< Nihemaia 6 >

1 Sa: naba: la: de, Doubaia, Giseme amola eno ninima ha lai dunu ilia nabi da moilai gagoi da gagole dagoi amola gelabo afae hamedafa gala. Be ninia logo ga: su amo logo holeiga hame sagai.
Habari zilipofika kwa Sanbalati, Tobia, Geshemu Mwarabu, na adui zetu wengine kwamba nimejenga tena ukuta na hakuna nafasi iliyobakia ndani mwake, ingawa mpaka wakati huo sikuwa nimeweka milango kwenye malango,
2 Amaiba: le, Sa: naba: la: de amola Giseme ela da nama sia: adole iasi. Amo da na da ela amola sia: sa: imusa: , ilia moilai afae Ounou Umi ganodini dialu amoga misa: ne sia: i. Be ilia da na fane legemusa: ogogole misa: ne sia: i.
Sanbalati na Geshemu wakanitumia ujumbe huu: “Njoo, tukutane katika mojawapo ya vijiji katika nchi tambarare ya Ono.” Lakini walikuwa wakikusudia kunidhuru.
3 Na da ilima sia: alofele ia ahoasu dunu asunasili, ilima amane sia: i, “Na da hawa: hamosu bagadedafa hamonana. Na da dia sogega gudu sa: imu da hamedei. Na da dilima misa: ne, hawa: hamosu fisimu da noga: i hame galebe,” na sia: i.
Kwa hiyo niliwatuma wajumbe kwao na majibu haya: “Kazi ninayoifanya ni kubwa sana, siwezi kuja. Kwa nini niiache kazi isimame nije kwenu?”
4 Ilia da amo sia: eso biyaduyale agoane adole guda: beba: le, na da ilima na musa: sia: i defele adole ia gudui.
Mara nne walinitumia ujumbe wa namna iyo hiyo, na kila mara niliwapa jibu lile lile.
5 Amalalu, Sa: naba: la: de da ea sia: biyale amo nama adosi. Amo sia: da meloa dedei, gobele legesu amoga hame ga: su. Ea hawa: hamosu dunu afae da amo meloa dedei nama gaguli misi.
Basi, mara ya tano, Sanbalati akamtuma msaidizi wake kwangu akiwa na ujumbe wa aina ile ile, naye alikuwa amechukua mkononi mwake barua isiyofungwa,
6 Sia: dedei da agoane ba: i, “Na da Sa: naba: la: de. Giseme da nama adoi amo na: iyado dunu fi da di amola Yu fi dunu da Besia eagene amo fisimusa: dawa: sa, amola di fawane da eagene ouligisu dunu aligimusa: dawa: , na: iyado dunu fi da amane sia: daha.
iliyokuwa imeandikwa: “Habari imeenezwa miongoni mwa mataifa, naye Geshemu anasema kwamba ni kweli, kuwa wewe na Wayahudi mnafanya hila ya kuasi, ndiyo sababu mnajenga ukuta. Zaidi ya hayo, kufuatana na taarifa hizi, karibuni utakuwa mfalme wao,
7 Ilia eno sia: daha amane, di da balofede (Gode Sia: alofesu dunu) ilima ilia da Yelusaleme moilai amo ganodini di da Yuda hina bagade hamoi dagoi, amo sia: ma: ne sia: i. Besia hina bagade da amo sia: nabimu. Amaiba: le, di amola na da amo sia: sa: imusa: , gilisimu da defea,” e amane dedei.
na hata umewateua manabii wafanye tangazo hili kukuhusu wewe huko Yerusalemu: ‘Yuko mfalme katika Yuda!’ Sasa taarifa hii itarudishwa kwa mfalme. Basi njoo, tufanye shauri pamoja.”
8 Na da ema bu dedene i, amane, “Sia: dia meloa dedene i amo huluane da ogogosa. Amo sia: da di fawane lafia lale sia: i galebe.”
Nilimpelekea jibu hili: “Hakuna jambo kama hilo unalosema linalofanyika. Unalitunga tu kwenye kichwa chako.”
9 Ilia da nini beda: ma: ne, amola hawa: hamosu yolema: ne, amo hou hamoi. Be na Godema sia: ne gadobeba: le, Gode da nama gasa i.
Wote walikuwa wakijaribu kutuogopesha, wakifikiri hivi: “Mikono ya watu italegea kiasi kwamba hawataweza kufanya kazi, nayo haitakamilika.” Lakini niliomba, “Ee Mungu, sasa nitie mikono yangu nguvu.”
10 Amo esoga, na da Siema: iya (Dila: iya egefe amola Mehedabele ea aowa) amo ba: musa: asi. Bai e da ea diasu fisili gadili masunu da hamedei galu. E da nama amane sia: i, “Di amola na ania da Hadigi Malei Sesei amo Debolo diasu ganodini heda: le, logo ga: sili wamoaligimu. Bai dilima ha lai da di fane legemusa: , udigili gasia misini fane legemu.”
Siku moja nilikwenda nyumbani kwa Shemaya mwana wa Delaya, mwana wa Mehetabeli, ambaye alikuwa amefungwa ndani ya nyumba yake. Akasema, “Tukutane katika nyumba ya Mungu, ndani ya Hekalu, na tufunge milango ya Hekalu, kwa sababu watu wanakuja kukuua. Naam, wanakuja usiku kukuua.”
11 Na da ema bu adole i, “Na da dunu amo da hobeale, wamoaligisa, agoai dunu hame. Na mae medole legema: ne amola na esalusu mae fisima: ne, na da Debolo diasua wamo aligima: ne dawa: bela: , dia da na wamo aligima: beale dawa: bela: ? Hame mabu! Na da amane hame hamomu!”
Lakini nikasema, “Je, mtu kama mimi akimbie? Au mtu kama mimi aende Hekaluni kuokoa maisha yake? Sitakwenda!”
12 Amo sia: na da bu dadawa: loba, na amane dawa: i. Gode da Siema: iyama hame adoi. Be Doubaia amola Sa: naba: la: de ela da amo sia: adoma: ne ema muni i.
Nilitambua kwamba Mungu hakumtuma, bali alitabiri dhidi yangu kwa sababu Tobia na Sanbalati walikuwa wamemwajiri.
13 Ilia da na amo sia: nabaloba, beda: iba: le wadela: i hamomu, ilia da dawa: i galu. Amola na dio wadela: lesi dagoi ba: mu, amola na da bagadewane gogosiamu, ilia dawa: i galu.
Alikuwa ameajiriwa kunitisha ili kwa kufanya jambo hili nitende dhambi, kisha waweze kuniharibia jina langu na kuniaibisha.
14 Na da Godema sia: ne gadoi, amane, “Gode dawa: ma! Doubaia amola Sa: naba: la: de elea hou dawa: le, elama se dabe bagade ima. Amola uda Nouadaia amola ogogosu balofede dunu eno da na beda: ma: ne hamoi, amo huluane ilima se dabe bagade ima,” na amane sia: ne gadoi.
Ee Mungu wangu, wakumbuke Tobia na Sanbalati kwa sababu ya yale waliyotenda. Pia kumbuka nabii mke Noadia na manabii wengine ambao wamekuwa wakijaribu kunitisha.
15 Ninia da eso 52 amoga hawa: hamonanu, musa: mugului gagoi da bu gagoi dagoi ba: i. Dagosu eso da eso 25 amo oubi ea dio Eloule amoga ba: i.
Basi ukuta ukakamilika siku ya ishirini na tano mwezi wa Eluli, kazi ambayo ilichukua siku hamsini na mbili.
16 Amola ninia ha lai dunu, na: iyado gadenene ga fi amo ganodini esalu, ilia amo sia: naba: beba: le gogosia: i. Bai dunu huluane, Gode da amo gagoi hawa: hamosu fidibiba: le dagoi, dunu hulu da dawa: i galu.
Adui zetu wote waliposikia kuhusu hili, mataifa yote yaliyotuzunguka yakaogopa na kupoteza ujasiri, kwa sababu yalitambua kuwa kazi hii imefanyika kwa msaada wa Mungu wetu.
17 Be hawa: hamosu eso huluane amoga, Yu ouligisu dunu mogili da Doubaiama meloa dedene iasu.
Pia katika siku hizo wakuu wa Yuda walikuwa wakituma barua nyingi kwa Tobia, nayo majibu yaliyotoka kwa Tobia yaliendelea kuwajia.
18 Dunu bagohame Yuda soge ganodini da Doubaia fuligala: su. Bai esoa: amo Sieganaia (A: ila egefe) da Yu dunudafa. Amola bai eno da Doubaia egefe Youha: ina: ne da Misiala: me (Belegaia egefe) amo ea idiwi lai dagoi.
Kwa kuwa watu wengi katika Yuda walikuwa wamemwapia Tobia, kwani alikuwa mkwewe Shekania mwana wa Ara, na Yehohanani mwanawe alikuwa amemwoa binti wa Meshulamu mwana wa Berekia.
19 Dunu mogili da na nabima: ne, Doubaia ea fidisu hou ida: iwane hamobe, sia: dalu. Amola na sia: i liligi huluane, ilia da ema bu sia: su. Amola, e da na beda: ma: ne, eso huluane nama dedene iasu.
Zaidi ya hayo, walikuwa wakiniarifu jinsi Tobia alivyo mtu mwema, nao walimwambia kila kitu nilichosema. Naye Tobia alituma barua za kunitisha.

< Nihemaia 6 >