< Ma:diu 18 >

1 Amo esoga, Yesu Ea fa: no bobogesu dunu ilia da Yesuma misini, amane sia: i, “Gode Ea Hinadafa Hou ganodini nowa da baligi bagadela: ?”
Wakati huo, wanafunzi wakamjia Yesu na kumuuliza, “Je, nani aliye mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni?”
2 Yesu da mano fonobahadi Ema misa: ne sia: i. E da amo mano fonobahadi ilia gilisisu ganodini ilia midadi aligila misa: ne sia: i.
Yesu akamwita mtoto mdogo na kumsimamisha katikati yao.
3 Amalalu, E da amane sia: i, “Na da dafawane sia: sa! Dilia da hame sinidigili, dilia hou amo mano ea hou agoane bu hame hamosea, dilia da Gode Ea Hinadafa hou ganodini masunu hamedei ba: mu.
Naye akasema: “Amin, nawaambia, msipookoka na kuwa kama watoto wadogo, kamwe hamtaingia katika Ufalme wa Mbinguni.
4 Amaiba: le, nowa dunu da ea hou fonobosea, goe mano fonobahadi ea hou agoane bu hamosea, amo dunu fawane da Gode Ea Hinadafa Hou ganodini baligi bagade ba: mu.
Kwa hiyo mtu yeyote anyenyekeaye kama huyu mtoto, ndiye aliye mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni.
5 Nowa da Na Dioba: le, mano fonobahadi goe mano agoane amo hahawane yosia: sea, e da Na amola hahawane yosia: sa.
“Yeyote amkaribishaye mtoto mdogo kama huyu kwa Jina langu, anikaribisha mimi.
6 Nowa dunu da mano fonobahadi afae ea Nama dafawaneyale dawa: su hou yolesima: ne ado ba: sea, amo dunu ea se iasu dabe lamu da dunu amo ea galogoaga igi bagadedafa la: gili, hano wayabo bagadega galadigi dagoi ba: i, amo ea se iasu bagadewane baligimu.
Lakini kama mtu yeyote akimsababisha mmojawapo wa hawa wadogo wanaoniamini kutenda dhambi, ingekuwa bora kwake afungiwe jiwe kubwa la kusagia shingoni mwake, na kutoswa katika kilindi cha bahari.
7 Be eno dunu ilia hou hamobeba: le, dunu eno da dafamu. Amaiba: le osobo bagade fi da se bagade nabimu. Amo hou da doaga: mu. Be dafama: ne ado ba: su dunu da se iasu bagadedafa ba: mu.
“Ole kwa ulimwengu kwa sababu ya yale mambo yanayosababisha watu kutenda dhambi! Mambo hayo lazima yawepo, lakini ole wake mtu yule ambaye huyasababisha.
8 Dia lobo ea hou o dia emo ea hou hamobeba: le, di da wadela: le hamosea, di da eso huluane mae haba: dole nenanebe lalu ganodini, dia lobo adunawane amola emo adunawane ahoasa: besa: le, dia emo o lobo damuni fasima. Di da Fifi Ahoanusu ganodini lobo o emo afaewane masunu da defea. (aiōnios g166)
Ikiwa mkono wako au mguu wako unakusababisha utende dhambi, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa huna mkono mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele. (aiōnios g166)
9 Dia siga ba: beba: le dafamu galea, defea, dia si duga: le fasima. Di da si afadafa fawane Fifi Ahoanusu amo ganodini masunu da defea. Be si adunawane gala amo Helo laluga ha: digi dagoi ba: mu da defea hame. (Geenna g1067)
Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe, ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa katika moto wa jehanamu. (Geenna g1067)
10 “Mano fonobahadi afae ea hou da hamedei, amo maedafa dawa: ma! Na da dilima sia: sa! Eso huluane Hebene ganodini, ilia a: igele fidisu dunu da Na Ada ea odagi ba: lala.
“Angalia ili usimdharau mmojawapo wa hawa wadogo, kwa maana nawaambia, malaika wao mbinguni daima wanauona uso wa Baba yangu aliye mbinguni. [
11 Dunu Egefe da fisi liligi bu lamusa: misi dagoi.
Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.]
12 Dilia adi dawa: bela: ? Sibi ouligisu da sibi 100 agoane ouligibiba: le, afadafa fisisia, e da eno 99 yolesili, amo sibi fisi afae hogoma: bela: ?
“Mwaonaje? Ikiwa mtu ana kondoo mia moja, na mmoja wao akapotea, je, hatawaacha wale tisini na tisa vilimani na kwenda kumtafuta huyo mmoja aliyepotea?
13 Dafawane! E da hogomu! Bu ba: sea, e da nodone bagade sia: mu. Ea hahawane hou amo sibi ba: beba: le, sibi hame fisi99ilima hahawane hou, da bagadewane baligimu
Naye akishampata, amin, nawaambia, hufurahi zaidi kwa ajili ya huyo kondoo mmoja kuliko wale tisini na tisa ambao hawakupotea.
14 Amaiba: le, mano fonobahadi afadafa fawane da fisili udigili bogomu, Gode Ea higa: i hodosa.
Vivyo hivyo, Baba yenu wa mbinguni hapendi hata mmojawapo wa hawa wadogo apotee.
15 Dia fi dunu da dima wadela: le hamoi galea, di ema asili, wamowane hima hidadea nabima. E da dia sia: nabasea, e da dia fi dunu bu esalumu.
“Kama ndugu yako akikukosea, nenda ukamwonyeshe kosa lake, kati yenu ninyi wawili peke yenu. Kama akikusikiliza, utakuwa umempata tena ndugu yako.
16 Be e da dia sia: hame nabasea, dunu afadafa o aduna eno lale, ema bu fofada: ma! Dunu aduna o udiana ilia da ba: su hou hamosea, dia sia: da dafawane, dunu eno ilia da ba: mu.
Lakini kama hatakusikiliza, nenda na mtu mwingine mmoja au wawili ili kila neno lithibitishwe kwa ushahidi wa mashahidi wawili au watatu.
17 Be wadela: i hamosu dunu da ilia sia: hame nabasea, Gode Ea Fa: no Bobogesu Fi dunu huluane ilima adoma. E da ilia sia: amola hame nabasea, dilia amo dunu fadegama. Dilia da amo dunu ga fi wadela: i hamosu dunu defele ba: mu da defea.
Kama akikataa kuwasikiliza hao, liambie kanisa. Naye kama akikataa hata kulisikiliza kanisa, basi awe kwenu kama mtu asiyeamini au mtoza ushuru.
18 Na da dafawane sia: sa! Dilia osobo bagadega logo ga: sisia, amo logo da Hebene ganodini ga: si dagoi ba: mu. Dilia da osobo bagadega amo logo bu doasisia, amo logo da Hebene ganodini doasi dagoi ba: mu.
“Amin, nawaambia, lolote mtakalolifunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni, na lolote mtakalolifungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.
19 Na da eno dilima olelesa. Dunu aduna da gilisili hou afadafa hamomusa: sia: ne gadosea, Na Ada Hebene ganodini esala da amo hou hamomu.
“Tena nawaambia, ikiwa wawili wenu watakubaliana duniani kuhusu jambo lolote watakaloomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni.
20 Bai dunu aduna o udiana da Na Dioba: le gilisisia, Na amola da ilima gilisi dagoi ba: mu.
Kwa kuwa wanapokusanyika pamoja watu wawili au watatu kwa Jina langu, mimi niko papo hapo pamoja nao.”
21 Bida da Yesuma misini, amane sia: i, “Hina! Na ola o na eya nama wadela: le hamonanea, na da eso habodayane ea wadela: i hou gogolema: ne olofoma: bela: ? Fesuale agoane gogolema: ne olofoma: bela: ?”
Ndipo Petro akamjia Yesu na kumuuliza, “Bwana, ndugu yangu anikosee mara ngapi nami nimsamehe? Je, hata mara saba?”
22 Yesu E bu adole i, “Fesuale agoane hame, be 77 agoane osia: idafa amo ea wadela: i hou gogolema: ne olofoma.
Yesu akamjibu, “Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.
23 Bai Gode Ea Hinadafa hou da agoaiwane gala. Osobo bagade hina bagade dunu afae da ea hawa: hamosu dunuma ilia bidi lasu hou abodemusa: dawa: i galu.
“Kwa hiyo Ufalme wa Mbinguni unaweza kufananishwa na mfalme aliyetaka kufanya hesabu zake za fedha na watumishi wake.
24 Hawa: hamosu dunu afadafa ema, e da muni bagadedafa dabe lamu galu.
Alipoanza kufanya hesabu zake, mtu mmoja aliyekuwa anadaiwa talanta10,000, aliletwa kwake.
25 Be amo hawa: hamosu dunu da dabe imunu hamedeiba: le, hina bagade da amo dunu, ea uda, ea mano amola ea liligi huluane bidi lale, amo muni ema ima: ne sia: i.
Kwa kuwa alikuwa hawezi kulipa deni hilo, bwana wake akaamuru kwamba auzwe, yeye, mkewe, watoto wake na vyote alivyokuwa navyo, ili lile deni lipate kulipwa.
26 Amo sia: nababeba: le, hawa: hamosu dunu da muguni bugili, ea hinama amane sia: i, ‘Nama asigiba: le ouesaloma! Na da huluane imunu.’
“Yule mtumishi akampigia magoti, akamsihi yule bwana akisema, ‘Naomba univumilie, nami nitakulipa deni lako lote.’
27 Amalalu, hina bagade da ema asigiba: le, amane sia: i, ‘Defea! Yolema! Dabe huluane yolele, mae ima.’
Yule bwana wa huyo mtumishi akamwonea huruma, akafuta deni lake lote, akamwacha aende zake.
28 Be amo hawa: hamosu dunu da asili, eno hawa: hamosu dunu ba: i. Amo hawa: hamosu dunu da ema dabe fonobahadi fawane imunu galu. E da ea galogoa gaguli, gasawane sia: i, ‘Na dabe wahadafa nagili ima!’
“Lakini yule mtumishi alipokuwa anatoka nje, akakutana na mtumishi mwenzake aliyekuwa amemkopesha dinarimia moja. Akamkamata, akamkaba koo akimwambia, ‘Nilipe kile ninachokudai!’
29 Amalalu, ea na: iyado da diasa: ili, muguni bugili amane sia: i, ‘Nama asigiba: le, ouesaloma! Na da imunu!’
“Yule mtumishi mwenzake akapiga magoti akamsihi akisema, ‘Naomba univumilie, nami nitakulipa deni lako lote.’
30 Be e da hame asigi. E da amo dunu se iasu diasuga galadigili, bidi huluane iabeba: le fawane se iasu diasu logo bu doasima: ne sia: i.
“Lakini akakataa. Badala yake, alienda akamtupa gerezani hata atakapolipa hilo deni.
31 Eno hawa: hamosu dunu huluane da amo hou ba: beba: le, se nabi. Ilia da hina bagadema asili, amo hou huluane ema olelei.
Watumishi wenzake walipoona haya yaliyotukia wakaudhika sana, nao wakaenda na kumwambia bwana wao kila kitu kilichokuwa kimetukia.
32 Amalalu, hina bagade da amo dunu ema misa: ne sia: i. E da ema amane sia: i, ‘Di wadela: i hawa: hamosu dunu! Di da nama fofada: iba: le, na da dia dabe imunu huluane gogolema: ne olofoi dagoi.
“Yule bwana akamwita yule mtumishi akamwambia, ‘Wewe mtumishi mwovu! Mimi nilikusamehe deni lako lote uliponisihi.
33 Di da na asigi hou defele, dia na: iyadoma asigimu da defea galu!’
Je, haikukupasa kumhurumia mtumishi mwenzako kama mimi nilivyokuhurumia wewe?’
34 Hina bagade da ougiba: le, amo hawa: hamosu dunu se iasu diasu ouligisu dunuma asunasi. Se iasu ianu, dabe huluane ia dagoiba: le fawane yolema, e sia: i.
Kwa hasira, yule bwana wake akamtia yule mtumishi mikononi mwa askari wa gereza ili ateswe mpaka atakapolipa yote aliyokuwa anadaiwa.
35 Amo hou defele, dilia da dilia na: iyado ilia hou hame gogolema: ne olofosea, Na Ada da amo hou dilima hamomu.”
“Hivi ndivyo Baba yangu wa mbinguni atakavyomfanyia kila mmoja wenu ikiwa hatamsamehe ndugu yake kutoka moyoni mwake.”

< Ma:diu 18 >