< Ma:diu 15 >

1 Amalalu, Fa: lisi dunu amola Sema Olelesu dunu da Yelusalemeganini misini, Yesuma doaga: i. Ilia da amane sia: i,
Ndipo baadhi ya Mafarisayo na walimu wa sheria wakamjia Yesu kutoka Yerusalemu na kumuuliza,
2 “Dia ado ba: su dunu da abuli ninia aowalalia sia: hame nabala: ? Ilia da ha: i nasea, lobo dodofema: ne sema hame hamosa.”
“Mbona wanafunzi wako wanakiuka mapokeo ya wazee? Kwa maana wao hawanawi mikono yao kabla ya kula!”
3 Yesu E bu adole i, “Dilia amolawane da abuliba: le Gode Ea Semadafa wadela: sala: ? Dilia da dilisu olelesu amoma fawane fa: no bobogesa.
Yesu akawajibu, “Mbona ninyi mnavunja amri ya Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu?
4 Gode Ea sia: da agoane diala, ‘Dilia ada amola ame elama asigima.’ Amola ‘Nowa dunu ea ada o ame amoma lasogole sia: sea, amo dunu fane legema.
Kwa maana Mungu alisema, ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na, ‘Yeyote amtukanaye baba yake au mama yake, na auawe.’
5 ‘Be dilia da dilia ada amola ame amoma imunu liligi amo lale, Godema imunusa: sia: sa.
Lakini ninyi mwafundisha kwamba mtu akimwambia baba yake au mama yake, ‘Kile ambacho ningeweza kukusaidia kimewekwa wakfu kwa Mungu,’
6 Amaiba: le, dilia giadofale dilia ada hame fidimu da defea sia: sa. Dilia da dilisu hou amoma fa: no bobogebeba: le, Gode Ea hou hame dawa:
basi hana tena sababu ya kumheshimu baba yake nacho. Basi kwa ajili ya mafundisho yenu mnavunja amri ya Mungu.
7 Dilia dabua fawane molole ogogosu dunu! Aisaia da musa: moloiwane dilia hou agoane olelei,
Ninyi wanafiki! Isaya alikuwa sawa alipotabiri juu yenu kwamba:
8 ‘Gode da amane sia: sa, Amo dunu da ilia lafidili Nama nodone sia: sa. Be ilia dogo da Nama hame gadenena misi.
“‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.
9 Ilia udigili Nama nodosa. Ilia da ogogole osobo bagade sema, amo da Gode Ea Sema ilia olelesa.’”
Huniabudu bure; nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’”
10 Yesu da dunu huluane Ema misa: ne sia: i. Amalalu, E da ilima amane sia: i, “Nabima amola dawa: ma!
Yesu akaita ule umati wa watu, akawaambia, “Sikilizeni na mwelewe:
11 Ea lafi ganodini dabe liligi da dunu ea hou ledo agoane hame hamosa. Be liligi da dunu ea lafidili ga ahoasea, amo fawane da ea hou ledo agoane hamosa.”
kinachomfanya mtu kuwa najisi mbele za Mungu si kile kiingiacho kinywani mwake, bali ni kile kitokacho kinywani mwake.”
12 Ea ado ba: su dunu da Ema misini, amane sia: i, “Dia sia: nababeba: le, Fa: lisi dunu da bagadewane se nabi. Amo Di da dawa: bela: ?”
Kisha wanafunzi wake wakamjia na kumuuliza, “Je, unajua kwamba Mafarisayo walichukizwa sana waliposikia yale uliyosema?”
13 E da bu adole i, “Bugi huluane Na Hebene Ada hame bugi galea, amo bugi E da a: le fasimu.
Akawajibu, “Kila pando ambalo Baba yangu wa mbinguni hakulipanda, litangʼolewa.
14 Fa: lisi dunu yolema! Ilia da si dofoi dunu agoane. Amola si dofoi dunu da eno si dofoi dunuma logo olelesea, ela da gilisili hano ogai ganodini dafamu,”
Waacheni; wao ni viongozi vipofu, wanaoongoza vipofu. Kama kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, wote wawili watatumbukia shimoni.”
15 Bida e amane sia: i, “Fedege sia: ea dawa: loma: ne amo ninima olelema.”
Petro akasema, “Tueleze maana ya huu mfano.”
16 Yesu E bu adole i, “Dilia da ili defele, dawa: su hamela: ?
Yesu akawauliza, “Je, bado ninyi hamfahamu?
17 Dilia da hame dawa: bala? Liligi da dunu ea lafidili ganodini ahoabeba: le, hagomoga sa: ili, fa: no agoane ea da: i hodo yolesili gadili ahoa.
Je, hamwelewi kwamba chochote kiingiacho kinywani huenda tumboni, na hatimaye hutolewa nje kikiwa uchafu?
18 Be liligi lafidili ga ahoabeba: le, amo da dogoganini mahabeba: le, dunu ea hou ledo agoane hamosa.
Lakini kitokacho kinywani hutoka moyoni, na hiki ndicho kimtiacho mtu unajisi.
19 Dunu ilia dogo asigi dawa: su amoga da wadela: i asigi dawa: su, fane legesu, inia: uda adole lasu, wamolasu, ogogosu, amola gadesu, amo wadela: i hou huluane da dunu ea dogoganini maha.
Kwa maana ndani ya moyo hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na masingizio.
20 Amo liligi da dunu ea hou ledo agoane hamosa. Be lobo mae dodofeiwane ha: i nasea, amo dunu ilia sia: defele, amo da dunu ea hou ledo agoane hame hamosa.”
Haya ndiyo yamtiayo mtu unajisi; lakini kula bila kunawa mikono hakumtii mtu unajisi.”
21 Amo soge yolesili, Yesu da soge amo da Daia amola Saidone moilai gadenene dialebe asi.
Yesu aliondoka mahali pale, akaenda sehemu za Tiro na Sidoni.
22 Ga: ina: ne soge uda amogawi esala da Yesuma misini, amane wele sia: i, “Da: ibidi Egefe! Nama asigima! Nadiwi amo ea dogo ganodini Fio liligi da aligila sa: iba: le, e da se bagade naba.”
Mwanamke mmoja Mkanaani aliyeishi sehemu jirani na hizo akaja kwake akilia, akasema, “Nihurumie, Ee Bwana, Mwana wa Daudi! Binti yangu amepagawa na pepo mchafu, na anateseka sana.”
23 Be Yesu da amo udama bu hame adole i. Yesu Ea fa: no bobogesu dunu da Ema amane sia: i, “Amo uda masa: ne sia: ma! E da bagade wele sia: sa!”
Lakini Yesu hakumjibu neno. Hivyo wanafunzi wake wakamwendea na kumsihi sana, wakisema, “Mwambie aende zake, kwa maana anaendelea kutupigia kelele.”
24 Yesu E bu adole i, “Na da Isala: ili sibi fi fisi dagoi, amo fawane gaga: ma: ne, Gode da Na asunasi.”
Yesu akajibu, “Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli waliopotea.”
25 Amo sia: nababeba: le, uda da bu misini, osoboga gala: lasa: ili, amane sia: i, “Hina! Dia na fidima!”
Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Yesu, akasema, “Bwana, nisaidie!”
26 Yesu E bu adole i, “Manodafa ilia ha: i manu lale, wa: megili udigili imunu da defea hame galebe.”
Yesu akajibu, “Si haki kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”
27 Uda da bu sia: i, “Dafawane! Be wa: me da ilia eda ea ha: i manu fafaiganini osoboga dala dabe amo naha.”
Yule mwanamke akajibu, “Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yanayoanguka kutoka kwenye meza za bwana zao.”
28 Amalalu, amo udama Yesu E amane sia: i, “Dia dafawaneyale dawa: su hou da bagadedafa. Di da dia hanai liligi ba: mu.” Amalalu, uda ea idiwi da uhi dagoi ba: i.
Ndipo Yesu akamwambia, “Mwanamke, imani yako ni kubwa! Iwe kwako kama unavyotaka.” Naye binti yake akapona tangu saa ile.
29 Amo soge yolesili, Yesu da Ga: lili hano bega: lalu. E agoloba: le heda: le, esalu.
Yesu akaondoka na kwenda kando ya Bahari ya Galilaya. Kisha akapanda mlimani, akaketi huko.
30 Dunu bagohame da oloi dunu, si dofoi, emo gasuga: igi amola sia: hamedei dunu Ema oule misini, Yesu Ea emo gadenene ligisiba: le, Yesu da amo huluane uhinisisi dagoi.
Umati mkubwa wa watu ukamjia, wakiwaleta vilema, vipofu, viwete, bubu na wengine wengi, wakawaweka miguuni pake; naye akawaponya.
31 Sia: hamedei da bu sia: baoui, da: i wadela: i da bu ida: iwane hamoi, emo gasuga: igi da bu noga: le lalu, si dofoi da bu ba: i. Amo hou ba: beba: le, dunu huluane da fofogadigili, Isala: ili Gode Ema nodone sia: i.
Hao watu wakashangaa walipoona bubu wakisema, vilema wakipona, viwete wakitembea na vipofu wakiona, wakamtukuza Mungu wa Israeli.
32 Yesu da Ea fa: no bobogesu dunu Ema misa: ne sia: i. Amalalu, E da ilima amane sia: i, “Na da dunu huluane ilima bagade asigisa. Eso udiana ilia da Na sia: nabalu, be wali ha: i manu da hame gala. Na da ili ha: i mae nawane asula ahoasea, ilia da logoga sidisa: besa: le Na da beda: i galebe.”
Kisha Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia, “Ninauhurumia huu umati wa watu, kwa sababu sasa wamekuwa pamoja nami kwa muda wa siku tatu, na hawana chakula chochote. Nami sipendi kuwaaga wakiwa na njaa, wasije wakazimia njiani.”
33 Be Yesu Ea ado ba: su dunu da amane sia: i, “Ninia da dunu hame esalebe wadela: i hafoga: i sogega esala. Amo dunu bagohame sadima: ne, ninia habidili ha: i manu lama: bela?”
Wanafunzi wake wakasema, “Tutapata wapi mikate ya kutosha kuwalisha umati huu wa watu mkubwa namna hii, nasi tuko nyikani?”
34 Yesu E amane adole ba: i, “Dilia da agi ga: gi habodayane ganabela: ?” Ilia da bu adole i, “Fesuale! Amola menabo fonobahadi bagahame diala.”
Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mingapi?” Wakamjibu, “Tunayo mikate saba na visamaki vichache.”
35 Amaiba: le, Yesu da dunu huluane osobo da: iya fima: ne sia: i.
Yesu akawaambia ule umati wa watu waketi chini.
36 Amalalu, E da agi ga: gi fesuale amola menabo lale, Godema nodone sia: ne gadole, fifili, Ea ado ba: su dunuma sagoi. Ilia da dunu enoma bu sagoi.
Kisha akachukua ile mikate saba na wale samaki, naye akiisha kumshukuru Mungu, akavimega na kuwapa wanafunzi wake, nao wakawapa ule umati wa watu.
37 Ilia huluane da sadigia: i. Ilia da hame mai dialu liligi lale, daba lobofaseleyale gala ba: i.
Wote wakala na kushiba. Baadaye wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu saba.
38 Nasu dunu da 4,000 amola eno uda amola mano gigilisi.
Idadi ya watu walikuwa wanaume 4,000, bila kuhesabu wanawake na watoto.
39 Yesu da dunu huluanema masa: ne sia: i. Amalalu, E da dusagaiga fila heda: le, asili, Magadane sogega doaga: i.
Baada ya kuaga ule umati wa watu, Yesu aliingia katika mashua, akaenda sehemu za Magadani.

< Ma:diu 15 >