< Malagai 3 >

1 Hina Gode Bagadedafa da agoane adole iaha, “Na da Na sia: sia: na ahoasu dunu, Na logo fodoma: ne, amo asunasimu. Amasea, Hina Gode amo dilia hogoi helesa, E da hedolodafa Ea Debolo diasuga doaga: mu. Amo sia: sia: na ahoasu dunu dilia ba: mu hanai gala, amo da misini, Na gousa: su amo dilima sisia: mu.
Tazama, namtuma mjumbe wangu, atakayeandaa njia mbele yangu. Na Bwana, ambaye mnamtafuta, atakuja ghafla katika hekalu lake; na mjumbe wa agano, ambaye katika yeye mnafurahi, tazama anakuja.” asema Bwana wa Majeshi.
2 Be e da masea, nowa da moloiwane leloma: bela: ? E da aliaguda: lalebe ba: sea, nowa da mae bogole esaloma: bela: ? E da nigima: doga: su liligi gasa bagade agoai ba: mu, amola lalu bagade amo da silifa amola gouli ledo fadegasu agoane ba: mu.
Na ni nani atakeyevumilia siku ya kuja kwake? na nani atasimama akishatokea? Yeye ni kama mtu asafishaye kwa moto na kama sabuni ya kufulia.
3 E da dunu amo da silifa amola gouli amoga ledo doga: su, amo defele e da fofada: musa: misunu. Amo silifa amola gouli hahamosu dunu da silifa amola gouli amoga ledo doga: sa, amo defele Hina Gode Ea sia: sia: na ahoasu dunu da gobele salasu dunu ilima ledo doga: sea, ilia da gobele salasu noga: idafa bu gaguli misunu.
Atakaa na kutawala kama msafishaji wa fedha, na atawasafisha wana wa Lawi. na atawafanya wawe safi kama dhahabu na fedha, na wataleta sadaka za haki kwa Bwana.
4 Amasea, Yelusaleme moilai bai bagade dunu amola Yuda fi dunu huluane da Hina Godema gobele salasu liligi gaguli masea, Hina Gode da musa: agoane iasu amoma hahawane ba: mu.
Na sadaka ya Yuda na Yerusalem itampendeza Bwana, kama siku za kale, na miaka ya zamani.
5 Hina Gode Bagadedafa da amane sia: sa, “Na da dilima aliaguda: lalebe ba: sea, fofada: mu galebe. Na da wadela: i hamosu dunuma fofada: mu amo fefedoasu dunu, inia uda adole lasu dunu, ogogosu dunu, nowa da ea hawa: hamosu dunuma ea bidi imunu sia: i amo hame iaha, nowa da didalo, guluba: mano amola ga fi ilima wadela: le hamosu dunu amola Nama hame nodosu dunu, amo huluane ilima Na da fofada: mu,” Hina Gode da amane sia: sa.
Kisha nitapita karibu na ninyi kuwahukumu. na nitakuwa shahidi mwepesi dhidi ya wachawi, wazinzi, mahsahidi wa uongo, na kinyume cha wale wanaoonea wafanyakazi katika mizigo yake, wanaoonea wajane na yatima, na anayemfukuza mgeni kutoka kwenye haki yake, na kwa wale wasionitii mimi,”asema Bwana wa majeshi.
6 “Na da Hina Godedafa! Na da hame afadenesa. Amaiba: le, dilia Ya: igobe egaga fi mogili da hame fisi, esalebe ba: sa.
Mimi Bwana, sibadiliki; pia ninyi, watu wa Yakobo, hamkutumia.
7 Dilia da dilia aowalali defele, Na Sema amo higabeba: le, wadela: lesi dagoi. Be wali dilia Nama sinidigima. Amasea, Na amola da dilima sinidigimu. Be dilia da Nama adole ba: sa, ‘Ninia da habodane Dima sinidigima: bela: ?’
Toka siku za baba zenu mmegeukia mbali na amri zangu na hamkuzitunza. Nigeukieni, nami nitawarudia ninyi,” asema Bwana wa majeshi. Lakini mwasema, tutakurudiaje?
8 Na da dilima agoane adole ba: sa, ‘Godema ogogosu hamomu da defeala: ?’ Hame mabu! Amo da defea hame galebe. Be dilia da Nama ogogosu hou hamonana. Be dilia da Nama adole ba: sa, ‘Ninia da Dima habodane ogogosu hou hamosala: ?’ Na da dilima bu adole iaha, ‘Dilia Nama iabe, amo ‘daide’ (dilia gagui nabuane momogili, afae Nama iaha), amola hahawane udigili iasu hou amo ganodini Nama ogogosa.’
Mwanadamu anaweza kumwibia Mungu? Mnaniibia mimi, lakini mwasema, 'Tumekuibiaje?' kwa zaka na sadaka.
9 Isala: ili dunu fi huluanedafa da Nama ogogole hedebeba: le, Na gagabusu da ilima aligisa.
Mmelaani kwa laana, kwa kuniibia mimi, taifa lote hili.
10 Be dilia ogogosu hedesu fisili, “daide” liligi huluanedafa amo Debolo diasuga gaguli misa. Amasea, Debolo diasu ganodini, ha: i manu defele agoane da ba: mu. Nama adoba: le ba: ma. Amasea, Na da Hebene logo doasili, hahawane dogolegesu hou bagadedafa amo dilima gugudili sogadigimu. Amasea, dilia da liligi noga: idafa labeba: le, lelegesu diasu da baligili nabaidafa ba: mu.
Leteni zaka kamili katika ghalani, ili kwamba kiwemo chakula katika nyumba yangu. Na mnijaribu kwa hili,” asema Bwana wa Majeshi. “kama sitawafungulia madilisha ya mbinguni na kuwamwagia baraka juu yenu, ili kwamba hakutakuwa na sehemu ya kutosha kuzipokea.
11 Na da sia: beba: le, danuba: da dilia ha: i manu bugi amo hame wadela: lesimu. Amola dilia waini efe da waini fage bagohame legebe ba: mu.
Nitamkemea mharibifu kwako, kwamba asiharibu mavuno yenu ya nchi yenu; mizazibu yenu katika shamba haitapukutisha kabla ya wakati wake,” asema Bwana wa Majeshi.
12 Amasea, osobo bagade fifi asi gala dunu huluane da dilia da Gode Ea hahawane dogolegei fi amo sia: mu. Bai dilia soge da fimu noga: i soge ba: mu.
Mataifa yote watakuita mbarikiwa; kwa ajili yako itakuwa ni nchi ya furaha,” asema Bwana wa Majeshi.
13 Hina Gode da amane sia: sa, “Dilia da Na hou amoma lasogole bagadewane sia: su. Be dilia da agoane adole ba: sa, ‘Ninia da Dia hou olelema: ne adi sia: bela: ?’
Maneo yenu yamekuwa magumu kinyume changu,” asema Bwana. lakini mwasema, “Tumesema nini kinyume chako?'
14 Dilia da amane sia: su, ‘Gode Ea hawa: hamosu hamomu da hamedei. Ninia Hina Gode Bagadedafa Ea sia: amoga fa: no bobogemu amola Ema sinidigima: ne fofada: ne, asigi sia: sia: mu da hamedei liligi agoai galebe.
mmesema, 'Hakuna maana kumtumikia Mungu. Kuna faida ya namna gani kutunza maagizo yake au kutembea huku mkiomboleza mbele za Bwana wa Majeshi?
15 Ninia ba: loba, gasa fi dunu ilia fawane da hahawane esala. Wadela: i dunu da hahawane liligi bagade gagusa. Amola, ilia da Godema wadela: i adoba: su hou hamonana, amola Gode da ilima se hame iaha,’ dilia da agoane sia: sa.”
Na sasa tunamwita mwenye kiburi mbarikiwa. Waharifu si kufanikiwa tu, bali kumjaribu Mungu na kumwepuka.”
16 Amasea, Hina Godema beda: iwane dawa: su dunu da gilisili sia: dasu. Amola Hina Gode da ilia sia: dasu nabi dagoi. Amola E ba: ma: ne, a:igele dunu da buga ganodini, dunu amola uda huluane da Hina Godema beda: iwane dawa: su amola Ema nodosu, ilia dio huluane dedei dagoi.
Kisha wale wanaomweshimu Bwana walisemezana mmoja baada ya mwingine; Bwana yuko makini kutusikiliza, na kitabu cha kumbukumbu kiliandikwa mbele zake kwa ajili ya wale wanamwogopa Bwana na kuliheshimu jina lake.
17 Amola Hina Gode Bagadedafa da amane sia: i, “Amo dunu amola uda da Na fidafa esalumu. Na eso Bagadedafa da doaga: sea, ilia da Na dunudafa esalebe ba: mu. Osobo bagade ada da ea mano amo da ea hawa: hamosa, ilima asigiba: le gogolema: ne olofosa, amo defele Na da amo dunu ilima asigimu amola gogolema: ne olofomu.
“Watakuwa wangu,” asema Bwana wa majeshi,” hazina zangu, katika siku nitakayotenda; nitawapenda, kama mtu anavyompenda mwanawe anayemhudumia.
18 Amola Na fi dunu da Na houdafa bu ba: mu. Amola hou da fa: no moloidafa dunu amoga doaga: mu da hou hisu amola hou da wadela: i hamosu dunu amoma doaga: mu da hou hisu, amo ilia da ba: mu. Amola Nama hawa: hamosu dunu ilia da hou hisu ba: mu, amola Nama fa: no bobogemu higa: i dunu ilia da hou hisu ba: mu, amo ilia da dawa: mu.
Kisha zaidi sana nitatofautisha kati ya haki wenye haki na waovu, kati ya anayemwabudu Mungu na asiyemwabudu yeye.

< Malagai 3 >