< Nihemaia 1 >

1 Amo sia: da Nihemaia (Ha: galaia egefe) amo ea hawa: hamosu olelesa. Adasegesisi da Besia soge amoga hina bagade esalu. Ea ouligisu hou ode20 amola oubi ea dio Gisilefe amoga, na, Nihemaia, na da Besia bisili moilai bai bagade amo Susa, amo ganodini esalebe ba: i.
Maneno ya Nehemia mwana wa Hakalia: Katika mwezi wa Kisleu katika mwaka wa ishirini, wakati nilikuwa ngomeni katika jumba la kifalme la Shushani,
2 Na olalali afae amo ea dio Hana: inai, e amola eno dunu gilisili da Yuda soge fisili, nama doaga: i. Na da Yelusaleme moilai bai bagade ea hou, amola ninia Yu fi musa: mugululi asi, Yuda sogega buhagi, amo ilia hou ilima adole ba: i.
Hanani, mmoja wa ndugu zangu, alikuja kutoka Yuda akiwa na watu wengine, nami nikawauliza kuhusu mabaki ya Wayahudi wale walionusurika kwenda uhamishoni na pia kuhusu Yerusalemu.
3 Ilia da amo hou nama adole i. Musa: mugululi asi dunu mogili da bogoi dagoi. Be mogili da buhagili, Yuda soge ganodini esala, da se bagade nabawane esala. Ga fi dunu gadenene esala da Yu dunu amo higale ba: sa, ilia sia: i. Yelusaleme gagoi dobea amo musa: mugululi sa: i dagoi, amo da bu hame gagoi. Amola logo ga: su musa: laluga nei, amo da bu hame ga: si.
Wakaniambia, “Wale walionusurika kwenda uhamishoni, wale ambao wamerudi kwenye lile jimbo, wako katika taabu kubwa na aibu. Ukuta wa Yerusalemu umebomoka, na malango yake yamechomwa moto.”
4 Na da amo sia: nababeba: le, fila sa: ili amola bagadewane dinanu. Eso didia amoga, na da dinanuwane, ha: i mae nawane Godema sia: ne gadolalu.
Niliposikia mambo haya, niliketi, nikalia. Kwa siku kadhaa niliomboleza na kufunga na kuomba mbele za Mungu wa mbinguni.
5 Na da amane sia: ne gadoi, “Hina Gode Hebene ganodini esala! Di da bagadedafa amola ninia Diba: le beda: i bagade. Dia gousa: su, amo Di da Dima asigi amola nabasu dunu amo fidima: ne hamoi, amo Di da mae fisili dawa: lala.
Kisha nikasema: “Ee Bwana, Mungu wa mbinguni, mkuu na mwenye kuogofya, ambaye hulishika agano lake la upendo na wale wampendao na kutii amri zake,
6 Hina Gode! Na hou ba: ma amola na sia: ne gadosu nabima! Na da dia fi dunu amo Isala: ili fi dunu amola uda, na da gasi huluane amola eso huluane amoga ili fidima: ne, Dima sia: ne gadolala. Dafawane! Ninia Isala: ili dunu da wadela: le hamoi dagoi. Na amola na aowalali dunu da wadela: i hou hamoi dagoi.
tega masikio yako, na ufungue macho yako, ili usikie maombi ya mtumishi wako anayoomba mbele yako usiku na mchana kwa ajili ya watumishi wako, watu wa Israeli. Ninaungama dhambi zetu sisi Waisraeli, pamoja na zangu na za nyumba ya baba yangu, tulizotenda dhidi yako.
7 Ninia da Dima wadela: i hou hamosu, amola Dia sia: hame nabasu. Ninia Dia sema amo Di da dia hawa: hamosu dunu Mousese ea lafidili ninima i, amoma hame fa: no bobogesu.
Tumetenda uovu sana mbele zako. Hatukutii amri, maagizo na sheria ulizompa Mose mtumishi wako.
8 Dia da Mousesema sia: i liligi bu dawa: ma, amane, ‘Dilia Isala: ili dunu da Na sia: hame nabasea, Na da dilia fi afagogole, ga fi dunu amo ganodini esaloma: ne sefasimu.
“Kumbuka agizo ulilompa Mose mtumishi wako, ukisema, ‘Kama mkikosa uaminifu, nitawatawanya miongoni mwa mataifa,
9 Be amasea, dilia da Nama, Na dilima hamoma: ne sia: i defele Nama bu sinidigisia, Na da dili soge amoga Nama nodone sia: ne gadomusa: Na da ilegei, amo sogega Na da dili bu oule misunu,’ Di da amane sia: i dagoi.
lakini mkinirudia na kutii amri zangu, ndipo hata kama watu wenu walio uhamishoni wako mbali sana katika miisho ya dunia, nitawakusanya kutoka huko na kuwaleta mahali ambapo nimepachagua kuwa makao kwa ajili ya Jina langu.’
10 Hina Gode! Amo dunu da Dia hawa: hamosu dunu! Ilia da Dia ilegei fi dunu! Di da Dia gasa bagade amoga, amo fi dunu gaga: i dagoi.
“Hawa ni watumishi wako na watu wako, uliowakomboa kwa nguvu zako kuu na mkono wako wenye nguvu.
11 Amaiba: le, na sia: ne gadosu amola Dia hawa: hamosu dunu eno ilia Dima nodomusa: dawa: , ilia sia: ne gadosu amola nabima. Hina bagade da na sia: noga: le nabima: ne, Di da ea dogo ganodini hawa: hamoma!” na amane sia: ne gadoi. Amo esoga na da Besia hina bagade amo ea waini hano iasu dunu esalu.
Ee Bwana, tega sikio lako na usikie maombi ya huyu mtumishi wako, na maombi ya watumishi wako wanaofurahia kuliheshimu Jina lako. Nipe leo, mimi mtumishi wako, mafanikio kwa kunipa kibali mbele ya mtu huyu.” Kwa maana nilikuwa mnyweshaji wa mfalme.

< Nihemaia 1 >