< Bisisu 9 >

1 Gidione egefe amo Abimelege (Gidione ea gidisedagi uda ea mano) da Siegeme moilai bai bagadega asi. Ea ame ea sosogo fi da amogawi esalu. E da ilima amane sia: i,
Siku moja Abimeleki mwana wa Yerub-Baali akaenda kwa ndugu ya mama yake huko Shekemu na kuwaambia yeye na ukoo wote wa mama yake,
2 “Siegeme dunu ilima amane adole ba: ma, ‘Dilima ouligisuwane esaloma: ne dilia da nowa hanabela: ? Gidione egefe70da dilima ouligisu esalumu da defeala: ? O dunu afadafa fawane da defeala: ? Mae gogolema! Abimelege da dilia fidafa dunu. Dilia hu amola maga: me afadafa fawane hamoi galu.’”
“Waulizeni watu wote wa Shekemu, ‘Lipi lililo bora kwenu: Kutawaliwa na wana wote sabini wa Yerub-Baali, au mtu mmoja peke yake?’ Kumbukeni kwamba, mimi ni mfupa wenu nyama yenu hasa.”
3 Abimelege ame ea sosogo fi da amo sia: Siegeme dunuma sia: dasu. Amola Siegeme dunu da Abimelege ema fa: no bobogemusa: dawa: i galu. Bai Abimelege da ilia sosogo fi dunu esalu, ilia ba: i.
Ndugu za mama yake walipowaeleza watu wote wa Shekemu, wakaelekea kumkubali Abimeleki, kwa kuwa walisema, “Yeye ni ndugu yetu.”
4 Ilia da Ba: ile gousa: su hamoi amo ea debolo diasuga, muni silifa fage 70 agoane lale, Abimelegema i. Abimelege da hamedei wadela: i hamosu dunu e fidima: ne sia: i amola, ilima amo muni i.
Wakampa shekeli sabini za fedha kutoka hekalu la Baal-Berithi, naye Abimeleki akaitumia kuajiri watu ovyo wasiojali, wakawa ndio wafuasi wake.
5 E da ea ada diasu Ofala moilai bai bagadega dialu amoga asili, igi afae amo da: iya ea yolali (Gidione egefe) 70 agoane huluane medole legei dagoi. Be Youda: me (Gidione ea ufidafa mano) da wamoaligili, esalebe ba: i.
Akaenda nyumbani kwa baba yake huko Ofra, na juu ya jiwe moja wakawaua ndugu zake sabini, ambao ni wana wa Yerub-Baali. Lakini Yothamu, mwana mdogo wa wote wa Yerub-Baali, akaokoka kwa kujificha.
6 Amalalu, Siegeme dunu huluane da gilisili, sema ouge ifa Siegeme sogega lelu amoga asili, Abimelege hina bagade ilegei dagoi.
Ndipo watu wote wa Shekemu na Beth-Milo wakakusanyika pamoja chini ya mti mkubwa wa mwaloni penye nguzo iliyoko Shekemu wakamvika Abimeleki taji kuwa mfalme.
7 Youda: me da amo sia: nababeba: le, asili, Gelesime Goumi amo da: iya gado lelu, amane wele sia: i, “Dilia Siegeme dunu! Na sia: nabima! Amasea, Gode da dilia sia: nabima: bela: ?
Yothamu alipoambiwa hayo, akapanda juu ya kilele cha mlima Gerizimu, akawapazia sauti yake akawaambia, “Nisikilizeni enyi watu wa Shekemu, ili Mungu naye apate kuwasikiliza ninyi.
8 Eso afaega, ifa huluane da gilisili, ilia hina bagade ilegema: ne gilisi. Ilia da olife ifa amoma amane sia: i, ‘Di ninia hina bagade hamoma.’
Siku moja miti ilitoka ili kwenda kujitawazia mfalme. Ikauambia mzeituni, ‘Wewe uwe mfalme wetu.’
9 Be olife ifa da bu adole i, ‘Hame mabu! Na fage amoga dunu ilia susuligi amo ‘gode’ amola osobo bagade dunu ilima nodomusa: laha. Be na da dili ouligisia, susuligi bu hamomu da hamedeiwane ba: mu.’
“Lakini mzeituni ukaijibu, ‘Je, niache kutoa mafuta yangu ambayo kwake miungu na wanadamu huheshimiwa, ili nikawe juu ya miti?’
10 Amalalu, ifa eno ilia da figi ifa amoma amane sia: i, ‘Di misini, ninia hina bagade hamoma.’
“Kisha miti ikauambia mtini, ‘Njoo na uwe mfalme wetu!’
11 Be figi ifa da bu adole i, ‘Hame mabu! Na da dili ouligisia, noga: i hedai fage bu legemu da hamedeiwane ba: mu.’
“Lakini mtini ukaijibu, ‘Je, niache kutoa matunda yangu mazuri na matamu, ili niende nikawe juu ya miti?’
12 Amalalu, ifa ilia da waini efe amoma amane sia: i, ‘Di misini, ninia hina bagade hamoma.’
“Ndipo miti ikauambia mzabibu, ‘Njoo na uwe mfalme wetu.’
13 Be waini efe da bu adole i, ‘Hame mabu! Na waini hano da ‘gode’ ili amola osobo bagade dunu amo nasea hahawane ba: sa. Be na da dilia ouligisia, waini hano bu imunu hamedeiwane ba: mu.’
“Lakini mzabibu ukaijibu, ‘Je, niache kutoa divai yangu inayofurahisha miungu na wanadamu ili nikawe juu ya miti?’
14 Amalalu, ifa huluane da aya: gaga: nomei legei ifa fonobahadi amoma amane sia: i, ‘Di misa! Ninia hina bagade hamoma.’
“Mwishoni miti yote ikauambia mti wa miiba, ‘Njoo na uwe mfalme wetu.’
15 Aya: gaga: nomei legei ifa da bu adole i, ‘Defea! Dilia da dafawane na dilia hina bagade hamomu hanai galea, misa amola na ougia hagudua aligima. Dilia agoane hame hamosea, na aya: gaga: nomei legei amoda amoga lalu da gadili nenanebe ba: mu. Amola amo lalu da Lebanone soge dolo ifa huluane nene dagomu.’”
“Nao mti wa miiba ukaijibu, ‘Kama kweli mnataka niwe mfalme wenu, basi njooni mpate kupumzika chini ya kivuli changu. Lakini kama sivyo, moto na utoke kwenye mti wa miiba ukateketeze mierezi ya Lebanoni!’
16 Youda: me da eno amane sia: i, “Dilia da Abimelege hina bagade hamoma: ne ilegebeba: le, noga: i amola moloiwane hamobela: ? Gidione amola ea sosogo fi da hou noga: idafa hamosu. Be dilia da amo nodone dawa: beba: le, amo hou hamobela: ?
“Basi ikiwa mmetenda kwa uaminifu na heshima kumfanya Abimeleki kuwa mfalme, na kama mmetendea vyema Yerub-Baali na jamaa yake kama ilivyostahili:
17 Na ada da dili gaga: ma: ne fidili gegei dagoi. Amo mae gogolema! E da ea esalusu mae dawa: le, dili Midia: ne dunu ilima gaga: ma: ne fidili gegei.
kwa kuwa baba yangu aliwapigania ninyi na kuhatarisha nafsi yake na kuwaokoa ninyi kutoka mikononi mwa Wamidiani
18 Be wali esoga dilia da na ada sosogo fi amo wadela: lesi dagoi. Dilia da ea mano 70 amo huluane igi afadafa da: iya medole legei dagoi. Abimelege da Gidione ea hawa: hamosu uda amo ea mano. Be e da dilia sosogo fiba: le, dilia da e Isala: ili dunu ouligima: ne, ema ilegei dagoi.
(lakini leo mmeasi dhidi ya jamaa ya baba yangu, na kuwaua wanawe sabini juu ya jiwe moja, nanyi mkamfanya Abimeleki mwana wa mwanamke mtumwa kuwa mfalme juu ya Shekemu, kwa kuwa yeye ni ndugu yenu),
19 Amaiba: le amo hou dilia da Gidione amola ea sosogo fi ilima wali eso hamoi, amo da hou noga: i amola moloi ba: sea, defea, dilia Abimelege ema hahawane galoma. Amola e da dilima hahawane ganumu da defea.
nanyi kama basi mmemtendea Yerub-Baali na jamaa yake kwa heshima na uaminifu, basi Abimeleki na awe furaha yenu, nanyi mwe furaha yake pia!
20 Be amai hame galea, defea, lalu da Abimelege amoga nene, Siegeme dunu amola Bedemilou dunu nene dagoi ba: mu da defea. Amola lalu da Siegeme dunu amola Bedemilou dunu amoga nene, Abimelege amola nei dagoi ba: mu da defea.”
Lakini kama sivyo, moto na utoke kwa Abimeleki na uwateketeze, ninyi watu wa Shekemu na Beth-Milo, nao moto utoke kwenu, watu wa Shekemu na Beth-Milo umteketeze Abimeleki!”
21 Amalalu, Youda: me da ea ola Abimelege ema beda: iba: le, hobeale, asili, Bie sogega doaga: le, esalu.
Ndipo Yothamu akakimbia, akatoroka akaenda Beeri, akaishi huko, kwa sababu alimwogopa ndugu yake Abimeleki.
22 Abimelege da ode udiana amoga Isala: ili soge ouligisu.
Baada ya Abimeleki kutawala Israeli kwa muda wa miaka mitatu,
23 Amalalu, Gode da Abimelege amola Siegeme dunu ela da sia: ga gegema: ne hamoi. Ilia da Abimelege fisili, ema ha laiwane ba: i.
Mungu akaruhusu roho mbaya kati ya Abimeleki na watu wa Shekemu, nao watu wa Shekemu wakamtendea Abimeleki kwa hila.
24 Abimelege amola Siegeme dunu (ilia da Abimelege fidi amola ea dogo denesi) ilia da Gidione ea manoni 70 agoane fufuga: i. Ilia da amo wadela: i hou se iasu dabe lama: ne, Gode da ilima afafasu hou i.
Hili lilitokea ili ule ukatili waliotendewa hao wana sabini wa Yerub-Baali upatilizwe, na damu yao iwe juu ya Abimeleki ndugu yao aliyewaua, na pia iwe juu ya watu wa Shekemu, ambao walimsaidia kuua ndugu zake.
25 Siegeme dunu da goumi gadodili Abimelege fuga: ma: ne logo la: ididili wamoaligisu. Nowa dunu da logoga ahoanoba, ilia da amo dunu ilia liligi wamolasu. Eno dunu da amo hou Abimelegema olelei.
Hivyo, kutokana na uadui juu yake watu wa Shekemu wakaweka watu wa kumvizia katika vilele vya milima. Wakawanyangʼanya watu wote waliopita karibu nao, nayo haya yakaarifiwa kwa Abimeleki.
26 Amalalu, Ga: ile (Ebede ea egefe) amola yolalali da Siegeme sogega misi. Siegeme dunu da ema fa: no bobogei.
Basi Gaali mwana wa Ebedi akaenda pamoja na ndugu zake wakaingia Shekemu, nao watu wa huko wakamtumainia yeye.
27 Ilia huluane da ilia waini sagai amoga asili, waini fage faili, waini hano hamone, lolo nasu gilisisu hamoi. Ilia da ilia ogogosu ‘gode’ ea debolo diasu amo ganodini golili sa: ili, ha: i mai, waini hano mai amola Abimelege ea hou gadele sia: dasu.
Wakaenda mashambani mwao kuvuna zabibu na kuzisindika hizo zabibu, wakafanya sikukuu katika hekalu la mungu wao. Wakati wakila na kunywa, wakamlaani Abimeleki.
28 Ga: ile da amane sia: i, “Ninia hou da adi houla: ? Ninia abuliba: le Abimelege ea hawa: hamosala: ? E da nowala: ? E da Gidione ea mano fawane. Sibale da ea sia: naba, be ninia da abuliba: le ema fa: no bobogesala: ? Dilia aowalalia eda amo Ha: imo da dilia fi muni hemosu. Ema fa: no bobogemu da defea.
Gaali mwana wa Ebedi akasema, “Abimeleki ni nani, na Shekemu ni nani, hata tumtumikie? Je, yeye si mwana wa Yerub-Baali? Naye Zebuli si ndiye msaidizi wake? Basi watumikieni watu wa Hamori, babaye Shekemu. Kwa nini tumtumikie Abimeleki?
29 Na da dilia fi ilima ouligisu ganiaba, na da Abimelege amo sefasila: loba. Na da ema, ‘Dia dadi gagui gilisisu hahamoma! Gadili asili ninima gegema!’ na da ema sia: na: noba.”
Laiti watu hawa wangekuwa chini ya amri yangu! Basi mimi ningemwondoa huyo Abimeleki. Ningemwambia Abimeleki, ‘Ondoa jeshi lako lote.’”
30 Siegeme moilai bai bagade ouligisu dunu amo Sibale, da Ga: ile ea sia: nababeba: le, mi hanai galu.
Zebuli aliyekuwa mtawala wa mji aliposikia aliyosema Gaali mwana wa Ebedi, akakasirika sana.
31 Abimelege da Aluma sogega esalu. Sibale da ema adola ahoasu dunu asunasi. Ilia da ema amane sia: i, “Ga: ile (Ebede egefe) amola yolali da Siegeme moilai bai bagadega doaga: i. Ilia da di Siegeme golili sa: imu logo ga: simu.
Akatuma ujumbe uende kwa Abimeleki kwa siri na kusema, “Gaali mwana wa Ebedi na ndugu zake wamekuja Shekemu, na wanauchochea mji huu kinyume chako.
32 Amaiba: le, di amola dima fa: no bobogesu dunu amo gasia wa: legadole, moifufu ganodini wamoaligima.
Sasa, basi, usiku huu wewe uondoke na watu wako ili mje kuwavizia mashambani.
33 Aya hahabe, eso mabe amoga wa: legadole amola moilai bai bagadega doagala: ma. Amasea, Ga: ile amola ea dunu da dilima gegemusa: gadili ahoasea, dia ha: giwane ili fama.”
Kisha asubuhi wakati wa kuchomoza jua, amka mapema na ujipange dhidi ya huo mji. Wakati yeye na jeshi lililo pamoja naye watakapotoka kukabiliana nanyi, mwaweza kuwatendea kwa kadiri mnavyoweza.”
34 Amaiba: le, Abimelege amola ea dunu huluane da gasia asili, Siegeme moilai bai bagadega gadili wamoaligi. Ilia da gilisisu biyadu gala hamoi.
Kwa hiyo Abimeleki pamoja na jeshi lake lote wakaondoka usiku na kujificha karibu na Shekemu wakiwa vikosi vinne.
35 Abimelege amola ea dunu da Ga: ile gadili misini moilai bai bagade logo ga: su amoga lelebe ba: loba, ilia da ilia wamoaligisu sogebi fisili, wa: legadoi.
Basi Gaali mwana wa Ebedi alikuwa ametoka nje akawa amesimama katika ingilio la mji wakati ule ule ambao Abimeleki na watu wake walipokuwa wanatoka sehemu zao za maficho.
36 Ga: ile da amo dunu ba: le, Sibalema amane sia: i, “Hodoma! Dunu da goumi gado fisili manebe goea!” Sibale da bu adole i, “Amo da dunu hame. Amo da baba goumia digaga: la: i fawane.”
Gaali alipowaona, akamwambia Zebuli, “Tazama, watu wanashuka kutoka kwenye vilele vya milima!” Zebuli akajibu, “Wewe unaona vivuli vya milima kana kwamba ni watu.”
37 Be Ga: ile da bu sia: i, “Hodoma! Dunu da goumi felea gado manebegoea. Amola gilisisu eno da logo amo da ba: la: lusu dunu ilia ouge ifa amoga maha amoga manebe na ba: sa.”
Lakini Gaali akasema tena, “Tazama, watu wanashuka kutoka katikati ya nchi na kikosi kimoja kinakuja kutoka Tabur-Ezeri na kikosi kingine kutoka upande wa Elon-Meonenimu.”
38 Amalalu, Sibale da ema amane sia: i, “Defea! Dia gasa fi sia: da wali habila: ? Dia gasa fili, ninia abuliba: le amo dunu Abimelege ea hawa: hamosala: ? sia: i dagoi. Amo dunu wali manebe da dunu dia hihini lasogoi dagoi. Di gadili asili, ilima gegema.”
Ndipo Zebuli akamwambia, “Kuko wapi kujivuna kwako sasa, wewe uliyesema, ‘Huyo Abimeleki ni nani hata tumtumikie?’ Hawa si wale watu uliowadharau? Toka nje sasa ukapigane nao!”
39 Ga: ile da Siegeme dunu gadili oule asili, Abimelege amoma gegei.
Basi Gaali akatoka akawaongoza watu wa Shekemu kupigana na Abimeleki.
40 Ga: ile hobea: i amola Abimelege da e sefasi. Dunu bagohame da moilai logo ga: su amoga fa: faginisi bagade ba: i.
Abimeleki akamfukuza, watu wengi wakajeruhiwa katika kukimbia huko, njia nzima hadi kwenye ingilio la lango.
41 Abimelege da Aluma moilaiga esalu. Amola Sibale da Ga: ile amola yolali gadili sefasi. Amaiba: le, ilia bu Siegeme moilai amo ganodini esalumu hamedeiwane ba: i.
Abimeleki akakaa Aruma, naye Zebuli akawafukuza Gaali na ndugu zake watoke Shekemu.
42 Aya amoha, Abimelege da Siegeme dunu da ilia ifabi amoga masusa: dawa: i, e da amane nabi.
Kesho yake watu wa Shekemu wakatoka wakaenda mashambani, Abimeleki akaambiwa juu ya jambo hili.
43 Amaiba: le, e da ea dunu afafane, gilisisu udiana hamone, ifabi ganodini wamoaligili, ouesalu. E da Siegeme dunu moilaiga gadili manebe ba: loba, e da ea wamoaligisu fisili, ili medomusa: misi.
Hivyo akawachukua watu wake, akawagawanya katika vikosi vitatu na kuwaweka waviziao huko mashambani. Alipowaona watu wanatoka kwenda nje ya mji, akainuka dhidi yao na kuwashambulia.
44 Abimelege amola ea gilisisu da hehenane, moilai bai bagade logo ga: su amo ouligimusa: ahoanoba, ea eno gilisisu aduna da Siegeme dunu ifabia esalu amoga doagala: le, huluane medole legei dagoi.
Abimeleki pamoja na vile vikosi wakaharakisha kwenda mbele kwenye nafasi, mahali pa ingilio la lango la mji. Vile vikosi viwili vikawawahi wale waliokuwa mashambani na kuwaua.
45 Amo esoga ilia mae fisili gegenanu. Abimelege da Siegeme moilai amo lai dagoi. E da dunu huluane medole legele, diasu huluane mugululi, osobo amo deme amoga dedeboi.
Siku hiyo nzima Abimeleki akazidisha mashambulizi yake dhidi ya mji hadi akawa ameuteka na kuwaua watu wa huo mji. Kisha akauangamiza mji na kusambaza chumvi juu yake.
46 Be Siegeme ouligisu dunu da gasa bagade diasu amo ganodini gagili sali ba: i. Ilia da amo hou nababeba: le, hehenane gasa bagade ‘Ba: ile da Gousa: su Hamoi’ ea debolo diasu ganodini gagili sali.
Kwa kusikia jambo hili watu wote katika mnara wa Shekemu, wakaingia kwenye ngome ya hekalu la El-Berithi.
47 Ilia da amo debolo diasu ganodini gagili sali amo nababeba: le, Abimelege da Sa: lamoune Goumi amoga ea dunu oule asi. Amalalu, e da goaha: i lale, ifa amoda damuni, amo gisa asi. Ea dunu da amo defele hedolo hamoma: ne, e sia: i.
Abimeleki aliposikia kuwa wamekusanyika huko,
yeye na watu wake wote wakakwea kwenye Mlima Salmoni. Abimeleki akachukua shoka, akakata baadhi ya matawi, ambayo aliyachukua mabegani. Akawaagiza wale watu waliokuwa pamoja naye kuwa, “Fanyeni kile mlichoona mimi nikifanya!”
49 Amaiba: le, dunu huluane da ifa amoda damui. Amalalu, ilia da Abimelege amoma fa: no bobogele, ifa huluane amo Ba: ile gasa bagade diasu amo ea baiga ligisili, lalu didi. Lalu da amo diasu nene dagoi. Dunu amola uda (1,000 agoane) huluane amo diasu ganodini esalu da bogogia: i dagoi.
Basi watu wote wakakata matawi na kumfuata Abimeleki. Wakayakusanya hayo matawi juu ya ngome na kuitia moto ili kuwachoma wale watu wote waliokuwa ndani yake. Hivyo watu wote katika mnara wa Shekemu, karibia watu 1,000 waume kwa wake, pia wakafa.
50 Amalalu, Abimelege da Dibese moilai bai bagadega asili, sisiga: le, lai dagoi.
Baadaye Abimeleki akaenda Thebesi na kuuzingira kwa jeshi na kuuteka.
51 Amo moilai ganodini, gasa bagade diasu sedade gado gagagula heda: lebe ba: i. Dibese dunu, uda amola ilia ouligisu dunu da amoga hehenai. Ilia da golili sa: ili, logo ga: le, diasu figisu gadodafa amoga asi.
Hata hivyo, ndani ya huo mji kulikuwa na mnara imara, ambako watu wote wa mji wanaume na wanawake, watu wote wa mji, walikimbilia ndani yake. Wakajifungia ndani yake na kupanda juu ya paa la mnara.
52 Abimelege da amo sedade diasu gado gagagula heda: i doagala: musa: misini, e da amo logo ga: suga laluga ulagimusa: asi.
Abimeleki akaja kwenye ule mnara na kuushambulia, lakini alipokaribia kwenye ingilio la mnara ili kuuchoma kwa moto,
53 Be uda afae da igi bagade (amoga ilia da widi goudasu) amo gududili sanasili, Abimelege ea dialuma gasa goudai.
mwanamke mmoja akaangusha sehemu ya juu ya jiwe la kusagia juu ya kichwa cha Abimeleki, likapasua fuvu la kichwa chake.
54 Amalalu, Abimelege da goi dunu (amo da Abimelege ea gegesu liligi gaguli ahoasu) amo ema misa: ne sia: ne, amane adoi, “Dia gegesu gobihei bagade duga: le gadole, na medole legemu. Dunu eno ilia da Abimelege udaga medole legei amo sia: mu na higa: i gala mabu.” Amaiba: le, amo goi da Abimelege gegesu gobiheiga sone, e bogoi.
Akamwita kwa haraka kijana yule aliyechukua silaha zake, na kumwambia, “Chukua upanga wako na uniue, watu wasije wakasema kwamba, ‘Mwanamke amemuua.’” Basi yule kijana akamchoma upanga, naye akafa.
55 Isala: ili dunu da Abimelege bogoi dagoi ba: beba: le, ilia diasuga buhagi.
Waisraeli walipoona kuwa Abimeleki amekufa, kila mtu akaenda nyumbani kwake.
56 Gode da agoaiwane Abimelegema dabe i. Bai e da ea yolalali 70 amo medole legeiba: le, ea ada Gidionema wadela: i bagade hamosu.
Hivyo ndivyo Mungu alivyolipiza uovu ule ambao Abimeleki alikuwa ameutenda kwa baba yake kwa kuwaua ndugu zake sabini.
57 Amola Siegeme dunu da wadela: i bagade hamobeba: le, Gode da ilima se iasu. Gidione egefe amo Youda: me da ilima gagabusu aligima: ne i, amo defele ba: i dagoi.
Mungu akawapatiliza watu wa Shekemu uovu wao juu ya vichwa vyao, na juu yao ikaja laana ya Yothamu mwana wa Yerub-Baali.

< Bisisu 9 >