< Ma:diu 10 >

1 Yesu da Ea ado ba: su dunu fagoyale gala gilisili, gasa bagade hou ilima i. Ilia da wadela: i a: silibu fadegama: ne amola oloi dunu uhima: ne, amo gasa defele E da ilima i dagoi.
Ndipo Yesu akawaita wanafunzi wake kumi na wawili, naye akawapa mamlaka juu ya pepo wachafu, ili waweze kuwatoa na kuponya kila ugonjwa na maradhi ya kila aina.
2 Ado ba: su dunu fagoyale gala ilia dio amo da Saimone (ea dio eno da Bida), ea eya A: dalu, Ya: mese, (Sebedi ea mano) amola amo ea eya Yone,
Haya ndiyo majina ya hao mitume kumi na wawili: wa kwanza, Simoni aitwaye Petro, na Andrea nduguye; Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana nduguye;
3 Filibe, Badolomiu, Domase, su lidisu dunu Ma: diu, Ya: mese (A: lafiase ea mano), Da: diase,
Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo mwana wa Alfayo, na Thadayo;
4 Saimone (Selode fi dunu) amola Yudase Isaga: liode (e da Yesu hohonoi).
Simoni Mkananayo, na Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu.
5 Yesu da amo dunu fagoyale gala asunasi. E amane sia: i, “Dienadaile sogega amola Samelia moilai gagaiga mae masa.
Hawa kumi na wawili, Yesu aliwatuma akawaagiza: “Msiende miongoni mwa watu wa Mataifa, wala msiingie mji wowote wa Wasamaria.
6 Be Isala: ili dunu fi da sibi fisi dagoi agoane. Amaiba: le ilima olelela masa.
Lakini afadhali mshike njia kuwaendea kondoo wa nyumba ya Israeli waliopotea.
7 Ahoabeba: le, dilia sia: agoane olelema, ‘Gode Ea Hinadafa Hou doaga: mu da gadenei galebe!’
Wakati mnapokwenda, hubirini mkisema, ‘Ufalme wa Mbinguni umekaribia.’
8 Dilia oloi dunu uhinisima amola bogoi dunu bu wa: legadolesima. Lebolosi dunu uhinisima amola Fio liligi fadegale fasima. Dilia lai da udigili laiba: le, dilia imunuba: le, bidi mae lama.
Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo wachafu. Mmepata bure, toeni bure.
9 Gouli, silifa amola balasega hamoi muni dilia muni salasu ganodini sali, mae gaguli masa.
Msichukue dhahabu, wala fedha, wala shaba kwenye vifuko vyenu.
10 Udigili edegesu dunu ea esa, abula aduna, emo salasu amola dagulu, mae gaguli masa. Dilia da hawa: hamosu dunu gala. Amaiba: le, eno dunu da dilia wali esaloma: ne lamu liligi dilima imunu da defea.
Msichukue mkoba wa safari, wala kanzu mbili, wala jozi ya pili ya viatu, wala fimbo, kwa maana mtendakazi anastahili posho yake.
11 Dilia da moilaiga doaga: sea, nowa dunu dilima yosia: sea, amo dunu ea diasuga golale, eno sogega masunusa: fawane yolesima.
“Mji wowote au kijiji chochote mtakapoingia, tafuteni humo mtu anayestahili, nanyi kaeni kwake mpaka mtakapoondoka.
12 Dilia diasuga golili dasea, amane sia: ma, “Guiguda: olofosu dialoma!”
Mkiingia kwenye nyumba, itakieni amani.
13 Ilia da dili hahawane yosia: sea, dilia yosia: su da ilima dialoma: ne sia: ma. Be ilia dili hame yosia: sea, dilia yosia: su bu samogema.
Kama nyumba hiyo inastahili, amani yenu na iwe juu yake. La sivyo, amani yenu na iwarudie ninyi.
14 Amola moilai dunu da dili hame yosia: sea amola dilia sia: higabe ba: sea, dilia logoga bu asili, goe moilai ea osobo dilia emo gafega diala, amo ilima olelema: ne doga: lesima.
Kama mtu yeyote hatawakaribisha ninyi, wala kusikiliza maneno yenu, kungʼuteni mavumbi kutoka kwenye miguu yenu mtakapokuwa mnatoka kwenye nyumba hiyo au mji huo.
15 Na da dafawane sia: sa! Fofada: su eso doaga: sea, goe moilai ea se iasu da Sodame amola Goumola moilai, elea musa: se iasu bagadewane baligimu.”
Amin, nawaambia, itakuwa rahisi zaidi kwa miji ya Sodoma na Gomora kustahimili katika hukumu kuliko mji huo.
16 “Nabima! Na da dili asunasiba: le, dilia da sibi mano agoane. Dilia da dunu gasonasu wa: me adoba ganodini ahoabe agoai ba: mu. Amaiba: le, sania agoane, dawa: iwane hamoma, amola ‘dafe’ sio ea olofosu hou agoane hamoma.
“Tazama, ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa mwitu. Kwa hiyo mwe werevu kama nyoka na wapole kama hua.
17 Dilia osobo bagade dunu ilia hou dawa: ma! Ilia da dilima fofada: sea, sinagoge diasu ganodini fegasuga bagade famu.
“Jihadharini na wanadamu; kwa maana watawapeleka katika mabaraza yao na kuwapiga kwenye masinagogi yao.
18 Na hou lalegaguiba: le, dilia da Gamane Hina dunuma fofada: mu. Bai dilia da fofada: su amo ganodini, ilima amola Dienadaile dunuma, Gode Ea Sia: Ida: iwane olelemu.
Nanyi mtaburutwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, ili kuwa ushuhuda kwao na kwa watu wa Mataifa.
19 Fofada: sea, dilia bu adole iasu da: i dioiwane mae dawa: ma. Amo esoga, Gode da dilia bu adole imunu sia: dilima olelemu.
Lakini watakapowapeleka humo, msisumbuke kufikiria mtakalosema, kwa maana mtapewa la kusema wakati huo.
20 Bai dilia lafidili sia: da dilila: sia: hame ba: mu. Be Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala dilia dogo ganodini esala, Hi fawane da amo sia: dilia lafidili sia: mu.
Kwa sababu si ninyi mtakaokuwa mkinena, bali ni Roho wa Baba yenu atakayekuwa akinena kupitia kwenu.
21 Dunu ilia da yolalali amo medoma: ne, fofada: su dunuma imunu. Eda da ea mano amoma amo hou defele hamomu. Mano da wa: legadole, ilia eda amola eme himone fuga: mu.
“Ndugu atamsaliti ndugu yake ili auawe, naye baba atamsaliti mtoto wake. Watoto nao wataasi dhidi ya wazazi wao na kusababisha wauawe.
22 Dilia da Na hou lalegaguiba: le, dunu huluane da dili higamu. Be nowa da Na hou mae yolele soge wadela: mu eso amoga doaga: sea, e da gaga: su ba: mu.
Watu wote watawachukia kwa ajili ya Jina langu. Lakini yule atakayevumilia hadi mwisho ataokolewa.
23 Ilia da moilai afae ganodini dilima gadei sia: sea amola fasea, dilia eno moilaiga hobeale masa. Dilia moilai huluanedafa Isala: ili soge ganodini amo hame olelei dagosea, Dunu Egefe da misunu.
Wakiwatesa katika mji mmoja, kimbilieni mji mwingine. Amin, amin nawaambia, hamtamaliza miji yote ya Israeli kabla Mwana wa Adamu kuja.
24 Ado ba: su dunu da olelesu dunu amo ea hou hame baligisa. Hawa: hamosu dunu ea hou da hina dunu amo ea hou hame baligisa.
“Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake, wala mtumishi hamzidi bwana wake.
25 Amaiba: le, ado ba: su dunu ea hou da ea olelesu dunu amo ea hou defele ba: mu da defea. Amola hawa: hamosu dunu ea hou da ea hina amo ea hou defele ba: mu da defea. Ilia da sosogo fi Eda amoma Bilisibale dio asuliba: le, ilia da amo Eda Ea sosogo fi dunu ili dio baligiliwane wadela: mu.
Yatosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumishi kuwa kama bwana wake. Ikiwa mkuu wa nyumba ameitwa Beelzebuli, je, si watawaita zaidi wale wa nyumbani mwake!
26 Amaiba: le, osobo bagade dunu ilima mae beda: ma! Dunu huluane da dedeboi liligi huluane hobea ba: mu. Ilia da wamolegei liligi huluane hobea dawa: mu.
“Kwa hiyo msiwaogope hao, kwa maana hakuna kilichofichika ambacho hakitafunuliwa, wala hakuna siri ambayo haitajulikana.
27 Dilia Na wali gasi ganodini sia: su, amo dilia hadigi ganodini sia: ma! Na da dili ge ganodini sadoga sia: sa. Be dilia da amo sia: diasu gado aligila heda: le, amo olelemusa: bagade wele sia: ma!
Ninalowaambia gizani, ninyi lisemeni mchana peupe. Na lile mnalosikia likinongʼonwa masikioni mwenu, lihubirini juu ya nyumba.
28 Dilia da: i hodo bogoma: ne medosu dunu ilima mae beda: ma. Be Gode da a: silibu amola da: i hodo gilisili Helo sogega wadela: mu dawa: beba: le, Godema beda: mu da defea. (Geenna g1067)
Msiwaogope wale wauao mwili lakini hawawezi kuua roho. Afadhali mwogopeni yeye awezaye kuiangamiza roho na mwili katika jehanamu. (Geenna g1067)
29 Diogonabo aduna da doea afadafa amoga bidi lasa. Be afadafa fawane osoboga bogola dasea, Gode da dawa: lala.
Je, shomoro wawili hawauzwi kwa senti moja tu? Lakini hakuna hata mmoja wao atakayeanguka chini pasipo Baba yenu kujua.
30 Be dilia dialuma hinabo afae afae, amo huluane Gode da idibiba: le, huluane dawa:
Hata nywele za vichwa vyenu zote zimehesabiwa.
31 Amaiba: le mae beda: ma! Dilia bidi lasu defei da diogonabo bagohame ilia bidi lasu defei baligi dagoi.
Hivyo msiogope; kwa maana ninyi ni wa thamani kubwa kuliko shomoro wengi.
32 Nowa da eno dunu nabima: ne, e da Na fi dunu esala amo olelesea, Na amola da amo dunu da Na fi dunu esala, amo Na da Na Adama olelemu.
“Kila mtu atakayenikiri mbele ya watu, mimi nami nitamkiri yeye mbele za Baba yangu aliye mbinguni.
33 Be nowa dunu da eno dunu nabima: ne, e da Nama fa: no bobogemu higasa, amo sia: sea, Na amola da amo dunu higasa, amo Na da Na Adama olelemu.
Lakini yeyote atakayenikana mimi mbele ya watu, mimi nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.”
34 Na da osobo bagadega olofosu hou olelemusa: misibayale dilia dawa: bela: ? Hame mabu! Olofosu hame be afafasu hou na da olelela misi.
“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.
35 Na da misiba: le, dunu da ea edama ha laiwane hamomu. Idiwi da ea: me amoma ha laiwane hamomu. Esoa: da esoa: amoma ha laiwane hamomu.
Kwa maana nimekuja kumfitini “‘mtu na babaye, binti na mamaye, mkwe na mama mkwe wake;
36 Moilai fidafa dunu da ea fidafa dunu ea ha lai dunu agoane ba: mu.
nao adui za mtu watakuwa ni wale watu wa nyumbani kwake.’
37 Nowa dunu ea asigi hou edama o emema o egefema o idiwima, amo asigi hou da ea asigi hou Nama baligisia, goe dunu da Nama fa: no bobogemu defele hame ba: mu.
“Yeyote ampendaye baba yake au mama yake kuliko anavyonipenda mimi, hastahili kuwa wangu. Yeyote ampendaye mwanawe au binti yake kuliko anavyonipenda mimi, hastahili kuwa wangu.
38 Nowa dunu da ea bulufalegei mae gisawane, Nama hame fa: no bobogesea, e da Nama fa: no bobogemu defele hame ba: mu.
Tena yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata, hastahili kuwa wangu.
39 Nowa dunu da osobo bagade esalusu hanaiba: le amo gasawane gagusia, e da ea esalusu yolesimu. Be nowa dunu da Nama asigiba: le ea esalusu fisiagasea, e da ea esalusu bu ba: mu.
Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata.
40 Nowa da dili hahawane yosia: sa, e da Na amola hahawane yosia: sa. E da Na hahawane yosia: beba: le, e da Na Asunasisu Dunu amola hahawane yosia: sa.
“Mtu yeyote atakayewapokea ninyi atakuwa amenipokea mimi, na yeyote atakayenipokea mimi atakuwa amempokea yeye aliyenituma.
41 Nowa da balofede dunu amo da Gode Ea sia: olelebeba: le, hahawane yosia: sea, e da balofede dunu ea bidi defele lamu. Nowa da dunu ida: iwane, amo ea ida: iwane gala hou dawa: beba: le hahawane yosia: sea, e da dunu ida: iwane gala ea bidi defele lamu.
Mtu yeyote anayempokea nabii kwa kuwa ni nabii atapokea thawabu ya nabii, naye mtu anayempokea mwenye haki kwa kuwa ni mwenye haki atapokea thawabu ya mwenye haki.
42 Na da dafawane sia: sa! Nowa dunu da Nama fa: no bobogesu dunu fonobahadi afadafa amo e da Nama fa: no bobogebeba: le, ema anegagi hano di faigelei afadafa fawane iasea, e da bidi ida: iwane ba: mu.”
Kama yeyote akimpa hata kikombe cha maji baridi mmoja wa hawa wadogo kwa kuwa ni mwanafunzi wangu, amin, nawaambia, hataikosa thawabu yake.”

< Ma:diu 10 >