< Malasu 24 >

1 Wadela: i hamobe dunu amo mae mudale ba: ma! Amola amo dunu amo bisili mae dogolegema.
Usiwaonee wivu watu waovu, usitamani ushirika nao;
2 Ilia asigi dawa: su ganodini da mosolamusa: fawane dawa: lala. Amola eso huluane ilia lafidili esega dunu eno amo se nabima: ne sia: daha.
kwa maana mioyo yao hupanga mambo ya jeuri, nayo midomo yao husema juu ya kuleta madhara.
3 Sosogo fi ilia hou noga: le dadawa: le fifilasu da igi bai magufu fa: i noga: i agoai gala.
Kwa hekima nyumba hujengwa, nayo kwa njia ya ufahamu huimarishwa
4 Diasu da amo da: iya gagui amo ea sesei huluane da fedege agoane, dawa: su noga: idafa amola liligi ida: iwane gala, amoga nabai gala.
kwa njia ya maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza.
5 Noga: le dadawa: su hou da da: i hodo gasa hou baligisa.
Mtu mwenye hekima ana uwezo mkubwa, naye mtu mwenye maarifa huongeza nguvu,
6 Amasea, gegena masunusa: gala, hidadea iligelalu masa. Amola fada: i sia: noga: le ha: ini nabalu ahoasea, dilia da ha lai ilima osa: la heda: mu agoai ba: mu.
kwa kufanya vita unahitaji uongozi na kwa ushindi washauri wengi.
7 Gagaoui dunu da dadawa: su sia: fada: ne hame dawa: Dawa: su dunu da fada: i sia: bagade sia: dasea, gagaoui dunu da amo sia: fidili mae sia: ne, ouiya: le esala.
Hekima i juu mno kwa mpumbavu, katika kusanyiko langoni hana lolote la kusema.
8 Di da eso huluane wadela: i hou hamomusa: ilegesea, dunu eno ilia da di da mosolasu hamosu dunu amane dawa: mu.
Yeye apangaye mabaya atajulikana kama mtu wa hila.
9 Gagaoui dunu da wadela: i ilegemusa: fawane dawa: lala. Dunu mogili da dunu eno ilima gasa fili higasu hou hamosa. Dunu huluane da amaiwane dunuma higasa.
Mipango ya upumbavu ni dhambi, watu huchukizwa na mwenye dhihaka.
10 Se nabasu bagade doaga: sea, di da gasa hame agoane hamosea, gogayeidafa dunu agoane ba: mu.
Ukikata tamaa wakati wa taabu, jinsi gani nguvu zako ni kidogo!
11 Fofada: su dunu da wadela: i hame hamosu dunu amo giadofale medole legemusa: dawa: sea, defea, mae ha: aligima. Amo dunu hedolo gaga: ma.
Okoa wale wanaoongozwa kwenye kifo; wazuie wote wanaojikokota kuelekea machinjoni.
12 Amo hou da dia liligi hame agoane mae sia: ma. Bai Gode da dia hou dawa: , amola dia hamobe E da adoba: lala. Amola E da dia hamoi defele dima bidi imunu.
Kama mkisema, “Lakini hatukujua lolote kuhusu hili,” je, yule apimaye mioyo halitambui hili? Je, yule awalindaye maisha yenu halijui hili? Je, hatamlipa kila mtu kulingana na aliyotenda?
13 Nagofe! Di agime hano amo moma. Amo da dia gona: suga leba: le ba: sea, hedaiwane ba: sa.
Ule asali mwanangu, kwa kuwa ni nzuri; asali kutoka kwenye sega ni tamu kwa kuonja.
14 Amo defele, molole dawa: su sia: da dia da: i hodo amola asigi dawa: su obenasa. Di da molole dawa: su lasea, hahawane esalumu.
Ujue pia kwamba hekima ni tamu kwa nafsi yako, kama ukiipata, kuna matumaini kwako ya siku zijazo, nalo tumaini lako halitakatiliwa mbali.
15 Wadela: le hamosu dunu da moloidafa dunu amo ea liligi amola ea diasu wamolamusa: ilegelala. Be di da agoane mae ilegema.
Usivizie kama haramia afanyavyo ili kuyashambulia makao ya mwenye haki, wala usiyavamie makazi yake,
16 Moloidafa dunu da dafasea, e da hedolo bu sinidigisa. Be se nabasu da wadela: i hamosu dunu ilima doaga: sea, e da wadela: lesi dagoi ba: mu.
Kwa maana ingawa mtu mwenye haki huanguka mara saba, huinuka tena, lakini waovu huangushwa chini na maafa.
17 Se nabasu bagade da dia ha lai dunuma doaga: sea, mae nodoma. E da dafasea, hahawane mae ba: ma.
Usitazame kwa kufurahia adui yako aangukapo; wakati ajikwaapo, usiruhusu moyo wako ushangilie.
18 Dia ha lai dunu da se nababeba: le, di da nodosea, Hina Gode da amo hou higa: i hodosa. Amasea, e da dia ha lai ema se iasu hame ima: bela: ?
Bwana asije akaona na kuchukia akaiondoa ghadhabu yake mbali naye.
19 Wadela: le hamosu dunu ilia hamobeba: le, mae da: i dioma. Amola, ilia wadela: i hou hamobeba: le, liligi bagade lasea, mae mudama.
Usikasirike kwa sababu ya watu wabaya wala usiwaonee wivu waovu,
20 Bai ilia da hame fifi ahoanumu. Fa: no misunu hahawane hou da ilima hame doaga: mu.
kwa maana mtu mbaya hana tumaini la siku zijazo, nayo taa ya waovu itazimwa.
21 Nagofe! Hina Godema beda: ne nodoma. Amola osobo bagade hina bagade amoma nabasu hou hamoma. Nowa dunu da Hina Gode o hina bagade ilima odoga: sea, ilima mae gilisima.
Mwanangu, mche Bwana na mfalme, wala usijiunge na waasi,
22 Agoane odoga: su dunu ilia da hedolodafa dafasu dawa: Gode amola osobo bagade hina bagade dunu da ilima se imunusa: dawa:
kwa maana hao wawili watatuma maangamizi ya ghafula juu yao, naye ni nani ajuaye maafa wawezayo kuleta?
23 Molole dawa: su dunu da amo eno sia: su sia: i. ‘Fofada: su dunu da dunu aduna elama fofa: da: sea, e da dunu afamagamu da defea hame.’
Hii pia ni misemo ya wenye hekima: Kuonyesha upendeleo katika hukumu si vyema:
24 E da wadela: le hamosu dunu da moloidafa sia: sea, dunu huluane da e aligima: ne gagabumu amola e higamu.
Yeyote amwambiaye mwenye hatia, “Wewe huna hatia,” Kabila zitamlaani na mataifa yatamkana.
25 Be fofada: su dunu da wadela: le hamosu dunu ilima se iasea, e da hahawane ba: mu amola eno dunu da ema nodomu.
Bali itakuwa vyema kwa wale watakaowatia hatiani wenye hatia, nazo baraka tele zitawajilia juu yao.
26 Nowa dunu da moloidafa adole iasea, amo da eno dunuma dogeleidafa hou agoai.
Jawabu la uaminifu ni kama busu la midomoni.
27 Dia diasu gaguli, fifi lamusa: dawa: sea, hidadea ifa abalegele, ha: i manu heda: sea, dia manu defele ba: sea, dia diasu gaguli, fifi laloma.
Maliza kazi zako za nje, nawe uweke mashamba yako tayari, baada ya hayo, jenga nyumba yako.
28 Dia da udigili eno dunuma mae fofada: ma. Amola bai hamedei hou amola ema ogogolewane mae fofada: ma.
Usishuhudie dhidi ya jirani yako bila sababu, au kutumia midomo yako kudanganya.
29 Amola di amane mae sia: ma, “Na da e nama hamoi defele ema hamomu. Na da dabemu,” amane mae sia: ma.
Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda mimi; nitamlipiza mtu yule kwa kile alichonitendea.”
30 Na da hihi dabuli gagaoui dunu amo ea waini efe sagai amodili asi.
Nilipita karibu na shamba la mvivu, karibu na shamba la mizabibu la mtu asiye na akili,
31 Amo ganodini, aya: gaga: nomei amola gisi heda: i bagade bai. Amola igiga gagoi amo da mugululi sa: i dagoi ba: i.
miiba ilikuwa imeota kila mahali, ardhi ilikuwa imefunikwa na magugu, na ukuta wa mawe ulikuwa umebomoka.
32 Amo na da ba: lalu, amola na da bu dawa: i, amola amo ea bai dawa: i dagoi.
Nikatafakari moyoni mwangu lile nililoliona, nami nikajifunza somo kutokana na niliyoyaona:
33 Bai di helefili golamu da defea. Dia lobo sogoba: digili fa: bihadi golama.
Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, bado kukunja mikono kidogo upate kupumzika:
34 Be di da golai dialoba, wamolasu dunu da doagala: be defele, hame gagui hou da dima doaga: mu.
hivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyangʼanyi, na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.

< Malasu 24 >