< Idisu 12 >

1 Mousese da Giusiai soge uda lale esalu. Amaiba: le, Milia: me amola Elane da amoga hahawane hameba: le, egane sia: i.
Miriamu na Aroni walianza kuzungumza dhidi ya Mose kwa sababu ya mke wake Mkushi, kwa kuwa alikuwa ameoa Mkushi.
2 Ela da amane sia: i, “Hina Gode da Mousese ea lafidili fawane sia: bela: ? Hame mabu! E da ania lafidili amola sia: dasu:” Hina Gode da elea egasu sia: nabi.
Waliuliza, “Je, Bwana amesema kupitia Mose peke yake? Je, hajasema kutupitia sisi pia?” Naye Bwana akasikia hili.
3 (Mousese da bodogi dunu esalu, gasa fi hame dawa: i. Ea bodogi hou da osobo bagade dunu eno huluane ilia asaboi hou baligi dagoi.)
(Basi Mose alikuwa mtu mnyenyekevu sana, mnyenyekevu kuliko mtu mwingine yeyote katika uso wa dunia.)
4 Hedolowane, Hina Gode da Mousese, Elane amola Milia: me ilima amane sia: i “Dilia udiana! Gadili misa! Na Abula Diasuga misa!” Ilia da asi.
Ghafula Bwana akawaambia Mose, Aroni na Miriamu, “Njooni katika Hema la Kukutania, ninyi nyote watatu.” Kwa hiyo wote watatu wakaenda.
5 Hina Gode da mu mobi ganumu ganodini gudu sa: ili, Abula Diasu ea logo holeiga lelu, amane wei, “Elane! Milia: me!” Ela da elea midadi aliaguda: i.
Kisha Bwana akashuka katika nguzo ya wingu, akasimama kwenye ingilio la Hema, akawaita Aroni na Miriamu. Wakati wote wawili waliposogea mbele,
6 Hina Gode da amane sia: i, “Na alima sia: be goe nabima! Balofede dunu ilia da dilia gilisisu ganodini esalea, ili da Na ba: ma: ne, Na da ilia esala ba: su ganodini maha amola ilia simasia ganodini ilima sia: sa.
Bwana akasema, “Sikilizeni maneno yangu: “Akiwapo nabii wa Bwana miongoni mwenu, nitajifunua kwake kwa maono, nitanena naye katika ndoto.
7 Be Na da Na hawa: hamosu dunu Mousesema sia: sea, hou hisu da ba: sa. Na da e amo Na Isala: ili fi dunu huluane ouligima: ne ilegei.
Lakini sivyo kwa mtumishi wangu Mose; yeye ni mwaminifu katika nyumba yangu yote.
8 Amaiba: le, Na da ea odagia moloiwane idinamasu agoane mae dawa: le sia: sa. E da Na da: i defele ba: i dagoi. Alia da Na hawa: hamosu dunu ema ha laiwane sia: mu da defea hame!”
Kwake nitanena naye uso kwa uso, waziwazi wala si kwa mafumbo; yeye ataona umbo la Bwana. Kwa nini basi ninyi hamkuogopa kuzungumza kinyume cha mtumishi wangu Mose?”
9 Hina Gode da elama ougi galu. Amaiba: le, E da ahoanoba,
Hasira ya Bwana ikawaka dhidi yao, akawaacha.
10 amola mu ganumu da Abula Diasu fisili, Milia: me ea gadofo da lebolosi oloi madelale, ahea: iai agoane ba: i. Elane da ea dalusi amo lebolosiga dedeboi ba: beba: le,
Wakati hilo wingu liliinuka kutoka juu ya Hema, Miriamu akawa tayari ana ukoma, mweupe kama theluji. Aroni akamgeukia, akaona ana ukoma.
11 e da Mousesema amane sia: i, “Hina! Fidima! Ania da gagaoui agoane wadela: le hamoi. Be ania se bagade nabima: ne, logo mae doasima.
Kisha Aroni akamwambia Mose, “Tafadhali, bwana wangu, usituhesabie dhambi hii ambayo tumeifanya kwa upumbavu.
12 E da liligi bogoiwane lalelegei amo ea hu la: idi dasaidafa ba: sa, agoane ba: mu da defea hame. Dia amo logo hedofama!”
Usimwache awe kama mtoto mchanga aliyezaliwa akiwa mfu, ambaye nusu ya mwili wake imeharibika hapo atokapo katika tumbo la mama yake.”
13 Amaiba: le, Mousese da Hina Godema amane wei, “Gode! E uhinisima!”
Hivyo Mose akamlilia Bwana akisema, “Ee Mungu, nakuomba umponye!”
14 Hina Gode da bu adole i, “Ea ada da ea odagia defo adugagala: i ganiaba, e da ea gogosiasu dawa: ma: ne eso fesuale agoane dialumu. Amaiba: le, e da fisisu gadili eso fesuale esaloma: ne, sefasima. Amalalu, e ganodini oule misunu da defea.”
Bwana akamjibu Mose, “Je, kama baba yake angemtemea usoni, asingeona aibu kwa siku saba? Mfungie nje ya kambi kwa siku saba; baada ya hapo anaweza kurudishwa kambini.”
15 Ilia da Milia: me fisisu gadili oule asili, fisisu logo ga: le fisiagai. E da eso fesuale gadili ouesalu, amalalu ilia da e bu ganodini oule misi. Amalalu, ilia da bu logoga ahoasu.
Kwa hiyo Miriamu akafungiwa nje ya kambi kwa siku saba, nao watu hawakuendelea na safari mpaka aliporudishwa kambini.
16 Ilia da Hasilode soge fisili asili, wadela: i hafoga: i soge ea dio Ba: ila: ne amo ganodini ilia abula fisisu bu hiougi.
Baada ya hayo, watu waliondoka Haserothi, wakapiga kambi katika Jangwa la Parani.

< Idisu 12 >