< Malagai 3 >

1 Hina Gode Bagadedafa da agoane adole iaha, “Na da Na sia: sia: na ahoasu dunu, Na logo fodoma: ne, amo asunasimu. Amasea, Hina Gode amo dilia hogoi helesa, E da hedolodafa Ea Debolo diasuga doaga: mu. Amo sia: sia: na ahoasu dunu dilia ba: mu hanai gala, amo da misini, Na gousa: su amo dilima sisia: mu.
“Angalieni, nitamtuma mjumbe wangu, atakayeiandaa njia mbele yangu. Ndipo ghafula Bwana mnayemtafuta atakuja hekaluni mwake. Mjumbe wa Agano, ambaye mnamwonea shauku, atakuja,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
2 Be e da masea, nowa da moloiwane leloma: bela: ? E da aliaguda: lalebe ba: sea, nowa da mae bogole esaloma: bela: ? E da nigima: doga: su liligi gasa bagade agoai ba: mu, amola lalu bagade amo da silifa amola gouli ledo fadegasu agoane ba: mu.
Lakini ni nani atakayeweza kustahimili hiyo siku ya kuja kwake? Ni nani awezaye kusimama atakapotokea? Kwa kuwa atakuwa kama moto wa mfua fedha au kama sabuni ya afuaye nguo.
3 E da dunu amo da silifa amola gouli amoga ledo doga: su, amo defele e da fofada: musa: misunu. Amo silifa amola gouli hahamosu dunu da silifa amola gouli amoga ledo doga: sa, amo defele Hina Gode Ea sia: sia: na ahoasu dunu da gobele salasu dunu ilima ledo doga: sea, ilia da gobele salasu noga: idafa bu gaguli misunu.
Ataketi kama mfuaji na asafishaye fedha. Atawatakasa Walawi, naye atawasafisha kama dhahabu na fedha. Kisha Bwana atakuwa na watu watakaoleta sadaka katika haki,
4 Amasea, Yelusaleme moilai bai bagade dunu amola Yuda fi dunu huluane da Hina Godema gobele salasu liligi gaguli masea, Hina Gode da musa: agoane iasu amoma hahawane ba: mu.
nazo sadaka za Yuda na Yerusalemu zitakubalika kwa Bwana, kama katika siku zilizopita, kama katika miaka ya zamani.
5 Hina Gode Bagadedafa da amane sia: sa, “Na da dilima aliaguda: lalebe ba: sea, fofada: mu galebe. Na da wadela: i hamosu dunuma fofada: mu amo fefedoasu dunu, inia uda adole lasu dunu, ogogosu dunu, nowa da ea hawa: hamosu dunuma ea bidi imunu sia: i amo hame iaha, nowa da didalo, guluba: mano amola ga fi ilima wadela: le hamosu dunu amola Nama hame nodosu dunu, amo huluane ilima Na da fofada: mu,” Hina Gode da amane sia: sa.
“Basi nitakuja karibu nanyi ili kuhukumu. Nami nitakuwa mwepesi kushuhudia dhidi ya wachawi, wazinzi, waapao kwa uongo, wanaopunja vibarua malipo yao, wanaowaonea wajane na yatima, na wanaowanyima wageni haki, lakini hawaniogopi mimi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
6 “Na da Hina Godedafa! Na da hame afadenesa. Amaiba: le, dilia Ya: igobe egaga fi mogili da hame fisi, esalebe ba: sa.
“Mimi Bwana sibadiliki. Kwa hiyo ninyi, enyi uzao wa Yakobo, hamjaangamizwa.
7 Dilia da dilia aowalali defele, Na Sema amo higabeba: le, wadela: lesi dagoi. Be wali dilia Nama sinidigima. Amasea, Na amola da dilima sinidigimu. Be dilia da Nama adole ba: sa, ‘Ninia da habodane Dima sinidigima: bela: ?’
Tangu wakati wa baba zenu mmegeukia mbali na amri zangu nanyi hamkuzishika. Nirudieni mimi, nami nitawarudia ninyi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Lakini mnauliza, ‘Tutarudi kwa namna gani?’
8 Na da dilima agoane adole ba: sa, ‘Godema ogogosu hamomu da defeala: ?’ Hame mabu! Amo da defea hame galebe. Be dilia da Nama ogogosu hou hamonana. Be dilia da Nama adole ba: sa, ‘Ninia da Dima habodane ogogosu hou hamosala: ?’ Na da dilima bu adole iaha, ‘Dilia Nama iabe, amo ‘daide’ (dilia gagui nabuane momogili, afae Nama iaha), amola hahawane udigili iasu hou amo ganodini Nama ogogosa.’
“Je, mwanadamu atamwibia Mungu? Hata hivyo mnaniibia mimi. “Lakini mnauliza, ‘Tunakuibia kwa namna gani?’ “Mnaniibia zaka na dhabihu.
9 Isala: ili dunu fi huluanedafa da Nama ogogole hedebeba: le, Na gagabusu da ilima aligisa.
Mko chini ya laana, ninyi taifa lote, kwa sababu mnaniibia mimi.
10 Be dilia ogogosu hedesu fisili, “daide” liligi huluanedafa amo Debolo diasuga gaguli misa. Amasea, Debolo diasu ganodini, ha: i manu defele agoane da ba: mu. Nama adoba: le ba: ma. Amasea, Na da Hebene logo doasili, hahawane dogolegesu hou bagadedafa amo dilima gugudili sogadigimu. Amasea, dilia da liligi noga: idafa labeba: le, lelegesu diasu da baligili nabaidafa ba: mu.
Leteni zaka kamili ghalani, ili kuwe na chakula katika nyumba yangu. Nijaribuni katika hili,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, “nanyi mwone kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni na kuwamwagieni baraka nyingi mpaka mkose nafasi ya kutosha.
11 Na da sia: beba: le, danuba: da dilia ha: i manu bugi amo hame wadela: lesimu. Amola dilia waini efe da waini fage bagohame legebe ba: mu.
Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu, wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
12 Amasea, osobo bagade fifi asi gala dunu huluane da dilia da Gode Ea hahawane dogolegei fi amo sia: mu. Bai dilia soge da fimu noga: i soge ba: mu.
“Ndipo mataifa yote yatawaita mliobarikiwa, kwa maana nchi yenu itakuwa ya kupendeza sana,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
13 Hina Gode da amane sia: sa, “Dilia da Na hou amoma lasogole bagadewane sia: su. Be dilia da agoane adole ba: sa, ‘Ninia da Dia hou olelema: ne adi sia: bela: ?’
“Mmesema vitu vigumu dhidi yangu,” asema Bwana. “Hata hivyo mnauliza, ‘Tumesema nini dhidi yako?’
14 Dilia da amane sia: su, ‘Gode Ea hawa: hamosu hamomu da hamedei. Ninia Hina Gode Bagadedafa Ea sia: amoga fa: no bobogemu amola Ema sinidigima: ne fofada: ne, asigi sia: sia: mu da hamedei liligi agoai galebe.
“Mmesema, ‘Ni bure kumtumikia Mungu. Tumepata faida gani kwa kushika maagizo yake na kwenda kama waombolezaji mbele za Bwana Mwenye Nguvu Zote?
15 Ninia ba: loba, gasa fi dunu ilia fawane da hahawane esala. Wadela: i dunu da hahawane liligi bagade gagusa. Amola, ilia da Godema wadela: i adoba: su hou hamonana, amola Gode da ilima se hame iaha,’ dilia da agoane sia: sa.”
Lakini sasa wenye kiburi wanabarikiwa. Hakika watenda mabaya wanastawi, pia hata wale wanaoshindana na Mungu ndio wanaosalimika.’”
16 Amasea, Hina Godema beda: iwane dawa: su dunu da gilisili sia: dasu. Amola Hina Gode da ilia sia: dasu nabi dagoi. Amola E ba: ma: ne, a:igele dunu da buga ganodini, dunu amola uda huluane da Hina Godema beda: iwane dawa: su amola Ema nodosu, ilia dio huluane dedei dagoi.
Ndipo wale waliomcha Bwana wakasemezana wao kwa wao, naye Bwana akasikiliza na akasikia. Kitabu cha kumbukumbu kikaandikwa mbele yake kuhusu wale ambao walimcha Bwana na kuliheshimu jina lake.
17 Amola Hina Gode Bagadedafa da amane sia: i, “Amo dunu amola uda da Na fidafa esalumu. Na eso Bagadedafa da doaga: sea, ilia da Na dunudafa esalebe ba: mu. Osobo bagade ada da ea mano amo da ea hawa: hamosa, ilima asigiba: le gogolema: ne olofosa, amo defele Na da amo dunu ilima asigimu amola gogolema: ne olofomu.
“Nao watakuwa watu wangu,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, “katika siku ile nitakapowafanya watu kuwa hazina yangu. Nitawahurumia, kama vile kwa huruma mtu amhurumiavyo mwanawe anayemtumikia.
18 Amola Na fi dunu da Na houdafa bu ba: mu. Amola hou da fa: no moloidafa dunu amoga doaga: mu da hou hisu amola hou da wadela: i hamosu dunu amoma doaga: mu da hou hisu, amo ilia da ba: mu. Amola Nama hawa: hamosu dunu ilia da hou hisu ba: mu, amola Nama fa: no bobogemu higa: i dunu ilia da hou hisu ba: mu, amo ilia da dawa: mu.
Kwa mara nyingine tena utaona tofauti kati ya wenye haki na waovu, kati ya wale wanaomtumikia Mungu na wale wasiomtumikia.

< Malagai 3 >