< Malasu 17 >

1 Dunu ilia da hafoga: le gamogai agi ga: gi fawane nasea, be ilia dogo ganodini olofosu dawa: , amo dunu ilia hahawane hou da dunu ilia lolo nabe ida: iwanedafa hamosa be gilisili bidi hamosa, amo bagade baligisa.
Afadhali kula ukoko mkavu ukiwa na amani na utulivu kuliko kukaa kwenye nyumba ya karamu kukiwa na magomvi.
2 Dawa: iwane hawa: hamosu dunu da ea hina ea wadela: i hamedeidafa mano amoma ouligisu agoai ba: mu. Amola ea hina da bogosea, e da ea hina nana liligi amola muni mogili lamu.
Mtumishi mwenye hekima atatawala juu ya mwana aaibishaye, naye atashirikiana katika urithi kama mmoja wa hao ndugu.
3 Dunu da gouli amola silifa laluga gogobele adoba: sa. Amo defele, Gode da dunu ea dogo adoba: sa.
Kalibu ni kwa ajili ya fedha na tanuru ni kwa ajili ya dhahabu, bali Bwana huujaribu moyo.
4 Wadela: le hamosu dunu ilia da wadela: i hou sia: fawane nabimusa: dawa: Ogogosu dunu ilia da ogogosu sia: fawane naba.
Mtu mwovu husikiliza midomo mibaya; mwongo husikiliza kwa makini ulimi wa madhara.
5 Di da hame gagui dunu ilima lasogole oufesega: sea, Gode da amo dunu hahamoiba: le, di da Godema gadesa. Di da eno dunu ilia se nabasu amo hahawane ba: sea, Gode da dima se imunu.
Yeye anaye mdhihaki maskini huonyesha dharau kwa Muumba wake; yeyote afurahiaye maafa hataepuka kuadhibiwa.
6 Dunu mano ilia da ilia eda amola ame ilima nodosa. Amo defele, dunu da: i ilia da ilia aowalalima ofa: le hidale ba: le sia: sa.
Wana wa wana ni taji la wazee, nao wazazi ni fahari ya watoto wao.
7 Gagaoui dunu ilia sia: da hamedei liligi agoai gala. Be dunu ilima dunu eno da nodosa, amo dunu da ogogosu hame dawa:
Midomo yenye uwezo wa ushawishi haimfai mpumbavu: je, ni mibaya kiasi gani zaidi midomo ya uongo kwa mtawala!
8 Dunu mogili ilia agoane dawa: Ilia da dunu eno ilima hano sulugili sia: sea, amo dunu da ilia hanai huluane hamomu.
Kipawa ni kama kito cha thamani machoni pake yeye aliye nacho; kokote kigeukiapo, hufanikiwa.
9 Di da dunu eno dima hahawane ba: ma: ne hanai galea, ilia dima giadofale hamosea, amo hedolowane gogolema: ne olofoma. Be wadela: i hou hame gogolema: ne olofosea, dia fi da afafai ba: mu.
Yeye anayesamehe kosa hudumisha upendo, bali yeyote arudiaye jambo hutenganisha marafiki wa karibu.
10 Di da noga: le dawa: su dunu ema afadafa fawane gagabole sia: sea, e da naba. Be di da gagaoui dunu ema eno sia: ne, eno sia: ne, fabe amomane, e da sia: hamedafa naba.
Karipio humwingia sana mtu mwenye kutambua kuliko mapigo mia kwa mpumbavu.
11 Wadela: i hamosu dunu da lelei hou fawane hamosa. Ea bogosu da ema nimi bagade sia: adole iasu dunu agoai ba: mu.
Mtu mbaya hupenda kuasi tu; mjumbe asiye na huruma atatumwa dhidi yake.
12 Di da bea aseme amo ea mano da fisi, amogai doaga: sea, se nabimu. Be di da gagaoui dunu amo da ea gagaoui hou hamonana, ema doaga: sea, se bagade baligiliwane nabimu.
Ni afadhali ukutane na dubu aliyenyangʼanywa watoto wake, kuliko mpumbavu katika upumbavu wake.
13 Dunu da dima moloi hou hamosea, be di da wadela: i hou ema dabe iasea, di da eso huluane wadela: i fawane ba: lalumu.
Ikiwa mtu atalipa baya kwa jema, kamwe ubaya hautaondoka katika nyumba yake.
14 Sia: ga gegesu mubi da hano hihiga: i bisili doasibi agoai gala. Amaiwane bu bagade hamosa: besa: le, hedolo ga: ma.
Kuanzisha ugomvi ni kama kutoboa bwawa la maji; kwa hiyo acha jambo hilo kabla mabishano hayajaanza.
15 Dilia da hame giadofai dunuma udigili se iasea, Hina Gode da bagade higasa. Amola, dilia giadofai dunuma se hame iasea, amo amolawane Hina Gode da bagade higasa.
Yeye asemaye kuwa asiye na haki ana haki, naye asemaye kuwa mwenye haki hana haki: Bwana huwachukia sana wote wawili.
16 Gagaoui dunu da osobo bagade dawa: lamusa: muni bagade galagamu da defea hame galebe. Bai e da noga: le dawa: su hameba: le.
Fedha ina faida gani mikononi mwa mpumbavu, wakati yeye hana haja ya kupata hekima?
17 Na: iyado dunu da eso huluane ilia asigi hou olelesa. Dunu da se nabasea, na: iyado huluane da asigili, gilisili se nabimu da defea.
Rafiki hupenda wakati wote naye ndugu amezaliwa kwa ajili ya wakati wa shida.
18 Dunu oda da liligi bidi lale, bidi mae iawane fa: no imunu sia: sa. Be eno dunu da amo dunu ea fa: no imunu bidi, amo hi da wali imunusa: sia: sea, e da gagoule agoane hamosa.
Mtu mjinga hupana mkono ili kuweka rehani, naye huweka dhamana kwa jirani yake.
19 Di da wadela: i hou hanai galea, di da bidi hamosu amola hanai gala. Di da hidale dia hou gaguia gadosea, bidi da dima doaga: mu.
Yeye apendaye ugomvi apenda dhambi; naye ainuaye sana lango lake hutafuta uharibifu.
20 Nowa dunu e noga: le mae dawa: le, wadela: i sia: sia: sea, e da moloi hou hame ba: mu. E da se nabasu fawane ba: mu.
Mtu mwenye moyo mpotovu hawezi kufanikiwa; naye ambaye ulimi wake ni mdanganyifu huanguka kwenye taabu.
21 Nowa mano da gagaoui hou fawane hamosea, ilia edalali da gogosiasu amola se nabasu fawane ba: mu.
Kuwa na mwana mpumbavu huleta huzuni; hakuna furaha kwa baba wa mpumbavu.
22 Di da eso huluane hahawane esalea, olo da bagadewane hame madelamu. Be eso huluane da: i dioiwane esalea, bogosu da gebewane doaga: mu.
Moyo wenye furaha ni dawa nzuri, bali roho iliyopondeka hukausha mifupa.
23 Molole hame fofada: su dunu da hano sulugiliwane muni laha. Amasea, moloidafa fofada: su hame ba: sa.
Mtu mwovu hukubali rushwa kwa siri ili kupotosha njia ya haki.
24 Dawa: su dunu da dawa: iwane hawa: hamonana. Be gagaoui dunu da udigili logo osea: i amoga ahoana.
Mtu wa ufahamu huitazama hekima, lakini macho ya mpumbavu huhangaika hadi kwenye miisho ya dunia.
25 Gagaoui hou hamosu dunu mano amo ea hamobeba: le, ea ada amola ame da se bagade naba.
Mwana mpumbavu huleta huzuni kwa baba yake na uchungu kwa yeye aliyemzaa.
26 Moloidafa dunu ema fofada: nanu, su lamu da defea hame. Wadela: i hame hamoi dunu ema se iasea, moloidafa fofada: su hou da wadela: lesi dagoi ba: mu.
Si vizuri kumwadhibu mtu asiye na hatia, au kuwapiga sana maafisa kwa ajili ya uadilifu wao.
27 Nowa dunu da hi hou da moloi hi dawa: , amo dunu da mae fisili udigili sia: dasu hame dawa: Asabole esalebe dunu da asigi dawa: su ea bai bagade dawa:
Mtu mwenye maarifa hutumia maneno kwa kujizuia, naye mtu mwenye ufahamu ana moyo wa utulivu.
28 Dunu ilia da hame sia: dasu dunu ba: sea, ilia da amo dunu da bagade dawa: su dunu agoai dawa: sa. Amola gagaoui dunu da ea lafi hame dagasea, e da bagade dawa: su dunu ilia da dawa: sa.
Hata mtu mpumbavu hudhaniwa kuwa na hekima kama akinyamaza, na mwenye ufahamu kama akiuzuia ulimi wake.

< Malasu 17 >