< Idisu 27 >

1 Yousefe egefe da Ma: na: se. Ma: na: se egefe da Ma: ige. Ma: ige egefe da Gilia: de. Gilia: de egefe da Hife amola Hife egefe da Siloufiha: de. Siloufiha: de ea idiwilali ilia dio da Mala, Nowa, Hogola, Miliga amola Desa.
Binti za Selofehadi mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, walikuwa wa koo za Manase mwana wa Yosefu. Majina ya hao binti yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa. Walikaribia
2 Ilia da Hina Gode Ea Abula Diasu holeiga asili, Mousese amola gobele salasu dunu Elia: isa, amola Isala: ili ouligisu dunu amola Isala: ili dunu huluane, ilia midadi lelu, amane sia: i,
ingilio la Hema la Kukutania na kusimama mbele ya Mose, kuhani Eleazari, viongozi na kusanyiko lote, wakasema,
3 “Ninia ada e da dunu mano mae lalelegele, wadela: i hafoga: i sogega bogoi dagoi. Goula amola ea fa: no bobogesu dunu da Hina Godema lelelaloba, ninia ada da ilima hame gilisi. E da hi wadela: i hou hamoiba: le fawane bogoi.
“Baba yetu alikufa jangwani. Hakuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora, ambao walifungamana pamoja dhidi ya Bwana, lakini alikufa kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe na hakuacha wana.
4 Ninia ada ea dio da Isala: ili soge ganodini abuliba: le bu hame ba: mu, bai e da egefe hame. Ninia ada ea fi dunu defele, soge ninima ima!”
Kwa nini jina la baba yetu lifutike kutoka ukoo wake kwa sababu hakuwa na mwana? Tupatie milki miongoni mwa ndugu za baba yetu.”
5 Mousese da ilia adole ba: su amo Hina Godema olelei.
Kwa hiyo Mose akalileta shauri lao mbele za Bwana,
6 Amola, Hina Gode da ema amane sia: i,
naye Bwana akamwambia Mose,
7 “Defea! Siloufiha: de ea idiwilali ilia adole ba: su da moloi! Edalalia fi amo ganodini, soge ilima ima! Ea lamu liligi amo ilima imunu da defea.
“Wanachosema binti za Selofehadi ni sawa. Ni lazima kwa hakika uwape milki kama urithi miongoni mwa ndugu za baba yao, na kubadili urithi wa baba yao uwe wao.
8 Amola, Isala: ili dunuma amane olelema. Dunu da dunu mano mae lalelegele bogosea, idiwi da eda soge lama: ne sia: ma.
“Waambie Waisraeli, ‘Ikiwa mtu atakufa naye hakuacha mwana, utampa binti yake urithi wake.
9 Be e da idiwi hame galea, ea yolali da ea liligi lamu.
Ikiwa hana binti, wape ndugu zake wa kiume urithi wake.
10 E da yolali hame galea, ea eda ea yolali da ea liligi lamu.
Ikiwa hana ndugu wa kiume toa urithi wake kwa ndugu za baba yake.
11 Be e da yolali amola eda yolali hame galea, ea gadenenedafa fi dunu da amo lale gagumu. Isala: ili dunu da amo hou sema hamoi dagoi noga: le dawa: ma: ne sia: ma. Na, Hina Gode, da dima hamoma: ne sia: i dagoi, amo defele hamoma.”
Ikiwa baba yake hakuwa na ndugu wa kiume, toa urithi wake kwa ndugu wa karibu katika ukoo wake, ili aumiliki. Hili litakuwa dai la sheria kwa Waisraeli, kama Bwana alivyomwamuru Mose.’”
12 Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Dia A: balime Goumiba: le heda: le, soge amo Na da Isala: ili dunuma iaha, amo huluane ba: ma!
Kisha Bwana akamwambia Mose, “Panda juu ya mlima huu katika kilele cha Abarimu uione nchi ambayo nimewapa Waisraeli.
13 Di da amo ba: lalu, dia ola Elane defele, di da bogomu.
Baada ya kuiona, wewe pia utakusanywa pamoja na watu wako kama ndugu yako Aroni alivyokusanywa,
14 Bai ali da Na Sini hafoga: i soge ganodini hamoma: ne sia: i amoma odoga: i. Isala: ili dunu huluane da Meliba sogega Nama egane sia: noba, di da Na hadigi gasa bagade hou ili dafawaneyale dawa: ma: ne hame olelei.” (Meliba da Ga: idesie gu hano Sini hafoga: i soge ganodini, amogawi diala)
kwa kuwa jumuiya ilipoasi amri yangu kwenye maji katika Jangwa la Sini, wakati jumuiya ilipogombana nami, nyote wawili mliacha kuitii amri yangu ya kuniheshimu kama mtakatifu mbele ya macho yao.” (Haya yalikuwa maji ya Meriba huko Kadeshi, katika Jangwa la Sini.)
15 Mousese da amane sia: ne gadoi,
Mose akamwambia Bwana,
16 “Hina Gode! Di da esalusu huluanedafa ea bai gala! Dunu amo da Isala: ili dunu noga: le ouligimusa: dawa: , amo ilegema!
“Bwana, Mungu wa roho zote za wanadamu, na amteue mtu juu ya jumuiya hii
17 Dunu amo da gegesu ganodini ilia bisili masunu dawa: , amo ilegema. Dia fidafa da sibi amo sibi ouligisu dunu hame, amo agoane ba: sa: besa: le, ouligisu dunu ilegema!”
ili atoke na kuingia mbele yao, atakayewaongoza katika kutoka kwao na kuingia kwao, ili watu wa Bwana wasiwe kama kondoo wasio na mchungaji.”
18 Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Yosiua (Nane egefe) hawa: hamosu dawa: dunu, amo lale, dia lobo amo ea dialuma da: iya ligisima.
Kwa hiyo Bwana akamwambia Mose, “Mchukue Yoshua mwana wa Nuni, mtu ambaye Roho yuko ndani yake, uweke mkono juu yake.
19 E da gobele salasu dunu Elia: isa amola Isala: ili fi dunu gilisisu amo ilia midadi leloma: ne sia: ma. Amasea ili huluane ba: ma: ne, e da dia sogebi lai dagoi amane wele sisia: ma.
Msimamishe mbele ya kuhani Eleazari pamoja na kusanyiko lote, umpe maagizo mbele yao.
20 Isala: ili fi dunu da ea sia: nabalu, noga: le hamoma: ne, dia gasa bagade ouligisu hou mogili ema ima.
Mpe sehemu ya mamlaka yako ili jumuiya yote ya Waisraeli ipate kumtii.
21 E da gobele salasu dunu Elia: isa ea fidisu hahawane dawa: mu. Amola Elia: isa da Iulimi amola Damimi amo ba: beba: le, Na hanai dawa: mu. Amane hamobeba: le, Elia: isa da hou huluane amo ganodini, Yosiua amola Isala: ili fi dunu huluane ilima olelemu.”
Atasimama mbele ya kuhani Eleazari, ambaye atapokea maamuzi kwa ajili yake, kwa kuuliza mbele za Bwana kwa ile Urimu. Kwa amri yake, yeye na jumuiya yote ya Waisraeli watatoka, na kwa amri yake, wataingia.”
22 Mousese da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoi dagoi. Ea sia: beba: le, Yosiua da Elia: isa amola Isala: ili fi huluane ilia midadi lelu.
Mose akafanya kama Bwana alivyomwagiza. Akamtwaa Yoshua na kumsimamisha mbele ya kuhani Eleazari na kusanyiko lote.
23 Hina Gode Ea sia: i defele, Mousese da ea lobo Yosiua ea dialuma da: iya ligisili, Yosiua da ea sogebi lai dagoi amane wele sisia: i.
Kisha akaweka mikono yake juu ya kichwa cha Yoshua na kumpa maagizo, kama vile Bwana alivyoelekeza kupitia kwa Mose.

< Idisu 27 >