< Oubadaia 1 >

1 Oubadaia da amo ba: la: lusu olelei. Amo ganodini, Ouligisudafa Hina Gode da Idome dunu fi ilima doaga: mu hou olelei. Hina Gode da Idome Fi ilima se imunu sia: i Hina Gode da Ea sia: ne iasu dunu fifi asi gala dunu huluane ilima asunasi dagoi. Amola ninia da Ea sia: ne iasu nabi dagoi. “Momagema! Ninia da Idome fi doagala: musa: ahoa: di!”
Maono ya Obadia. Bwana MUNGU asema hivi juu ya Edomu Tumesikia habari kutoka kwa Bwana, na mjumbe ametumwa kati ya mataifa, akisema, Inukeni! Tuinuke dhidi yake kwa vita!”
2 Hina Gode da Idome fi ilima amane sia: sa, “Na dilia nimi hou fonobonesimu, amola dunu huluane ilia da dilima higale ba: mu.
Tazama, nitawafanya wadogo kati ya mataifa, mutadharauliwa sana.
3 Dilila: gasa fi hou amoeawane dilila: ogogoi. Dilia bisili moilai bai bagade da igiga gagili sali amola goumia gadodafa gagui. Amaiba: le dilila: da amane sia: sa, ‘Nowa ea da ninia fi muguluma: bela: ? Hame mabu!’
Kiburi cha moyo wako kimekudanganya wewe, wewe ambaye unishi katika makaburi ya miamba, katika nyumba yako ya juu; asemaye moyoni mwako, 'Ni nani atakayenishusha mimi chini?'
4 Be Na da dilima sia: sa, ‘Dilia da buhiba ea hou agoane, ifa balu da: iya gado mu amola gasumuni amo gadenene gagula heda: i sia: sa, Be amomane dili da Na hiougili sanasimu amola mugululi fasimu.
Ingawa unasimama juu kama tai na ingawa kiota chako huwekwa kati ya nyota, nitakushusha chini kutoka huko, asema Yahweh.
5 Amola wamolasu dunu da gasia misini, liligi hi hanai amo fawane ladisa, be oda ea hame hanai amo da yolesisa. Amola dunu huluane ilia waini fage hawa: ladisia, ilia oda yolesisa. Be dilima ha lai dunu da dili huluane gugunufinisi dagoi.
Kama wezi walikuja kwako, ikiwa wanyang'anyi wangekujilia usiku (jinsi ungekatilwa mbali!), Wasingeweza kuiba vya kuwatosha? Ikiwa wakusanya zabibu wangekujilia, wasingeacha mavuno?
6 Iso egaga fi dilia! Dilia muni amola liligi noga: i huluane da enoga gegene lai dagoi.
Jinsi Esau amekwisha kupigwa, na hazina zake zilizofichwa zimewekwa nje!
7 Amola osobo bagade fi dunu ilia dilima saga hamoi amoeawane dilima ogogoi. Ilia da dilia sogega dili sefasi dagoi. Amola dilima olofoiwane esalu dunu da wali dilima osa: le heda: i dagoi. Amola dilia saga hamoi, ali gilisili ha: i nasu, ilia da dili famusa: sanigei agoane gala. Ilia da dili hou amane olelesa, ‘Ilia musa: bagade dawa: su hou da habila: ?’
Watu wote wa ushirikiano wako watakupeleka katika njiani ya hadi mpakani. Watu waliokuwa na amani pamoja nawe wamekudanganya, na kukushinda. Wale wanaokula mkate wako wameweka mtego chini yako. Hakuna uelewa ndani yake.
8 Na da eso afaega, Idome fi se nabasimu. Amo esoga Na da ilia bagade dawa: su dunu fane legemu Amola Na da ilia dawa: lai hou amo huluane dogale fasimu.
Je! Sikuweza siku hiyo, asema Bwana, kuwaangamiza watu wenye hekima kutoka Edomu na kuelewa kutoka mlima wa Esau?
9 Dima: ne osobo dogone fi da gegesu bagade dawa: , be amomane ilia da beda: mu. Amola Idome ea dadi gagui dunu huluane bogogia: i dagoi ba: mu.”
Mashujaa wako watafadhaika, Temani, ili kila mtu akatiliwe mbali kutoka mlima wa Esau kwa kuuawa.
10 Hina Gode da bu agoane sia: sa, “Dilia da dilia sosogo fi dunu (Ya: igobe egaga fi dunu) amo ilia liligi wamolale, ili medole legeiba: le, dilia da gugunufinisi dagoi ba: mu. Amola eno dunu da eso huluane mae fisili dili higale ba: mu.
Kwa sababu ya ukatili uliofanywa kwa ndugu yako Yakobo, utafunikwa na aibu, nawe utakatiliwa mbali milele.
11 Ga fi dunu da Yelusaleme moilai bai bagade logo ga: i fi, amola Yelusaleme dunu fi ilia muni lale, momogili ilia fi dunuma sagoi. Be dilia da Yelusaleme fi ilima mae asigili, udigili la: ididili lelebe ba: i.
Siku ile ulikuwa umesimama, siku wageni walichukua mali zake, na waliokuwa wageni katika malango yake, na kupiga kura kwa Yerusalemu, wewe ulikuwa kama mmoja wao.
12 Dilia da dilia diolalali Yuda soge ganodini esala se nababeba: le hidale habosesele ba: i. Amo da defea hame galebe. Ilia da gugunufinisi ba: loba, dilia da ilima asigimu da defea galu. Amola ilia da se nababeba: le, hame ofesega: mu da defea galu.
Lakini usifurahi siku ya ndugu yako, siku ya msiba wake, wala usifurahi juu ya watu wa Yuda siku ya uharibifu wao; msijisifu siku ya dhiki yao.
13 Dilia da Na fi dunu ilia se nabasu amoma asigimu da defea galu, amola amo se nabasu babeba: le hahawane hame hamomu galu. Amola dilia da ilia liligi bagade agui da amo esoga hame wamolamu galu.
Usiingie mlango wa watu wangu siku ya msiba wao; usifurahi juu ya taabu yao siku ya msiba wao, wala msipotee utajiri wao siku ya uharibifu wao.
14 Na fi dunu da ilia ha lai ilima beda: iba: le, hobea: i dagoi. Be dilia da logo sasagulufai dogoa amo dunu gagumusa: lelu. Amo da defea hame galebe. Na fi dunu da se bagade nabi. Be dilia da mae asigili, ili afugili ilia ha lai dunuma i dagoi. Amo amola da defea hame gala.
Usisimama kwenye njia panda, ili kuwakatilia mbali wakimbizi wake na usiwatoe waathirika wake katika siku ya dhiki.
15 Eso da gadenesa. Na da osobo bagade fifi asi gala huluane ilima fofada: mu eso da gadenesa. Idome! Dia adi hamoi amo defele, amo hou dima doaga: mu. Dia adi i amo defele dima doaga: mu.
Kwa maana siku ya Bwana iko karibu na mataifa yote. Kama ulivyofanya, itafanyika kwako; matendo yako yatarudi juu ya kichwa chako mwenyewe.
16 Fedege agoane, Na fi dunu ilia Na sema agolo da: iya, gamogai hano faigeleiga nawene, se iasu bagadedafa lai dagoi. Be dunu fifilai ilima sisiga: le diala, ilia se iasu da Na fi ilia se nabi amo bagade baligimu. Ilia da se nabasu faigelei nanu, amasea ilia da alalolesili, bu hamedafa ba: mu.
Kwa vile mlivyokunywa katika mlima wangu mtakatifu, ndivyo mataifa yote yatakavyo kunywa daima. Watakunywa na kumeza na itakuwa kana kwamba hawakuwepo kabisa.
17 Be dunu mogili da Saione Goumia gaga: i dagoi ba: mu. Amola amo goumi da hadigi sogebi agoane ba: mu. Isala: ili soge da Ya: igobe ea fi ili gaguma: ne ilegei dagoi. Amaiba: le, ilia da amo soge lalegagumu.
Lakini katika Mlima Sayuni kutakuwa na wale waliookoka na watakuwa watakatifu; na nyumba ya Yakobo watamiliki miliki zao.
18 Amola Ya: igobe ea fi amola Yousefe ea fi ilia nimi da lalu nei agoai ba: mu. Ilia da Iso ea fi amo bisili gegesea, da samaso bioi ulagi nebe agoane nemu. Amola Iso egaga fi dunu afae esalebe da hamedafa ba: mu. Na, Hina Gode, Na da sia: i dagoi.
Nyumba ya Yakobo itakuwa moto, na nyumba ya Yusufu ni mwali wa moto, na nyumba ya Esau itakuwa mabua makavu, nao watawaunguza, na kuwateketeza. Hakutakuwa na waathirika kwa nyumba ya Esau, kwa kuwa Bwana amesema.
19 Yuda fi gagoe (south) esala ilia da Idome soge amo ganodini fimu. Amola Yuda fi goumi soge guma: goe esala amo da Filisidia soge lamu. Isala: ili dunu da gegene Ifala: ime soge amola Samelia soge lamu. Bediamini fi da gegene, Gilia: de soge lamu.
Wote kutoka Negebu watamiliki mlima wa Esau na wale wa Shepela watamiliki nchi ya Wafilisti. Wao wataimiliki nchi ya Efraimu na nchi ya Samaria; na Benyamini atamiliki Gileadi.
20 La: di gagoe (north) Isala: ili fi ilia mugululi asi dunu huluane, ilia da sinidigili, Founisia fi amo hasalasili, gagoe (north) asili, ilia soge amogainini Sa: lefa: de moilai amo ganodini fifi lamu. Amola Yelusaleme mugululi asi dunu, Sadisi moilai bai bagade esala yolesili, gegene amola ga (south) Yuda moilale gagai huluane gegene lamu.
Wahamiaji wa jeshi hili la watu wa Israeli watamiliki ardhi ya Kanaani mpaka Sarepta. Wahamiaji wa Yerusalemu, waliopo Sefaradi, wataimiliki miji ya Negebu.
21 Amola Yelusaleme dunu amo da hasalasu dawa: , ilia da Idome fi bisili gegena masunu amo soge amo ilia da lamu, amola ilia amo ouligimu. Amola Hina Gode Hisu da ilia Hina Bagade hamone, ili ouligimu. Sia: ama dagoi
Waokoaji watakwenda hadi juu ya Mlima Sayuni kutawala nchi ya vilima ya Esau, na ufalme utakuwa wa Bwana.

< Oubadaia 1 >