da dima doaga: mu.
na umasikini huja kwa kutembea juu yako, na mahitaji yako kama askari mwenye silaha.