< Idisu 33 >
1 Isala: ili dunu da Idibidi soge fisili, Mousese amola Elane elama fa: no bobogele, Moua: be sogega doaga: i. Amo sia: dedene legei da Isala: ili dunu ilia fisisu hamoi sogebi dio olelesa.
Hizi ndizo safari za wana wa Israeli hapo walipotoka katika nchi ya Misri pamoja na makundi yao ya kijeshi chini ya uongozi wa Musa na Haruni.
2 Hina Gode da hamoma: ne sia: beba: le, ilia da fisisu gaheabolo huluane hamonoba, Mousese da amo sogebi ea dio dedena sa: i.
Musa aliandika maeneo yote tangu walipoondoka mpaka walipofika, kama alivyoamuriwa na BWANA. Hizi ndizo safari zao kama kutoka kwao kulivyokuwa kwa kila walipotoka.
3 Isala: ili dunu da musa: degabo Baligisu Lolo Nasu gesafo, oubi age amola eso 15 amoga, Idibidi soge yolesi. Hina Gode da ili gaga: la asi, amola ilia di Idibidi dunu huluane ba: ma: ne, Lea: misisi moilai bai bagade yolesi.
Mwezi wa kwanza walisafiri kutoka Ramesi, waliondoka siku ya kumi na tano. Asubuhi siku iliyofuata baada ya Pasaka, Wana wa Israeli waliondoka wazi wazi, mbele ya machoya Wamisri wote.
4 Idibidi dunu da ilia mano magobo huluane uli dogolalebe ba: i. Bai Hina Gode da ili huluane medole lelegei. Hina Gode Ea gasa da ogogosu Idibidi ‘gode’ ilia gasa baligi dagoi, amo olelema: ne E da agoane hamoi.
Hii ilitokea wakati Wamisiri walipokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza, ambao BWANA alikuwa amewaua miongoni mwao, kwa kuwa pia alikuwa ameiadhibu miungu yao.
5 Isala: ili dunu ilia da Lea: misisi yolesili, asili Sagode sogebi amogai fisisu hamoi.
Wana wa Israeli walisafiri kutoka Ramesi na kuweka kambi
6 Amalu, asili, ilia da wadela: i hafoga: i soge bega: , Ida: me sogebi amoga fisisu gagui.
Sukothi. Walisafiri toka Sukothi na kuweka kambi Ethamu, mwisho wa nyika.
7 Amoga, ilia da sinidigili, Baihahailode sogebi (Ba: ile Sifone amoga eso midadi heda: su diala) Migidole soge gadenene fisisu gagui.
Wakasafiri kutoka Ethamu wakarudi mpaka Pi-Hahirothi, ambayo inaikabili Baali Zephoni, ambapo waliweka kambi kuikabili Migidoli
8 Ilia da Baihahailode soge yolesili, Maga: me Hano degele, wadela: i hafoga: i soge amo Sioua amoga asi. Amalu, eso udiana agoane ahoana, ilia da Mala sogebi amoga doaga: i.
Kisha wakasafiri toka mkabala wa Pi-Hairothi na kupita katikati ya bahari kuelekea nyikani. Wakasafiri safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu na kuweka kambi Mara.
9 Amo yolesili, ilia da Ilime sogega asili, fisisu gagui. Bai amogai da hano bubuga: su fagoyale gala amola gumudi sala 70 agoane ba: i.
Wakasafiri kutoka Mara kufika Elimu. Pale Elimu kulikuwa na chemichemi kumi na mbili za maji na miti sabini ya mitende. hapo ndipo walipoweka kambi.
10 Ilime amo yolesili asili, ilia da Maga: me Hano Wayabo gadenene fisisu gagui.
Walisafiri kutoka Elimu na kuweka kambi karibu na Bahari ya Shamu.
11 Amo yolesili, ilia da Sini wadela: i hafoga: i sogega asili, fisisu eno gagui.
Walisafiri kutoka Bahari ya Shamu na kuweka kambi katika nyika ya Sini.
12 Amalalu, ilia da Dofoga fisisu gagui.
Walisafiri kutoka nyika ya Sini na kuweka kambi Dofka.
13 Amola amo yolesili asili, A:ilasia amoga fi.
Wakasafiri kutoka Dofka na kuweka kambi Alushi.
14 Amalu asili, ilia da Lefidimi sogega asi. Amogawi, ilia da hano manu hame ba: i.
Wakasafiri kutoka Alushi na kuweka kambi Refidimu, ambapo watu walikosa maji ya kunywa.
15 Lefidimi yolesili, ilia da asili, fa: no agoane, Ho Goumiga doaga: i. Ilia da amo logoga ahoanoba, sogebi hagudu dedei amogawi fisisu gagui agoane: - Sainai Hafoga: i Soge, Gibalode Ha: da: ifa (dio dawa: loma: ne da ‘Hanaiba: le Bogoi Uli Dogosu’), Hasilode, Lidima, Limone Belese, Libina, Lisa, Gihila: ida, Sia: ifa Goumi, Halaida, Ma: gilode, Da: iha: de, Dila, Midiga, Ha: siamouna, Mousilode, Bene Ya: iaga: ne, Ho Ha: gidiga: de, Yodebada, Abalouna, Isionegiba, Sine wadela: i hafoga: i soge, (Ga: idesie) amola Ho Goumi (amo da Idome soge bega: diala.)
Walisafiri kutoka Refidimu na kuweka kambi kwenye nyika ya Sinai.
Walisafiri kutoka nyika ya Sinai na kuweka kambi Kibrothi Hataava.
Walisafiri kutoka Kibrothi Hataava na kuweka kambi Hazerothi.
Walisafiri kutoka Hazerothi na kuweka kambi Rithima.
Walisafiri kutoka Rithima na kuweka kambi Rimoni Perezi.
Walisafiri kutoka Rimoni Perezi na kuweka kambi Libna.
Walisafiri kutoka Libna na kuweka kambi Risa.
Walisafiri kutoka Risa na kuweka kambi Kehelatha.
Walisafiri kutoka Kehelatha na kuweka kambi kwenye Mlima Sheferi.
Walisafiri kutoka Mlima Sheferi na kuweka kambi Harada.
Walisafiri kutoka Harada na kuweka kambi Makelothi.
Walisafiri kutoka Makelothi na kuweka kambi Tahathi.
Walisafiri kutoka Ttahalathi na kuweka kambi Tera.
Walisafiri kutokaTera na kuweka kambi Mithika.
Walisafiri kutoka Mithika na kuweka kambi Hashimona.
Walisafiri kutoka Hashimona na kuweka kambi Moserothi.
Walisafiri kutoka Moserothi na kuweka kambi Bene Jaakani.
Walisafiri kutoka Bene Jaakani na kuweka kambi Hori Hagidigadi.
Walisafiri kutoka Hori Hagidigadi na kuweka kambi Jotibatha.
Walisafiri kutoka Jotibatha na kuweka kambi Abrona.
Walisafiri kutoka Abrona na kuweka kambi Ezioni Geberi.
Walisafiri toka Ezioini Geberi na kuweka kambi katika nyika ya Sini kule Kadeshi.
Walisafiri kutoka Kadeshi na kuweka kambi Mlima Hori, Pembezoni mwa nchi ya Edomu.
Hapo ndipo Haruni kuhani alipoenda kwenye Mlima Hori kwa amri ya BWANA na kufa kule mwaka wa arobaini bada ya Wisraeli kutoka katika nchi ya Misri, katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano.
39 Hina Gode da amo hamoma: ne sia: beba: le, gobele salasu dunu Elane da Ho Goumiba: le heda: i. Amogawi, e da bogoi. Ea fifi misi ode da123. E da eso age amola oubi bi amola ode 40 (amoga Isala: ili dunu da Idibidi soge yolesi) amo ganodini bogoi.
Haruni alikuwa na umri wa mika 123 alipokufa pale juu ya Mlima Hori.
40 A: ila: de soge (Ga: ina: ne soge ga [south] la: idiga gala) amo ea hina bagade da Isala: ili dunu ilia manaeabe nabi.
Wakanaani, mfalme wa Aradi, ambao waliishi kusini mwa nyika katika nchi ya Kanaani, walisikia juu ya ujio wa wana wa Israeli.
41 Isala: ili dunu da Ho Goumi yolesili, asili, fa: no agoane Moua: be umiga doaga: i. Ilia da amo logoga ahoanoba, sogebi haguduga dedei amogawi fisisu gagui: - Sa: lamouna, Biunone, Oubode, A:balimi (mugului moilai Moua: be soge ganodini dialu.), Daibone Ga: de, A:lamane Dibilada: ime, A:balimi Goumi (Nibou Goumi gadenene diala) amola Moua: be umi soge. Moua: be umi da Yodane Hano eso midadi heda: su gusudili dialebe ba: i. Bede Yesemode moilai da la: idi amola A: ibele Sidimi sogebi da eno la: idi, Moua: be umi da dogoa dialebe ba: i. Amola Yeligou moilai bai bagade da Yodane Hano eso dabe guma: dini la: idi ba: i.
Walisafiri kutika Mlima Hori n a kuweka kambi Zalimona.
Walisafiri kutoka Zalimona na kuweka kambi Punoni.
Walisafiri kutoka Punoni na kuweka kambi Obothi.
Walisafiri kutoka Obothi na kuweka kambi Abarimu, katika mpaka wa Moabu.
Walisafiri kutoka Abarimu na kuweka kambi Diboni Gadi.
Walisafiri kutoka Diboni Gadi na kuweka kambi Alimoni Diblathaimu.
Walisafiri kutoka Alimoni Diblathaimu na kuweka kambi kwenye milima ya Abarimu mkabala na Nebo.
Walisafiri kutoka mlima wa Abarimuna kuweka kambi kwenye nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.
Waliweka kambi karibu na Yorodani, kutoka Bethi Jeshimothi mpaka Abeli Shitimu katika nyanda za Moabu.
50 Amogawi, Moua: be umi sogega (amo da Yodane Hano guma: dini ba: i amola Yeligou moilai bai bagade da hano guma: dini dialu),
Hapo BWANA alinenana Musa katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko akasema,
51 Hina Gode da Mousesema, e da Isala: ili dunu ilima amane hamoma: ne sia: i, “Dilia da Yodane Hano degele, Ga: ina: ne sogega golili dasea,
“Nena na wana wa Israeli uwaambie. 'Mtakapovuka mto Yorodani kuingia Kanaani,
52 Ga: ina: ne sogega esalebe dunu huluane amo gadili sefasima. Dilia da ilia loboga hamoi gele amola gula liligi amola ilia ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosu sogebi huluane wadela: lesima.
ndipo mtakapowafukuza wenyeji wote mbele yenu. Mtaziharibu sanamu zote za kuchongwa. Mtaziharibu sanamu zao za kusubu na kuharibu mahali pao pote palipoinuka.
53 Ilia soge huluane doagala: le gesowale lama. Amola amo ganodini fima. Bai amo soge Na da dilima iaha.
Mtachukua hiyo ardhi iwe mali yenu na muishi ndani yake, kwa sababu nimewapeni hiyo nchi iwe mali yenu.
54 Ululuasu hedele, soge huluane fifili, Isala: ili fi eno eno ilima ima. Fi bagade ilima soge bagade ima amola fi fonobahadi ilima soge fonobahadi ima.
Mtairithi hiyo nchi kwa kupiga kura, kwa kufuata kila ukoo. Kwa zile koo kubwa kubwa mtawapa sehemu kubwa ya ardhi, na kwa zile koo ndogo ndogo mtawapa sehemu ndogo ya ardhi. Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhi itakuwa mali yake. Mtairithi ardhi kufuata ukoo wa kabilla la jamaa zenu.
55 Be dilia da Ga: ina: ne fi esalebe dunu huluane hame gadili sefasisia, dilia da se nabimu. Ilia dilima sia: be dilia afoga gaganomeiga sobe agoane ba: mu. Ilia da dilima gegemu.
Lakini kama hamtawafukuza wenyeji wa nchi hiyo watoke mbele yenu, ndipo wale watu mtakaowaruhusu wakae nanyi watakapokuwa kama sindano machoni mwenu na miiba katika mbavu zenu. Watayafanya maisha yenu yawe magumu katika nchi mnayoishi.
56 Dilia da amo dunu gadili hame sefasisia, Na da ili gugunufinisimusa: ilegei, amo defele dili gugunufinisimu.
Ndipo itakapotokea kuwa kile ambacho Mimi ninakusudia kufanya kwa wale watu, Nitawafanyia pia ninyi'”