< Na:ihame 1 >

1 Balofede dunu (Gode Sia: Alofesu dunu) Na: ihame, ea simasia Gode Ea olelei amo ba: i. Goe sia: dedei amo da Ninefe osobo dogone fi ilima sia: sa. Na: ihame da Elegose osobo dogone fi dunu.
Maono kuhusu Ninawi. Kitabu cha maono ya Nahumu, Mwelkoshi.
2 Hina Gode da bagadedafa, amola E da eno dunu o liligi ea sogebi lamu hamedei ba: sa. Nowa da Ema gegesea, E da ilima se iaha. E da ougiba: le ilima dabe iaha.
Yehova ni Mungu mwenye wivu na analipa kisasi; Yehova hulipa kisasi na amejaa ghadhabu; Yohova analipiza kisasi kwa adui zake, na huiendeleza hasira yake kwa adui zake.
3 Hina Gode da hedolodafa hame ougisa, be E da gasa bagadedafa amola Ea da wadela: i hamosu dunuma dafawane se imunu. Hina Gode E habi ahoasea, isu maha amola mu mobi huluane da Ea emoga osa: gi dou heda: be agoai hamosa.
Yehova ni mwenye nguvu nyingi na mpole wa hasira; hatakuwa na namna ya kuacha kuwahesabia hatia adui zake. Yehova hufanya njia yake kwenye upepo wa kisulisuli na dhoruba, na mawingu ni mavumbi ya miguu yake.
4 Be Hina Gode Ea sali hano wayabo bagade amoma hale dagoma: ne sia: sea da, amo da hamu amola hano huluane hama: ya Ea sia: sea da hano huluane da hale dagoi ba: mu. Ba: isia: ne ohe fofole nasu soge gisi huluane da biogia: sa. Amola Gamele Goumia, ifa amola gisi da bioiba: le, bunumai ba: sa. Amola Lebanone sogega, mosoi falegai huluane da Ea sia: sea biogia: mu.
Huikemea bahari na kuifanya ikauke; hukausha mito yote. Bashani ni dhaifu, na Karmeli pia; maua ya Lebanoni ni dhaifu.
5 Hina Gode da mabeba: le, goumi huluane da ugugusa amola agolo daea: i agoai ba: sa. Be Hina Gode E masea, osobo da ugugumu amola dunu fi huluane da fofogomu.
Milima hutetema kwenye uwepo wake, na vilima huyeyuka; dunia huanguka mbele zake, kabisa, dunia na watu wote wanaoishi ndani yake.
6 Ea ougisia da nowa da hahawane esaloma: bela: ? Amola nowa da wadela: lesima: bela: ? Hamedafa! Ea da Ea ougi amo lalu sawa: defele sogadigisa, amola igi huluane da gagoudane osobo dou agoai ba: sa.
Ni nani anaweza kusimama mbele ya ghadhabu yake? Nani anaweza kuzuia ukali wa hasira yake? Ghadhabu yake imemwagwa kama moto, na miamba ameibomoa mbalimbali.
7 Hina Gode Ea hou da noga: idafa. E da bidi hamosu eso amoga Ea fi dunu gaga: sa. Nowa dunu da Ema sinidigisia, E da noga: le gagagulasa.
Yehova ni mwema, boma katika siku ya taabu; na yeye ni mwaminifu kwa wale wanaomkimbilia.
8 Ema ha lai dunu E da hano bagade gafululi fugala: i agoane ili dafawane gugunufisa. Amola bogosu hou iaha, nowa dunu da Ea hou fa: no hame bobogesea.
Lakini atafanya mwisho wa adui zake kwa mafuriko ya kutisha; atawawinda kwenye giza.
9 Dilia da abuliba: le halale Hina Godema ilegesala: ? E da dili gugunufinisimu. Dunu da afae fawane Ema gegesea, bu gegemu da hamedeiwane ba: mu.
Watu wanapanga nini dhidi ya Yehova? Yeye atakomesha; taabu haitainuka mara ya pili.
10 Amola dili adini nabe dunu dili da bibione gagui aya: gaga: nomei amola samaso bioi ulagisi nebe agoai ba: mu.
Maana watakuwa wamevurugika kama michongoma; wataloweshwa katika kinywaji chao mwenyewe; wataharibiwa kabisa kwa moto kama mashina ya mabua.
11 Dunu afae da Ninefe moilai bai bagadega misini, Hina Godema wadela: le hamomusa: ilegelalu.
Mtu mmoja aliinuka miongoni mwenu, Ninawi, aliyepanga ubaya dhidi ya Yehova, mtu ambaye aliimarisha uovu.
12 Be Hina Gode da Ea dunu Isala: ili fi ilima agoane sia: sa, “Defea! Asilia ili da nimi bagade fi dunu, be amomane, ili da wadela: lesimu amola hamedafa ba: mu. Na dunu! Na da dili se nabalesi be Na agoane da bu hamedafa hamomu.
Hivi ndivyo anavyosema Yehova, “Hata kama wananguvu zao timilifu na idadi timilifu, hata hivyo watanyolewa, watu wao hawatakuwepo tena. Bali wewe, Yuda: Ingawa nimekutesa, sitakutesa tena.
13 Asilia ilia dili gasa bagade ouligi galu, be waha ilia gasa da Na osa: le heda: mu amola ilia da dilima bu hame se imunu.
Sasa nitaivunja ile nira ya watu kutoka kwako; nitaikata minyororo yako.
14 Hina Gode Ea Asilia fi ilima gasa bagade hou hamomusa: ilegei dagoi. E da agoane sia: sa, “Ilia egaga fi dunu da hame fifi ahoanumu. Na da loboga hahamoi ‘gode’ nodone sia: ne gadosu diasua dialebe, amo mugulumu. Na da Asilia dunu ili dogone salimu uli momagelala. Ilia da wadela: i hou bagadedafa hamobeba: le, bu esalumu da noga: i hame.”
Yehova ametoa amri juu yako, Ninawi: “Hakutakuwa na kizazi tena chenye kubeba jina lako. Nitazizuia sanamu zilizochongwa na kuziondoa sanamu za chuma kutoka kwenye nyumba za miungu yenu. Nitachimba makaburi yenu, kwa kudharauliwa kwenu.”
15 Ba: ma! Dunu afae da goumi dabua gadodili aligila heda: le Gode Ea Sia: Ida: iwane gala olelesa manebe! E da misini, hasalasu hou da doaga: i dagoi sisia: mu. Amaiba: le Yuda dunu fi huluane! Lolo manusa: gilisima! Godema sia: ne gadolaloma, amola liligi dilia Ema imunusa: sia: i amo Ema ima. Amola wadela: i hou hamosu dunu da dilia soge ganodini bu hame golili sa: imu. Bai Gode da amo huluane dafawane gugunufinisi dagoi.
Tazama, juu ya milima kuna miguu ya mtu aletaye habari njema, anayetangaza amani! Sherehekeeni sikukuu zenu, Yuda, na tunzeni nadhiri zenu, kwa maana mwovu hatawavamia tena; ameondolewa kabisa.

< Na:ihame 1 >