< Gobele Salasu 24 >

1 Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
Bwana akamwambia Mose,
2 “Isala: ili dunu ilima amane sia: ma, ‘Gamali amo da Hina Gode Ea Abula Diasu ganodini da mae ha: ba: dole noga: le nenanoma: ne, olife susuligi noga: idafa gaguli misa.
“Waagize Waisraeli wakuletee mafuta safi ya zeituni yaliyokamuliwa kwa ajili ya mwanga ili taa ziwe zinawaka daima.
3 Daeya huluane, Elane da gamali noga: le nenanoma: ne anegagini, e da hahabe fawane bu ha: ba: domu. Gamali da Hina Gode ba: ma: ne, abula Gode Ea Gousa: su Sema Gagili midadi gala, amo gadili nenanebe ba: mu. Amo hamoma: ne sia: i dilia eso huluane mae yolesili hamonanoma.
Nje ya pazia la Ushuhuda ndani ya Hema la Kukutania, Aroni ataziwasha taa mbele za Bwana kuanzia jioni hadi asubuhi bila kuzima. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo.
4 Elane da gamali amo da gamali bai gouliga hamoi dialebe, amo noga: le ouligima: mu. Ilia da mae ha: ba: dole, Hina Gode ba: ma: ne nenanoma: ne, Elane da noga: le ouligima: ne sia: ma.
Taa zilizo juu ya kinara cha dhahabu safi mbele za Bwana lazima zihudumiwe daima.
5 Dilia falaua gilougala: me12 agoane lale, amoga agi ga: gi gobema.
“Chukua unga laini, uoke mikate kumi na miwili, ukitumia sehemu mbili za kumi za efa za unga kwa kila mkate.
6 Agi ga: gi amo afafane, dadalesu aduna (dadalesu afae afae da agi ga: gi gafeyale gala ba: mu) fafai gouliga hamoi Hina Gode ba: ma: ne gala, amoga ligisima.
Iweke katika mistari miwili, kila mstari mikate sita, uiweke mbele za Bwana juu ya meza iliyotengenezwa kwa dhahabu safi.
7 Agi ga: gi dadalesu afae afae amoga gabusiga: manoma legemu. Amo da Hina Gode agi ga: gi mae lale, gabusiga: manoma lama: ne, Ema ha: i manu iasu defele imunu.
Kando ya kila mstari, weka uvumba safi kama sehemu ya kumbukumbu ili kuwakilisha mikate kuwa sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa kuteketezwa kwa moto.
8 Sa: bade eso huluane, mae yolesili, agi ga: gi amo Hina Gode ba: ma: ne agoane ligisima. Isala: ili dunu fi ilia da eso huluane mae yolesili amo hamoma: ne sia: i hamonanoma: mu.
Mikate hii itawekwa mbele za Bwana kila wakati, Sabato baada ya Sabato, kwa niaba ya Waisraeli, kuwa Agano la kudumu.
9 Amo agi ga: gi da Elane amola egaga fi ilia ha: i nasu. Ilia da hadigi sogebi amo ganodini manu. Bai amo da ha: i manu mogili hadigi hamoi Hina Godema olema: ne, gobele salasu dunu moma: ne iasu.
Hii ni mali ya Aroni na wanawe, watakaoila katika mahali patakatifu, kwa sababu ni sehemu takatifu sana ya fungu lao la kawaida la sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa kuteketezwa kwa moto.”
10 Dunu afae esalu, amo ea eda da Idibidi dunu amola ea ame da Isala: ili uda (ea dio da Siloumidi amola ea ada da Dibili, Da: ne fi dunu). Amo dunu da abula diasu gilisisu ganodini, Isala: ili dunu ilima sia: ga gegei. Amo sia: ga gegesu ganodini, e da Godema gagabusu aligima: ne ilegei. Amaiba: le, ilia da amo dunu Mousesema oule asi.
Basi mwana wa mama Mwisraeli na baba Mmisri alikwenda miongoni mwa Waisraeli, nayo mapigano yakatokea ndani ya kambi kati yake na Mwisraeli.
Huyu mwana wa mwanamke Mwisraeli akalikufuru Jina la Bwana kwa kulaani; kwa hiyo wakamleta kwa Mose. (Jina la mama yake aliitwa Shelomithi binti wa Dibri, wa kabila la Dani.)
12 Ilia da sosodolasu dunu amo ouligima: ne sia: ne, Hina Gode Ea olelesu lama: ne ouesala.
Nao wakamweka mahabusu mpaka mapenzi ya Bwana yawe wazi kwao.
13 Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
Ndipo Bwana akamwambia Mose:
14 “Dilia amo dunu fisisu diasu gadili oule masa. Nowa huluane da amo dunu gagabusu aligima: ne ilegei nababeba: le, ea wadela: i hou olelema: ne, ilia lobo ea dialuma da: iya ligisima: ne sia: ma. Amasea, fi dunu huluane da e igiga medole legema: mu.
“Mchukue huyo aliyekufuru nje ya kambi. Wale wote waliomsikia akikufuru wataweka mikono juu ya kichwa chake, kisha kusanyiko lote litampiga mawe.
15 Amasea, Isala: ili dunu ilima olelema. Nowa da Godema gagabusu aligima: ne ilegesea da agoane se iasu ba: mu.
Waambie Waisraeli: ‘Ikiwa mtu yeyote atamlaani Mungu wake, atakuwa na hatia kwa uovu wake;
16 E da bogosu ba: mu. Nowa Isala: ili dunu o ga fi dunu Isala: ili soge ganodini esalebe, amo da Hina Godema gagabusu aligima: ne ilegesea, Isala: ili fi ilia da amo dunu igiga medole legei ba: mu.
yeyote atakayekufuru Jina la Bwana ni lazima auawe. Kusanyiko lote litampiga kwa mawe. Iwe ni mgeni au mzawa, atakapolikufuru Jina la Bwana, ni lazima auawe.
17 Nowa da eno dunu ea hanaiga medole legesea, amo da medole legei dagoi ba: mu.
“‘Kama mtu yeyote atamuua mtu mwingine, ni lazima auawe.
18 Amola nowa da inia ea ohe amo medole legesea, e da amo ohe defele ohe ea eda ema bu ima: ne sia: ma. Hou da esalusu afae lasea, esalusu amo defele dabe imunu gala.
Mtu yeyote auaye mnyama wa mtu mwingine lazima afidie, uhai kwa uhai.
19 Nowa dunu da eno dunuma se iasea, dilia da ea se i amo defele ema se ima.
Ikiwa mtu yeyote atamjeruhi jirani yake, chochote alichomtenda naye atatendewa:
20 E da dunu eno ea gasa fisia, ea gasa defele gasa fima. E da dunu eno ea si afae wadela: sea, ea si afae amo dabe wadela: lesima. E da dunu eno ea bese gusia, ea bese amo dabele guma. E da dunu eno ema se iasu, amo defele ema se ima.
iwapo amemvunja mfupa atavunjwa mfupa, jicho kwa jicho, jino kwa jino. Kama alivyomjeruhi mwenzake, vivyo hivyo ndivyo atakavyojeruhiwa.
21 Nowa da ohe medole legesea, e da ohe eno ea medoi defele dabe ima: ne sia: ma. Be nowa da dunu medole legesea, dilia amo dabe medole legema.
Yeyote auaye mnyama wa mtu lazima alipe fidia, lakini yeyote auaye mtu, lazima auawe.
22 Amo sema da dilia huluane, Isala: ili dunu amola ga fi dilia fi amo ganodini esala, amo Na da dili huluane noga: le hamoma: ne olelei dagoi. Bai, Na da dilia Hina Gode!”
Mtakuwa na sheria iyo hiyo kwa mgeni na kwa mzawa. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.’”
23 Amo sia: Mousese da Isala: ili fi dunu ilima olelei. Amasea, ilia da amo dunu diasu gilisisu amoga gadili oule asili, igiga gala: le, medole legei dagoi. Isala: ili fi dunu da agoane Hina Gode Ea Mousesema hamoma: ne sia: i amo hamoi dagoi.
Kisha Mose akasema na Waisraeli, nao wakamchukua yule aliyekufuru nje ya kambi na kumpiga mawe. Waisraeli wakafanya kama Bwana alivyomwagiza Mose.

< Gobele Salasu 24 >