< Malasu 21 >
1 Hina Gode da hano ea logo hamosa. Amo defele E da hina bagade dunu ilia asigi dawa: su ouligisu dawa:
Moyo wa mfalme uko katika mkono wa Bwana; huuongoza kama mkondo wa maji, popote apendapo.
2 Dia dawa: loba da dia hamobe da molole hamosayale dawa: sa. Be mae gogolema! Hina Gode da dia adi baiga hamobeyale, Ea ba: sa.
Njia zote za mwanadamu huonekana sawa kwake, bali Bwana huupima moyo.
3 Hina Gode da gobele salasu iasu hou fonobahadi hahawane ba: sa. Be di da moloiwane hamosea, amola eno dunuma molole hamosea, Hina Gode da amo hou baligili bagade hahawane ba: sa.
Kufanya yaliyo sawa na haki inakubalika zaidi kwa Bwana kuliko dhabihu.
4 Wadela: i gasa fi hou da wadela: i dunu ilima hina agoai gala. Amo da wadela: i houdafa.
Macho ya kudharau na moyo wa kiburi, ambavyo ni taa ya waovu, vyote ni dhambi!
5 Noga: le ilegelalu hamosea, di da bagade gagui ba: mu. Be dia momabo hamosea, di da defele gagui hame ba: mu.
Mipango ya mwenye bidii huelekeza kwenye faida, kama vile kwa hakika pupa huelekeza kwenye umaskini.
6 Di ogogole lai liligi bagade gagui galea, dia gagui da hedolo fisi dagoi ba: mu. Ogogole lai liligi da dima medosu sani agoai gala.
Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo ni mvuke upitao upesi na mtego wa kufisha.
7 Wadela: i hamosu dunu da mosolasu hamobeba: le, hobeamu logo hame ba: mu. Ilia da moloi hou hamomu higasa.
Jeuri ya waovu itawaburuta mbali, kwa kuwa wanakataa kufanya yaliyo sawa.
8 Molole hame labe dunu da guga: loi logo amoga ahoa. Be molole dawa: su dunu ilia da molole ahoana.
Njia ya mwenye hatia ni ya upotovu, bali tabia ya mtu asiye na hatia ni nyofu.
9 Dunu e da gesa: gesa: i udala gilisili fimu da gasa bagade. Dunu hisu diasu dabua mogoa gado fifi lamu amo ea hou da baligisa.
Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba, kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.
10 Wadela: le hamosu dunu da eso huluane wadela: i hou hamomusa: bagade hanai gala. E da dunu huluane ilima hamedafa asigisa.
Mtu mwovu hutamani sana ubaya, jirani yake hapati huruma kutoka kwake.
11 Gasa fi dunu da se iasu lasea, dunu huluane amola hame dawa: su dunu da dawa: lasa. Nowa da dawa: su galea, e da amo hou ba: sea, dawa: lamu.
Wakati mwenye mzaha ameadhibiwa, mjinga hupata hekima; wakati mtu mwenye hekima afundishwapo, hupata maarifa.
12 Moloidafa Gode, E da wadela: i hamosu dunu ilia diasu ganodini hamobe, amo huluane ba: lala. Ea da wadela: i hamosu dunu huluane dafama: ne gugunufinisimu.
Mwenye Haki huyajua yanayotendeka katika nyumba za waovu, naye atawaangamiza waovu.
13 Hame gagui dunu da se nabawane dinanawane fidima: ne dima wesea, di da nabimu higasea, eso enoga eno dunu da dia disa webe amo hame nabimu.
Mtu akiziba masikio asisikie kilio cha maskini, yeye pia atalia, wala hatajibiwa.
14 Dunu eno da dima mihanai galea, defea, udigili iasu liligi amo wamowane ema ima. Amasea, e da ea hou bu olofomu.
Zawadi itolewayo kwa siri hutuliza hasira na rushwa iliyofichwa kwenye nguo hutuliza ghadhabu kali.
15 Dunu da moloidafa fofada: su hou hamosea, noga: i dunu da hahawane ba: sa. Be wadela: i dunu da amo moloidafa fofada: su ba: sea, bagadewane heawini da: i dioiba: le, bu esalumu hihi agoai ba: sa.
Wakati haki imetendeka, huleta furaha kwa wenye haki, bali kitisho kwa watenda mabaya.
16 Nowa dunu da asigi dawa: su moloidafa amo yolesili ahoasea, bogosu da ema doaga: mu galebe.
Mtu anayepotea kutoka mapito ya ufahamu, hupumzika katika kundi la waliokufa.
17 Di da bagade gagui ba: mu hanai galea, osobo bagade liligi noga: i amola ha: i nasu ida: iwane amola waini ida: iwane amo lama: ne, dia muni mae galagama.
Mtu apendaye anasa atakuwa maskini, yeyote apendaye mvinyo na mafuta kamwe hatakuwa tajiri.
18 Wadela: le hamosu dunu da moloidafa dunu ilima se imunusa: dawa: lala. Be ilila: da amo se nabimu.
Waovu huwa fidia kwa ajili ya wenye haki, nao wasio waaminifu kwa ajili ya wanyofu.
19 Dunu amola gesa: gesa: i uda ela gilisili esalumu da da: i dioi bagade liligi. Dunu hisu da hafoga: i gibu hame dasu sogega esalumu da defea.
Ni afadhali kuishi jangwani kuliko kuishi na mke mgomvi na mkorofi.
20 Noga: le momodale dawa: su dunu ilia da liligi bagade gaguiwane esala. Be momodale hame dawa: su dunu ilia da muni amola liligi lale, hedolo galagasa.
Katika nyumba ya mwenye hekima kuna akiba ya vyakula vizuri na mafuta, lakini mtu mpumbavu hutafuna vyote alivyo navyo.
21 Di da asigidafa hou amola moloidafa hou amo ganodini ahoasea, di da ode bagohame esalumu. Amola eno dunu da dima nodone amola moloidafa hou dima hamomu.
Yeye afuatiaye haki na upendo hupata uzima, mafanikio na heshima.
22 Bagade dawa: su dadi gagui bisilua dunu da moilai bai bagade amo gasa bagade dunuga gaga: i, wadela: lesimusa: dawa: Gasa bagade dunu da ilia moilai gagoi da ili noga: le gagili sali dawa: i galu. Be e da amo wadela: lesisa.
Mtu mwenye hekima huushambulia mji wa wenye nguvu, na kuangusha ngome wanazozitegemea.
23 Di da mosolasu hame ba: musa: hanai galea, di noga: le dawa: lu sia: ma.
Yeye alindaye kinywa chake na ulimi wake hujilinda na maafa.
24 Gasa fi dunu da nimi bagade amola hi hou da baligi bagade hi dawa: , amola e da eno dunuma hame asigisa.
Mtu mwenye kiburi na majivuno, “Mdhihaki” ndilo jina lake; hutenda mambo kwa kiburi kilichozidi.
25 Hihi dabuli dunu da hawa: hamosu hihiba: le, hina: bogomusa: logo fodosa.
Kutamani sana kwa mvivu kutakuwa kifo chake, kwa sababu mikono yake haitaki kufanya kazi.
26 Hihi dabuli dunu da hi hanai liligi lamusa: fawane dawa: lala. Be moloi dunu da eno dunuma liligi bagadewane iaha.
Mchana kutwa hutamani zaidi, lakini mnyofu hutoa pasipo kuzuia.
27 Wadela: i dunu da gobele salasu Godema iasea, Hina Gode da amo higasa. Be ilia da wadela: i hou hamomusa: , Ema iasea, E da baligili bagade higasa.
Dhabihu ya mtu mwovu ni chukizo, si zaidi sana itolewapo kwa nia mbaya!
28 Dunu ilia da ogogosu dunu ea sia: dafawaneyale hame dawa: sa. Be nowa moloi dunu da noga: le dadawa: lalu sia: sea, amo ea sia: ilia da dafawaneyale dawa: sa.
Shahidi wa uongo ataangamia, bali maneno ya mwenye kusikia yatadumu.
29 Moloidafa dunu da ilia hamobe ilisu dawa: digisa. Be wadela: i hamosu dunu da hina: hou hi dawa: , amo ogogole sia: sa.
Mtu mwovu ana uso wa ushupavu, bali mtu mnyofu huzifikiria njia zake.
30 Osobo bagade dunu bagohame da osobo bagade asigi dawa: su noga: iwane gala. Be Hina Gode da ilima ha lai galea, amo hou da ili hame fidisa.
Hakuna hekima, wala akili, wala mpango unaoweza kufaulu dhidi ya Bwana.
31 Di da gegemusa: gini, hosi amola gegesu liligi momagemu da defea. Be Hina Gode Hi fawane da hasalasu hou iaha.
Farasi huandaliwa kwa ajili ya siku ya vita, bali ushindi huwa kwa Bwana.