< Malasu 2 >

1 Nagofe! Dawa: ma adi na olelebe liligi mae gogolema amola na adi sia: be defele hamoma.
Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu na kuyaweka akiba maagizo yangu ndani mwako,
2 Nabima hou moloidafa amola dawa: mu logo hogoma.
kutega sikio lako kwenye hekima na kuweka moyo wako katika ufahamu,
3 Ma, amola dawa: su hogoi helema amola amo lama: ne ha: giwane edegema.
na kama ukiita busara na kuita kwa sauti ufahamu,
4 Hogoma amola hogoi helema gouli amola silifa wamolegei hogobe defele hogoma.
na kama utaitafuta kama fedha na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa,
5 Be di amane hamosea, di da Hina Godema nodone beda: su hou dawa: mu. Amola di da Gode Ea hou dawa: ma: ne didili hamomu.
ndipo utakapoelewa kumcha Bwana na kupata maarifa ya Mungu.
6 Amo dawa: su da Gode Hi fawane iaha. Dawa: su hou amola moloi dawa: digisu da Godema fawane maha.
Kwa maana Bwana hutoa hekima, na kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu.
7 Gode da Hi fawane fidisu hou ouligisa amola E da moloidafa dunu amo gaga: sa.
Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu, yeye ni ngao kwa wale wasio na lawama,
8 Hi fawane da nowa da eno dunuma hahawane moloidafa hou hamosea ilima ouligisa, amola nowa da Ema asigiba: le Ema fa: no bobogesea, Hi fawane da gaga: sa.
kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki na kuhifadhi njia ya waaminifu wake.
9 Dia na sia: nabasea, di da hou ida: iwane dawa: mu amai amola defele di da dawa: su hou hamomu.
Ndipo utafahamu lipi lililo kweli na haki na sawa: yaani kila njia nzuri.
10 Di da dawa: su dunu esalumu amola dia dawa: su ida: iwane gala labeba: le hahawane bagade ba: mu.
Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako, nayo maarifa yataifurahisha nafsi yako.
11 Dia hamobe liligi amola dawa: su da dima gaga: su liligi agoane ba: mu.
Busara itakuhifadhi na ufahamu utakulinda.
12 Amola dia dawa: su hou da di wadela: i hou hamosa: besa: le, amo logo ga: mu. Di da bagade dawa: su lai dagoiba: le, dunu da baligidu sia: sia: beba: le o mosolasu hamosea, amo dunuma di da hame gilisimu.
Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu, kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,
13 Amo dunu ilia logo ida: iwane yolesili amola wadela: i hou gasi agoane ganodini ahoa.
wale waachao mapito yaliyonyooka wakatembea katika njia za giza,
14 Amola amo dunu ilia hou ida: iwane gala yolesili wadela: i hou hamobeba: le, hahawane bagade ba: sa.
wale wapendao kutenda mabaya na kufurahia upotovu wa ubaya,
15 Ilia da moloidafa hou hame dawa: amola eno dunu ilia hou dafawaneyale dawa: mu da hamedei.
ambao mapito yao yamepotoka na ambao ni wapotovu katika njia zao.
16 Wadela: le hamosu uda da sia: asaboi amoga di adole ba: mu dawa: sea, di da ea logo damumusa: dawa: mu.
Itakuokoa pia kutokana na mwanamke kahaba, kutokana na mke aliyepotoka mwenye maneno ya kushawishi kutenda ubaya,
17 Agoai uda da egoama hame dawa: sa amola egoa ema fawane fima: ne ilegele sia: i, amo yolesisa.
aliyemwacha mwenzi wa ujana wake na kupuuza agano alilofanya mbele ya Mungu.
18 Amola di da agoaiwane uda ea diasuga ahoasea, di da bogosu logo amoga ahoana amola di da amoga ahoasea, amo bogosu sogega doaga: mu agoai galebe.
Kwa maana nyumba yake huelekea kwenye kifo na mapito yake kwenye roho za waliokufa.
19 Amola nowa dunu e ba: la ahoasea, e da bu hame sinidigimu. E da hahawane esalusu logoga bu hame misunu.
Hakuna yeyote aendaye kwake akarudi, au kufikia mapito ya uzima.
20 Amaiba: le, di da dunu moloi hou hamobe amo ilia hou amoga fa: no bobogema.
Hivyo utatembea katika njia za watu wema na kushikamana na mapito ya wenye haki.
21 Dunu nowa da moloi hou hamosea, e da ninia soge ganodini hahawane esalumu.
Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi, nao wasio na lawama watabakia ndani yake.
22 Be nowa dunu da wadela: le hamosea, Gode E da amo dunu fadegale fasimu. Amola amo defele ha: i manu bugi wadela: sea a: le fasibi defele, Gode E da ili a: le fasimu.
Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi, nao wasio waaminifu watangʼolewa kutoka humo.

< Malasu 2 >