< Gobele Salasu 22 >

1 Hina Gode da Mousesema, e da Elane amola egefela elama amane sia: ma: ne sia: i, “Na Dio mae wadela: ma! Amaiba: le, sema iasu amo da Isala: ili dunu da Nama ima: ne ilegesa, amo nodone dawa: ma. Na da Hina Gode!
Bwana akamwambia Mose,
2
“Mwambie Aroni na wanawe kushughulikia kwa uangalifu sadaka takatifu Waisraeli wanazoziweka wakfu kwangu, ili wasilinajisi Jina langu takatifu. Mimi ndimi Bwana.
3 Diligaga fi dunu afae da ledo gala hamoi galea, amola e da sema iasu amo Isala: ili dunu da Nama ima: ne ilegei, amo gadenene masea, e bu oloda hawa: hamosu hamoma: ne hamedafa heda: mu. Amo sema da eso huluane dialumu. Na da Hina Gode!
“Waambie: ‘Katika vizazi vijavyo, ikiwa yeyote wa wazao wako ni najisi kwa taratibu za kiibada, naye akakaribia sadaka takatifu zile Waisraeli wanazoweka wakfu kwa Bwana, mtu huyo lazima akatiliwe mbali na uso wangu. Mimi ndimi Bwana.
4
“‘Ikiwa mzao wa Aroni ana ugonjwa wa ngozi unaoambukiza au anatokwa na usaha mwilini, hawezi kula sadaka takatifu mpaka atakasike. Pia atakuwa najisi ikiwa atagusa kitu chochote kilicho najisi kwa kugusa maiti au mtu aliyetokwa na shahawa,
5 Elane egaga fi dunu da gadofo olo bagade madelasea o ea da: i amoga guhi gadili ahoasea, e da sema iasu ha: i manu amo hame manu. E da ledo gala hamoiba: le, bu ledo hamedei ba: sea fawane bu manu. Gobele salasu dunu da ledo gala liligi (amo da bogoi da: i hodo gadenene dialu) amo digili ba: sea o ea da: iga ami gadili ahoasea, o e da ledo gala ohe o dunu digili ba: sea, e amola da ledo gala hamoi dagoi ba: mu.
au ikiwa atagusa kitu chochote kitambaacho kimfanyacho mtu najisi, au mtu yeyote awezaye kumtia unajisi, hata unajisi uwe gani.
6 Gobele salasu dunu da agoai hamosea, e da ledo hamone, daeya doaga: sea fawane bu ledo hamedei ba: mu. Be amogala e da sema ha: i manu iasu manusa: dawa: sea, e da hidadea hano ulimu.
Mtu anayegusa kitu chochote cha aina hiyo atakuwa najisi mpaka jioni. Kamwe hatakula sadaka yoyote takatifu mpaka yeye mwenyewe awe ameoga kwa maji.
7 Eso dasea, e da sema dodofei dagoi ba: mu. Amasea, e da sema ha: i manu iasu (amo da ea ha: i manu) amo manu da defea.
Wakati jua linapotua, atakuwa safi, na baadaye anaweza kula sadaka takatifu, kwa kuwa ni vyakula vyake.
8 E da ohe amo da hisu bogoi o sigua amoga medole legei, amo ea hu hame manu - sema gala. Agoai hamoi ganiaba, e da ledo gala hamona: noba. Na da Hina Gode!
Kamwe asile nyama ya mzoga wala iliyoraruliwa na wanyama pori, naye akatiwa unajisi kwa hilo. Mimi ndimi Bwana.
9 Gobele salasu dunu huluane da hamoma: ne sia: i Na iligili i, amo noga: le fa: no bobogema: ma. Agoane hame hamomu ganiaba, ilia da wadela: le hamoiba: le, bogola: loba. Bai ilia da Na hamoma: ne sia: i i, amo hame nabala: loba. Na da Hina Gode amola Na da ili hadigima: ne hamosa.
“‘Makuhani lazima washike maagizo yangu ili wasiwe na hatia, wakafa kwa kuyadharau. Mimi ndimi Bwana ninayewafanya watakatifu.
10 Gobele salasu fi dunu fawane da sema ha: i manu iasu manu da defea. Eno dunu huluane (amola nowa da gobele salasu dunu ea diasu ganodini esala o ea hawa: hamosu dunu), ilia da hamedafa manu - sema bagade.
“‘Hakuna mtu yeyote asiye wa jamaa ya kuhani anayeruhusiwa kula sadaka takatifu, hata mgeni wa kuhani au mfanyakazi wake haruhusiwi kuila.
11 Be gobele salasu dunu ea udigili hawa: hamosu dunu (ea muniga bidi lai o ea diasu ganodini lalelegei), ilia da ha: i manu gobele salasu dunuma i, amo manu da defea.
Lakini ikiwa kuhani amenunua mtumwa kwa fedha, au mtumwa amezaliwa katika nyumba ya kuhani huyo, mtumwa huyo aweza kula chakula cha huyo kuhani.
12 Gobele salasu dunu ea idiwi amo da hame gobele salasu dunu amoma fisia, da sema ha: i manu iasu amo hame manu.
Ikiwa binti wa kuhani ameolewa na mtu asiye kuhani, binti huyo haruhusiwi kula chochote cha matoleo matakatifu.
13 Be gobele salasu dunu ea idiwi amo da didalo hamoi o dunuga fisiagai, amo da mano hame amola ea eda bu ouligima: ne ea diasuga bu masea, e da sema ha: i manu ea gobele salasu eda hi iabe amo manu da defea.
Lakini ikiwa binti wa kuhani amekuwa mjane au amepewa talaka, naye hana watoto, na akarudi kuishi na jamaa ya baba yake kama wakati wa usichana wake, binti huyo anaweza kula chakula cha baba yake. Hata hivyo, mtu asiyeruhusiwa hawezi kula chochote katika chakula hiki.
14 Be dunu eno (amo da gobele salasu dunu ea sosogo fi dunu hame) amo da mae dawa: le, sema ha: i manu iasu mogili nasea, e da amo ea bidi lasu idi defele amola20% eno amo gobele salasu dunuma bu dabe imunu.
“‘Ikiwa mtu yeyote amekula sadaka takatifu kwa makosa, lazima atoe malipo ya sadaka hiyo kwa kuhani na kuongeza sehemu ya tano ya thamani ya sadaka hiyo.
Kamwe makuhani wasiinajisi sadaka takatifu ambayo Waisraeli wameitoa kwa Bwana
16 Gobele salasu dunu da sema ha: i manu iasu amo ledo gala hamosa: besa: le, ilia da eno hame ilegei dunu amo moma: ne, logo hame doasima: mu. Bai amo hame ilegei dunu da wadela: i hou hamomu ganiaba, se iasu ba: mu ganuma: loba. Na da Hina Gode amola Na da gobele salasu iasu liligi hadigi hamoma: ne hamosa.
kwa kuwaruhusu kuzila sadaka hizo takatifu, na hivyo kuwaletea hatia ya kudaiwa malipo. Mimi ndimi Bwana niwafanyaye watakatifu.’”
Bwana akamwambia Mose,
18 Hina Gode da Mousesema e da Elane, egefela amola Isala: ili dunu huluane ilima hamoma: ne sia: i hagudu dedei ilima olelema: ne sia: i. “Isala: ili dunu o ga fi Isala: ili soge ganodini esala, amo da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu gobele salasu iasea (e da amo ima: ne ilegei o Godema hahawaneba: le udigili iaha) e da ohe noga: idafa wadela: i hame gala fawane ima: ne sia: ma.
“Sema na Aroni na wanawe, na Waisraeli wote uwaambie: ‘Ikiwa mmoja wenu, aliye Mwisraeli au mgeni anayeishi katika nchi ya Israeli, atatoa matoleo kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa kwa moto kwa Bwana, iwe kutimiza nadhiri au kuwa sadaka ya hiari,
19 Ohe amo da gawali amola wadela: i hamedafa gala, amo fawane imunu.
lazima mtoe mnyama dume asiye na dosari, akiwa ngʼombe, mbuzi au kondoo, ili aweze kukubalika kwa niaba yako.
20 Be dilia da wadela: i gala ohe amo imunusa: dawa: sea, Hina Gode da amo iasu hame lamu.
Kamwe usitoe kitu chochote chenye dosari kwa sababu hakitakubaliwa kwa niaba yako.
21 Nowa da Hahawane Gilisili Olofole Iasu Hina Godema imunusa: dawa: sea, (e da amo imunusa: ilegei o Godema hahawaneba: le, udigili iaha) amo ohe amola da wadela: i hame gala liligi fawane ima.
Mtu yeyote aletapo sadaka ya amani kwa Bwana kutoka kundi la ngʼombe au mbuzi ili kutimiza nadhiri maalum au sadaka ya hiari, lazima sadaka hiyo isiwe na dosari au waa ili ikubalike.
22 Ohe amo da si dofoi o emo gasuga: igi o fofa: gi o aiya o baho gala, agoai ohe Hina Godema mae ima. Amola agoai ohe amo ha: i manu iasu oloda da: iya mae gobesima.
Kamwe usimtolee Bwana mnyama aliye kipofu, aliyejeruhiwa wala aliye kilema, au chochote kilicho na uvimbe, au chenye upele au vidonda vinavyotoka usaha. Kamwe chochote cha aina hii kisiwekwe juu ya madhabahu kuwa sadaka iliyotolewa kwa Bwana ya kuteketezwa kwa moto.
23 Dilia ohe amo da noga: le hame alei o fonobahadi wadela: i amo hahawane udigili iasu agoane imunu da defea, be gobele salasu ilegei agoane mae ima.
Lakini waweza ukatoa ngʼombe au kondoo mwenye kilema au aliyedumaa kama sadaka ya hiari, lakini hii haitakubalika kuwa sadaka ya kutimiza nadhiri.
24 Amola ohe amo ea gulusu da lologoi o fa: ginisi o fofonomai o danai, agoai ohe Hina Godema mae ima. Isala: ili soge ganodini, amo iasu hou da sema bagade.
Kamwe usimtolee Bwana mnyama ambaye mapumbu yake yamejeruhiwa, au kuhasiwa, au kuraruliwa au kukatwa. Kamwe usifanye hivi katika nchi yako mwenyewe,
25 Dilia ha: i manu iasu imunusa: , ohe amo dilia da ga fi amoga lai mae ima. Hina Gode da amo ohe da wadela: i ba: mu, amola e da amo hame lamu.
na kamwe usikubali wanyama wa aina hii kutoka mkono wa mgeni ili kuwatoa wanyama hao kuwa chakula kwa Mungu wako. Wanyama hao hawatakubaliwa kwa niaba yako, kwa sababu wana vilema, nao wana dosari.’”
Bwana akamwambia Mose,
27 Bulamagau mano o sibi mano o goudi mano da lalelegesea, e da ea ame amola gilisili eso fesuale esalumu. Amalalu, amo lale, ha: i manu gobele iasu hamoma: ne imunu da defea.
“Wakati ndama, mwana-kondoo au mwana-mbuzi azaliwapo, atabaki na mama yake kwa siku saba. Kuanzia siku ya nane na kuendelea anaweza kukubaliwa kuwa sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa kuteketezwa kwa moto.
28 Bulamagau amola ea mano o sibi amola ea mano o goudi amola ea mano amo eso afaega gilisili gobele salasu hamomusa: mae hamoma.
Usimchinje ngʼombe na ndama wake, au kondoo na kitoto chake siku moja.
29 Hina Gode da dili hahawane gousa: ma: ne, dilia Ema nodomusa: gobele salasu iasea, sema hamoi amo noga: le fa: no bobogema.
“Unapomtolea Bwana dhabihu ya shukrani, itoe kwa namna ambayo itakubalika kwa niaba yako.
30 Amo ha: i manu iabe goe, eso amoga dilima i, amoga fawane moma. Golale hahabe manusa: , mae yolesima.
Ni lazima iliwe siku iyo hiyo, pasipo kubakiza chochote mpaka asubuhi. Mimi ndimi Bwana.
31 Hina Gode da amane sia: i, “Na sema amo nabawane hamoma! Na da Hina Gode!
“Shikeni maagizo yangu na kuyafuata. Mimi ndimi Bwana.
32 Na Hadigi Dio amo mae wadela: ma. Isala: ili dunu huluane da Na Hadigi amo sia: ma: mu. Na da Hina Gode amola Na da dilia hadigi hamoma: ne hamosa.
Msilinajisi Jina langu takatifu. Lazima nikubalike kuwa mtakatifu kwa Waisraeli. Mimi ndimi Bwana ninayewafanya watakatifu,
33 Na da dilia Gode esaloma: ne, dili Idibidi sogega fisili masa: ne asunasi. Na da Hina Gode!
na niliyewatoa katika nchi ya Misri niwe Mungu wenu. Mimi ndimi Bwana.”

< Gobele Salasu 22 >