< Malasu 19 >

1 Di da hame gaguiwane be moloidafa esalumu da defea. Be di da gagaoui ogogosu dunu agoai ba: mu da defea hame.
Bora mtu masikini ambaye huenenda katika uadilifu wake kuliko mwenye ukaidi katika maneno yake na ni mpumbavu.
2 Di da dawa: su hame galea, be hahawane mae dawa: le momabo hamomusa: dawa: sea, amo da defea hame galebe. Amane hamosea, di da se nabimu.
Tena, si vizuri kuwa na hamu bila maarifa na mwenye kukimbia haraka sana hukosea njia.
3 Dunu mogili da hi hanai hou hamobeba: le, wadela: lesi dagoi ba: sa. Amasea, ilia da udigili, “Hina Gode da na wadela: lesi dagoi,” amane sia: sa.
Upuuzi wa mtu unaharibu maisha yake na moyo wake hughadhabika dhidi ya Yehova.
4 Dunu bagohame ilia bagade gagui dunu ilima dogolegemusa: dawa: Be hame gagui dunu da dogolegei bagahame fawane gala, amola ilia dogolegei da ili hedolo yolesisa.
Utajiri huongeza marafiki wengi, bali mtu masikini hutengwa na rafiki zake.
5 Dia fofada: nana amo ganodini ogogosea, di da se iasu ba: mu. Amola hobeamu logo hame ba: mu.
Shahidi wa uongo hatakosa adhabu na mwenye kupumua uongo hataokoka.
6 Dunu huluane da mimogoa dunu amo ilia nodoi ba: ma: ne hamosa. Amola dunu huluane da dunu amo da ilima hahawane dogolegele iaha, amo dunuma dogolegemusa: dawa:
Wengi wataomba fadhila kutoka kwa mtu mkarimu na kila mtu ni rafiki wa yule anayetoa zawadi.
7 Dunu huluane amola ea sosogo fi da hame gagui dunu amo hame dogolegesa. E da dogolegei dunu hogoi helele, hamedafa ba: sa.
Mtu masikini huchukiwa na ndugu zake wote; je marafiki wengi kiasi gani hujitenga kutoka kwake! Anawaita, lakini wameondoka.
8 Dina: di fidima! Dawa: su hou hogoi helema! Amasea, dia dawa: lai amo mae gogolema. Amasea, di da bagade gaguiwane ba: mu.
Anayepata hekima huyapenda maisha yake mwenyewe; yeye atunzaye ufahamu atapata kilicho chema.
9 Nowa da fofada: su ganodini ogogosea, e da se iasu amoga hobeale masunu logo hame ba: mu. E da se iasu dafawanedafa ba: mu
Shahidi wa uongo hatakosa kuadhibiwa, bali mwenye kupumua uongo ataangamia.
10 Gagaoui dunu da liligi noga: idafa gaguli esalumu da defea hame. Amola udigili hawa: hamosu dunu da hina bagade ilia mano amoma hinawane esalumu da defea hame.
Haifai kwa mpumbavu kuishi kwa anasa- wala kwa mtumwa kutawala juu ya wafalme.
11 Dawa: su dunu da ea mihanasea hedolo hedofasu dawa: Dunu da dima wadela: le hamosea, amo mae dawa: le, gogolema: ne olofomu da noga: idafa.
Busara humfanya mtu achelewe kukasirika na utukufu wake ni kusamehe kosa.
12 Hina bagade ea ougi hou da laione wa: me ea gesenesu bagade agoane, be ea hahawane fidisu hou da gibu noga: le dabe agoai ba: sa.
Ghadhabu ya mfalme ni kama muungurumo wa simba kijana, bali fadhila yake ni kama umande kwenye majani.
13 Gagaoui mano da ea eda bagadewane gugunufinisimu. Amola gesa: gesa: i uda ea hou da hano dadadibi agoai gala.
Mwana mpumbavu ni uharibifu kwa baba yake na mke mgomvi ni maji yanayochuruzika daima.
14 Dunu da diasu amola muni amo ea sosogo ilima nana labe dawa: Be Hina Gode Hifawane da uda amo da dawa: su noga: idafa gala, ema imunusa: dawa:
Nyumba na utajiri ni urithi kutoka kwa wazazi, bali mke mwenye busara hutoka kwa Yehova.
15 Di da hihi dabuli hou hanai galea, defea, udigili hihiwane esalu golabada. Be di da ha: i bagade ba: mu.
Uvivu unamtupa mtu kwenye usingizi mzito, bali asiyetamani kufanya kazi atakwenda njaa.
16 Gode Ea sema nabawane hamosea, di da fifi asi sedagimu. Be Gode Ea sema amo dia higasea, di da hedolo bogomu.
Yeye anayetii amri huyaongoza maisha yake, bali mtu asiyefikiri juu ya njia zake atakufa.
17 Di da hame gagui dunu ilima iasea, amo da Hina Gode Ema fa: no bu lamusa: iasu defele agoai gala. Amola Hina Gode da dia iasu defele dima dabe imunu.
Mwenye ukarimu kwa masikini humkopesha Yehova na atalipwa kwa kile alichofanya.
18 Dia mano ilia manohadi esoga dawa: lamusa: dawa: beba: le, ilima dawa: ma: ne se iasu ima. Hame amasea, di da ilisu ilila: wadela: lesima: ne fidisa.
Mrudi mwanao wakati kuna matumaini na usiwe na shauku ya kumweka katika mauti.
19 Hedolo mi hanasu dunu amo e da ea hamoi defele se nabimu da defea. Amaiwane dunu mae gaga: ma. Di da eso enoga amo hou bu hamosa: besa: le, mae gaga: ma.
Mtu mwenye hasira kali lazima alipe adhabu; kama ukimwokoa, utafanya hivyo mara mbili.
20 Di da fada: i sia: noga: le nabasea amola bu noga: le dawa: ma: ne hanai galea, di da fa: no bagade dawa: su dunu agoane esalumu.
Sikiliza ushauri na ukubali maelekezo, ili uweze kuwa na hekima mwishoni mwa maisha yako.
21 Dunu da ilia hanai liligi hamomusa: ilegesa. Be Gode Ea hanaiga dawa: i amo fawane hamoi dagoi ba: mu.
Moyoni mwa mtu kuna mipango mingi, bali kusudi la Yehova ndilo litakalo simama.
22 Uasu hou da gogosiasu agoai gala. Hame gagui dunu ilia hou da ogogosu dunu ilia hou baligisa.
Shauku ya mtu ni uaminifu na mtu masikini ni bora kuliko muongo.
23 Di da Hina Godema nabasu hou hamosea, esalusu sedade ba: mu. Amola di da gaga: le hahawane esalumu.
Kumheshimu Yehova huwaelekeza watu kwenye uzima; mwenye nayo atashibishwa na hatadhurika kwa madhara.
24 Dunu mogili da baligili hihi dabuliba: le, ilia ha: i manu loboga lale manu higasa.
Mtu goigoi huuzika mkono wake ndani ya dishi; hataurudisha juu ya kinywa chake.
25 Gasa fi hame dawa: su dunu ilima dawa: ma: ne se imunu da defea. Amasea, dawa: su hame dunu ilia da houdafa dawa: mu. Di da bagade dawa: su galea, dunu eno da dima dawa: ma: ne olelesea, di da dawa: lamu.
Kama utampiga mwenye mzaha, wajinga watakuwa na hekima; mwelekeze mwenye ufahamu, naye atapata maarifa.
26 Nowa da edama giadofale hamosea o ea ame ea diasuga mae esaloma: ne sefasisia, amo da wadela: le gugunufinisisu dunu.
Anayempora baba yake na kumfukuza mama yake ni mwana anayeleta aibu na shutuma.
27 Nagofe! Di da dawa: lamusa: hogolalu yolesea, di da dia musa: dawa: lai amola bu gogolemu.
Mwanangu, kama utaacha kusikiliza maelekezo, utapotea kutoka kwenye maneno ya maarifa.
28 Giadofabe ba: su dunu da eno dunuma se imunusa: dawa: sea, moloidafa fofada: su hou da wadela: lesi dagoi ba: sa. Wadela: i hamosu dunu ilia da wadela: i hou hamomu bagade hanai gala.
Shahidi mpotofu huidhihaki haki na kinywa cha waovu humeza uovu.
29 Gasa fi gagaoui dunu da se nabima: ne fasu dafawane ba: mu.
Hukumu ipo tayari kwa wenye dhihaka na mjeledi kwa migongo ya wapumbavu.

< Malasu 19 >