< Idisu 16 >

1 Goula (e da Aisiha ea mano amola ea fi da Lifai amola ea sosogo fi da Gouha: de), e da gasa fili, Mousesema odoga: i. Liubene fi dunu udiana (Ilaia: be ea mano aduna amo Da: idia: ne, Abaila: me amola Bilede ea mano amo One) amola Isala: ili fi ouligisu dunu 250 (Isala: ili fi dunuga ilegei ouligisu dunu) ilia da Goula gilisili Mousesema odoga: i.
Sasa Kora mwana wa Izihari mwana wa Kohathi mwana wa Lawi, pamoja na Dathani na Abiramu mwana wa Eliabu, na Oni mwana wa Peleti, wa uzao wa Reubeni, waliwakusanya wanaume kadhaa.
2
Wakamwinukia Musa, pamoja na wanaume fulani kutoka wana wa Israeli, viongozi wa watu wapatao mia mbili na hamsini waliokuwa wakifahamika katika ile jamii.
3 Ilia da Mousese amola Elane ela midadi gilisili, amane sia: i, “Alia hou da gasa fili, baligi dagoi! Ninia fi dunu huluane da Hina Gode Ea: ! Amola Hina Gode da nini huluane gilisili esala! Amaiba: le, Mousese, di abuliba: le ninima hina agoane hamosala: ?”
Walikusanyika pamoja kumpinga Musa na Haruni. Wakawaambia, “Ninyi sasa mnatumia mamlaka zaidi ya uwezo wenu! Watu wote wamejitenga, kila mmoja wao, na BWANA yuko pamoja nao. Kwa nini mnajiinua sana juu ya watu wengine wa BWANA?”
4 Mousese da amo sia: nababeba: le, hi osoboga gala: lasa: ili, Godema sia: ne gadoi.
Musa alipoyasikia hayo, akalala kifudifudi.
5 Amasea, e da Goula amola ema fa: no bobogesu dunu ilima amane sia: i, “Aya hahabe, Hina Gode da nowa da Ea: fidafa, amo olelemu. E da Ea ilegei dunu, Ema oloda gadenene doaga: ma: ne logo doasimu.
Akamwambia Kora na wote aliokuwa nao, “Asubuhi BWANA atafanya ijulikane ni nani walio wake na nani aliyetengwa kwa ajili yake. Atamleta huyo mtu karibu na yeye. Yule anayemchagua atamleta karibu naye.
6 Aya hahabe, dilia amola dilia fa: no bobogesu dunu, amo lalu gasa: le legesu ofodo lale, amo ganodini laluoso amola gabusiga: manoma salawane, oloda amoma gaguli misa. Amasea, ninia da Hina Gode Ea ilegei dunu dawa: mu. Dilia Lifai dunu, dilia fawane da gasa fili baligi dagoi!”
Fanya hivi, wewe Kora na kundi lako.
7
Kesho mchukue vyetezo na muweke moto na ubani ndani yake mbele ya BWANA. Yule ambaye BWANA amemchagua, atamtenga kwa BWANA. Sasa imetosha ninyi watu wa uzao wa Lawi,”
8 Mousese da bu Goula ema amane sia: i, “Dilia Lifai dunu! Nabima!
Tena Musa akamwambia Kora, “Sasa unisililize, ninyi watu wa uzao wa Lawi:
9 Isala: ili Gode da dili eno Isala: ili fi amoga afafai dagoi. Bai dilia da Ema misini, Hina Gode Ea Abula Diasu ganodini hawa: hamoma: ne amola Isala: ili fi ilima fidisu hou hamoma: ne E da dilima ilegei. Dilia adi dawa: bela: ? Amo da hamedei hou, dilia dawa: bela: ?
Je ni jambo dogo kwenu kwamba Mngu wa mbinguni amewatenga ninyi kutoka watu wa Israeli, ili awalete ninyi karibu na yeye, ili mfanye kazi katika masikani ya BWANA na kusimama mbele ya watu ili muwatumikie?
10 Hina Gode da amo gadodafa nodoma: ne hou dilima i dagoi. Be amo mae dawa: le, dilia da gobele salasu hou amola lamusa: dawa: lala.
Amewasogeza karibu, na ndugu zako, wa uzao wa Lawi pamoja nanyi, na sasa mnataka na ukuhani pia!
11 Dilia da Elanema egane sia: sea, dilia da ema hame egasa. Be dilia dafawane Hina Gode Ema egane odoga: sa.”
Hiyo ndiyo sababu wewe na kundi lako mmekusanyika pamoja kinyume na BWANA. Kwa nini mnalalamika juu ya Haruni, ambaye anamtii BWANA?”
12 Amalalu, Mousese da Da: ida: ne amola Abaila: me ela ema misa: ne sia: si. Be ela da amane sia: i, “Ania da hame misunu!
Kisha Musa akamwita Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu, lakini wakasema, “hatutakuja.
13 Di da nini Idibidi nasegagi soge amoga fisili masa: ne, goeguda: wadela: i soge ganodini medole legema: ne oule misi. Amo da defeala: ? Be amo baligili, di abuliba: le ninima hina agoane hamosala: ?
Kwani jambo dogo kwamba umetuleta mpaka kwenye nchi inayotiririka maziwa na asali, ili kutuua katika jangwa hili? Sasa unataka kujifanya kuwa mtawala wetu!
14 Di da ninima nasegagi soge amola soge amola waini sagai ninia gaguma: ne hamedafa i. Amola wali di da ninima ogogomusa: dawa: lala. Ania da hamedafa misunu.”
Na kwa nyongeza, haujatuingiza kwenye nchi ya kutiririka maziwa na asali, au kutupa urithi wa mashamba na mashamba ya mizabibu. Sasa unataka kutupofusha na ahadi hewa? Hatutakuja kwako.”
15 Mousese da ougi bagade ba: i. E da Hina Godema amane sia: i “Amo dunu da Dima iasu gaguli masea, mae lama! Na da ilia dunu afae amoma wadela: le hamedafa hamoi. Na da ilia dougi afae hamedafa lai.”
Musa alikasirika sana na akamwambia BWANA, “Usisipokee sadaka zao. Sijachukua punda mmoja kutoka kwao, na sijamdhuru hata mmoja wao.”
16 Mousese da Goula ema amane sia: i, “Aya, di amola dia 250 fa: no bobogesu dunu amo Hina Gode Ea Abula Diasuga misa. Elane amola da amogawi esalebe ba: mu.
Kisha Musa akamwambia Kora, “Kesho wewe na kundi lako mtaenda mbele za BWANA-wewe na wao na Haruni.
17 Dilia afae afae laluoso gasa: le legesu lale, gabusiga: manoma amoga ligisili, oloda amoga gaguli misini, olelema.”
Kila mmoja wenu atatwaa chetezo na kuweka ubani ndani yake. Ndipo kila mtu atamletea BWANA chetezo chake, vyetezo mia mbili na hamsini. Wewe na Haruni, pia, kila mmoja ataleta chetezo chake.
18 Amaiba: le, ilia da dunu afae afae da ilia laluoso gasa: le legesu lale, amo ganodini laluoso amola gabusiga: manoma salawane, ilia amola Mousese amola Elane da Abula Diasu holeiga lelu.
Kwa hiyo kila mtu alitwaa chetezo chake, akaweka moto ndani yake, akaweka na ubani ndani yake, na kusimama mbele ya lango la hema ya kukutania pamoja na Musa na Haruni.
19 Amalalu, Goula da Isala: ili fi huluane gilisili, ilia da Mousese amola Elane ela midadi Abula Diasu ea logo holeiga lelu. Amalalu, hedolowane, Hina Gode E esalagalebeia dawa: loma: ne sinenemegi hadigi da dunu huluane ba: ma: ne misi.
Kora naye akawakusanya watu wote waliokuwa kinyume na Musa na Haruni hapo kwenye lango la hema ya kukutania, na kisha utukufu wa BWANA ukaonekana kwa watu wote.
20 Hina Gode da Mousese amola Elanema amane sia: i,
Ndipo BWANA aliposema na Musa na Haruni:
21 “Masa! Amo dunuma mae gilisima! Na da wahadafa ili dafawanedafa wadela: lesimu!”
“Tokeni ninyi kutoka hawa watu ili nipate kuwaangamiza haraka.”
22 Be Mousese amola Elane da osoboga mi bugila sa: ili, beguduli, amane sia: i, “Gode! Di da esalusu huluane ea bai gala. Dunu afae fawane da wadela: le hamoiba: le, Di da fi dunu huluane ilima ougima: bela: ?”
Musa na Haruni wakalala kifudifudi na kusema, “Mungu, Mungu wa wote wenye mwili, kama mtu akitenda dhambi, ni lazima uwe na hasira na watu wote?”
23 Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
BWANA akanena na Musa, akamwambia,
24 “Dunu huluane ilia da Goula, Da: ida: ne amola Abaila: me ilia abula diasu yolesili, sogebi enoga masa: ne sia: ma!”
“Sema na watu wote, uwaaambie, 'Tokeni kwenye hema ya Kora, Dathani, na Abiramu.'”
25 Amalalu, Mousese, amola Isala: ili ouligisu dunu, ilia da Da: ida: ne amola Abaila: me elama asi.
Kisha Musa akaamuka akaenda kwa Dathani na Kwa Abiramu; viongozi wa Israeli wakamfuata.
26 Mousese da Isala: ili dunu ilima amane sia: i, “Amo wadela: i hamosu dunu ilia abula diasu yolesili, gadenene mae leloma! Ilia liligi huluanedafa mae digili ba: ma! Dilia agoane hame hamosea, dilia da ilia wadela: i hamoiba: le bogobe defele, dilia amola da bogomu.”
Akaongea na watu wote akasema, “Sasa jitengeni na hema ya hawa watu waovu na msiguse kitu chochote kilicho chao, vinginevyo mtaangamizwa na dhambi zao.”
27 Amaiba: le, Isala: ili dunu da Goula, Da: ida: ne amola Abaila: me ilia abula diasu yolesili asi. Da: ida: ne amola Abaila: me da ilia abula diasuga gadili asili, ela, elea uda amola mano da abula diasu logo holeiga lelebe ba: i.
Kwa hiyo watu wote toka pande zote za hema ya Kora, Dathani na Abiramu wakaondoka. Dathani na Abiramu wakatoka nje wakasimama kwenye lango la hema zao, wakiwa na wake wao, wana, na watoto wao.
28 Mousese da Isala: ili dunu ilima amane sia: i, “Dilia waha ba: mu liligi amoga, Hina Gode da na amo hou hamoma: ne asunasi amo dawa: mu. Amola na da na hanaiga hame hamoi amo dawa: mu.
Kisha Musa akasema, “Kwa hili sasa mtatambua kuwa BWANA amenituma kufanya kazi hizi zote, kwa kuwa sijazifanya kwa uwezo wangu.
29 Amo dunu da osobo bagade dunu ilia esalusu hou defele, Gode Ea se dabe mae lale, udigili bogosea, defea, Hina Gode da na hame asunasi dawa: ma.
Kama hawa watu watakufa kifo cha kawaida ambacho humpata kila mmoja, basi BWANA hakunituma.
30 Be Hina Gode da hou musa: hame ba: i hamosea, amola osobo ea lafi da dagale, dunu amola ilia liligi huluane amo mogo salasea, amola ilia esaleawane udigili bogoi sogega gudu dasea, amo dunu da Hina Gode da ilima higale yolesi dagoi dilia da dawa: mu.” (Sheol h7585)
Lakini kama BWANA aumbaye malango ya ardhi ambayo huwameza kama mdomo mkubwa, pamoja na familia zao, na kama wataingia ndani ya shimo wakiwa hai, ndipo mtakapojua kuwa wamemdharau BWANA,” (Sheol h7585)
31 Mousese da sia: i dagoloba, hedolowane Da: ida: ne amola Abaila: me ela lelebe hagudu dialu osobo da lafi agoane dagale gai.
Mara ghafla Musa alipomaliza kusema maneno haya, aridhi ya pale walipokuwa ikafunguka.
32 Osobo da ela amola elea sosogo fi amola Goula ea fa: no bobogesu dunu amola ilia liligi huluane amo mogosali dagoi.
Dunia ikafungua makanwa yake na kuwameza, familia zao na watu wote wa Kora, pamoja na mali zao zote.
33 Amaiba: le, ilia amola ilia liligi huluane da mae bogole, bogoi sogega gudu sa: i. Ilia gudu sa: i dagoloba, osobo ea lafi da bu ga: si. Ilia da bu hamedafa ba: i. (Sheol h7585)
Wao na kila mmoja kwenye familia zao wakaingia ndani shimoni wakiwa hai. Dunia ikwafunika, na kwa njia hii wakapotea kutoka miongoni mwa ile jamii. (Sheol h7585)
34 Isala: ili dunu huluane da disa wesu nababeba: le, hobea: i. Ilia da amane wei, “Hobea: ma! Osobo da nini amola mogosalasa: besa: le, hehenama!”
Nao Israeli yote waliokuwa karibu nao wakakimbia kwa sababu ya vilio vyao. Walisema kwa mshangao, “Nchi isije kutumeza na sisi!”
35 Amalalu, Hina Gode da lalu iasi. Amo da nene gadole, dunu250 amo da gabusiga: manoma i, amo huluane nei dagoi.
Kisha moto ukashuka toka kwa BWANA na kuwaangamiza wale wanaume 250 waliokuwa wametoa ubani.
36 Amalalu, Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
Tena BWANA akanena na Musa, akasema,
37 “Elia: isa (gobele salasu dunu Elane egefe) ema, e da balase laluoso gasa: le legesu amo dunu laluga nei ilia da: i hodo amo lale, laluoso amo da ilia laluoso gasa: le legesu ganodini diala amo soge enoga afagogoma: ne sia: ma! Bai amo laluoso gasa: le legesu da hadigi ilegei gala.
“Mwambie Eliazari mwana wa Haruni yule kuhani achukue vile vyetezo kutoka ule moto, kwa kuwa vile vyetezo vimetengwa ka ajili yangu. Na aumwage ule moto mbali.
38 Ilia da Hina Gode Ea oloda amoga i dagoiba: le, hadigi hamoi dagoi. Amaiba: le, amo dunu (ilia da wadela: le hamoiba: le medole legei dagoi ba: i) amo ilia laluoso gasa: le legesu lale, dadabili, abenale da: fe hamone, amoga oloda dedebosu hamoma. Amo da Isala: ili dunuma sisasu dawa: loma: ne agoane ba: mu.”
Vitwae vile vyetezo vya wale waliopoteza maisha yao kwa sababu ya dhambi zao. Na vifanyike kuwa mbao za kufuliwa ili viwe vifuniko vya madhabahu. Kwa kuwa wale watu walivitoa kwangu, kwa hiyo ni vitakatifu. Vitakuwa ishara ya uwepo wangu kwa wana wa Israeli.”
39 Amaiba: le, gobele salasu dunu Elia: isa da laluoso gasa: le legesu lale, da: fe abenai hamoma: ne sia: i. Amalalu, ilia da amoga oloda dedeboi dagoi.
Naye Eleazari yule kuhani akavichukue vile vyetezo vya shaba ambavyo vilikuwa vimetumiwa na wale watu walioungua, na vikafuliwa kuwa vifuniko vya madhbahu,
40 Amo da Isala: ili dunu ilima sisasu agoane ba: i. Sisasu da Elane egaga fi, ilia fawane da Hina Godema gabusiga: manoma ulagima: ne, oloda amoga doaga: mu da defea. Be eno dunu da amai hamonanu, e da Goula amola ea fa: no bobogesu dunu amo wadela: lesi dagoi ba: mu. Amo hou, Hina Gode da Mousesema, e da Elia: isama alofele sia: ma: ne sia: i.
ili kuwa ukumbusho kwa wana wa Israeli, ili kwamba asije akatokea mtu toka nje ya uzao wa Haruni akaja kutoa ubani kwa BWANA, ili wasije kuwa kama Kora na kundi lake— kama vile BWANA alivyoamuru kupitia kinywa cha Musa.
41 Eso eno aya amoga, Isala: ili fi dunu huluane da Mousese amola Elane elama egane sia: i, “Alia da Hina Gode Ea fi dunu mogili medole legei.”
Lakini siku iliyofuata asubuhi watu wa Israeli wakamlalamikia Musa na Haruni. Nao walisema, “Umeua watu wa BWANA.”
42 Ilia da Mousese amola Elane elama egane sia: musa: gilisi dagoloba, ilia da Abula Diasu ba: musa: sinidigisia, Mu Mobi Ganumu da Abula Diasu dedeboi amola Hina Gode Esalebe dawa: digima: ne sinenemegi hadigi misi dialebe ba: i.
Kisha ikatokea, wakati watu walipokuwa wamekusanyika kinyume na Musa na Haruni, wakatazama kuielekea hema ya kukutania, na tazama lile wingu lilikuwa likiifunika. Utukufu wa BWANA ukaonekana,
43 Mousese amola Elane da asili, Abula Diasu ea midadi lelu.
Musa na Haruni wakaja mbele ya hema ya kukutania.
44 Amola Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
45 “Masa! Amo dunu yolesima! Na da amogawi wahadafa ili wadela: lesimu!” Mousese amola Elane ela da odagi osoboa beguduli,
“Toka kati ya watu hawa ili niwaangamize haraka.” Musa na Haruni wakalala chini kifudifudi.
46 Mousese da Elanema amane sia: i, “Dia laluoso gasa: le legesu lale, oloda amoga laluoso lale, laluoso gasa: le legesu ganodini ligisili, gabusiga: manoma amo laluoso da: iya salima. Amasea hedolowane Isala: ili dunuma gaguli asili, dodofesu hou ilima hamomu. Hedolo! Hina Gode Ea ougi da heda: le, asi dagoi. Olo bagade da dunu fi ganodini mui dagoi.”
Musa akamwambia Haruni, uchukue chetezo, na utie ndani moto kutoka madhabahuni, tia na uvumba ndani yake, upeleke haraka kwa watu, na ukafanye upatanisho kwao, kwa sababu hasira hii inatoka kwa BWANA. Tauni imeanza.”
47 Elane da Mousese ea sia: nababeba: le, ea laluoso gasa: le legesu lale, Isala: ili dunu gilisisu dogoa amo gusu hehenaiya heda: i. E da olo bagade da mui dagoi ba: beba: le, gabusiga: manoma amo laluoso ligisili, dodofesu hou dunu ili dodofema: ne hamoi dagoi.
Kwa hiyo Haruni akafanya kama alivyoelekezwa na Musa. Akakimbia kati ya watu. na Tauni ilikuwa imeanza kuenea kati ya watu, kwa hiyo akaweka ndani yake uvumba na akafanya upatanisho wa watu.
48 Amo hou da olo bagade madelai amo ea logo hedofai. Amalu, Elane da esala dunu la: idi amola bogoi dunu la: idi amoga dogoa lelebe ba: i.
Haruni akasimama kati kati ya zile maiti na watu hai; na kwa njia hii ile tauni ikazuiwa.
49 Dunu da olo bagadeba: le bogogia: i ilia idi da 14,700. Eno da Goula ea lelesuba: le bogoi ili da gilisili hame idi.
Idadi ya wale waliokuwa wamekufa kwa tauni walikuwa 14, 000, nje na wale waliokufa kutokana na swala la Kora.
50 Olo bagade da hedofai dagoi ba: loba, Elane da Mousese Abula Diasu logo holeiga esaloba amogai buhagi.
Haruni akarudi kwa Musa kwenye lango la hema ya kukutania, na ile tauni ikakoma.

< Idisu 16 >