< Malasu 16 >
1 Ninia hidadea ninia hawa: hamomusa: ilegesa. Be Gode Ea hanai hamobe fawane fa: no ba: mu.
Mipango ya moyoni ni ya mwanadamu, bali jibu la ulimi hutoka kwa Bwana.
2 Di da dia hamobe huluane da moloiwane dawa: sa. Be Hina Gode Hi fawane da dia asigi dawa: su hanai hou amoma fofada: sa.
Njia zote za mtu huonekana safi machoni pake mwenyewe, bali makusudi hupimwa na Bwana.
3 Dia hanai hamomu liligi huluane hahawane fidima: ne, Hina Godema sia: ne gadoma. Amasea, dia hamobe huluane, di da hahawane hamone dagomu.
Mkabidhi Bwana lolote ufanyalo, nayo mipango yako itafanikiwa.
4 Hina Gode da Ea hahamoi liligi huluane amo ea hamobe amola dagosu ilegei dagoi. Be wadela: i hamosu dunu huluane E da wadela: lesimusa: ilegei dagoi.
Bwana hufanya kila kitu kwa kusudi lake mwenyewe; hata waovu kwa siku ya maangamizi.
5 Hina Gode da gasa fi dunu huluane higasa. Ilia da se iasu amo fisima: ne hobeamu da hamedei ba: mu.
Bwana huwachukia sana wote wenye kiburi cha moyo. Uwe na hakika kwa hili: Hawataepuka kuadhibiwa.
6 Dilia Gode Ea hou dafawaneyale dawa: ma amola mae yolesima. Amasea, E da Dilia wadela: i hou gogolema: ne olofomu. Hina Gode Ea sia: noga: le nabasea, Dilia da se hame nabimu.
Kwa upendo na uaminifu uovu huondolewa; kwa kumcha Bwana mtu hujiepusha na ubaya.
7 Dilia da Hina Gode Ea hanai hamosea, dilima ha lai amola da sinidigili, bu Dilia na: iyadowane esalumu.
Njia za mtu zinapompendeza Bwana, huwafanya hata adui zake waishi naye kwa amani.
8 Moloiwane hamobeba: le, liligi fonobahadi gaguiwane ba: mu da defea. Be ogogolewane hamobeba: le, liligi bagade gagumu da defea hame galebe.
Afadhali kitu kidogo pamoja na haki kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.
9 Di da dia fa: no hamomu amo ilegelala. Be Gode Hi fawane da dia hamobe ouligisa.
Moyo wa mtu huifikiri njia yake, bali Bwana huelekeza hatua zake.
10 Osobo bagade hina bagade da Gode da olelebeba: le fawane sia: sa. Ea hamomu sia: da giadofasu hame dawa:
Midomo ya mfalme huzungumza kwa hekima ya kiungu, wala kinywa chake hakipotoshi haki.
11 Hina Gode da bidi lasu hou amo ganodini, dioi defesu amola hou huluane moloidafa fawane ba: mu hanai gala.
Vipimo na mizani za halali hutoka kwa Bwana; mawe yote ya kupimia yaliyo katika mfuko ameyafanya yeye.
12 Osobo bagade hina bagade ilia da wadela: i hou huluane higasa. Bai moloidafa hou fawane da eagene fi ilima gasa iaha.
Wafalme huchukia sana kutenda maovu, kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kwa njia ya haki.
13 Osobo bagade hina bagade da moloidafa sia: fawane nabimu hanai gala. E da moloidafa sia: dasu dunu ilima asigisa.
Wafalme hufurahia midomo ya uaminifu; humthamini mtu asemaye kweli.
14 Noga: i dawa: su dunu da hina bagade hina: nodoma: ne hamosa. Be hina da ougi ba: sea, dunu afae da bogosa: besa: le, hou noga: le ouligimu da defea.
Ghadhabu ya mfalme ni mjumbe wa mauti, bali mtu mwenye hekima ataituliza.
15 Hina bagade ea dogolegei da agoane. Muagadodili gibu sa: ili, denesibi agoai hahawane esalusu diala.
Uso wa mfalme ungʼaapo, inamaanisha uhai; upendeleo wake ni kama wingu la mvua wakati wa vuli.
16 Di da Bagade Dawa: su Hou hogoi helema. Amo hou ea lasu defei da gouli amola silifa amo lasu defei bagadewane baligisa.
Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu, kuchagua ufahamu kuliko fedha!
17 Noga: i dunu da logo amo da wadela: i hou amoma afafai dagoi, amoga ahoa. Amaiba: le, dia logo ahoasu noga: le dawa: ma. Di da giadofale ahoanu, bogosa: besa: le, noga: le dawa: ma!
Njia kuu ya wanyofu huepuka ubaya; yeye aichungaye njia yake, huchunga maisha yake.
18 Dunu da gasa fi hou amola hihi hou hamosea, da wadela: lesi dagoi ba: mu.
Kiburi hutangulia maangamizi, roho ya majivuno hutangulia maanguko.
19 Dia hou fonoboiwane hame gaguiwane esalumu da defea. Be gasa fi hamone, wamolai liligi mogili labeba: le, bagade gaguiwane ba: mu da defea hame galebe.
Ni afadhali kuwa mnyenyekevu katika roho miongoni mwa walioonewa kuliko kugawana nyara pamoja na wenye kiburi.
20 Dima olelei liligi amo noga: le dawa: ma. Amasea, dia hou huluane da hahawane ba: mu. Hina Godema dafawaneyale dawa: le, di da eso huluane hahawane ba: mu.
Yeyote anayekubali mafundisho hustawi, tena amebarikiwa yeye anayemtumaini Bwana.
21 Nowa da asigi dawa: suga asigilai galea, eno dunu da ema nodosa. E da sia: noga: idafa sia: beba: le, eno dunu da ea fada: i sia: ne iasu amoma fa: no bobogesa.
Wenye hekima moyoni huitwa wenye ufahamu, na maneno ya kupendeza huchochea mafundisho.
22 Bagade Dawa: su Hou da noga: i asigi dawa: su dunu ilima esalusu hano bubuga: su agoaiwane gala. Be amo moloi hou hame hamobe dunuma olelesea da udigili helesa.
Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwa wale walio nao, bali upumbavu huleta adhabu kwa wapumbavu.
23 Bagade dawa: su dunu da dadawa: lalu fawane sia: sa. Amasea, ilia da dawa: iwane sia: beba: le, eno dunu da ilia sia: amoga fa: no bobogesa.
Moyo wa mtu mwenye hekima huongoza kinywa chake, na midomo yake huchochea mafundisho.
24 Asigi sia: da agime hano ea hedai defele ba: sa. Amo da hedaidafa amola dima gasa iaha.
Maneno ya kupendeza ni kama sega la asali, ni matamu kwa nafsi na uponyaji kwenye mifupa.
25 Di da logo dialebe ba: sea amola amo da logodafa di dawa: lala. Be amo logo da bogosu doaga: sa: besa: le, dawa: ma!
Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu, bali mwisho wake huelekeza mautini.
26 Hawa: hamosu dunu da ha: i manu hanaiba: le, baligili hawa: hamonana. Bai e da ha: i galebe amola sadimu hanai gala.
Shauku ya mfanyakazi humhimiza kufanya kazi; njaa yake humsukuma aendelee.
27 Wadela: i hamosu dunu da eno dunu se nabima: ne, logo hogoi helesa. Ilia sia: amolawane da gia: i bagade wadela: i sia: fawane gala.
Mtu mbaya kabisa hupanga mabaya, maneno yake ni kama moto uunguzao.
28 Wadela: le hamosu dunu ilia da baligidu sia: be amo gaguli laha. Ilia da ilia na: iyado fi da: i dioma: ne amola afafama: ne wadela: lesisa.
Mtu mpotovu huchochea ugomvi, nayo maongezi ya upuzi hutenganisha marafiki wa karibu.
29 Nimi bagade gasa fi dunu da ilia na: iyado ilima ogogosa amola ili wadela: lesisa.
Mtu mkali humvuta jirani yake na kumwongoza katika mapito yale mabaya.
30 Nowa dunu da hohonomusa: si begini gasea o udigili onigisia, amo dawa: ma! Bai ilia da wadela: i hou hamomusa: dawa: lala.
Yeye akonyezaye kwa jicho lake anapanga upotovu; naye akazaye midomo yake amenuia mabaya.
31 Moloidafa dunu da ode bagohame esalumu. Amo da bidi Gode da ilima iaha. Momali hinabo da ilima hadigi habuga agoane gala.
Mvi ni taji ya utukufu; hupatikana kwa maisha ya uadilifu.
32 Hahawane, mae fisili, ouesalebe hou da gasa bagade hou baligisa. Dina: da: i hodo amola asigi dawa: su amoga ouligisu hou da moilai bai bagade bagohame amoga ouligisu hou, bagadewane baligisa.
Ni afadhali mtu mstahimilivu kuliko shujaa, mtu anayeitawala hasira yake kuliko yule autekaye mji.
33 Osobo bagade dunu da Gode Ea hanai dawa: musa: , ululuasa. Be Gode Hi fawane da adole iasu ilegesa.
Kura hupigwa kwa siri, lakini kila uamuzi wake hutoka kwa Bwana.