< Gobele Salasu 14 >

1 Hina Gode da Mousesema dunu da gadofo oloi uhibiba: le, ledo hamedei hamoma: ne amane olelei, “Eso amoga ilia da amo dunu da ledo hamedei hamoi dagoi sia: sea, ilia da amo dunu gobele salasu dunu ema oule masunu.
Bwana akamwambia Mose,
2
“Haya ndiyo masharti yamhusuyo mtu mgonjwa wakati wa kufanyiwa ibada ya utakaso wakati aletwapo kwa kuhani:
3 Gobele salasu dunu da dunu ilia esalebe amoga gadili oule asili, ea hou ba: mu. Ea oloi da uhi dagoi ba: sea,
Kuhani atakwenda kumchunguza nje ya kambi. Kama mtu huyo atakuwa amepona ugonjwa wake wa ngozi wa kuambukiza,
4 gobele salasu dunu da ledo hamedei sio aduna amola dolo ifa dudiai amola yoi efe amola ‘hisobe’ amoda lulubila, amo ema gaguli misa: ne sia: mu.
kuhani ataagiza vitu vifuatavyo viletwe kwa ajili ya mtu atakayetakaswa: ndege wawili safi walio hai, mti wa mwerezi, kitani nyekundu, na hisopo.
5 Amasea, gobele salasu dunu da sia: beba: le, ilia da sio afae amo osoboga hamoi ofodo amo ganodini si hano sali, amo gadodili medole legemu.
Kisha kuhani ataagiza kwamba mmoja wa ndege wale achinjwe kwenye chungu chenye maji safi.
6 Gobele salasu dunu da sio eno lale, amo amola dolo ifa amola yoi efe amola ‘hisobe’ amoda musa: sio ea maga: me ganodini gemu.
Kisha kuhani atamchukua ndege aliye hai na kumtumbukiza pamoja na mti wa mwerezi, kitani nyekundu na hisopo ndani ya damu ya yule ndege aliyechinjiwa kwenye maji safi.
7 E da amo maga: me fesuale agoane dunu amo da gadofo oloi bagade galu amoga fogaga: ga: la: mu. Amasea, e da amo dunu da ledo hamedei hamoi dagoi sia: mu. Amasea, e da sio hame medoi amo hahawane hagili masa: ne yolesimu.
Atamnyunyizia yule mwenye ugonjwa wa kuambukiza maji hayo mara saba, na kumtangaza kuwa safi. Kisha atamwachia yule ndege aliye hai aende zake kwenye mashamba.
8 Dunu amo da gadofo oloi bagade galu da hi abula dodofelalu, ea hinabo huluane waga: mu amola hano ulimu. Amasea, e da ledo hamedei hamoi dagoi ba: mu. E da diasu gilisisu ganodini misunu da defea, be e da ea abula diasu amoga gadili eso fesuale esalumu.
“Huyo mtu atakayetakaswa ni lazima afue nguo zake, anyoe nywele zake zote, na aoge kwa maji; ndipo atakapokuwa safi kwa desturi ya ibada. Baada ya hili anaweza kuingia kambini, lakini ni lazima akae nje ya hema lake kwa siku saba.
9 Eso fesuga e da bu ea dialuma amola maya: bo amola si hinabo amola hinabo huluane ea da: iga dialebe amo waga: mu. E da ea abula dodofelalu, hano ulimu. Amasea, e da ledo hamedei hamoi dagoi ba: mu.
Siku ya saba ni lazima anyoe nywele zake zote; yaani anyoe nywele za kichwa, ndevu zake, kope zake na nywele nyingine zote. Ni lazima afue nguo zake, na aoge kwa maji, naye atakuwa safi.
10 Eso godo amoga e da gawali sibi mano aduna amola aseme sibi mano afadafa (amo da ode afaega lalelegei amola noga: idafa ledo hamedei) amola3 gilougala: me falaua amo da olife susuligi amola bibiagone gilisi, amola1/3 lida olife susuligi, amo gaguli misunu.
“Siku ya nane, ni lazima alete kondoo dume wawili na kondoo jike mmoja, wote wa mwaka mmoja na wasio na dosari, pamoja na sehemu tatu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta, kwa ajili ya sadaka ya nafaka, na logi moja ya mafuta.
11 Amasea, gobele salasu dunu da amo dunu amola ea gobele salasu liligi, amo Hina Gode Ea Abula Diasu logo holeiga oule masunu.
Kuhani atakayemtangaza kuwa safi atahitaji kumkabidhi mgonjwa aliyepona pamoja na sadaka zake zote mbele za Bwana katika ingilio la Hema la Kukutania.
12 Amasea, gobele salasu dunu da gawali sibi mano afae amola1/3lida olife susuligi amola Hina Godema Iasu dabe ima: ne imunu. Amo da gobele salasu dunu ea Hina Godema iasu liligi.
“Kisha kuhani atamchukua mmoja wa wale kondoo dume na kumtoa kuwa sadaka ya hatia, pamoja na ile logi moja ya mafuta; ataviinua mbele za Bwana kuwa sadaka ya kuinuliwa.
13 E da sogebi amoga ilia ohe Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofosu Iasu gobele salasu amola ohe Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu hamoma: ne medole legesa, amo sogebiga amo gawali sibi mano medole legemu. Bai Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu gobele salasu iasu amola Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu amo defele, Dabe Ima: ne Iasu da gobele salasu dunu ea liligi, amola hadigidafa gala.
Atamchinja huyo kondoo katika mahali patakatifu ambapo sadaka ya dhambi na ile ya kuteketezwa huchinjiwa. Kama ilivyo sadaka ya dhambi, sadaka ya hatia ni ya kuhani; nayo ni takatifu sana.
14 Gobele salasu dunu da sibi mano ea maga: me mogili lale, dunu amo e da ledo hamedei hamomusa: dawa: sa, amo ea lobodafadi gehahaya amola ea lobodafa bi amola ea emodafa bi amoga legemu.
Kuhani atachukua sehemu ya damu ya sadaka ya hatia na kuitia kwenye ncha ya sikio la kuume la yule atakayetakaswa, kwenye kidole gumba cha mkono wake wa kuume, na kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume.
15 Gobele salasu dunu da olife susuligi mogili lale, hi lobo fofadi gafe amoga sogadigimu.
Kuhani atachukua sehemu ya ile logi ya mafuta, ayamimine kwenye kiganja cha mkono wake mwenyewe wa kushoto,
16 E da ea lobodafa lobosogo amo susuligi ganodini gele, Hina Gode ba: ma: ne fesuale agoane fogaga: ga: lamu.
na achovye kidole chake cha shahada cha mkono wake wa kuume kwenye mafuta yaliyoko kwenye kiganja chake, na kwa kidole hicho anyunyize mafuta hayo mara saba mbele za Bwana.
17 E da susuligi ea lobodafa gafe ganodini diala amoga mogili lale, amola sibi mano ea maga: me mogili lale, dunu amo e da ledo hamedei hamomusa: dawa: sa, amo ea lobodafadi gehahaya amola ea lobodafa bi amola ea emodafa bi amoga legemu.
Kuhani atampaka yule anayetakaswa sehemu ya mafuta yaliyobaki kiganjani kwenye ncha ya sikio lake la kuume, kwenye kidole gumba cha mkono wake wa kuume, na kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume, mahali palepale alipompaka damu ya sadaka ya kuondoa hatia.
18 Gobele salasu dunu da susuligi eno ea lobodafa gafe da: iya diala amo huluane dunu ea dialuma amoga sogadigimu. E da amo dunu sema dodofei dagoi hamoma: ne agoane hamoma: mu.
Kuhani atayapaka mafuta yaliyobaki kwenye kiganja chake juu ya kichwa cha yule anayetakaswa, na kufanya upatanisho kwa ajili yake mbele za Bwana.
19 Amasea, gobele salasu dunu da Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu hou hamomu, amola ledo hamedei hamoma: ne hou hamomu. Amalalu, e da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu hamoma: ne, amo ohe medole legemu.
“Kisha kuhani atatoa dhabihu ya sadaka ya dhambi na kufanya upatanisho kwa ajili ya yule atakayetakaswa kutoka unajisi wake. Baada ya hayo, kuhani atachinja sadaka ya kuteketezwa
20 Amola e da amo ohe amola ‘gala: ine’ iasu gilisili oloda da: iya gobele salimu. E da amomane dodofesu hou hamomu. Amasea, musa: ledo hamoi dunu amo da ledo hame hamoi dagoi sia: mu.
na kuitoa juu ya madhabahu, pamoja na sadaka ya nafaka ili kumfanyia upatanisho, naye atakuwa safi.
21 Be dunu da hame gaguiwane galea amola musa: sia: i liligi gaguli misunu hamedei ba: sea, e da ea hou hahamomusa: , sibi mano afadafa fawane gobele salasu dunu Hina Godema ima: ne gaguli misunu. Amola e da1 gilougala: me falaua olife susuligi amoga gilisi amola1/3 lida olife susuligi amo gala: ine iasu gaguli misunu.
“Hata hivyo, kama ni maskini na hawezi kupata vitu hivi, lazima achukue mwana-kondoo mmoja kama sadaka ya hatia ipate kuinuliwa ili kumfanyia upatanisho, pamoja na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa na logi moja ya mafuta kwa ajili ya sadaka ya nafaka,
22 E da dafe sio aduna o musuni sio aduna amola gaguli misunu. Sio afae da Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu amola sio eno da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu hamoma: ne.
na hua wawili au makinda mawili ya njiwa, kile atakachoweza kupata, mmoja kwa sadaka ya dhambi, na mwingine kwa sadaka ya kuteketezwa.
23 Ea dodofesu hou eso godoane gala amoga e da amo liligi gobele salasu dunu Hina Gode Ea Abula diasu logo holeiga gaguli misunu.
“Katika siku ya nane, lazima avilete vitu hivyo kwa kuhani, kwa ajili ya kutakaswa kwake kwenye ingilio la Hema la Kukutania mbele za Bwana.
24 Gobele salasu dunu da sibi mano amola olife susuligi lale, gobele salasu dunu ea iasudafa agoane Hina Godema imunu.
Kuhani atamchukua mwana-kondoo kwa ajili ya sadaka ya hatia, pamoja na ile logi ya mafuta ya kuinuliwa mbele za Bwana kuwa sadaka ya kuinuliwa.
25 E da sibi mano medole legele, amo ea maga: me mogili lale, dunu ea lobodafadi gehahaya amola ea lobodafa bi amola ea emodafa bi amoga legemu.
Atamchinja huyo mwana-kondoo kwa ajili ya sadaka ya hatia. Pia ataichukua sehemu ya damu yake na kuipaka kwenye ncha ya sikio la kuume la yule anayetakaswa, na aipake pia kwenye kidole gumba cha mkono wa kuume wa huyo mtu, na kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume.
26 Gobele salasu dunu da susuligi mogili ea lobo fofadi gafe amoga sogadigili,
Kuhani atamiminia sehemu ya mafuta kwenye kiganja chake cha mkono wa kushoto,
27 amola ea lobodafa lobosogo amo susuligi ganodini gele, Hina Gode ba: ma: ne, amo susuligi fesuale agoane fogaga: gala: mu.
na kwa kidole chake cha shahada cha mkono wa kuume, atamnyunyizia yule anayetakaswa yale mafuta yaliyo kwenye kiganja chake mara saba mbele za Bwana.
28 E da susuligi mogili amo sogebi e da maga: me legei, amoga legemu; amo dunu ea gedafa gehahaya amola ea lobodafa bi amola ea emodafa bi amoga.
Atampaka mafuta yaliyobaki kwenye kiganja chake katika sehemu zote, kama alivyompaka damu ya sadaka ya hatia: yaani, kwenye ncha ya sikio la kuume la yule anayetakaswa, kwenye kidole gumba cha mkono wake wa kuume, na kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume.
29 Susuligi eno diala amo e da dunu ea dialuma da: iya sogadigimu. E da agoane amo dunu ledo hamedei hamoma: ne hou hamoma: mu.
Kuhani atayapaka mafuta yaliyobaki katika kiganja chake kwenye kichwa cha yule anayetakaswa, na kufanya upatanisho kwa ajili yake mbele za Bwana.
30 Amasea, e da dafe sio afae o musuni sio afae amo iasu hamomu.
Kisha atatoa dhabihu wale hua ama yale makinda ya njiwa ambayo mtu ataweza kuwapata,
31 Sio afae da Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu amola sio eno da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu. E da gala: ine iasu amola gilisili gobele salasu hamomu. E da agoane amo dunu ledo hamedei hamoma: ne hou hamomu.
mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na mwingine kuwa sadaka ya kuteketezwa, pamoja na sadaka ya nafaka. Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho mbele za Bwana kwa ajili ya yule anayetakaswa.”
32 Amo sema da dunu amoga gadofo oloi bagade madelai, e bu ledo hamedei hamoma: ne hanai be hame gaguiba: le, sema liligi huluane imunu hamedei ba: sea. Hou da agoane gala.
Haya ndiyo masharti kwa mtu yeyote mwenye ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, na ambaye hana uwezo wa kutoa sadaka za kawaida kwa ajili ya kutakaswa kwake.
33 Hina Gode da Mousese amola Elanema hamoma: ne sia: i eno olelei. Ilia da diasu ganodini amo gagoba: iga giagala: i bagade ba: sea, agoane hamoma: ne sia: i. (Amo sema, Hina Gode da Isala: ili dunu ilima Ga: ina: ne soge ia dagosea, amola ilia da amo ganodini fila ahoasea, agoane hamoma: ne sia: i).
Bwana akawaambia Mose na Aroni,
“Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani ambayo ninawapa kuwa milki yenu, nami nikaweka upele ueneao kwenye nyumba katika nchi ile,
35 “Nowa dunu da hi diasu ganodini gagoba: iga giagala: i ba: sea, e da gobele salasu dunu ema olelemusa: masa: ne sia: ma.
ni lazima mwenye nyumba hiyo akamwambie kuhani, ‘Nimeona kitu fulani kinachofanana na upele kwenye nyumba yangu.’
36 Gobele salasu dunu da liligi huluane amo diasu ganodini diala, gadili fadegama: ne sia: mu. Amasea, e da amo gagoba: iga giagala: i ba: la masunu. Be liligi huluane gadili hame fadegasea, e da amo liligi huluane da ledo gala hamoi dagoi sia: mu. Amasea, e da amo diasuga,
Kuhani ataagiza vitu vyote vitolewe ndani ya nyumba, kabla hajaenda kuchunguza kama ina ugonjwa huo, ili kitu chochote ndani ya nyumba kisitangazwe kuwa najisi. Baada ya hili, kuhani ataingia ndani na kuikagua hiyo nyumba.
37 gagoba: iga giagala: i ba: la masunu. E da yoi o mola: iyai daginisi amo diasu ea dobea amoga nuisa ahoabe ba: sea,
Atachunguza upele huo katika kuta za nyumba hiyo, nazo kama zina rangi ya kijani kibichi au wekundu, na kuna mibonyeo ndani ya ukuta,
38 e da amo diasu yolesili, logo ga: silalu, eso fesuale yolesimu.
kuhani atatoka na kufunga mlango wa nyumba hiyo kwa siku saba.
39 Eso fesuga e da bu misini, diasu bu ba: mu. Gagoba: iga giagala: i da bu ai ahoabe ba: sea,
Siku ya saba, kuhani atarudi kuikagua nyumba. Kama upele umeenea juu ya kuta,
40 e da igi amoga gagoba: iga giagala: i dialebe, amo fadegale, gadili ledo gala sogebi moilai gadili dialebe amoga ha: digima: ne sia: mu.
ataagiza kwamba mawe yote yaliyoambukizwa yaondolewe na kutupwa katika eneo lililo najisi nje ya mji.
41 Amasea, e da sia: beba: le, ilia da dobea amogili huluane baholesisilalu, amo liligi amola ledo gala hamoi sogebi moilai gadili dialebe amoga galagamu.
Kuta zote za ndani ya nyumba hiyo ni lazima zikwanguliwe, na kifusi chake kitupwe mahali najisi nje ya mji.
42 Amasea, ilia da igi eno musa: igi galagai ilia sogebi amoga legemu amola dobea amoga bu gaheabonone bahoseselesimu.
Kisha watachukua mawe mengine na kujenga palipobomolewa kwa udongo mpya wa mfinyanzi, na kuipiga nyumba hiyo lipu mpya.
43 Be amo hou huluane hamoi dagosea amola fa: no gagoba: iga giagala: i da amo diasuga bu ba: sea,
“Ikiwa upele huo utatokea tena ndani ya ile nyumba baada ya mawe kuondolewa na nyumba kukwanguliwa na kuwekwa lipu mpya,
44 gobele salasu dunu da bu ba: la masunu. Gagoba: iga giagala: i da bu ai ahoabe ba: sea, diasu da ledo hamoi dagoi, e da sia: mu.
kuhani atakwenda kuikagua, na kama upele umeenea ndani ya nyumba, basi ni upele uharibuo; nyumba hiyo ni najisi.
45 Amasea, amo diasu mugululi, ea igi amola ea ifa amola ea bahoseselesi huluane ledo gala sogebi moilai gadili dialebe amoga gaguli masa: ne sia: mu.
Ni lazima ibomolewe: mawe yake, mbao na lipu yake, vyote vikatupwe nje ya mji mahali palipo najisi.
46 Be diasu da logo hamoi dialea, nowa da ganodini golili dasea da ledo hamoi dagoi ba: mu. Daeya doaga: sea fawane bu dodofei dagoi ba: mu.
“Yeyote atakayeingia katika nyumba hiyo ikiwa imefungwa, atakuwa najisi mpaka jioni.
47 Amola nowa da amo diasu ganodini golala dasea o ha: i nasea, e da ea abula huluanedodofema: ne sia: ma.
Yeyote atakayelala au kula ndani ya nyumba hiyo ni lazima afue nguo zake.
48 Be agoai diasu da bahosesema: ne gaheabolo legebeba: le, gobele salasu dunu ba: la masea, gagoba: iga giagala: i da hamewane ba: sea, e da amo diasu da ledo hamedei hamoi dagoi sia: mu. Bai gagoba: iga giagala: i huluane da fadegai dagoiba: le.
“Lakini ikiwa kuhani atakuja kuikagua na kukuta kuwa upele haujaenea tena baada ya nyumba kupigwa lipu, ataitangaza nyumba ile kuwa safi, kwa sababu upele umekwisha.
49 Amo diasu da sema ganodini ledo hamedei, amo hamoma: ne, e da sio aduna amola dolo ifa amola yoi efe amola ‘hisobe’ amoda fonobahadi lamu.
Ili kuitakasa nyumba hiyo, mwenye nyumba ataleta ndege wawili, mti wa mwerezi, kitani nyekundu na hisopo.
50 Amasea, e da sio afae amo osoboga hamoi ofodo amo ganodini nasegagi gu hano sali, amo gadodili medole legemu.
Atamchinja mmoja wa wale ndege kwenye chungu chenye maji safi.
51 Amasea, e da dolo ifa amola ‘hisobe’, amola yoi efe, amola sio hame medoi amo lale, sio eno ea maga: me amola gu hano amo ganodini gemu. Amola e da amo maga: mega, diasu amoga fesuale agoane fogaga: gala: mu.
Kisha atachukua mti wa mwerezi, hisopo, kitani nyekundu na ndege aliye hai, na kuvitumbukiza ndani ya damu ya ndege aliyechinjwa pamoja na maji safi, na kuinyunyizia nyumba ile mara saba.
52 E da amomane, sio ea maga: me amola nasegagi gu hano amola sio hame medoi amola dolo ifa amola hisobe amola yoi efe amoga diasu da ledo hamedei hamoi dagoi hamomu.
Ataitakasa nyumba kwa damu ya yule ndege, maji safi, ndege aliye hai, mti wa mwerezi, hisopo na kitani nyekundu.
53 Amasea, e da sio hame medoi amo hagili masa: ne, logo doasimu. E da amo ledo fadegama: ne hou hamosea, diasu da ledo hamedei, dodofei dagoi sia: mu.
Kisha atamwachia yule ndege aliye hai huru mashambani nje ya mji. Kwa njia hii atafanya upatanisho kwa ajili ya nyumba ile, nayo itakuwa safi.”
54 Amo da gadofo olo bagade ea sema dedei dagoi.
Haya ndiyo masharti kuhusu aina yoyote ya ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, mwasho wowote,
upele ndani ya nguo au ndani ya nyumba,
56 Gadofo olo amola aiya amola dului amola gagolobale gala: i. Amola gagoba: iga giagala: i abula o diasu ganodini gala.
kwa uvimbe, vipele au kipaku kingʼaacho,
57 Amo sema dawa: beba: le, dilia da liligi da ledo gala o ledo hamedei noga: le dawa: mu.
kupambanua wakati kitu fulani ni safi au najisi. Haya ndiyo masharti kuhusu magonjwa ya ngozi ya kuambukiza na upele.

< Gobele Salasu 14 >