< Ma:diu 2 >

1 Yesu E da Bedeleheme moilaiga Yudia soge ganodini lalelegeloba, hina bagade Helode da Yuda dunu ilia Gamane ouligisu dunu esalu. Bagade dawa: su dunu, gusu soge sedagaga misini, Yelusaleme moilai bai bagadega doaga: i.
Baada ya Yesu kuzaliwa katika mji wa Bethlehemu huko Uyahudi, wakati wa utawala wa Mfalme Herode, wataalamu wa mambo ya nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu
2 Ilia da amane sia: i, “Yu dunu Hina Bagade lalelegei da habila: ? Ninia da eso maba gusudili muagado Ea gasumuni lelebe ba: beba: le, Ema nodone sia: musa: misi.”
wakiuliza, “Yuko wapi huyo aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tumeona nyota yake ikitokea mashariki, nasi tumekuja kumwabudu.”
3 Amo sia: nababeba: le, Helode da mi hanai galu. Yelusaleme dunu huluane ilia da fofogadigi.
Mfalme Herode aliposikia jambo hili aliingiwa na hofu sana pamoja na watu wote wa Yerusalemu.
4 Helode da gobele salasu dunu amola sema olelesu dunu huluane gilisili, ilima amane adole ba: i., “Mesaia Ea lalelegemu soge da habila?”
Herode akawaita pamoja viongozi wa makuhani na walimu wa sheria, akawauliza ni mahali gani ambapo Kristo angezaliwa.
5 Ilia da ema bu adole i, “E da Bedeleheme moilaiga, Yudia soge ganodini lalelegemu. Balofede dunu da Gode Sia: Dedei Buga ganodini agoane dedei diala.
Nao wakamwambia, “Katika Bethlehemu ya Uyahudi, kwa maana hivyo ndivyo ilivyoandikwa na nabii:
6 ‘Bedeleheme moilai Yuda soge ganodini da moilai fonobahadi hame. Amo moilaiga Ouligisu Dunu da misunu galebe. E da Gode Ea fi (Isala: ili) ilima Logodafa olelemu,’”
“‘Nawe, Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, wewe si mdogo miongoni mwa watawala wa Yuda; kwa maana kutoka kwako atakuja mtawala atakayekuwa mchungaji wa watu wangu Israeli.’”
7 Amaiba: le, Helode da wamowane bagade dawa: su dunuma gasumuni gaheabolo ea heda: i eso hogoi helei.
Ndipo Herode akawaita wale wataalamu wa nyota kwa siri na kutaka kujua kutoka kwao uhakika kamili wa wakati ile nyota ilionekana.
8 E da ili Bedeleheme moilaiga asunasi. E amane sia: i, “Mano lalelegei amo ba: sea, nama bu adodola misa. Na amola da Ema nodone sia: mu.”
Kisha akawatuma waende Bethlehemu akiwaambia, “Nendeni mkamtafute kwa bidii huyo mtoto. Nanyi mara mtakapomwona, mniletee habari ili na mimi niweze kwenda kumwabudu.”
9 Ilia da Helode ea sia: nabalu, asili, gasumuni amo ilia da musa: gusudili sogega ba: i, amo ilima bisili asili, mano ea dialebe diasu gadodili mu da: iya lelebe ba: i.
Baada ya kumsikia mfalme, wale wataalamu wa nyota wakaenda zao, nayo ile nyota waliyoiona mashariki ikawatangulia, nao wakaifuata mpaka iliposimama mahali pale alipokuwa mtoto.
10 Ilia da gasumuni ba: beba: le, hahawane bagade ba: i.
Walipoiona ile nyota wakajawa na furaha kubwa mno.
11 Ilia da diasu ganodini golili sa: ili, mano amola eme Meli ba: i. Ilia da osoba muguni bugili, nodone sia: ne gadoi. Amalalu, ilia da liligi ida: iwane Ema i, amo da gouli, fala: gise amola me.
Walipoingia ndani ya ile nyumba, wakamwona mtoto pamoja na Maria mama yake, wakamsujudu na kumwabudu yule mtoto Yesu. Ndipo wakafungua hazina zao, wakamtolea zawadi za dhahabu, uvumba na manemane.
12 Ilia simasia, Gode da Helodema bu mae masa: ne ilima sia: i. Amaiba: le, ilia da logo enoga asili, ilila: sogega doaga: i.
Nao wakiisha kuonywa katika ndoto wasirudi kwa Herode, wakarudi kwenda katika nchi yao kwa njia nyingine.
13 Ilia da asili, Yousefe e da simasia ba: i. Gode Ea a: igele dunu da ema doaga: le, amane sia: i, “Wa: legadoma! Dia mano amola ea: me oule asili, Idibidi sogega hobeale masa. Na sia: be nabima: ne ouesaloma! Helode da dia mano fuga: musa: , logo hogolala!,”
Walipokwisha kwenda zao, malaika wa Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto akamwambia, “Ondoka, mchukue mtoto na mama yake mkimbilie Misri. Kaeni huko mpaka nitakapowaambia, kwa maana Herode anataka kumtafuta huyu mtoto ili amuue.”
14 Amaiba: le, Yousefe da gasia hedolowane wa: legadole, ea mano amola mano ea: me, Idibidi sogega oule asi.
Kisha Yosefu akaondoka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake wakati wa usiku, nao wakaenda Misri
15 Helode da fa: no bogobeba: le, ilia da bu sinidigi. Balofede dunu ea sia: i, “Na da Idibidi sogega Na mano misa: ne wele sia: mu,” amo da defele hamoi ba: i.
ambako walikaa mpaka Herode alipofariki. Hili lilifanyika ili litimie lile lililonenwa na Bwana kwa kinywa cha nabii kusema: “Nilimwita mwanangu kutoka Misri.”
16 Helode da bagade dawa: su dunu ilia ogogoi dawa: beba: le, mi hanai galu. E da bagade dawa: su dunu ilia eso ilegei dawa: beba: le, dunu mano huluane ode aduna lalelegei amola fa: no lalelegei, amo mano huluane Helode da ea dadi gagui dunu ilia fufuga: ma: ne sia: i.
Herode alipongʼamua kwamba wale wataalamu wa nyota wamemshinda kwa akili, alikasirika sana, naye akatoa amri ya kuwaua watoto wote wa kiume wenye umri wa miaka miwili kurudi chini katika mji wa Bethlehemu na sehemu zote za jirani, kufuatana na ule muda alioambiwa na wale wataalamu wa nyota.
17 Amaiba: le musa: balofede dunu Yelemaia ea sia: i amo defele hamoi ba: i.
Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia.
18 E hemonega amane sia: i “La: ima moilai ganodini didigia: be bagade ilia naba. La: isiele ea mano huluane bogobeba: le, e mae yolele bagadewane dinana. Amola enoga ea dogo denesimu da hamedei.” Idibidi Sogega Bu Misi
“Sauti ilisikika huko Rama, maombolezo na kilio kikubwa, Raheli akilia kwa ajili ya wanawe, akikataa kufarijiwa, kwa sababu hawako tena.”
19 Helode da bogobe galu, Yousefe da bu simasia, Gode Ea a: igele dunu ba: i.
Baada ya Herode kufa, malaika wa Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto huko Misri
20 Amo a: igele da amane sia: i, “Wa: legadoma! Mano fufuga: su dunu huluane bogogia: iba: le, dia mano amola ea: me, Isala: ili sogega oule masa.”
na kusema, “Ondoka, mchukue mtoto na mama yake mwende, mrudi katika nchi ya Israeli kwa sababu wale waliokuwa wanatafuta uhai wa mtoto wamekufa.”
21 Amaiba: le, Yousefe da wa: legadole, ea mano amola eme, Isala: ili sogega oule asi.
Basi Yosefu, akaondoka akamchukua mtoto na mama yake wakaenda mpaka nchi ya Israeli.
22 Agela: iase da ea ada Helode bagia, Yudia ouligisu hou lai dagoi. Amo sia: nababeba: le, Yousefe da bu beda: i galu. E da simasia, Gode Ea sia: nababeba: le, Ga: lili sogega asi.
Lakini aliposikia kwamba Arkelao alikuwa anatawala huko Uyahudi mahali pa Herode baba yake, aliogopa kwenda huko. Naye akiisha kuonywa katika ndoto, akaenda zake sehemu za Galilaya,
23 E da Na: salede moilaiga fi esalu. Amaiba: le, musa: balofede dunu ilia sia: i, “E da Na: salini dunu esalumu,” amo sia: da defele hamoi ba: i.
akaenda akaishi katika mji ulioitwa Nazareti. Hivyo likawa limetimia neno lililonenwa na manabii, “Ataitwa Mnazarayo.”

< Ma:diu 2 >