< Gobele Salasu 12 >

1 Hina Gode da Mousesema hamoma: ne sia: i eno Isala: ili dunu alofele ilegema: ne sia: i.
Bwana akamwambia Mose,
2 “Uda da dunu mano lalelegesea, e da eso fesuale amoga, ea sioi fisu sema defele, ledo hamoi dagoi ba: mu.
“Waambie Waisraeli: ‘Mwanamke ambaye atapata mimba na kuzaa mtoto wa kiume atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada kwa siku saba, kama anavyokuwa najisi wakati wa siku zake za hedhi.
3 Eso godoane gala, dilia ea mano ea ewa gadofo damuma.
Mvulana atatahiriwa siku ya nane.
4 Amasea, amo uda ea maga: me da gudu sa: iba: le, e da eso33 eno amoga ledo hamoi ba: mu. E da hadigi liligi mae digili ba: ma: ne sia: ma. Amola e da Sema Abula Diasu amo ganodini hame golili masunu. Be ea dodofesu hou huluane da hamoi dagoiba: le fawane, ganodini masunu da defea.
Kisha ni lazima huyo mwanamke asubiri kwa siku thelathini na tatu, ndipo atakaswe kutoka damu kwake. Hataruhusiwa kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kuingia mahali patakatifu, mpaka siku za kutakaswa kwake zimetimia.
5 Uda da uda mano lalelegesea, e da eso14 amoga, ea sioi fisu defele, ledo hamoi dagoi ba: mu. Amasea, ea maga: me da gudu sa: iba: le, e da eso66eno amoga, ledo hamoi dagoi ba: mu.
Kama akimzaa mtoto wa kike, mwanamke huyo atakuwa najisi kwa majuma mawili, kama wakati wake wa hedhi. Kisha atasubiri kwa siku sitini na sita, ndipo atatakaswa kutoka damu kwake.
6 Ea ledo hamoi eso da dagobeba: le, (dunu mano o uda mano lalelegesea) e da sibi mano amo da lalelegele, ode afae esalu, Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu gobele salasu hamoma: ne amola musuni o dafe sio Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu hamoma: ne amo Hina Gode Ea Abula Diasu ea logo holeiga gaguli misini, gobele salasu dunu ema ima: ne sia: ma.
“‘Siku zake za utakaso kwa ajili ya mwana au binti zitakapotimia, mwanamke huyo atamletea kuhani kwenye ingilio la Hema la Kukutania mwana-kondoo mwenye umri wa mwaka mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, na kinda la njiwa au hua kwa ajili ya sadaka ya dhambi.
7 Gobele salasu dunu da ea iasu amo Hina Godema imunu. Amola e da ea ledo hamoi amo bu hahamoma: ne, hou hamonanu, e da fofoloi dagoi ba: mu. Uda da mano lalelegesea, amo hou hamoma: ne sia: ma.
Atavitoa mbele za Bwana ili kufanya upatanisho kwa ajili yake, na kisha atakuwa safi kwa desturi ya ibada kutokana na kutokwa damu kwake. “‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya mwanamke atakayezaa mtoto wa kiume au wa kike.
8 Be uda da hame gaguiba: le, sibi mano gaguli misunu hamedei ba: sea, e da musuni aduna o dafe sio aduna gaguli misa: ne sia: ma. Afae da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu hamoma: ne amola afae da Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu hamoma: ne. Amasea, gobele salasu dunu da amo uda ea ledo hou hahamoma: ne hahamonanu, uda da ledo hamedei ba: mu.
Kama huyo mwanamke hana uwezo wa kumpata mwana-kondoo, ataleta hua wawili au makinda mawili ya njiwa, moja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na mwingine kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Kwa njia hii, kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atakuwa safi.’”

< Gobele Salasu 12 >