< Maiga 5 >
1 Yelusaleme fi dunu dilia! Dadi gagui dunu gagadoma! Ninima ha lai dunu da nini sisiga: le doagala: musa: eale disi! Ilia da Isala: ili bisilua dunu ema doagala: sa.
Panga majeshi yako, ee mji wa majeshi, kwa kuwa kuzingirwa kumepangwa dhidi yetu. Watampiga mtawala wa Israeli shavuni kwa fimbo.
2 Hina Gode da amane sia: sa, “Bedeleheme Efala: da moilai! Di da Yuda soge ganodini moilai fonobahadidafa gala. Be dilia fi amo ganodini, Na da Isala: ili fi ouligima: ne Hina Bagade dunu oule misunu. Egaga fifi misi da hemonegadafa mui.”
“Lakini wewe, Bethlehemu Efrathi, ingawa u mdogo miongoni mwa koo za Yuda, kutoka kwako atatokea kwa ajili yangu yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli, ambaye asili yake ni kutoka zamani, kutoka milele.”
3 Amaiba: le, Hina Gode da Ea fi dunu amo ilia ha lai dunu ilima osa: le heda: ma: ne yolesi dialeawane, uda da ea Dunu Mano lalelegemu. Amasea, Isala: ili dunu mugululi asi da ilia fidafa amoga bu gilisi dagoi ba: mu.
Kwa hiyo Israeli utaachwa mpaka wakati mwanamke aliye na utungu atakapozaa na ndugu zake wengine warudi kujiunga na Waisraeli.
4 E da masea, E da Hina Gode Ea gasa amola Ea Hadigidafa amoga Ea fi dunu ouligimu. Ea fi dunu ilia da gaga: iwane esalumu. Bai osobo bagade fifi asi gala huluane da Ea gasa bagade amola Ea Hadigi dawa: digimu.
Atasimama na kulichunga kundi lake katika nguvu ya Bwana, katika utukufu wa jina la Bwana Mungu wake. Nao wataishi kwa usalama, kwa kuwa wakati huo ukuu wake utaenea hadi miisho ya dunia.
5 Amola E da olofosu gaguli misunu. Asilia dunu da ninia soge doagala: musa: golili dasea, amola ninia gaga: le aligi amo fili masea, ninia da ninia gasa bagade dadi gagui ouligisu dunu ilima gegema: ne asunasimu.
Naye atakuwa amani yao. Wakati Mwashuru atakapovamia nchi yetu na kupita katika ngome zetu, tutawainua wachungaji saba dhidi yake, hata viongozi wanane wa watu.
6 Isala: ili gasa bagade dadi gagui dunu ilia da Asilia (Nimolode ea soge) amoga doagala: le, ili hasalasimu. Amalu, Asilia fi dunu ilia ninima doagala: musa: ninia alalo amo giadofale masea, amo Isala: ili gasa bagade gegesu dunu ilia da nini gaga: mu.
Wataitawala nchi ya Ashuru kwa upanga, nchi ya Nimrodi kwa upanga. Atatuokoa kutoka kwa Mwashuru atakapoivamia nchi yetu na kuingia katika mipaka yetu.
7 Isala: ili fi dunu gegesu ganodini hame bogoi esalebe, ilia da oubi baea amo da Hina Gode Ea fifi asi gala amo iligili nasegagima: ne iaha, amola gibu amo da ifalobo heda: ma: ne dabe agoai ba: mu. Ilia da dunu eno ilia fidisu mae dawa: le, Gode Ea fidisu amo fawane dawa: mu.
Mabaki ya Yakobo yatakuwa katikati ya mataifa mengi kama umande kutoka kwa Bwana, kama manyunyu juu ya majani, ambayo hayamngoji mtu wala kukawia kwa mwanadamu.
8 Fifi asi gala amo ganodini hame bogoi esalebe dunu, ilia da laione wa: me sogeba: le ha: i manu hohogola lalebe agoai ba: mu. Amo laione wa: me da sibi wa: i amo ganodini sa: ili, ilima doagala: le, ilia da: i dadega: le, fofonobone sala. Sibi hobeale masunu logo da hame ba: sa.
Mabaki ya Yakobo yatakuwa miongoni mwa mataifa, katikati ya mataifa mengi, kama simba miongoni mwa wanyama wa msituni, kama mwana simba miongoni mwa makundi ya kondoo, ambaye anaumiza vibaya na kuwararua kila anapopita katikati yao, wala hakuna awezaye kuokoa.
9 Isala: ili fi da ilima ha lai huluanedafa hasalasimu amola ili huluane gugunufinisimu.
Mkono wako utainuliwa juu kwa ushindi juu ya watesi wako, nao adui zako wote wataangamizwa.
10 Hina Gode da amane sia: sa, “Amo esoga, Na da dilia hosi sasamogene, dilia sa: liode amo wadela: lesisimu.
“Katika siku ile,” asema Bwana, “nitaangamiza farasi zenu katikati yenu na kubomoa magari yenu ya vita.
11 Na dilia soge ganodini moilai bai bagade huluane mugululi fasimu. Amola, gaga: le gagoi liligi amo huluane dusa: le fasimu.
Nitaiangamiza miji ya nchi yenu na kuziangusha chini ngome zenu zote.
12 Na da dilia gabi amoga dilia wadela: le hamonanebe, amo wadela: lesili, dilima fa: no misunu hou adolalusu dunu da bu hame ba: mu.
Nitaangamiza uchawi wenu na hamtapiga tena ramli.
13 Na da dilia loboga hamoi ogogosu ‘gode’ amola sema gele mogomogoi amo wadela: lesimu. Dilia da bu dilia loboga hamoi liligi amoma hame nodone sia: ne gadomu.
Nitaangamiza vinyago vyenu vya kuchonga na mawe yenu ya ibada yatoke katikati yenu; hamtasujudia tena kazi ya mikono yenu.
14 Na ogogosu uda ‘gode’ Asila e agoaila dilia soge ganodini dialebe, amola dilia moilai bai bagade huluane amo mugululi sasalimu.
Nitangʼoa nguzo za Ashera katikati yenu na kubomoa miji yenu.
15 Na da ougi bagadeba: le, Na da fifi asi gala huluane amo da Na sia: hame nabi, ilima dabe imunu galebe.”
Nitalipiza kisasi kwa hasira na ghadhabu juu ya mataifa ambayo hayajanitii.”