< Malasu 12 >

1 Nowa da Bagade Dawa: su Hou amoma asigi galea, e da ea hou hahamomusa: gagabole sia: amo nabimu hanai. Hou hahamomusa: sia: su amoma higamu da gagaoui.
Yeyote apendaye kuadibishwa hupenda maarifa, bali yeye achukiaye kuonywa ni mpumbavu.
2 Hina Gode da dunu noga: i hahawane dogolegele ba: sa. Be nowa da wadela: le hamomusa: ilegesea, E da ilima fofada: nanu, se iasu imunu agoai galebe.
Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Bwana, bali Bwana humhukumu mwenye hila.
3 Wadela: i hou hamosu da gaga: su hamedafa iaha. Be moloidafa dunu da gasawane lela.
Mtu hathibitiki kutokana na uovu, bali mwenye haki hataondolewa.
4 Egoa da uda noga: idafa amo hahawane ba: sa. Be uda da moloi hou hame hamosea, egoa da gogosiasa. Amola amo uda da egoa ema olo ea gasa ganodini madelabe defele amo dunu ea hou wadela: sa.
Mke mwenye tabia nzuri ni taji ya mumewe, bali aaibishaye ni kama uozo katika mifupa ya mumewe.
5 Moloidafa dunu da dilima moloi hou fawane hamosa. Be wadela: i dunu da dilima ogogosu hou fawane hamosa.
Mipango ya mtu mwadilifu ni ya haki, bali ushauri wa mwovu ni udanganyifu.
6 Wadela: i hamosu dunu ilia sia: da dunu eno wamo bogoma: ne fane legebe defele. Be moloidafa dunu ilia sia: da dunu amo da enoga magagisa, ilima gaga: su agoane ba: sa.
Maneno ya waovu huotea kumwaga damu, bali maneno ya waadilifu huwaokoa.
7 Wadela: i hamosu dunu da dafane bogosea, iligaga fi hame ba: mu. Be moloidafa dunu iligaga fi da esalumu.
Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.
8 Di da asigi dawa: su ida: iwane galea, dunu amola uda huluane da dia dio gaguia gadomu. Be di da gagaoui agoane hamosea, ilia di da hamedei dunu agoai dawa: mu.
Mtu husifiwa kulingana na hekima yake, bali watu wenye akili zilizopotoka hudharauliwa.
9 Di da mafua dunu amola di hawa: hamobeba: le fawane ha: i manu lamu da defea. Be di da ogogole mimogo gasa fi di fawane hamosea, be ha: i manu hame ba: mu da defea hame.
Heri mtu wa hali ya chini mwenye mtumishi, kuliko kujifanya mtu wa hali ya juu nawe huna chakula.
10 Bagade dawa: su dunu e da ea ohe amoma asigisa, amola e da noga: le ouligisa. Amola dunu moloi hou hame hamobe ea da ea ohe amoma dodona: gini, noga: le hame ouligisa.
Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama wake, bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili.
11 Ifabi ouligisu dunu da gasa gala hawa: hamosea, amo dunu e ha: i manu bagade ba: sa. Be udigili hamedei hawa: hamosu hamomu da gagaoui agoai.
Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele, bali yeye afuataye mambo ya upuzi hana akili.
12 Wadela: i hamosu dunu da wadela: i hou hamomusa: , amo logo fawane hogosa. Be moloidafa dunu da gasawane lela.
Waovu hutamani mateka ya watu wabaya, bali shina la mwenye haki hustawi.
13 Wadela: i hamosu dunu da ea sia: beba: le, hina: sani amoga daha. Be moloidafa dunu da mosolasu amoba: le hobeale ahoa.
Mtu mwovu hunaswa kwa mazungumzo yake ya dhambi, bali mwenye haki huepuka taabu.
14 Di da dia hou hamosu amola dia sia: sia: su amo defele bidi lamu. Dia hamoi defele bidi lamu.
Kutokana na tunda la midomo yake mtu hujazwa na mambo mema, hakika kama ilivyo kazi ya mikono yake humtunza.
15 Gagaoui dunu da ilia hou da defeayale ili dawa: sa. Be bagade dawa: su dunu ilia da fada: i sia: ne iasu naba.
Njia ya mpumbavu huonekana sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu mwenye hekima husikiliza ushauri.
16 Gagaoui dunu da ougi ba: sea, e da dunu huluane nabima: ne ea ougi hedolo olelesa. Be asigi dawa: su noga: i dunu da odagia sisa: nosu nabasea, dabe hame sia: sa.
Mpumbavu huonyesha kuudhika kwake mara moja, bali mtu wa busara hupuuza matukano.
17 Di da dafawane moloi sia: sia: sea, fofada: su da moloidafa ba: mu. Be dunu da ogogosu sia: sia: sea, moloidafa fofada: su da hame ba: mu.
Shahidi wa kweli hutoa ushuhuda wa kuaminika, bali shahidi wa uongo husema uongo.
18 Hedolowane udigili sia: dasu da gegesu gobihei bagade ea hou defele, fa: gisa. Be noga: le dawa: le sia: dasu da uhinisisu agoai.
Maneno ya kipumbavu huchoma kama upanga, bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji.
19 Ogogosu hou da hedolowane bogosa. Be dafawanedafa hou da eso huluane esalalalumu.
Midomo isemayo kweli hudumu milele, bali ulimi wa uongo hudumu kwa muda mfupi tu.
20 Nowa da wadela: i hamomusa: dawa: sea da beda: ga fofogadigimu. Be nowa da hou ida: iwane hamomusa: dawa: sea da hahawane ba: mu.
Upo udanganyifu katika mioyo ya wale ambao hupanga mabaya, bali kuna furaha kwa wale wanaoleta amani.
21 Wadela: lesisu da noga: idafa dunu ema hame doaga: sa. Be wadela: i hamosu dunu da mosolasu fawane ba: sa.
Hakuna dhara linalompata mwenye haki, bali waovu wana taabu nyingi.
22 Hina Gode da ogogosu dunu ilima higasa. Be E da molole sia: su dunu ilima hahawane gala.
Bwana anachukia sana midomo idanganyayo, bali hufurahia watu ambao ni wa kweli.
23 Asigi dawa: su noga: i dunu da ilia dawa: i liligi bagade hame sia: sa. Be gagaoui dunu da bagade sia: beba: le, ilia hame dawa: su hou eno dunuma olelesa.
Mtu mwenye busara hujihifadhia maarifa yeye mwenyewe, bali moyo wa wapumbavu hububujika upumbavu.
24 Di da gasa bagade hawa: hamosea, di da gasa lamu. Be hihini hawa: hamosea, di da udigili hawa: hamosu dunu hamoi dagoi ba: mu.
Mikono yenye bidii itatawala, bali uvivu huishia katika kazi za utumwa.
25 Da: i diosu hou da fedege agoane, dia hahawane hou wamolamu. Be asigi sia: da dunu ea dogo bu denesimu dawa:
Moyo wa wasiwasi humlemea mtu, bali neno la huruma humfurahisha.
26 Moloidafa dunu da ea na: iyado dunuma logo noga: le olelesa. Be wadela: i hamosu dunu da wadela: i logoga ahoabeba: le, dafamu.
Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki, bali njia ya waovu huwapotosha.
27 Di da hihi dabulili hawa: hamosea, dia hanai liligi hame lamu. Be di da gasa bagade hawa: hamosea, bagade gaguiwane ba: mu.
Mtu mvivu haoki mawindo yake, bali mtu mwenye bidii ana mali za thamani.
28 Moloidafa hou da esalusu logo olelesa. Be wadela: i hou da bogosu logo ahoasu olelesa.
Katika njia ya haki kuna uzima; katika mapito hayo kuna maisha ya milele.

< Malasu 12 >