< Idisu 17 >

1 Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
Bwana akamwambia Mose,
2 “Isala: ili dunuma ilia da dima galiamo fagoyale gala ima: ne sia: ma. Amo galiamo da afae afae Isala: ili fi ouligisu dunu fagoyale gala ilia galiamo agoane. Amo dunu ilia dio afae afae amo galiamo damana dedema.
“Sema na Waisraeli, na ujipatie fimbo kumi na mbili kutoka kwao, moja kutoka kwa kila mmoja wa viongozi wa kabila za baba zao. Andika jina la kila mtu kwenye fimbo yake.
3 Amola galiamo amo da Lifai fi ilia galiamo amoga Elane ea dio dedema. Fi ouligisu dunu afae afae da galiamo afae dialebe ba: mu.
Kwenye fimbo ya Lawi andika jina la Aroni, kwa maana ni lazima iwepo fimbo moja kwa kila kiongozi kwa ajili ya kila kabila la baba zao.
4 Amo galiamo Na Abula Diasuga gaguli misini, Gode Ea Gousa: su Sema Gagili (amoga Na da di gousa: sa) amo midadi ligisima.
Ziweke hizo fimbo ndani ya Hema la Kukutania mbele ya Sanduku la Ushuhuda, mahali nikutanapo nawe.
5 Amasea Na ilegei dunu ea galiamo da fadagala: mu. Amo hamobeba: le, Na da Isala: ili dunu ilia mae fisili dima egane sia: su amo hedofamu.”
Fimbo ya mtu nitakayemchagua itachipuka, nami mwenyewe nitayakomesha haya manungʼuniko ya mara kwa mara ya Waisraeli dhidi yako.”
6 Amaiba: le, Mousese da Isala: ili dunuma sia: beba: le, ilia ouligisu dunu afae afae da ema galiamo i. Amo galiamo da fi fagoyale afae afae gala, ilia: Amola ilia da Elane ea galiamo amo galiamo enoma gilisi.
Hivyo Mose akasema na Waisraeli, nao viongozi wao wakampa fimbo kumi na mbili, fimbo moja kwa ajili ya kila kabila la baba zao, nayo fimbo ya Aroni ikiwa miongoni mwa hizo.
7 Amalalu, Mousese da galiamo huluane Abula Diasu amo Hina Gode Ea Sema Gousa: su Gagili midadi amoga ligisi.
Mose akaziweka hizo fimbo mbele za Bwana ndani ya Hema la Ushuhuda.
8 Aya eso amoga, Mousese da Abula Diasu ganodini golili sa: ili, Elane ea galiamo (amo da Lifai fi ilia galiamo) amo da fadagala: i dagoi ba: i. Amo da yebese hamone, sogea hamone, ‘alamode’ fage legei dagoi ba: i.
Siku iliyofuata Mose aliingia kwenye Hema la Ushuhuda akaona ile fimbo ya Aroni ambayo iliwakilisha jamaa ya Lawi haikuwa tu imechipuka, bali pia ilikuwa imetoa machipukizi, kuchanua maua na kuzaa malozi.
9 Mousese da galiamo huluane gaguli asili, Isala: ili dunuma olei. Ilia da hou doaga: i amo ba: lalu, ilia ouligisu dunu afae afae da ilia galiamo bu ili ladi.
Ndipo Mose akaleta zile fimbo zote kwa Waisraeli wote kutoka mbele za Bwana. Wakaziangalia, na kila mtu akaichukua fimbo yake mwenyewe.
10 Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Elane ea galiamo amo Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ganodini bu salima. Amo da Isala: ili odoga: su dunuma sisasu agoane dialoma: mu. Sisasu da ilia da egasu sia: hame hedofasea, bogomu.”
Bwana akamwambia Mose, “Rudisha fimbo ya Aroni mbele ya Sanduku la Ushuhuda, ili ihifadhiwe kama alama kwa waasi. Hili litakomesha manungʼuniko yao dhidi yangu, ili kwamba wasife.”
11 Mousese da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoi dagoi.
Mose akafanya kama Bwana alivyomwamuru.
12 Isala: ili dunu da Mousesema amane sia: i, “Ninia da gugunufinisi dagoi.
Waisraeli wakamwambia Mose, “Tutakufa! Tumepotea, sote tumepotea!
13 Nowa da Abula Diasu gadenene fawane masea, e da bogomu. Amaiba: le ninia huluane da bogogia: mu agoai galebe.”
Yeyote akaribiaye Maskani ya Bwana atakufa. Je, sisi sote tutakufa?”

< Idisu 17 >