< Nihemaia 9 >

1 Amo oubiga eso 24 amo Isala: ili dunu huluane da ilia wadela: i houba: le da: i dioi olelema: ne, ha: i mae nawane gilisi. Ilia da ga fi dunu amoga afafai dagoi. Ilia da wadela: i eboboi abula idiniginisi amola ilia da: i dioi olelema: ne, osobo gulu ilia dialuma da: iya legesu. Amalalu, ilia da wa: legadole, ilia wadela: i hou amola ilia aowalali ilia wadela: i hou hamoi fofada: i.
Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi ule ule, Waisraeli walikusanyika pamoja, wakifunga na kuvaa nguo za gunia na kujitia mavumbi vichwani mwao.
2
Wale wa uzao wa Israeli walijitenga na wageni wote. Wakasimama mahali pao, na kuungama dhambi zao na uovu wa baba zao.
3 Amo eso ilia da biyaduyale momogili, momogi afae amoga ilia da ilia Hina Gode Ea Sema idibi nabalu. Amalalu, momogi afae eno ganodini ilia da ilia wadela: i hou fofada: nanu. Amola ilia da ilia Hina Godema nodone sia: ne gadosu.
Wakasimama pale walipokuwa, wakasoma kutoka kwenye kile Kitabu cha Sheria ya Bwana Mungu wao kwa muda wa robo siku, na wakatumia robo nyingine kwa kuungama dhambi na kumwabudu Bwana Mungu wao.
4 Lifai dunu amoga leloma: ne, fafai gagui dialebe ba: i. Amoga Yesua, Ba: inai, Ga: demiele, Siebanaia, Banai, Sielibaia, Houda: ia, Siebanaia, amola Bedahaia, amoga lelebe ba: i. Ilia dunu huluane nabima: ne, Hina Godema sia: ne gadosu.
Walawi wafuatao walikuwa wamesimama kwenye ngazi: Yeshua, Bani, Kadmieli, Shebania, Buni, Sherebia, Bani na Kenani. Hawa walimlilia Bwana Mungu wao kwa sauti kubwa.
5 Amalalu, Lifai dunu da dunu huluane Godema nodoma: ne sia: i. Amo Lifai dunu ilia dio da Yesua, Ga: demiele, Ba: inai, Hasiabena: ia, Sielibaia, Houda: ia, Siebanaia amola Bedahaia. Ilia da amane sia: i, “Wa: legadole, dilia Hina Godema mae fisili, eso huluane Ema nodonanoma. Dunu huluanedafa da Ea Dio gaguia gadole, nodonanumu da defea. Be E da Hadigidafaba: le, osobo bagade dunu ilia da Ema nodosu hamomu da defele hame ba: sa.”
Nao Walawi Yeshua, Kadmieli, Bani, Hashabnea, Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia wakasema: “Simameni mkamsifu Bwana Mungu wenu, yeye ambaye ni Mungu tangu milele hata milele. “Libarikiwe jina lake tukufu, litukuzwe juu ya baraka zote na sifa.
6 Amalalu, Isala: ili dunu da Godema amane sia: ne gadoi, “Hina Gode! Di fawane da Godedafa. Di fawane da mu amola gasumuni amo ganodini diala amo hahamoi. Di da osobo bagade amola hano wayabo bagade hahamoi. Di da liligi huluane amoma esalusu i dagoi. Hebene soge ganodini, gasa bagade fi da Dima beguduli, nodone sia: ne gadosa.
Wewe peke yako ndiwe Bwana. Uliziumba mbingu, hata mbingu za mbingu na jeshi lote la mbinguni, dunia na vyote vilivyo ndani yake, na pia bahari na vyote vilivyomo ndani yake. Huvipa vitu vyote uhai, nalo jeshi la mbinguni linakuabudu wewe.
7 Di, Hina Gode, da A: ibala: me ilegei. E da ea moilai Ba: bilone soge amo ganodini esalu. Be Di da e gadili oule asili, ea dio afadenene, A:ibalaha: me dio asuli.
“Wewe ni Bwana Mungu uliyemchagua Abramu na kumtoa kutoka Uru ya Wakaldayo, nawe ukamwita Abrahamu.
8 Dia ba: loba A: ibalaha: me da Dima dafawaneyale dawa: su dunu ba: i. Di da soge ema imunu sia: i. Amo da Ga: ina: ne dunu, Hidaide dunu, A:moulaide dunu, Belesaide dunu, Yebiusaide dunu amola Gegasiaide dunu, amo dunu ilia soge gagui huluane, A:ibalaha: me egaga fi amo ganodini esaloma: ne, ema imunu sia: i. Amola dia imunu sia: i, hamoi dagoi ba: i. Bai Di da mae fisili didili hamosa.
Uliona kuwa moyo wake ni mwaminifu kwako, nawe ukafanya Agano naye kuwapa wazao wake nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wayebusi na Wagirgashi. Umetimiza ahadi yako kwa sababu wewe ni mwenye haki.
9 Ninia aowalali ilia se nabasu Idibidi soge ganodini, amo Di da ba: i dagoi. Amola ilia Maga: me Hano degemusa: fidima: ne wele sia: i, amo Di da nabi dagoi.
“Uliona mateso ya baba zetu huko Misri, ukasikia kilio chao huko Bahari ya Shamu.
10 Di da Idibidi hina bagade, ea fidisu dunu amola ea fi dunu, ilia Dia Isala: ili fi banenesiba: le, amo hou hedofamusa: , gasa bagade musa: hame ba: su dawa: digima: ne olelesu hou hamoi dagoi. Di da Dia fi dunu ilia dio gaguia gadoi, amola Dia Dio da wali eso, gadodafa ba: sa.
Ulituma ishara za miujiza na maajabu dhidi ya Farao, dhidi ya maafisa wake wote na watu wote wa nchi yake, kwa kuwa ulifahamu jinsi Wamisri walivyowafanyia ufidhuli. Ukajifanyia jina linalodumu hadi leo.
11 Di da Dia fi degemusa: , hano wayabo bagade mogili, Dia dunu da hano hafoga: i logoga hahawane asi. Ili medole legemusa: fa: no bobogei dunu da hanoga na dagoi ba: i. Hano gafului amoga igi gela dasu defele, ilia da hanoga gela sa: i dagoi.
Ukagawa bahari mbele yao, ili waweze kupita katikati yake penye nchi kavu, lakini uliwatupa Wamisri waliowafuatilia katika vilindi, kama jiwe kwenye maji mengi.
12 Di da mu mobi agoai mogomogoi amoga esoga ili bisili oule asi. Amola gasi ganodini, Di da lalu sawa: amoga ilia logo hadigisu.
Mchana uliwaongoza kwa nguzo ya wingu, na usiku kwa nguzo ya moto kuwamulikia njia iliyowapasa kuiendea.
13 Sainai Goumia, Di da Hebene fisili, ilima sia: musa: gudu sa: i. Di da sema noga: iwane amola olelesu noga: i, ilima i.
“Ulishuka katika Mlima Sinai, ukanena nao kutoka mbinguni. Uliwapa masharti na sheria zile ambazo ni za kweli na haki, pia amri na maagizo mazuri.
14 Di da, ilia da Dia Sa: bade eso huluane noga: le ouligima: ne, sia: i. Amola, ilima alofele ima: ne, Dia da Dia hawa: hamosu dunu Mousese ema Dia Sema i.
Uliwafahamisha Sabato yako takatifu na ukawapa amri, maagizo na sheria kupitia mtumishi wako Mose.
15 Ilia ha: iba: le, Dia da Hebene soge amoga ha: i manu i, amola ilia hano hanaiba: le, hano dili moma: ne, igi amoga hano dili i. Di da soge amo ilima imunu sia: i, ilia da amo lale, noga: le ouligima: ne sia: i.
Katika njaa yao uliwapa mkate kutoka mbinguni, na katika kiu yao uliwatolea maji kutoka kwenye mwamba. Uliwaambia waingie na kuimiliki nchi ambayo ulikuwa umeapa kuwapa kwa mkono ulioinuliwa.
16 Be ninia aowalali da gasa fiwane heda: le, hame nabasu hou hamosu. Ilia da Dia sia: i nabimu higasu.
“Lakini wao, baba zetu, wakawa na kiburi na shingo ngumu, nao hawakutii maagizo yako.
17 Ilia da hame nabasu. Ilia da Dia gasa bagade fidisu hou gogolei dagoi. Ilia gasa fi hamobeba: le, ilisu da hina dunu amo Idibidi sogega se dabe hawa: hamomusa: gini, ili bisili oule masa: ne ilegei dagoi. Be Di da gogolema: ne olofosu bagade dawa: Di da haha bagade, asigidafa amola hedolo hame ougisa. Amaiba: le, Di da ninia aowalali hame yolesi.
Wakakataa kusikiliza na kushindwa kukumbuka miujiza uliyoifanya miongoni mwao. Wakawa na shingo ngumu, na katika uasi wao wakamchagua kiongozi ili warudi kwenye utumwa wao. Lakini wewe ni Mungu mwenye kusamehe, mwenye neema na mwingi wa huruma, si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa upendo. Kwa hiyo hukuwaacha,
18 Ilia da ogogosu ‘gode’ agoaila liligi gouliga hamoi. Ilia giadofale amo ogogosu ‘gode’ da ili bisili, Idibidi sogega fisili gadili oule asi dagoi, sia: i. Hina Gode! Ilia da Dia dio wadela: lesi dagoi.
hata wakati walijitengenezea sanamu ya ndama ya kusubu na kusema, ‘Huyu ni mungu wenu, aliyewapandisha kutoka nchi ya Misri,’ au walipofanya makufuru makubwa.
19 Be Di da amo dunu wadela: i hafoga: i soge ganodini hame yolesi. Bai Dia hou da asigidafa. Di da mu mobi agoai mogomogoi amola lalu sawa: amola amo liligi hame samogei. Eso amola gasi ganodini, Di da logo ilima noga: le olelesu.
“Kwa sababu ya huruma zako kuu hukuwaacha jangwani. Wakati wa mchana ile nguzo ya wingu haikukoma kuwaongoza katika njia yao, wala nguzo ya moto haikuacha kuwamulikia usiku njia iliyowapasa kuiendea.
20 Dia hahawane hou amoga, di da ilima agoane hamoma: ne adoi. Di da ilima “ma: na” ha: i manu amola hano moma: ne iasu.
Uliwapa Roho wako mwema ili kuwafundisha. Hukuwanyima mana yako vinywani mwao, nawe ukawapa maji kwa ajili ya kiu yao.
21 Ode 40 amoga ilia da wadela: i hafoga: i soge amo ganodini esaloba, Di da ilia hanai liligi defele fidi. Ilia abula da hamedafa abubula ahoasu, amola ilia emo da hame se nabasu amola hame fofasu.
Kwa miaka arobaini uliwatunza jangwani. Hawakukosa chochote, na nguo zao hazikuchakaa wala miguu yao haikuvimba.
22 Dia da logo doasiba: le, ilia da dunu fi bagade amo hasalasi. Ilia Hesiabone soge fi (ilia hina bagade da Saihone galu) amola Ba: isia: ne soge fi (ilia hina bagade da Oge galu) amo hasasali.
“Uliwapa falme na mataifa, ukiwagawia hata mipaka ya mbali. Wakaimiliki nchi ya Sihoni mfalme wa Heshboni, na nchi ya Ogu mfalme wa Bashani.
23 Di da ilima mano amo ilia idi da gasumuni mu amo ganodini aligi ilia idi defele ba: i, amo ilima i. Dia fidibiba: le, ilia da soge amo Di da ilia aowalali ilima imunu ilegele sia: i, amo ilia da hasalali, ganodini gesowale fi.
Uliwafanya wana wao kuwa wengi kama nyota za angani, nawe ukawaleta katika nchi ambayo uliwaambia baba zao kuingia na kuimiliki.
24 Ilia da Ga: ina: ne soge fi ili amo hasasali. Di da ilima gasa iabeba: le, ilia da ilia hanaiga, Ga: ina: ne dunu amola ilia hina bagade amoga hamosu.
Wana wao wakaingia na kuimiliki nchi. Uliwatiisha Wakanaani mbele yao, walioishi katika nchi, ukawatia Wakanaani mikononi mwao, pamoja na wafalme wao na watu wa nchi, wawafanyie kama wapendavyo.
25 Hina Gode! Dia fi dunu da gasa bagade gagili sali moilai amo lai dagoi. Ilia da osobo noga: idafa, diasu amo ganodini liligi noga: idafa ba: i, hano uli dogoi, olife ifa, ha: i manu ifa amola waini sagai amo bagohame lai. Ilia da ilia hanaiga ha: i nanu, ilia da: i da bagade alele, Dia iasu liligi noga: idafa ilia da hahawane lai.
Wakateka miji yenye ngome na nchi yenye rutuba, wakamiliki nyumba zilizojazwa na vitu vizuri vya kila aina, visima vilivyochimbwa tayari, mashamba ya mizabibu, mashamba ya mizeituni na miti yenye matunda kwa wingi. Wakala, wakashiba nao wakanawiri sana, wakajifurahisha katika wema wako mwingi.
26 Be Dia fi da sinidigili, Dia sia: hame nabasu. Ilia da Dia sema amo baligifa: su. Ilia da ilima sisasu olelesu dunu (balofede dunu) amo da ilia Dima sinidigili bu fa: no bobogema: ne sia: i, amo ilia da medole legesu. Eso bagohame amoga ilia da Dia Dio wadela: lesi.
“Lakini hawakukutii nao wakaasi dhidi yako, wakatupa sheria zako nyuma yao. Wakawaua manabii wako, waliowaonya ili wakurudie, na wakafanya makufuru makubwa.
27 Amaiba: le, ilima ha lai da ilima hasalasima: ne, Di da logo doasi dagoi. Amogawi, ilia da se bagade nababeba: le, Dima fidima: ne wele sia: su. Dia da asigiba: le, ouligisu dunu ilima asunasi. Amo ouligisu dunu ilia da Dia fi ilima ha lai dunu ilima gaga: i dagoi.
Hivyo ukawatia mikononi mwa adui zao, ambao waliwatesa. Lakini walipoteswa, wakakulilia wewe. Kutoka mbinguni uliwasikia, nawe kwa huruma zako kuu ukawapa waokozi, waliowaokoa kutoka mikononi mwa adui zao.
28 Be olofosu da bu doaga: loba, ilia da bu eno wadela: le hamoi. Amalalu, Di da ilima ha lai dunu amo ilima hasalasima: ne, Di da logo bu doasi. Be ilia da bu Gode Dima sinidigiloba, Di da Hebene ganodini ilia wele sia: su nabalu, Di da bagadewane asigiba: le, eso bagohame amoga Dia fi dunu bu gaga: i.
“Lakini mara walipokuwa na raha, wakafanya maovu tena machoni pako. Kisha ukawaacha mikononi mwa adui zao, nao wakawatawala. Walipokulilia tena, ukasikia kutoka mbinguni, na kwa huruma zako ukawaokoa kila mara.
29 Ilia da Dia olelesu amoma noga: le fa: no bobogema: ne, Di da ilima sisasu olelei. Dia sema amo da esalusu logo olelesa. Be ilia da gasa fili, Dia Sema hamedafa nabasu.
“Ukawaonya warudi katika sheria yako, lakini wakawa na kiburi na hawakutii amri zako. Wakatenda dhambi dhidi ya maagizo yako ambayo kwayo mtu ataishi kama akiyatii. Kwa ukaidi wakakugeuzia kisogo, wakawa na shingo ngumu na wakakataa kusikiliza.
30 Ode bagohame, Di da ili sinidigima: ne gebewane sia: su, amola Dia balofede dunu ilima sia: ma: ne asunasisu. Be ilia da ge ga: i agoai galusu. Amaiba: le, Di da eno fi ilima hasalimusa: yolesi.
Kwa miaka mingi ulikuwa mvumilivu kwao. Kwa njia ya Roho wako ukawaonya kupitia manabii wako. Hata hivyo hawakujali, basi ukawatia mikononi mwa mataifa jirani.
31 Be Dia asigidafa hou da bagadedafa. Amaiba: le, Di da amo dunu hame yolesi, amola hame wadela: lesi. Di da hahawane amola Asigidafa hou ea bai esala.
Lakini kwa rehema zako kuu hukuwakomesha wala kuwaacha, kwa kuwa wewe ni Mungu mwenye neema na rehema.
32 “Gode! Ninia Gode! Di da gasa bagadedafa! Dia gasa bagade hou ba: beba: le, dunu huluane da Diba: le beda: be. Di da mae fisili, Dia Gousa: su hou defele hamonana. Asilia hina bagade da ninima hasalasili, amo ganini waha, amo eso huluane amoga ninia da se bagade nabasu. Ninia ouligisu hina dunu, ouligisu dunu, gobele salasu dunu, balofede dunu amola dunu huluane da se nabawane hahanisu. Amo Di mae gogolema.
“Basi sasa, Ee Mungu wetu, uliye mkuu, mwenye nguvu na Mungu wa kuogofya, mwenye kushika agano lake la upendo, usiache taabu hizi zote zionekane kuwa kitu kidogo mbele za macho yako, taabu hizi zilizotupata, juu ya wafalme wetu na viongozi, juu ya makuhani wetu na manabii, juu ya baba zetu na watu wako wote, tangu siku za wafalme wa Ashuru hadi leo.
33 Di da ninima se dabe iasu da moloidafa. Ninia da wadela: i hou bagade hamosu. Be Dia moloidafa hou, Di da hame yolesi.
Katika hayo yote yaliyotupata, umekuwa mwenye haki, na umetenda kwa uaminifu, wakati sisi tumetenda mabaya.
34 Ninia aowalali, hina bagade, fi ouligisu dunu amola gobele salasu dunu, amo da Dia sema amoma hame fa: no bobogesu. Ilia da Dia hamoma: ne sia: i amola Dia sisasu hamedafa nabasu.
Wafalme wetu, viongozi wetu, makuhani wetu na baba zetu hawakufuata sheria yako. Hawakuzingatia amri zako wala maonyo uliyowapa.
35 Dia da hahawane fidibiba: le, Di da Dia fi dunuma soge bagade noga: idafa ilima i. Amola ilia da amo ganodini hahawane esalu. Amola, hina bagade da ili ouligisu. Be ilia da wadela: i hou fisili, Dima hawa: hamomu, amo hame hamosu.
Hata walipokuwa wangali katika ufalme wao, wakiufurahia wema wako mkuu katika nchi kubwa na yenye rutuba uliyowapa, hawakukutumikia wala kugeuka kutoka njia zao mbaya.
36 Amaiba: le, ninia da wali udigili se dabe hawa: hamosu dunu agoai, soge Di da musa: ninima i, amola amoga ninia ha: i manu faisa, amo soge ganodini esala.
“Lakini tazama, sisi ni watumwa leo, watumwa katika nchi uliyowapa baba zetu ili wapate kula matunda yake na vitu vingine vizuri inayozalisha.
37 Ninia da wadela: le hamoiba: le, eno fi hina bagade da nini ouligima: ne, Di da logo doasi. Wali ninia soge ganodini ha: i manu heda: le legeiya, huluane da ilima fawane iaha. Amola amo hina bagade da ilia hanaiga ninima amola ninia ohe ilima hamosa. Ninia da se bagade naba.”
Kwa sababu ya dhambi zetu, mavuno yake mengi huenda kwa wafalme uliowaweka watutawale. Wanatawala juu ya miili yetu na mifugo yetu kama wapendavyo. Tuko katika dhiki kuu.
38 “Amo hou huluane da doaga: beba: le, ninia, Isala: ili dunu huluane, da amo sia: dedei hahamosa. Ninia ouligisu dunu, Lifai dunu amola gobele salasu dunu, amo da ilia dio dedene, amo sia: gobele salasu legei amoga ilegesa.”
“Kwa sababu ya haya yote, tunajifunga katika mapatano, na kuyaandika, nao viongozi wetu, Walawi wetu na makuhani wetu wanatia mihuri yao.”

< Nihemaia 9 >