< Gobele Salasu 1 >
1 Hina Gode da Ea Abula Diasuga esala, Mousesema misa: ne wele sia: i. E da Mousesema amo gobele salasu iasu sema olelei.
Bwana akamwita Mose na kusema naye kutoka kwenye Hema la Kukutania, akamwambia,
2 “Isala: ili dunu da gobele salasu hou hamomusa: dawa: sea, ilia da agoane hamoma: ne sia: ma, ‘Nowa da ohe gobele salasu imunusa: dawa: sea, e da ea bulamagau afae o sibi afae o goudi afae lale ima: mu.
“Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Yeyote miongoni mwenu aletapo sadaka ya mnyama kwa Bwana, alete mnyama kama sadaka yake kutoka kundi lake la ngʼombe au la kondoo na mbuzi.
3 E da ea bulamagau afae gobele salimusa: dawa: sea, e da bulamagau gawali afae ida: iwane gala, ledo hamedafa gala, gaguli misa: ne sia: ma. Hina Gode da amo dunu hahawane gousa: ma: ne, e da amo bulamagau gawali, Gode Ea Abula Diasu amo ea holeiga ima: ne sia: ma.
“‘Kama sadaka hiyo ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la ngʼombe, atamtoa ngʼombe dume asiye na dosari. Ni lazima amlete kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili aweze kukubalika kwa Bwana.
4 Amo dunu da ea lobo amo bulamagau gawali ea dialuma da: iya ligisima: mu. Amasea, Hina Gode da amo bulamagau gobele salasu liligi amo dunu ea wadela: i hou fadegale fasima: ne sia: mu.
Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka ya kuteketezwa, nayo itakubaliwa kwa niaba yake ili kufanya upatanisho kwa ajili yake.
5 E da amogawi bulamagau medole legema: mu. Amola Elane ea gobele salasu dunu ilia da bulamagau ea maga: me lale, Hina Godema imunu. Amasea, ilia da amo maga: me oloda (amo da Abula Diasu ea holeiga diala) amo ea la: idi biyadu gala amoga sogaga: la: gaganomu.
Atamchinja yule fahali mchanga mbele za Bwana, kisha wana wa Aroni walio makuhani wataleta damu na kuinyunyiza pande zote za madhabahu yaliyo penye ingilio la Hema la Kukutania.
6 Amasea, gobele salasu iabe dunu, e da bulamagau ea gadofo houga: le, ea da: i hodo dadega: mu.
Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande.
7 Amola gobele salasu dunu ilia da oloda da: iya lalu habei gilisili, didima: mu.
Wana wa Aroni kuhani wataweka moto juu ya madhabahu na kupanga kuni juu ya huo moto.
8 Ilia da amo ohe ea dadega: i fifi (huluane, dialuma amola sefe) laluga ligisimu.
Kisha wana wa Aroni walio makuhani watapanga vile vipande vya nyama, pamoja na kichwa na mafuta ya huyo mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu.
9 Gobele salasu iabe dunu da ohe ea iga amola emo amo dodofemu. Amasea, gobele salasu ouligisu dunu da amo liligi huluanedafa oloda da: iya gobesimu. Hina Gode da amo ha: i manu gobele salasu iasu ea gabusiga: hahawane naba.
Ataziosha sehemu za ndani na miguu yake kwa maji, naye kuhani atavichoma vyote juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, yenye harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
10 Isala: ili dunu afae da sibi o goudi gobele salimusa: dawa: sea, e da gawali ida: iwane gala, ledo hamedei, ilegema: ne sia: ma.
“‘Kama sadaka ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la kondoo au mbuzi, atamtoa mnyama dume asiye na dosari.
11 E da amo ohe oloda la: idi gagoe (north) amoga medole legemu. Amasea, gobele salasu dunu da ea maga: me oloda ea la: idi biyaduyale gala amoga sogaga: la: gaganoma: mu.
Atamchinjia upande wa kaskazini wa madhabahu mbele za Bwana, nao wana wa Aroni walio makuhani watanyunyizia damu yake pande zote za madhabahu.
12 Amasea, dunu hi da amo ohe ea da: i hodo dadega: le, gobele salasu ouligisu dunu da dadega: i fifi (huluane, amola dialuma amola sefe) amo laluma gobesimu.
Atamkata vipande vipande, naye kuhani atavipanga, pamoja na kichwa na mafuta ya mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu.
13 Gobele salasu iabe dunu da amo ohe ea iga amola emo dodofemu. Amasea, gobele salasu ouligisu dunu da amo gobele salasu Hina Godema ianu, oloda da: iya laluma gobesimu. Hina Gode da amo ha: i manu gobele salasu ea gabusiga: hahawane naba.
Ataosha sehemu za ndani na miguu kwa maji, naye kuhani atavileta vyote na kuvichoma juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
14 Isala: ili dunu da sio amo gobele salasu imunusa: dawa: sea, e da dafe sio o musuni gaguli misa: ne sia: ma.
“‘Kama sadaka ya kuteketezwa inayotolewa kwa Bwana ni ndege, atamtoa hua au kinda la njiwa.
15 Gobele salasu ouligisu dunu da amo sio oloda amogawi Hina Godema ianu, ea asogoa dugini, ea dialuma amo oloda da: iya gobesimu. E da ea maga: me oloda beba: le soga: sisimu.
Kuhani atamleta kwenye madhabahu, naye atamvunja shingo na kumnyofoa kichwa na kumchoma juu ya madhabahu. Damu yake itachuruzishwa ubavuni mwa madhabahu.
16 E da sio ea wa amola amo ganodini liligi dialebe fadegale, oloda ea gusudili la: idiga (nasubu ligisisu) amoga galagamu.
Ataondoa kifuko cha chakula pamoja na uchafu wake na kuvitupa upande wa mashariki wa madhabahu, mahali pale penye majivu.
17 E da sio ea ougia aduna dodobole gaguli, amo mae fadegale, ea da: i hodo dudugale, mae dadega: le, amo oloda da: iya gobesimu. Hina Gode da amo ha: i manu gobele salasu ea gabusiga: hahawane naba.
Atampasua na kumweka wazi katika mabawa yake, lakini asimwachanishe kabisa, kisha kuhani ataichoma juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.