< Idisu 35 >

1 Isala: ili dunu da Moua: be umi sogega esalu. Yodane Hano da ilima guma: dini ba: i amola Yeligou moilai bai bagade da hano guma: dini dialu. Moua: be umiga, Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
Bwana akamwambia Mose katika nchi tambarare ya Moabu, kando ya Mto Yordani kuvukia Yeriko,
2 “Isala: ili dunuma adoma. Ilia soge amola liligi lai amoga ilia da moilai mogili amola ohega ha: i manu soge amo moilai sisiga: le diala, amo Lifai dunu da amogawi esaloma: ne, ilima sagoma: ne sia: ma.
“Waagize Waisraeli kuwapa Walawi miji ya kuishi kutoka urithi ambao Waisraeli wataumiliki. Wape maeneo ya malisho kuzunguka hiyo miji.
3 Lifai dunu da amo moilai gagulaligimu amola ilia da amo ganodini esalumu. Ilia da ohega ha: i manu soge ilia bulamagau amola eno ohe fofoi amo ganodini laloma: ne gagulaligimu.
Kisha watakuwa na miji ya kuishi na maeneo ya malisho kwa ajili ya ngʼombe zao, mbuzi, kondoo na mifugo yao mingine yote.
4 Ohega ha: i manu soge da moilai gagoi amoga muni, gadili asili, 450 mida defei la: ididili amola la: ididili masa: ne ba: mu.
“Maeneo ya malisho kuzunguka miji hiyo ambayo mtawapa Walawi yataenea mita 450 kutoka kwenye ukuta wa miji.
5 Amasea, amo alalo defei da hegomai biyaduyale ba: mu. Amola la: idi defei biyaduyale afae afae ea defei da 900 mida ba: mu. Amola moilai bai bagade da amo sogebi ea dogoadafa ba: mu.
Nje ya mji, pima mita 900 upande wa mashariki, upande wa kusini mita 900, upande wa magharibi mita 900, na upande wa kaskazini mita 900, na mji utakuwa katikati. Eneo hili litakuwa lao kwa ajili ya malisho.
6 Dilia Lifai dunu ilima Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade gafeyale gala ima. Amogawi, dunu da eno dunu momabo giadofale medole legesea, e da amo Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagadega hobeale ahoasea, gaga: i dagoi ba: mu. Amola, dilia Lifai dunu ilima moilai bai bagade 42 eno ima.
“Miji sita mtakayowapa Walawi itakuwa ya makimbilio, ambayo mtu anayemuua mwenzake aweza kukimbilia humo. Zaidi ya hiyo, wapeni miji mingine arobaini na miwili.
7 Amola gilisili, amo moilai bai bagade ilia ohega ha: i manu soge ilima ima. Ilima iasu huluane da moilai bai bagade 48 agoane ba: mu.
Kwa jumla inawapasa kuwapa Walawi miji arobaini na minane, pamoja na maeneo ya malisho yao.
8 Dilia Isala: ili fi afae afae ilia soge ganodini, Lifai dunu ilima moilai bai bagade ima. Soge bagade amo ganodini, moilai bai bagade bagohame ima. Soge fonobahadi amo ganodini, moilai bai bagade bagahame ima.
Miji ambayo mtawapa Walawi kutoka nchi ambayo Waisraeli wanamiliki itatolewa kwa uwiano wa urithi wa kila kabila. Chukua miji mingi kutoka lile kabila lenye miji mingi, lakini uchukue miji michache kutoka kwa kabila lile lenye miji michache.”
9 Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
Kisha Bwana akamwambia Mose:
10 “Isala: ili dunuma amane sia: ma, ‘Dilia Yodane Hano degele, Ga: ina: ne sogega dasea,
“Sema na Waisraeli, uwaambie: ‘Mtakapovuka Yordani kuingia Kanaani,
11 Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade amogawi dunu da eno dunu momabo giadofale fane legesea, amoga hobeamusa: ilegema.
chagueni baadhi ya miji iwe miji yenu ya makimbilio, ambayo mtu ambaye ameua mwenzake bila kukusudia aweza kukimbilia humo.
12 Amogawi, e da bogoi dunu ea maga: me dabe imunu fi dunu amoga gaga: su ba: mu. Dunu da eno dunu medole legesea, amo dunu huluane ba: ma: ne mae fofada: ne medole legemu da sema bagade.
Itakuwa mahali pa kukimbilia kutoka mlipiza kisasi, ili kwamba mtu aliyeshtakiwa kwa mauaji asife kabla ya kujitetea mbele ya mkutano.
13 Moilai bai bagade gafeyale gala amo ilegema.
Miji hii sita mtakayoitoa itakuwa miji yenu ya makimbilio.
14 Moilai bai bagade udiana amo Yodane Hano gusudili ilegema. Amola moilai bai bagade udiana eno Yodane Hano guma: dini ilegema.
Mtatoa miji mitatu ngʼambo hii ya Yordani na miji mingine mitatu upande wa Kanaani kama miji ya makimbilio.
15 Amo moilai bai bagade ilia da Isala: ili dunudafa amola ga fi dunu (amo da Isala: ili soge ganodini dafawane fi esala o sofe misi fawane esala) amo ilima Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade dialebe ba: mu. Nowa da momabo giadofale eno dunu fane legesea, e da amo moilai bai bagade amoga hobeale masunu logo ba: mu.
Miji hii sita itakuwa mahali pa makimbilio kwa ajili ya Waisraeli, wageni na watu wengine wanaoishi katikati yenu, ili kwamba mtu yeyote ambaye ameua mtu mwingine pasipo kukusudia aweze kukimbilia humo.
16 Be dunu afae da gegesu liligi (gula o gele o ifaga hamoi) amoga dunu eno fane legesea, e da fasudafa hou hamobeba: le, dilia amo dunu fane legema.
“‘Kama mtu akimpiga mwenzake kwa chuma naye mtu huyo akafa, mtu huyo ni muuaji; muuaji sharti atauawa.
Au kama mtu analo jiwe mkononi mwake ambalo laweza kuua, naye akampiga mwenzake akafa, yeye ni muuaji; muuaji huyo sharti atauawa.
Au kama mtu ana chombo cha mti mkononi mwake ambacho chaweza kuua, naye akampiga mwenzake akafa, yeye ni muuaji; muuaji huyo sharti atauawa.
19 Bogoi dunu ea sosogo fi gadenene esalebe dunu da amo fane legesu dunuma dabe fane legema: ne sia: ma. E da amo fasu dunu ba: sea, fane legemu da defea.
Mlipiza kisasi cha damu atamuua muuaji; wakati akikutana naye, atamuua.
20 Dunu afae da eno dunu higabeba: le, amo dunu gisalu gala: le o igi o ifaga gala: le medole legesea, e da fasudafa hamobeba: le, dilia medole legema.
Ikiwa mtu ana chuki ya siku nyingi na mwenzake akamsukuma au akamtupia kitu kwa kukusudia naye akafa,
21 O e da lobo usunawene fabeba: le, eno dunu medole legesea, e da fasudafa hamobeba: le, amo dunu medole legema. Bogoi dunu ea sosogo fi gadenenedafa esalebe dunu da amo fasu dunu medole legema: ne sia: ma. E da amo fasu dunu ba: sea, fane legemu da defea.
au ikiwa katika uadui akampiga ngumi naye akafa, mtu yule sharti atauawa; yeye ni muuaji. Mlipiza kisasi cha damu atamuua muuaji atakapokutana naye.
22 Be dunu da eno dunuma mae higale amola momabo giadofale amo dunu gisalu gala: sea o igi o ifaga gala: le medole legesea,
“‘Lakini kama mtu akimsukuma mwenziwe ghafula pasipo chuki, au kumtupia kitu pasipo kukusudia,
23 o e da eno dunu mae ba: le, e da igi galagaiga dunu amo da ea ha lai hame, e da ema se imunu hame hanai, amo dunu momabo giadofale medole legesea,
au, pasipo kumwona, akimwangushia jiwe ambalo laweza kumuua naye akafa, basi kwa kuwa hakuwa adui yake naye hakukusudia kumuumiza,
24 agoai hou ba: sea, Isala: ili dunu da ilima fofada: sea, ilia da momabo giadofale fasu dunu gaga: mu. Amola maga: me dabe imunu dunuma amo dunu mae medole legema: ne sia: ma: mu.
kusanyiko lazima liamue kati yake na mlipiza kisasi wa damu kufuatana na sheria hizi.
25 Isala: ili fi dunu huluane da bogoi dunu ea gadenene fi esalebe dunu amo momabo giadofale medole legesu dunu mae medoma: ne, amo gaga: ma: ne sia: ma. Be ilia da amo dunu Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade amoga e da hobea: i, amoga bu oule masa: ne sia: ma. Amogawi e da esalumu. Gobele salasu Ouligisu Dunu, (amo esoga hawa: hamonana dunu), e da bogosea fawane yolesimu.
Kusanyiko ni lazima limlinde yule anayeshtakiwa kuua kutoka kwa mlipiza kisasi wa damu, na kumrudisha katika mji wa makimbilio alikokuwa amekimbilia. Lazima akae humo mpaka atakapokufa kuhani mkuu ambaye alikuwa amepakwa mafuta matakatifu.
26 Be momabo giadofale fane legesu dunu da Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade (amoga e da hobea: i), amo udigili yolesisia,
“‘Lakini kama mshtakiwa atatoka nje ya mipaka ya mji wa makimbilio ambao amekimbilia,
27 amola bogoi dunu ea gadenene fi esalebe dabesu dunu da amo dunu ba: beba: le, e medole legesea, amo dabe iasu da fane legesudafa agoane hame ba: mu.
na mlipiza kisasi wa damu akamkuta nje ya mji, mlipiza kisasi wa damu anaweza kumuua mshtakiwa huyo bila kuwa na hatia ya kuua.
28 Momabo gaidofale fane legesu dunu da dafawane Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade ganodini esalebe da gadili mae asili esaloma: mu. Gobele salasu Ouligisu Dunu da bogoi dagoiba: le fawane, e da Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade yolesili, hi diasuga buhagima: mu.
Mshtakiwa lazima akae katika mji wake wa makimbilio mpaka atakapokufa kuhani mkuu; atarudi tu kwenye mali yake baada ya kifo cha kuhani mkuu.
29 Amo malasu da dilia amola diligaga fi, dilia habidili esalea, amo hamoma: ne hamoi dagoi.
“‘Hizi ndizo kanuni za sheria zitakazohitajiwa kwenu na katika vizazi vyenu vijavyo, popote mtakapoishi.
30 Dunu da fane legesu hou hamosea, dilia fofada: lalu, ba: su dunu adunaga o osea: iga dafawane ilia ba: i dagoi sia: amo nababeba: le fawane, amo dunu medole legema. Ba: su dunu afaega fawane nabi sia: sea, dilia amo dunu medole legemu da hamedei.
“‘Yeyote anayeua mtu atauawa kama muuaji ikiwa tu kuna ushuhuda wa mashahidi. Lakini hakuna mtu atakayeuawa kwa ushuhuda wa shahidi mmoja tu.
31 Be fane legesu dunu ea se iasu da e medole legemu fawane. E da bidi subiba: le, amo yolesimu da hamedei.
“‘Usikubali fidia yoyote ya kuokoa uhai wa muuaji ambaye anastahili kufa. Mtu huyo hakika lazima auawe.
32 Amola Isala: ili dunu da Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade amoga hobea: i ba: sea, amola e da gobele salasu Ouligisu Dunu mae bogole, e da su ianu, hi diasua buhagimusa: dawa: sea, dilia da ea logo hedofama.
“‘Usikubali fidia ya mtu yeyote ambaye amekimbilia katika mji wa makimbilio na kumruhusu kurudi kuishi katika nchi yake kabla ya kifo cha kuhani mkuu.
33 Dilia da dilia esalebe soge amo ledo hamosa: besa: le, amo logo mae doasima. Fane legesu hou da soge gugunufinisisa. Amola amo ledo hamoi sema dodofesu hou da afadafa fawane. Amo da fane legesu dunu amo medole legemu fawane.
“‘Msiinajisi nchi mnayoishi. Umwagaji damu hunajisi nchi, na upatanisho hauwezekani kufanyika katika nchi ambayo damu imemwagwa, isipokuwa tu kwa damu ya yule aliyeimwaga damu.
34 Dilia esalebe soge amo ledo hamoma: ne, mae wadela: lesima. Bai Na da Hina Gode, amola Na da Isala: ili fi ganodini esalebeba: le.”
Msiinajisi nchi mnayoishi, ambayo nami ninakaa, kwa kuwa Mimi, Bwana, ninakaa katikati ya Waisraeli.’”

< Idisu 35 >