< Gobele Salasu 8 >

1 Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
2 “Dia Elane amola egefelali amo Na Abula Diasu logo holeiga oule misa. Gobele salasu abula amola ligiagasu susuligi, bulamagau mano (gawali) Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu hamoma: ne, sibi gawali aduna amola daba yisidi hame sali agi ga: gi amoga nabai, gaguli misa.
“Walete Aroni na wanawe pamoja naye, mavazi na mafuta ya upako, fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi, kondoo dume wawili, na kikapu cha mkate usio na hamira.
3 Amasea, dunu fi huluane amogawi gilisima: ne sia: ma.”
Ita kusanyiko lote kwenye ingilio la hema la kukutania.”
4 Mousese da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoi. Amasea, fi dunu huluane da gilisi dagosea,
Kwa hiyo Musa akafanya kama Yahweh alivyomwamru, nalo kusanyiko lilikuja pamoja mbele ya ingilio la hema la kukutania. Kisha Musa akaliambia kusanyiko,
5 e da ilima amane sia: i, “Na da wali Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i liligi amo hamomu.”
“Hivi ndivyo alivyotuamru Yahweh tutende.”
6 Mousese da Elane amola egefelali ba: le gaidiga oule misini, ilima ilia da sema defele hanoga ulima: ne sia: i.
Musa akamleta Aroni na wanawe na kuwaosha kwa maji.
7 E da Elanema da: i salasu amola abula gasisa: li. Amola abula eno bululisi. Amola e da ea bidegiga Ifode gasisa: li, amola amo ea nodomei bulu amoga ga: si.
Akamvika Aroni kanzu ya ndani yenye urefu wa kufika magotini na kumfunga ukumbuu kiunoni mwake, akamvika joho la nje lenye mikono mirefu na kumvika kile kizibao chenye vipande viwili tumboni na mgongoni na kukifunga kuzunguka kiunoni mwake kwa mshipi uliosokotwa kwa ustadi na kukikaza mwilini mwake.
8 E da bidegi ea dedebosu gasisa: lili, amo ganodini Ulimi amola Damini sali.
Kisha Musa akaweka kifuko kifuani mwa Aroni, na ndani ya kifuko hicho akaweka Urimu na Thumimu.
9 E da ea dialumaga habuga figisi amola amo ea midadi gouliga nina: hamosu mogili gagasu dawa: digima: ne olelesu sema liligi amo la: gi. E da Hina Gode ea hamoma: ne sia: i defele hamoi dagoi.
Na kisha akamfunga kiremba kichwani, na juu ya kiremba kwa mbele, akaweka bamba la dhahabu; liwe taji takatifu, kama Yahweh alivyomwamru yeye.
10 Amasea, Mousese da ligiagasu susuligi lale, Hina Gode Ea Abula Diasu amola liligi huluane amo ganodini dialu amoga legei dagoi. Amasea, liligi huluane da Hina Godema momodale ligiagai dagoi ba: i.
Musa akayatwaa hayo mafuta ya upako, akalipaka lile hema la kukutania na kila kitu kilichokuwamo ndani yake na kuvitenga kwa ajili ya Yahweh.
11 Amasea e da susuligi mogili lale, fesuale agoane oloda amola ea liligi amola ofodo bagade amola ea bai amoga Hina Godema momodale ligiagama: ne, foga: gagala: i.
Akayanyunyiza hayo mafuta juu ya madhabahu mara saba, na kisha akaipaka mafuta hiyo madhabahu na vyombo vyake vyote, na sinia la kunawia na kitako chake ili kuvitenga wa ajili ya Yahweh.
12 E da Elane mogili gagamusa: , susuligi mogili ea dialuma amo da: iya, sogadigi.
Akamimina sehemu ya mafuta ya upako juu ya kichwa cha Aroni na kisha akampaka mafuta ili kumtenga.
13 Amasea, Mousese da Elane egefelali oule misini, ilima da: i salasu amola abula bulu gasisali, amola ilia dialumaga habuga figisi-Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoi.
Musa akawaleta wana wa Aroni na kuwavika kila mmoja kanzu ya ndani yenye urefu wa kufika magotini. Kila mmoja wao akamfunga kwa ukumbuu kiunoni mwake na kuwafunga vitambaa vya kitani kichwani pao, kama vile Yahweh alivyokuwa amemru Musa.
14 Amasea, Mousese da Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu hamoma: ne, bulamagau mano gawali amo oule misini, Elane amola egefelali da ilia lobo ea dialuma da: iya ligisi.
Musa akamleta huyo fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi, naye Aroni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha fahali ambaye wamemelete kwa ajili ya sadaka ya dhambi.
15 Mousese da amo bulamagau medole legele, ea maga: me mogili lale, ea lobo sogo amoga ‘hono’ oloda ea hegomaiga diala amoga sema modale ligiagama: ne ilegei. Amasea, eno maga: me dialu amo e da oloda ea baiga sogadigi-oloda modale ligiagama: ne amola ledo fadegama: ne.
Musa akamchinja, na kisha akachukua sehemu ya damu yake kwa kidole chake na kuiweka juu ya mpembe za madhabahu, akaitakasa hiyo madhabahu, na kuitenga kwa Mungu, ambapo kwa kufanya hivyo, aliisababisha madhabahu kuwa sehemu ya kufaa kwa kufanyia upatanisho.
16 Mousese da dialumagaisa, habe ea la: idi noga: i, fogome ganumui amola sefe amoga diala amo lale, oloda da: iya gobesi.
Akachukua mafuta yote yaliyokuwa sehemu za ndani, kile kiwambo cha ini, zile figo mbili pamoja na mafuta yake, Musa akaichoma hiyo nyama yote juu ya madhabahu.
17 E da bulamagau ea da: i hodo eno dialu, - ea gadofo, ea hu amola ea iga huluane - amo lale, Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele, abula diasu gilisisu gadili gobesi dagoi.
Lakini yule fahali, ngozi yake, nyama yake na kinyesi chake, akavichoma nje ya kambi, kama vile Yehweh alivyokuwa amemwamru yeye.
18 Amasea, Mousese da sibi gawali amo Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu gobele salimusa: oule misini, Elane amola egefelali da ilia lobo ea dialuma da: iya ligisi.
Musa akamleta yule konndoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, naye Aroni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha huyo kondoo.
19 Mousese da amo sibi gawali medole legele, ea maga: me amo oloda ea afo biyaduyale gala amoga sogaga: la: gaganoi.
Musa akamchinja kondoo na kuinyunyizia damu yake kila upande wa madhabahu.
Naye akamkatakata kondoo vipande vipande na akakiteketeza kichwa chake pamoja na vile vipande na mafuta.
21 E da sibi gawali amo dadega: le, ea iga amola emo hanoga dodofele, amola sefe amola sibi gawali ea da: i hodo huluane, Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele, gobesi. Amo Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu gobele salasu da Ha: i Manu Iasu agoane ba: i, amola ea gabusiga: amo Hina Gode da hahawane nabi.
Akaziosha kwa maji zile sehemu za ndani pamoja na miguu na akamteketeza kandoo mzima juu ya madhabahu. Ilikuwa ni dhabihu ya kuteketezwa na ilitoa harufu ya kupendeza, sadaka iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamru Musa.
22 Amasea, Mousese da sibi gawali eno, gobele salasu dunu ili momogili gagama: ne, (amo da Ligiagasu Iasu) amo oule misini, Elane amola egefelali da ilia lobo amo ea dialuma da: iya ligisi.
Kisha Musa akamleta yule kondoo dume mwingine, kondoo wa kuwekwa wakfu, naye Aroni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha kondoo.
23 Mousese da amo sibi gawali medole legele, ea maga: me mogili lale, amo Elane ea lobodafadi ge gehahaya amola ea lobodafadi bi amola ea emodafadi bi amoga legei.
Aroni akamchinja, naye Musa akachukua sehemu ya damu na kuiweka kwenye ncha ya sikio la Aroni la kulia, juu ya dole gumba la mkono wake wa kulia, na kwenye kidole kikumbwa cha mguu wake wa kulia.
24 Amasea, Mousese da Elane egefelali amo oule misini, maga: me mogili lale, ilia lobodafa la: idi ge gehahaya amola ilia lobodafa bi amola ilia emodafa bi amoga legei. Amasea, e da maga: me eno dialu amo oloda ea afo biyaduyale amoga sogaga: la: gaganoi.
Akawaleta wana wa Aroni, naye akaweka sehemu ya damu ya kondoo yule kwenye ncha ya sikio lao la kulia, kwenye dole gumba lao cha mkono wa kulia na kwenye kidole chao kikubwa cha mguu wa kulia. Kisha Musa akainyunyiza damu ya huyo kila upande wa madhabahu
25 E da sefe huluane, la: go bai, dialumagaisa, habe ea la: idi noga: i, fogome ganumui amola ela sefe amola emodafa amo lai.
Naye akayatwaa yale mafuta, mafuta ya mkiani, mafuta liyolikuwa sehemu za ndani, na mafuta yafunikayo ini, zile figo mbili pamoja na mafuta yake na paja la kulia.
26 Amasea, e da agi ga: gi amoga yisidi hame sali Godema iasu, daba ganodini sali, amoga e da agi ga: gi afadafa lale, amola ga: gi eno susuligi amoga hamoi amola belowagi afae lale, amo sefe huluane amola emodafa amo da: iya ligisi.
Akachukua mkate mmoja kutoka kwenye kikapu cha mikate isiyo na hamira ambayoo ilikuwa mbele za Yahweh, akatwaa mkate moja usio na hamira, na mkate mmoja ulioandaliwa kwa mafuta, na mkate mwemba wa kaki na akaiweka juu ya mafuta na juu ya paja la kulia la kondoo.
27 E da amo ha: i manu huluane Elane amola egefelalia loboga ligisili, ilia da amo hahawane iasudafa agoane, Hina Godema ima: ne olelei.
Akaiweka yote mikoni mwa Aroni na katika mikono ya wanawe na kuitikisa mbele za Yahweh kuwa sadaka ya kutikiswa
28 Amasea, Mousese da ilima amo ha: i manu bu lale, oloda da: iya, Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu gadodili, ili momogili gagama: ne, gobesi dagoi. Amo da ha: i manu iasu, amola ea gabusiga: amo Hina Gode da hahawane nabi.
Kisha Musa akaichukua mikate hiyo kutoka mikononi mwao na kuiteketeza juu ya madhabahu kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. Zilikuwa ni sadaka ya kuwekwa wakfu na ilitoa harufu ya kupendeza. Ilikuwa sadaka iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto.
29 Amasea, Mousese da sibi gawali ea sogogea lale, Hina Godema i dagoi. Amo sogogea da ligiagasu gobele salasu sibi gawali, amo Mousese hi iabe gala. Mousese da hou huluane Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoi.
Musa akakichukua kidari na kukitikisa kuwa sadaka ya kutikiswa kwa Yahweh. Ilikuwa ni mgao wa Musa wa kondoo wa kuwekewa mikono kwa makuhani, Kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru yeye.
30 Amola, Mousese da ligiagasu susuligi mogili amola maga: me oloda da: iya dialu mogili amo lale, Elane amola egefelalia abula amoga fogaga: gala: i. E da amo hou amoga ili Godema momogili gagai dagoi.
Musa akatwaa sehemu ya mafuta ya upako na damu iliyokuwa juu ya madhabahu; naye akayanyunyiza haya juu ya nguo za Aroni, juu ya nguo zake mwenyewe na juu ya nguo za wana wa Aruni waliokua pamoja naye. Kwa njia hii alimtenga Aroni na nguo zake, na wanawe na nguo zao kwa ajili ya Yahweh.
31 Mousese da Elanema amane sia: i, “Hu amo Hina Gode Ea Abula Diasu logo holeiga gaguli masa. Amoga gobele moma! Amola agi ga: gi amo da ligiagasu iasu daba ganodini diala, Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele, moma.
Kwa hiyo Musa akawambia Aruni na wanawe, “Ipikeni nyama mbele ya ingilio la hema la kukutania, na hapo mtaila pamoja na mkate ulio kwenye kikapu cha kuwekwa wakfu, kama ilivyoamriwa, kusema, 'Aroni na wanawe wataila.'
32 Hu o agi ga: gi hame mai galea, amo laluga gobesima.
Masalio yoyote ya nyama na mikate utayateketeza kwa moto.
33 Dilia da Abula Diasu logo holeiga eso fesuale gala, amogawi esalu, ligiagasu sema hou huluane hamoi dagosea fawane yolesimu.
Na hamtatoka kwenye ingilio la hema la kukutania kwa muda wa siku saba, hata zitakapotimia siku za kuwekwa mikono kwenu. Kwa kuwa kwa muda wa siku saba, Yahweh atawaweka wakfu.
34 Hina Gode da dilia wali eso hou hamobe amo hamoma: ne sia: i. Bai dilia wadela: i hou fadegamusa:
Kilichotendeka siku hii— Yahweh ndiye amekiamru kitendekeke ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
35 Dilia mae yolesili, Abula Diasu ea logo holeiga eso amola gasi, fesuale agoane ouesaloma. Amane hame hamosea, dilia da bogosu ba: mu. Hina Gode da amo hou hamoma: ne, nama sia: i dagoi.
Mtakaa kwenye ingilio la hema la kukutania mchana na usiku siku saba, nanyi ishikeni amri ya Yahweh ili msije mkafa, kwa sababu hivi ndivyo ilivyoamriwa.
36 Amaiba: le, Elane amola egefelali da Hina Gode Ea Mousesema sia: i liligi huluane hamoi dagoi.
Kwa hiyo Aroni na wanawe wakafanya mambo yote ambayo Yahweh alikuwa amewaamru kwa kinywa cha Musa.

< Gobele Salasu 8 >