< Fofagini Disu 4 >
1 Ninia sinenemegi gouli da gumi dagoi. Debolo Diasu gagui gele da logoba: le, afagogolesi diala.
Jinsi dhahabu ilivyopoteza mngʼao wake, dhahabu iliyo safi haingʼai! Vito vya thamani vimetawanywa kwenye mwanzo wa kila barabara.
2 Dunu da gouli bagadewane hanai, amo defele, Saione moilai bai bagade ayeligi amola a: fini da ninima dogolegei. Be wali, ninima ha lai dunu ilia da ninia ayeligi amola a: fini amo osoboga hamoi ofodo agoai ba: sa.
Wana wa Sayuni wenye thamani, ambao mwanzo uzito wa thamani yao ulikuwa wa dhahabu, sasa wanaangaliwa kama vyungu vya udongo, kazi ya mikono ya mfinyanzi!
3 ‘Wufi’ wa: me eme da ea manoma ha: i manu imunusa: dawa: Be na fi dunu da dalamole sio agoane, ilia manoma hame asigisa.
Hata mbweha hutoa matiti yao kunyonyesha watoto wao, lakini watu wangu wamekuwa wasio na huruma kama mbuni jangwani.
4 Ilia da mano dudubuma ha: i manu amola hano hame iabeba: le, ilia mano da udigili bogogia: sa. Mano ilia da ha: ga, ha: i manu ha: giwane edegesa, be dunu afaega ilima hamedafa iaha.
Kwa sababu ya kiu ulimi wa mtoto mchanga umegandamana na kaakaa la kinywa chake, watoto huomba mkate, lakini hakuna yeyote awapaye.
5 Dunu amo da musa: ha: i manu ida: iwane nasu, be ilia da logoba: le udigili ha: ga bogogia: lala. Dunu amo musa: ilia ame amola ilia ada ilia da bagade gaguiwane noga: le bugili iasu, be wali ilia da isu salasua gila: leboba: sa lafia: sa.
Wale waliokula vyakula vya kifahari ni maskini barabarani. Wale waliokuzwa wakivaa nguo za zambarau sasa wanalalia majivu.
6 Sodame fi dialu da Gode Ea hamobeba: le hedolowane se nabawane dafai. Be na fi ilia se dabe iasu da amo ilia se dabe iasu baligi dagoi.
Adhabu ya watu wangu ni kubwa kuliko ile ya Sodoma, ambayo ilipinduliwa ghafula bila kuwepo mkono wa msaada.
7 Ninia hina bagade ea mano da ledo hamedei, hou noga: i amo da fedege agoane ahea: iya: i anegagi ofo defele ba: su. Ilia da gasa bagade, mae olole, dagumui amola hahawane bagade ba: i.
Wakuu wao walikuwa wamengʼaa kuliko theluji na weupe kuliko maziwa, miili yao ilikuwa myekundu kuliko marijani, kuonekana kwao kama yakuti samawi.
8 Be wali, ilia da udigili logoba: le, ilia odagi da ginafoi, ilia da: i da hafoga: le, ifa bioi agoane ba: le, geloga: le, gasa dabua heda: i ba: sa.
Lakini sasa ni weusi kuliko masizi; hawatambulikani barabarani. Ngozi yao imeshikamana juu ya mifupa yao, imekuwa mikavu kama fimbo.
9 Dunu da ha amoga gegenana bogoi, ilia da hedolowane hale bogolegai. Be dunu amo da fa: no bogogia: i, ilia da ha: ga se lalaba ahoanawane bogogia: i.
Wale waliouawa kwa upanga ni bora kuliko wale wanaokufa njaa; wanateseka kwa njaa, wanatokomea kwa kukosa chakula kutoka shambani.
10 Gugunufinisisu hou da na fi dunuma doaga: beba: le, ilia da bagade beda: i. Eme ilia da ili dogolegei mano amo ili gobele mai.
Kwa mikono yao wenyewe wanawake wenye huruma wanapika watoto wao wenyewe, waliokuwa chakula chao watu wangu walipoangamizwa.
11 Hina Gode da Ea gasa bagade ougi hou ilima iasi. E da Saione moilai bai bagade laluga ulagisili, moilai bai bagade da huluane nene sa: i.
Bwana ametoa nafasi kamilifu ya ghadhabu yake; ameimwaga hasira yake kali. Amewasha moto katika Sayuni ambao umeteketeza misingi yake.
12 Fifi asi gala dunu huluanedafa amola ga fifi asi ouligisu dunu, ilia da ha lai dunu da Yelusaleme logo ga: su golili sa: imu Amo da hamedei agoane dawa: i.
Wafalme wa dunia hawakuamini, wala mtu yeyote wa duniani, kwamba adui na watesi wangeweza kuingia kwenye malango ya Yerusalemu.
13 Be ha lai da golili sa: i dogoi. Bai Yelusaleme fi balofede dunu ilia wadela: le hamoi, amola ilia gobele salasu dunu da moloidafa dunu amo medole legema: ne hamoi.
Lakini hili lilitokea kwa sababu ya dhambi za manabii wake, na maovu ya makuhani wake, waliomwaga ndani yake damu ya wenye haki.
14 Yelusaleme ouligisu dunu da si dofoi dunu agoai, udigili logoba: le dadoula ahoanusu. Ilia da: i da maga: mega uduli gafoiba: le, enoga ili digimu higa: i galu.
Sasa wanapapasa papasa barabarani kama watu ambao ni vipofu. Wamenajisiwa kabisa kwa damu, hata hakuna anayethubutu kugusa mavazi yao.
15 Dunu ilia da amane halale sia: i, “Gasigama! Dilia da ledo hamoi dagoi! Na mae digima!” Amaiba: le, ilia da fifi asi gala amoga da: neboba: lafia: i. Be ili da enoga hame lale sali.
Watu wanawapigia kelele, “Ondokeni! Ninyi ni najisi! Ondokeni! Ondokeni! Msituguse!” Wanapokimbia na kutangatanga huku na huko, watu miongoni mwa mataifa wanasema, “Hawawezi kukaa hapa zaidi.”
16 Hina Gode Hisu da ili afagogolesi. Bai E da ili yolesi dagoi. Hina Gode da ninia gobele salasu dunu amola ninia ouligisu dunu ilima hame asigi galu.
Bwana mwenyewe amewatawanya; hawaangalii tena. Makuhani hawaonyeshwi heshima, wazee hawakubaliki.
17 Ninia da fidisu hohogola lai, be hamedafa ba: i. Ninia da fifi lai dunu enoga nini fidima: ne ouesalu, be enoga nini fidisu hame ba: i.
Zaidi ya hayo, macho yetu yalichoka, kwa kutazamia bure msaada; tuliangalia kutoka minara yetu kwa taifa lisiloweza kutuokoa.
18 Ninima ha lai dunu da nini medomusa: desega dialu. Amaiba: le, ninia da logoba: le lafia: lumu gogolei. Ninia eso da baligi dagoi ba: i. Dagosu da doaga: i.
Watu walituvizia katika kila hatua hata hatukuweza kutembea katika barabara zetu. Mwisho wetu ulikuwa karibu, siku zetu zilikuwa zimetimia, kwa maana mwisho wetu ulikuwa umefika.
19 Buhiba da hedolowane muagadonini gogila dabe defele, ilia da nini gagumusa: segala: i. Ilia da agolo damana nini gagumusa: segala: i. Ilia da nini hafoga: i sogega gagulaligiba: le, ninia da fofogadigi.
Waliotufuatia walikuwa wepesi kuliko tai angani; walitusaka juu milimani na kutuvizia jangwani.
20 Hina Gode da ninia hina bagade ilegei. Amo dunu da ninia esalusu ea bai galu. Nini da ea fawane ninima ha lai dunu huluane ilima gaga: mu, amo dafawaneyale dawa: i. Be ninima ha lai ilia da ninia hina bagade gagulaligi.
Mpakwa mafuta wa Bwana, pumzi ya uhai wetu hasa, alinaswa katika mitego yao. Tulifikiri kwamba chini ya kivuli chake tungeliweza kuishi miongoni mwa mataifa.
21 Defea! Dilia Idome fi amola Ase fi dunu. Oufesega: ma! Nodomu galea, nodoma! Dilima gugunufinisisu da doaga: mu! Dilia amolawane da da: i nabadowane gogosiane dadoula masunu.
Shangilia na ufurahi, ee Binti Edomu, wewe unayeishi nchi ya Usi. Lakini kwako pia kikombe kitapitishwa, Utalewa na kuvuliwa nguo ubaki uchi.
22 Saione moilai bai bagade da ea wadela: i hou amo dabe i dagoi. Hina Gode da nini mugululi asi amo ganodini bu bagade hame esaloma: mu. Be Idome fi, dilia! Hina Gode da dilima se iasu imunu. E da dilia wadela: le hamobe, dunu huluane ba: ma: ne, olemu.
Ee Binti Sayuni, adhabu yako itaisha, hatarefusha muda wako wa kukaa uhamishoni. Lakini, ee Binti Edomu, ataadhibu dhambi yako, na atafunua uovu wako.