< Gobele Salasu 14 >

1 Hina Gode da Mousesema dunu da gadofo oloi uhibiba: le, ledo hamedei hamoma: ne amane olelei, “Eso amoga ilia da amo dunu da ledo hamedei hamoi dagoi sia: sea, ilia da amo dunu gobele salasu dunu ema oule masunu.
Yahwe alizungumza na Musa, akisema,
2
“Hii itakuwa sheria kwaajili ya mtu aliyekufa kwenye siku ya utakaso. Lazima aletwe kwa kuhani.
3 Gobele salasu dunu da dunu ilia esalebe amoga gadili oule asili, ea hou ba: mu. Ea oloi da uhi dagoi ba: sea,
Kuhani atakwenda nje ya kambi kumchunguza mtu kuona kama madhara ya ugonjwa wa ngozi yameponywa.
4 gobele salasu dunu da ledo hamedei sio aduna amola dolo ifa dudiai amola yoi efe amola ‘hisobe’ amoda lulubila, amo ema gaguli misa: ne sia: mu.
Ndipo kuhani ataamuru kwamba mtu mwenye kutakaswa lazima achukue ndege safi wawili, waliohai, mti wa mwerezi, kitani nyekundu na hisopo.
5 Amasea, gobele salasu dunu da sia: beba: le, ilia da sio afae amo osoboga hamoi ofodo amo ganodini si hano sali, amo gadodili medole legemu.
Kuhani atamwamuru kuua moja ya hao ndege juu ya maji safi yaliyo kwenye chungu cha udongo.
6 Gobele salasu dunu da sio eno lale, amo amola dolo ifa amola yoi efe amola ‘hisobe’ amoda musa: sio ea maga: me ganodini gemu.
Ndipo kuhani atamchukua ndege aliyehai na mti wa mwerezi, na kitani nyekundu na hisopo, na vyote hivi, pamoja na ndege aliyehai atavichovya kwenye damu ya ndege aliyechinjiwa kwenye maji safi.
7 E da amo maga: me fesuale agoane dunu amo da gadofo oloi bagade galu amoga fogaga: ga: la: mu. Amasea, e da amo dunu da ledo hamedei hamoi dagoi sia: mu. Amasea, e da sio hame medoi amo hahawane hagili masa: ne yolesimu.
Ndipo kuhani atanyunyiza maji haya mara saba juu ya mtu anayetakaswa katika ugonjwa, na ndipo kuhani atamtangaza kuwa msafi. Ndipo kuhani atamwachia ndege aliyehai katika eneo wazi.
8 Dunu amo da gadofo oloi bagade galu da hi abula dodofelalu, ea hinabo huluane waga: mu amola hano ulimu. Amasea, e da ledo hamedei hamoi dagoi ba: mu. E da diasu gilisisu ganodini misunu da defea, be e da ea abula diasu amoga gadili eso fesuale esalumu.
Mtu aliyetakaswa atafua nguo zake, atanyoa nywele zake zote, ataoga kwa maji, na ndipo atakuwa safi. Baada ya hayo lazima aje kwenye kambi, lakini ataishi nje ya hema lake kwa siku saba.
9 Eso fesuga e da bu ea dialuma amola maya: bo amola si hinabo amola hinabo huluane ea da: iga dialebe amo waga: mu. E da ea abula dodofelalu, hano ulimu. Amasea, e da ledo hamedei hamoi dagoi ba: mu.
Katika siku ya saba lazima anyoe nywele za kichwa chake, na lazima pia anyoe ndevu zake na nyusi. Lazima anyoe nywele zake zote, na lazima afue nguo zake na aoge kwenye maji; ndipo atakuwa safi.
10 Eso godo amoga e da gawali sibi mano aduna amola aseme sibi mano afadafa (amo da ode afaega lalelegei amola noga: idafa ledo hamedei) amola3 gilougala: me falaua amo da olife susuligi amola bibiagone gilisi, amola1/3 lida olife susuligi, amo gaguli misunu.
Katika siku ya nane lazima achukue dume wa wana kondoo wawili wasio na lawama, mwana kondoo jike wa mwaka mmoja asiye na lawama, na tatu ya kumi ya efa ya unga safi uliochanganywa mafuta kama sadaka ya nafaka, na kipimo kimoja cha mafuta.
11 Amasea, gobele salasu dunu da amo dunu amola ea gobele salasu liligi, amo Hina Gode Ea Abula Diasu logo holeiga oule masunu.
Kuhani ambaye amemtakasa mtu atamsimamisha mtu ambaye aliyemtakasa, pamoja na vile vitu, mbele ya Yahwe mahali pa kuingilia kwenye hema ya mkutano.
12 Amasea, gobele salasu dunu da gawali sibi mano afae amola1/3lida olife susuligi amola Hina Godema Iasu dabe ima: ne imunu. Amo da gobele salasu dunu ea Hina Godema iasu liligi.
Kuhani atachukua mmoja wa wanakondoo dume na kumtoa kama sadaka ya hatia, pamoja na kipimo cha mafuta; atavitikisa kwa sadaka ya kutikiswa mbele ya Yahwe.
13 E da sogebi amoga ilia ohe Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofosu Iasu gobele salasu amola ohe Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu hamoma: ne medole legesa, amo sogebiga amo gawali sibi mano medole legemu. Bai Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu gobele salasu iasu amola Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu amo defele, Dabe Ima: ne Iasu da gobele salasu dunu ea liligi, amola hadigidafa gala.
Lazima aue mwana kondoo dume mahali ambapo wanapochinjia sadaka ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa, katika eneo la hema, sababu sadaka ya dhambi ni ya kuhani, kama afanyavyo sadaka ya hatia, kwasababu ni takatifu zaidi.
14 Gobele salasu dunu da sibi mano ea maga: me mogili lale, dunu amo e da ledo hamedei hamomusa: dawa: sa, amo ea lobodafadi gehahaya amola ea lobodafa bi amola ea emodafa bi amoga legemu.
Kuhani atachukua baadhi ya damu ya sadaka ya hatia na kuiweka kwenye ncha ya sikio la kulia la mtu yule wa kutakaswa, katika dole gumba la kulia, katika dole la mguu wa kulia.
15 Gobele salasu dunu da olife susuligi mogili lale, hi lobo fofadi gafe amoga sogadigimu.
Ndipo kuhani atachukua mafuta kutoka chombo na kuyamimina katika kiganja cha mkono wake wa kushoto, na kuzamisha kidole chake katika mafuta hayo yaliyo kwenye mkono wa kushoto,
16 E da ea lobodafa lobosogo amo susuligi ganodini gele, Hina Gode ba: ma: ne fesuale agoane fogaga: ga: lamu.
na kunyunyiza baadhi ya mafuta kwa kidole mara saba mbele za Yahwe.
17 E da susuligi ea lobodafa gafe ganodini diala amoga mogili lale, amola sibi mano ea maga: me mogili lale, dunu amo e da ledo hamedei hamomusa: dawa: sa, amo ea lobodafadi gehahaya amola ea lobodafa bi amola ea emodafa bi amoga legemu.
kuhani ataweka mafuta yaliyobaki kwenye mkono wake kwenye ncha ya sikio la kulia la mtu wa kutakaswa, juu ya dole gumba la mkono wa kulia, na katika dole kubwa la mguu wa kulia. Lazima aweke mafuta haya juu ya damu kutoka kwenye sadaka ya hatia.
18 Gobele salasu dunu da susuligi eno ea lobodafa gafe da: iya diala amo huluane dunu ea dialuma amoga sogadigimu. E da amo dunu sema dodofei dagoi hamoma: ne agoane hamoma: mu.
Kama kwa mafuta yaliyosalia kwamba katika mkono wa kuhani, atayaweka juu ya kichwa cha mtu ambaye atakaswaye, na kuhani atafanya utakaso kwaajili yake mbele za Yahwe.
19 Amasea, gobele salasu dunu da Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu hou hamomu, amola ledo hamedei hamoma: ne hou hamomu. Amalalu, e da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu hamoma: ne, amo ohe medole legemu.
Ndipo kuhani atatoa sadaka ya dhambi na kufanya upatanisho kwaajili yake atakaswaye kwa sababu ya kutokuwa safi kwake, na badaye ataua sadaka ya kuchomwa.
20 Amola e da amo ohe amola ‘gala: ine’ iasu gilisili oloda da: iya gobele salimu. E da amomane dodofesu hou hamomu. Amasea, musa: ledo hamoi dunu amo da ledo hame hamoi dagoi sia: mu.
Ndipo kuhani atatoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya nafaka juu ya madhabahu. Kuhani atafanya upatanisho kwaajili ya mtu huyo, na ndipo atakuwa safi.
21 Be dunu da hame gaguiwane galea amola musa: sia: i liligi gaguli misunu hamedei ba: sea, e da ea hou hahamomusa: , sibi mano afadafa fawane gobele salasu dunu Hina Godema ima: ne gaguli misunu. Amola e da1 gilougala: me falaua olife susuligi amoga gilisi amola1/3 lida olife susuligi amo gala: ine iasu gaguli misunu.
Kwa namna hiyo, kama mtu ni masikini na hawezi kumudu matoleo haya, ndipo anaweza kuchukua kondoo mmoja dume kama sadaka ya hatia ya kutikiswa, kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe, na moja ya kumi ya efa ya unga safi uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka, na chombo cha mafuta,
22 E da dafe sio aduna o musuni sio aduna amola gaguli misunu. Sio afae da Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu amola sio eno da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu hamoma: ne.
pamoja na njiwa wawili au kinda mbili za njiwa, ambao anaweza kupata; ndege mmoja atakuwa sadaka ya dhambi na mwingine sadaka ya kuteketezwa.
23 Ea dodofesu hou eso godoane gala amoga e da amo liligi gobele salasu dunu Hina Gode Ea Abula diasu logo holeiga gaguli misunu.
Katika siku ya nane lazima awalete kwa kuhani kwaajili ya utakaso, pakuigilia katika hema ya mkutano, mbele ya Yahwe.
24 Gobele salasu dunu da sibi mano amola olife susuligi lale, gobele salasu dunu ea iasudafa agoane Hina Godema imunu.
Kuhani atachukua mwana kondoo kwaajili ya sadaka, na atachukua pamoja na kiasi cha mafuta ya mzeituni, na ataviinua juu kama anaviwasilisha kwa Yahwe.
25 E da sibi mano medole legele, amo ea maga: me mogili lale, dunu ea lobodafadi gehahaya amola ea lobodafa bi amola ea emodafa bi amoga legemu.
Atamuua mwana kondoo kwaajili ya sadaka ya hatia, na atachukua baadhi ya ya damu ya sadaka ya hatia na kuiweka juu ya ncha ya sikio la kulia la yule wakutakaswa, juu ya dole gumba la mkono wake wa kulia, na kwenye dole kubwa la mguu, wa kulia.
26 Gobele salasu dunu da susuligi mogili ea lobo fofadi gafe amoga sogadigili,
Ndipo kuhani atamimina baadhi ya mafuta katika kiganja cha mkono wake wa kushoto,
27 amola ea lobodafa lobosogo amo susuligi ganodini gele, Hina Gode ba: ma: ne, amo susuligi fesuale agoane fogaga: gala: mu.
na atanyunyiza kwa kidole chake cha kulia baadhi ya mafuta ambayo yako kwenye mkono wa kushoto mara saba mbele za Yahwe.
28 E da susuligi mogili amo sogebi e da maga: me legei, amoga legemu; amo dunu ea gedafa gehahaya amola ea lobodafa bi amola ea emodafa bi amoga.
Ndipo kuhani ataweka kiasi cha mafuta ambayo yako kwenye mkono wake kwenye ncha ya sikio la yule mtu wa kutakaswa, katika dole gumba lake la mkono wa kulia, na dole kubwa la mguu wa kulia, maeneo yale yale ambayo kaweka damu ya sadaka ya hatia.
29 Susuligi eno diala amo e da dunu ea dialuma da: iya sogadigimu. E da agoane amo dunu ledo hamedei hamoma: ne hou hamoma: mu.
Ataweka mafuta yaliyobaki yaliyo mkononi mwake juu ya yule wakutakaswa, kufanya upatanisho kwaajili yake mbele za Yahwe.
30 Amasea, e da dafe sio afae o musuni sio afae amo iasu hamomu.
Lazima atoe sadaka ya njiwa au makinda ya njiwa, yale ambayo mtu ameweza kupata -
31 Sio afae da Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu amola sio eno da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu. E da gala: ine iasu amola gilisili gobele salasu hamomu. E da agoane amo dunu ledo hamedei hamoma: ne hou hamomu.
moja kama ya sadaka ya dhambi na nyingine kama sadaka ya kuteketezwa, pamoja na sadaka ya nafaka. Ndipo kuhani atafanya upatanisho kwaajili ya yule ambaye atatakaswa mbele za Yahwe.
32 Amo sema da dunu amoga gadofo oloi bagade madelai, e bu ledo hamedei hamoma: ne hanai be hame gaguiba: le, sema liligi huluane imunu hamedei ba: sea. Hou da agoane gala.
Hii ni sheria kwaajili ya mtu kwake kuna athari za ugonjwa wa ngozi, ambaye hawezi kumudu kiwango cha sadaka kwaajili ya utakaso wake.”
33 Hina Gode da Mousese amola Elanema hamoma: ne sia: i eno olelei. Ilia da diasu ganodini amo gagoba: iga giagala: i bagade ba: sea, agoane hamoma: ne sia: i. (Amo sema, Hina Gode da Isala: ili dunu ilima Ga: ina: ne soge ia dagosea, amola ilia da amo ganodini fila ahoasea, agoane hamoma: ne sia: i).
Yahwe alizungumza na Musa na Haruni, akisema,
“Wakati mtakuja katika nchi ya Kanaani ambayo nimewapa kama miliki, na kama naweka ukungu unaenea ndani ya nyumba katika nchi ya miliki yenu,
35 “Nowa dunu da hi diasu ganodini gagoba: iga giagala: i ba: sea, e da gobele salasu dunu ema olelemusa: masa: ne sia: ma.
ndipo yeye ambaye anamiliki nyumba ile lazima aje na kumwambia kuhani. Lazima aseme 'Inaonekana kwangu kuna kitu fulani kama ukungu ndani ya nyumba yangu.'”
36 Gobele salasu dunu da liligi huluane amo diasu ganodini diala, gadili fadegama: ne sia: mu. Amasea, e da amo gagoba: iga giagala: i ba: la masunu. Be liligi huluane gadili hame fadegasea, e da amo liligi huluane da ledo gala hamoi dagoi sia: mu. Amasea, e da amo diasuga,
Ndipo kuhani ataamuru kwamba watoe vitu vyote ndani kabla hajaenda ndani kuona uthibitisho wa ukungu, kiasi kwamba hakuna ndani ya nyumba kitakachofanywa najisi. Badaye kuhani lazima aende ndani kuona humo ndani.
37 gagoba: iga giagala: i ba: la masunu. E da yoi o mola: iyai daginisi amo diasu ea dobea amoga nuisa ahoabe ba: sea,
Yeye lazima achunguze ukungu kuona kama umo katika kuta za nyumba, na kuona ikiwa kunaonekana ukijani au wekundu katika bonde za mwonekano wa kuta.
38 e da amo diasu yolesili, logo ga: silalu, eso fesuale yolesimu.
Kama nyumba inao ukungu, ndipo kuhani atatoka nje ya nyuma na kufunga mlango wa nyumba kwa siku saba.
39 Eso fesuga e da bu misini, diasu bu ba: mu. Gagoba: iga giagala: i da bu ai ahoabe ba: sea,
Ndipo kuhani atarudi tena katika siku ya saba na kuichunguza kuona kama ukungu umeenea katika kuta za nyumba.
40 e da igi amoga gagoba: iga giagala: i dialebe, amo fadegale, gadili ledo gala sogebi moilai gadili dialebe amoga ha: digima: ne sia: mu.
Kama hivyo, ndipo kuhani ataamuru kwamba wayaondoe mawe ambayo ukungu umepatikana na yatupwe katika sehemu najisi nje ya mji.
41 Amasea, e da sia: beba: le, ilia da dobea amogili huluane baholesisilalu, amo liligi amola ledo gala hamoi sogebi moilai gadili dialebe amoga galagamu.
Yeye atataka kuta zote za ndani ya nyumba zikwanguliwe, na lazima achukue vitu vilivyochafuliwa na hivyo vilivyokwanguliwa nje ya mji na kuvitupa kwenye eneo lisilosafi.
42 Amasea, ilia da igi eno musa: igi galagai ilia sogebi amoga legemu amola dobea amoga bu gaheabonone bahoseselesimu.
Lazima wayachukue mawe mengine na kuyaweka katika sehemu ya mawe yaliyoondolewa, na lazima watumie udongo mpya kupigia lipu nyumba.
43 Be amo hou huluane hamoi dagosea amola fa: no gagoba: iga giagala: i da amo diasuga bu ba: sea,
Kama ukungu unakuja tena na unaingia katika nyumba ambayo mawe yameondolewa na kuta zimekwanguliwa na kupigwa lipu upya,
44 gobele salasu dunu da bu ba: la masunu. Gagoba: iga giagala: i da bu ai ahoabe ba: sea, diasu da ledo hamoi dagoi, e da sia: mu.
ndipo kuhani lazima aje aingie ndani na kuchunguza nyumba kuona kama ukungu umeenea ndani ya nyumba. Kama hivyo, huo ni ukungu mbaya, na nyumba ni najisi.
45 Amasea, amo diasu mugululi, ea igi amola ea ifa amola ea bahoseselesi huluane ledo gala sogebi moilai gadili dialebe amoga gaguli masa: ne sia: mu.
Nyumba hiyo lazima iangushwe chini. Hayo mawe, mbao, na lipu yote ndani ya nyumba lazima vibebwe kupelekwa nje ya mji kwenye sehemu najisi.
46 Be diasu da logo hamoi dialea, nowa da ganodini golili dasea da ledo hamoi dagoi ba: mu. Daeya doaga: sea fawane bu dodofei dagoi ba: mu.
Kwa nyongeza, yeyote anaenda ndani ya nyumba wakati imefungwa atakuwa najisi mpaka jioni.
47 Amola nowa da amo diasu ganodini golala dasea o ha: i nasea, e da ea abula huluanedodofema: ne sia: ma.
Na yeyote aliyelala ndani ya nyumba lazima afue nguo zake, na yeyote aliyekula ndani ya nyumba lazima afue nguo zake.
48 Be agoai diasu da bahosesema: ne gaheabolo legebeba: le, gobele salasu dunu ba: la masea, gagoba: iga giagala: i da hamewane ba: sea, e da amo diasu da ledo hamedei hamoi dagoi sia: mu. Bai gagoba: iga giagala: i huluane da fadegai dagoiba: le.
Kama kuhani akaingia hiyo kuichunguza kuona ikiwa ukungu umeenea katika nyumba baada ya nyumba kupigwa lipu, ndipo, kama ukungu umetoweka, ataitangaza nyumba hiyo kuwa ni safi.
49 Amo diasu da sema ganodini ledo hamedei, amo hamoma: ne, e da sio aduna amola dolo ifa amola yoi efe amola ‘hisobe’ amoda fonobahadi lamu.
Ndipo kuhani lazima achukue ndege wawili kuitakasa nyumba, na mti wa mwelezi, na sufu nyekundu, na hisopo.
50 Amasea, e da sio afae amo osoboga hamoi ofodo amo ganodini nasegagi gu hano sali, amo gadodili medole legemu.
Atamuua ndege mmojawapo katika maji masafi kwenye dumu la udongo.
51 Amasea, e da dolo ifa amola ‘hisobe’, amola yoi efe, amola sio hame medoi amo lale, sio eno ea maga: me amola gu hano amo ganodini gemu. Amola e da amo maga: mega, diasu amoga fesuale agoane fogaga: gala: mu.
Atachukua mti wa mwerezi, hisopo, sufu nyekundu na ndege aliyehai, na kuvichovya kwenye damu ya ndege aliyekufa, kwenye maji safi, na kunyunyizia nyumba mara saba.
52 E da amomane, sio ea maga: me amola nasegagi gu hano amola sio hame medoi amola dolo ifa amola hisobe amola yoi efe amoga diasu da ledo hamedei hamoi dagoi hamomu.
Ataitakasa nyumba kwa damu ya ndege na maji safi, pamoja na ndege aliyehai, mti wa mwerezi, hisopo, na sufu nyekundu. Lakini atamwachia ndege aliyehai aende nje ya mji mashambani.
53 Amasea, e da sio hame medoi amo hagili masa: ne, logo doasimu. E da amo ledo fadegama: ne hou hamosea, diasu da ledo hamedei, dodofei dagoi sia: mu.
Kwa njia hii lazima afanye upatanisho kwaajili ya nyumba, na itakuwa safi.
54 Amo da gadofo olo bagade ea sema dedei dagoi.
Hii ni sheria kwa aina zote za athari ya ugonjwa wa ngozi na vitu vyote vinavyosababisha ugonjwa kama huo, na kwaajili ya kuwashwa,
na kwa ukungu kwenye mavazi na nyumba,
56 Gadofo olo amola aiya amola dului amola gagolobale gala: i. Amola gagoba: iga giagala: i abula o diasu ganodini gala.
kwaajili ya uvimbe, kwaajili ya vipele, madoa,
57 Amo sema dawa: beba: le, dilia da liligi da ledo gala o ledo hamedei noga: le dawa: mu.
kutambua wakati wowote tatizo hili ni najisi au lini limetakaswa. Hii ni sheria kwaajili ya athari za ugonjwa wa ukungu.

< Gobele Salasu 14 >