< Idisu 9 >

1 Oubi age amoga Isala: ili dunu da Idibidi soge fisili, gadili asili ode ageyadu amoga, Hina Gode da Sainai Hafoga: i Soge ganodini Mousesema amane sia: i,
BWANA akanena na Musa katika katika jangwa la Sinai, mwezi wa kwanza wa mwaka wa pili baada ya kutoka katika nci ya Misri. Akasema,
2 “Wali oubi, eso 14amoga eso dabe galu, Isala: ili dunu da Baligisu Lolo Nasu amo sema huluane defele hamoma: ma.”
“Wana wa Israeli wataikumbuka Pasaka katika wakati wake kila mwaka.
3
Siku ya kumi na nne ya mwezi huu, muda wa jioni, utaikumbuka Pasaka kila mwaka kwa muda uliopanggwa. Lazima uikumbuke, fuata taratibu zake zote na utii sheria zake zote zinazohusiana na tukio hilo.
4 Amaiba: le, Mousese da Isala: ili dunu huluane Baligisu Lolo Nasu hamoma: ne sia: i.
Kwa hiyo, Musa akawaambia wana wa Isareli kuwa wataishika sikukuu ya Pasaka.
5 Ilia da eso dabe amoga eso 14amola oubi age ganodini, Sainai Hafoga: i Soge ganodini, Baligisu Lolo Nasu hamoi. Ilia da Hina Gode Ea Mousesema hamoma: ne sia: i huluane defele hamoi.
Kwa hiyo wakaishika sikuu ya Pasaka katika mwezi wa kwanza, wakati wa jioni wa siku ya kumi na nne ya mwezi katika jangwa la Sinai. Wana wa Israeli walitii kila kitu ambacho BWANA alimwamuru Musa kukifanya.
6 Be dunu mogili da bogoi da: i hodo digili ba: i dagobeba: le, amo esoha Baligisu Lolo manu hamedei ba: i. Ilia da Mousese amola Elanema asili amane sia: i,
Kulikuwa na watu fulani walionajisika kwa sababu ya maiti ya mtu. Hawakuweza kuishika Pasaka siku hiyo. Kwa hiyo walikwenda kwa Musa na Haruni siku hiyohiyo.
7 “Ninia da bogoi da: i hodo digili ba: iba: le, ledo hamoi dagoi. Be abuliba: le, ninia Isala: ili dunu eno defele, Hina Godema gobele salasu hamomu defele hame ba: sala: ?”
Wakamwambia Musa, “Sisi tumenajisika kwa sababu ya maiti ya mtu. Kwa nini basi unatutaka tuendelee kutoa sadaka kwa BWANA kwa wakati wa mwaka uliopangwa kwa wana wa Israeli?”
8 Mousese da bu adole i, “Waha aligima! Na da Hina Gode Ea sia: nabimu!”
Naye Musa akawaambia, “Subirini nimsikilize BWANA ataniambia nini juu Yenu.”
9 Hina Gode da Mousesema, e da Isala: ili dunuma alofele sia: ma: ne sia: i,
BWANA akanena na Musa, akamwambia,
10 “Dilia amola diligaga fi da bogoi digili ba: beba: le ledo hamoi ganiaba o ga sedaga sogega lala, be Baligisu Lolo manu hanai galea,
“Nena na wana wa Israeli, uwaambie, 'kama mmoja wenu au mwana wa uzao wenu amenajisika kwa sababu ya maiti, au ana safari ndefu, bado anaweza kuishika Pasaka ya BWANA.
11 dilia da ilegei oubi fisili, oubi eno ageyadu amoga eso 14amoga daeya manu da defea. Amo nasea, agi yisidi hame sali fawane amola gamoga: i hedama: ne fodole nasu fawane gilisili moma.
Wataishika Pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili wakati wa jioni. Wataila kwa mikate isyotiwa chahcu na mboga chungu.
12 Ha: i manu aya manusa: mae yolesima. Amola ohe ea gasa afae maedafa fima. Baligisu Lolo Nasu ea sema huluane defele moma.
Wasiiache mpaka jioni, au kuvunja mifupa yake. Watafuata taratibu zote za Pasaka.
13 Be nowa dunu da ledo hamedei amola soge sedade amoga hame asi, be Baligisu Lolo Nasu hame hamobe ba: sea, di amo dunu Na fi ilima fadegale fasima. Bai e da Lolo Nasu esoha, Nama gobele salasu hame hamoi. E da hisu wadela: le hamoiba: le, se nabimu.
Lakini mtu yeyote asiye najisi na hayuko safarini, na akashindwa kuishika Pasaka, huyo mtu lazima aondolewe kati ya watu wake kwa sababu hakutoa sadaka ambayo BWANA huitaka kwa wakati wa mwaka uliopangwa. Huyo mtu lazima aibebe dhambi yake.
14 Ga fi dunu Isala: ili fi amo ganodini esalea da Baligisu Lolo Nasu hamomu hanai galea, e da amo Baligisu ea sema huluane hamoma: ne sia: ma. Dunu huluanedafa, Isala: ili dunu amola ga fi dunu, da amo sema huluane defele hamosea, Baligisu Lolo manu.
Kama mtu mgeni anayeishi kati yenu na akaishika, Pasaka kwa heshima ya BWANA, ataishika na kufanya amri zote, na kutii taratibu zake. Utakuwa na sheria hizohizo kwa wageni na kwa wote waliaozaliwa katika nchi.
15 Esoha amoga ilia da Hina Gode Ea Abula Diasu hiougi, mu mobi ganumu da misini, Abula Diasu dedeboi dagoi. Gasi ganodini, amo mu mobi ganumu da lalu agoane ba: i.
Na siku hiyo ambayo masikani iliposimamishwa, wingu lilifunika masikani, ile hema ya amari ya agano. Ilipokuwa jioni wingu lilkuwa juu ya masikani. Lilionekana kama moto mpaka asubuhi.
Liliendelea hivyohivyo. Lile wingu lilifunika masikani na kuonekana kama moto wakati wa usiku.
17 Mu mobi ganumu da gado heda: loba, Isala: ili dunu da ilia fisisu mugululi asili, amola mu mobi ganumu da bisili asili bu sa: i dagoi ba: loba, amo sogebiga ilia da fisisu bu gagusu.
Na kila wingu lilipochukuliwa kutoka kwenye hema, wana wa Isareli waliendelea na safari yao. Na kila wingu liliposimama, watu waliweka kambi.
18 Hina Gode Ea sia: beba: le, ilia da fisisu mugululi ahoasu, amola E da bu sia: beba: le, ilia da fisisu bu hiougisu. Mu mobi ganumu da ilia fisisu da: iya gadodili dialebeba: le, ilia da fisisu ganodini ouesalu.
Wana wa Israrli walisafiri kwa amri ya BWANA, na kwa amri yake waliweka kambi. Wakati wingu liliposimama juu ya masikani, nao walikaa kwenye kambi zao.
19 Mu mobi ganumu da eso bagohame ilia fisisu da: iya gadodili dialebeba: le, ilia da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele, ouesalu.
Na wingu lilipobaki kwenye masikani kwa siku nyingi, wana wa Israeli walitakiwa kutii maelekezo ya BWANA na kusitisha safari yao.
20 Eso enoga, mumobi ganumu da eso bagahame ilia fisisu da: iya gadodili dialebe ba: i. Be ilia da fisisu ganodini ouesaloba o fisisu mugululi ahoanoba, ilia da Hina Gode Ea olelei defele fawane hamoi.
Wakati mwingine wingu lilibaki kwa siku chache tu kwenye masikani. Kwa mazingira kama hayo walilazimika kutii amri ya BWANA - waliweka kambi na kisha kuendelea na safari tena kwa amri yake.
21 Eso enoga, mumobi ganumu da daeya ilia fisisu da: iya gadodili dialu hahabe bu bisili asi ba: su. Be mumobi ganumu da gadodili heda: le, ahoanoba, ilia amola da ahoasu.
Wakati mwingine wingu lilikuwepo kambini kuanzia jioni mpaka asubuhi. Na wingu liliponyanyuliwa asubuhi, walisafiri. Kama liliendelea kwa mchana wote na kwa usiku wote, ni pale tu wingu liliponyanyuliwa ndipo walipoendelea na safari.
22 Mumobi ganumu da eso aduna o oubi afae o ode afae baligili, amo ea aligisu eso defele ilia da ouesalusu. Be mumobi ganumu da gadodili heda: be ba: loba, ilia da ahoasu.
Hata kama wingu lilibaki kwenye masikini kwa siku mbili, kwa mwezi mmoja, au kwa mwaka mmoja, ili mradi tu limebaki pale, wana wa Israeli walibaki kwenye kambi zao na kusitisha safari. Lakini pale wingu liliponyanyuliwa, walianza safari yao.
23 Ilia da fisisu hiougisu amola fisisu mugulusu, amo Hina Gode da Mousese ea lafidili ilima hamoma: ne sia: i defele hamoi.
Walifanya kambi kwa amri ya BWANA, na walisafiri kwa amri yake. Walitii amri ya BWANA iliyotolewa kupitia kwa Musa

< Idisu 9 >