< Bisisu 7 >

1 Eso afaega, Gidione amola ea dadi gagui dunu huluane hahabedafa wa: legadole, wa: i asili, Ha: ilode hano bubuga: su amo gadenene ha wa: i fi. Midia: ne fi dunu ilia hawa: i fisu da Isala: ili fi ilia fisisu amo gadili guga Moule Agolo fago amo gadenene dialebe, amogawi ba: i.
Ndipo Yerub-Baali (yaani Gideoni) na lile jeshi lililokuwa pamoja naye, wakaondoka asubuhi na mapema na kupiga kambi kando ya chemchemi ya Harodi. Kambi ya Wamidiani ilikuwa kaskazini yao katika bonde karibu na kilima cha More.
2 Hina Gode da Gidionema amane sia: i, “Na da dilia Midia: ne fi dunu ili hasalasima: ne fidimu. Be di sigi aligisu dunu da bagohamedafa ba: sa. Isala: ili dunu ilia da ilisu Midia: ne fi dunu hasali, amo sia: sa: besa: le, amola Nama hame nodosa: besa: le,
Bwana akamwambia Gideoni, “Jeshi lililo pamoja nawe ni kubwa sana kwa mimi kuwatia Wamidiani mikononi mwao. Ili kwamba Israeli asije akajisifu juu yangu akisema, ‘Mkono wangu ndio ulioniokoa,
3 Isala: ili dunuma amane sia: ma, ‘Nowa dunu da beda: i galea, e da ea diasuga buhagimu da defea. Be ninia mogili da Gilia: de Goumia esalumu.’” Amaiba: le, dunu22,000 agoane da ilia diasuga buhagi. Be dunu 10,000 da ouesalu.
kwa hiyo sasa tangaza jeshi lote likiwa linasikia, kwamba: Yeyote anayeogopa na kutetemeka, yeye na arudi nyumbani, aondoke katika Mlima Gileadi.’” Hivyo watu 22,000 walirudi, wakabaki 10,000.
4 Amalalu, Hina Gode da Gidionema amane sia: i, “Wali amola dia dunu idi da bagohamedafa ba: sa. Dia ili huluane hanoa gudu amogai oule sa: ima. Amogai na da ili momogilisimu. Na da dunu afae dia sigi masa: ne sia: sea, e da masunu. Be Na da eno dunu mae masa: ne sia: sea, e da hame masunu.”
Lakini Bwana akamwambia Gideoni, “Idadi ya jeshi bado ni kubwa. Wapeleke chini katika maji nami nitawajaribu huko kwa ajili yako. Kama nikikuambia, ‘Huyu atakwenda pamoja nawe,’ yeye atakwenda; lakini kama nikisema, ‘Huyu hatakwenda pamoja nawe,’ yeye hatakwenda.”
5 Gidione da ea dunu amo hanoa oule sa: ili, Hina Gode da ema amane sia: i, “Nowa dunu ilia da wa: me agoane hano leba: le nasea, amola nowa ilia da muguni bugili hano nosone nasea, amo dia mogima.”
Hivyo Gideoni akalileta lile jeshi chini kwenye maji naye Bwana akamwambia Gideoni, “Watenge upande mmoja wale wote wanywao maji kwa ulimi, kama vile mbwa anywavyo, wale wote wapigao magoti ili kunywa wakipeleka mikono yao vinywani mwao, waweke upande mwingine.”
6 Dunu 300 agoane da hano amo loboga ofodalu leba: le nasu. Be dunu eno huluane da muguni bugili, hano nosona dasu.
Idadi ya wale waliokunywa kwa kuramba ramba walikuwa 300, lakini wengine wote katika jeshi walipiga magoti ili kunywa.
7 Hina Gode Ea da Gidionema amane sia: i, “Na da di fidimuba: le, di amola dunu 300 amo da hano loboga ofodalu leba: le nasu, amo fawane da Midia: ne dunu fi ili hasalasimu. Eno dunu huluane ilia diasuga buhagima: ne sia: ma.”
Bwana akamwambia Gideoni, “Kwa hao watu 300 walioramba maji nitawaokoa ninyi, nami nitawatia Wamidiani mkononi mwako. Waache hao watu wengine wote warudi kila mmoja nyumbani mwake.”
8 Amalalu, Gidione da amo dunu 300 amo fawane esaloma: ne sia: i. Eno huluane e da ilia diasuga buhagima: ne asunasi. Be Gidione amola amo dunu 300 da liligi sagosu, amola dalabede huluane gegedole legei.
Hivyo Gideoni akawaacha wale Waisraeli wengine kila mmoja aende kwenye hema yake. Akabakia na wale 300, ambao walichukua vyakula na tarumbeta za wale wenzao. Basi kambi ya Wamidiani ilikuwa chini yake bondeni.
9 Amo gasia, Hina Gode da Gidionema amane sia: i, “Wa: legadole, Midia: ne hawa: i fisu amo doagala: ma! Na fidimuba: le, dia da ili osa: la heda: mu.
Usiku ule ule Bwana akamwambia Gideoni, “Ondoka, ushuke kambini, kwa kuwa nimeitia mkononi mwako.
10 Be di da beda: iba: le, doagala: mu hamedei ba: sea, di amola dia hawa: hamosu dunu Fiula, Midia: ne dunu ilia fia amo gudu sa: ima.
Lakini kama unaogopa kushambulia, shuka kambini pamoja na mtumishi wako Pura,
11 Amogawi, alia da ilia fada: i sia: dalebe nabimu. Amasea di da ilima mae beda: iwane doagala: mu.” Amaiba: le, Gidione amola ea hawa: hamosu dunu Fiula da ilia ha lai dunu hawa: i fisu bega: gudu sa: i.
nawe sikiliza wanayosema. Hatimaye, utatiwa moyo kushambulia kambi.” Basi yeye na Pura mtumishi wake wakashuka na kufikia walinzi wa mbele wenye silaha waliokuwa mle kambini.
12 Midia: ne fi dunu, A:malege fi dunu amola hafoga: i soge fi dunu da fago ganodini fiafia: i esalebe ba: i. Ilia wa: i da danuba: wa: i agoane ba: i. Idimu hamedei agoai ba: i. Ilia ga: mele idi da sa: iboso hano wayabo bagade bega: dialebe amo defele ba: i.
Wamidiani, Waamaleki na mataifa mengine yote ya mashariki walikaa bondeni, nao walikuwa mfano wa nzige kwa wingi wao. Ngamia zao hazikuhesabika, wingi wao ulikuwa kama mchanga wa ufuoni mwa bahari.
13 Gidione da Midia: ne awali asili fisisu amoga doaga: loba, e da Midia: ne dunu afae ea fi dunu ilima ea simasia ba: i liligi adolalebe nabi. E da amane adolalu, “Na da simasia agoane ba: i. Bali agi ga: gi gasui da bebesola asili, ninia fisisu amo ganodini misini, abula diasu afadafa fai. Abula diasu da mugululi sa: ili, bana: na sa: i ba: i.”
Gideoni alifika wakati huo huo kukiwa na mtu mmoja aliyekuwa anamweleza mwenzake ndoto yake, akisema, “Niliota ndoto: Tazama mkate wa shayiri ulioviringana ulianguka katika kambi moja ya Wamidiani, ukaipiga na ikaanguka nao ukaipindua juu chini na hema ikaporomoka chini.”
14 Ea fi dunu da ema bu adole i, “Dafawane! Goe da Isala: ili dunu Gidione, Youa: se egefe amo ea gegesu gobihei sedade olelesa. Bai eno da hame gala. Gode da Gidione ninia Midia: ne fi dadi gagui huluane ili hasalasima: ne, logo doasi dagoi.”
Rafiki yake akamjibu, “Habari hii si kitu kingine zaidi ya upanga wa Gideoni mwana wa Yoashi, Mwisraeli. Mungu amewatia Wamidiani na jeshi lote mkononi mwake.”
15 Gidione da amo simasia ba: i amola amo ea bai nabaloba, e da ea muguni dudugini sa: ili, Godema nodone sia: ne gadoi. Amalalu, e da Isala: ili dunu ilia awalia asili fisisu amoga bu asili, Isala: ili dunu ilima amane sia: i, “Wa: legadoma! Hina Gode da nini Midia: ne dadi gagui ilima osa: la heda: ma: ne logo doasi dagoi.”
Gideoni alipoisikia hiyo ndoto na tafsiri yake, akamwabudu Mungu. Akarudi kwenye kambi ya Israeli na kusema, “Inukeni! Bwana amelitia jeshi la Wamidiani mikononi mwenu.”
16 E da ea fi dunu 300 amo udiana agoane momogi. E da dunu huluane afae afae ilima dalabede amola ganagu osoboga hamoi i dagoi.
Akawagawa wale watu 300 katika makundi matatu, akawakabidhi tarumbeta mikononi mwao wote na mitungi isiyokuwa na maji yenye mienge ndani yake.
17 E da ilima amane sia: i, “Na da Midia: ne fisisu bidiga doaga: sea, dilia na hou ba: lalu amo defele hamoma.
Akawaambia, “Nitazameni, fanyeni kama nitakavyofanya, nitakapofika mwisho wa kambi mfanye kama nitakavyofanya.
18 Na amola na dunu gilisisu da ninia dalabede fulabosea, dilia amola hawa: i fisu fiafia: le esala amo sisiga: le, dilia dalabede fulabole, bagadewane amane wele sia: ma, ‘Ninia da Hina Gode amola Gidione elamagale gegesa.’”
Wakati mimi na wale walio pamoja nami wote, tutakapopiga tarumbeta zetu, ninyi nanyi pigeni tarumbeta pande zote za kambi na mpige kelele, mseme, ‘Upanga wa Bwana na wa Gideoni.’”
19 Gidione amola ema fa: no bobogesu dunu 100 agoane da gasimoga Midia: ne amola A: malege ilia fisisu bega: doaga: i. Ilia amo fisisu sosodo aligisu dunu da afadenei dagoi ba: i. Amalalu, ilia da dalabede fulaboi amola osobo ganagu ilia lobo ganodini gagui amo goudai.
Gideoni na wale watu 100 waliokuwa pamoja naye wakafika mwisho wa kambi usiku mwanzoni mwa zamu ya kati, mara tu walipokuwa wamebadili zamu. Wakapiga zile tarumbeta zao na kuvunja ile mitungi iliyokuwa mikononi mwao.
20 Gidione ea fi aduna eno da amo defele hamoi. Ilia da ilia hanu amo ilia lobo fofadi amoga gaguli amola ilia dalabede lobodafa amo ganodini gaguli, amane wele sia: i, “Gobihei bagade Hina Gode amola Gidione elamagale gegemusa: gala.”
Yale makundi matatu yakapiga tarumbeta na kuvunja mitungi. Wakashika mienge kwa mikono yao ya kushoto na katika mikono yao ya kuume tarumbeta ili kuzipiga, wakapaza sauti zao, “Upanga wa Bwana na wa Gideoni!”
21 Gidione ea fi dunu da fisisu sisiga: le lelu. Amola ha lai dadi gagui dunu da beda: iba: le, wele sia: nanu, hobea: i.
Wakasimama kila mtu mahali pake kuizunguka kambi pande zote, Wamidiani wote wakakimbia, huku wakipiga kelele.
22 Gidione ea dunu da dalabede fulabolalu, Hina Gode da Midia: ne dunu ilia dogo ganodini olelebeba: le, ilia da sama eno ea sama amoma doagala: i. Ilia da Sa: leda: ne moilaiga doaga: musa: asili, Bedesida moilai amola A: ibele Mihoula moilai (Da: bade soge gadenene) amoga doaga: i.
Walipozipiga zile tarumbeta 300, Bwana akafanya watu katika kambi yote kugeuziana upanga kila mmoja na mwenziwe. Jeshi likakimbia mpaka Beth-Shita kuelekea Serera hadi mpakani mwa Abel-Mehola karibu na Tabathi.
23 Amalalu Gidione da Na: fadalai fi, A:sie fi amola Mana: se fi aduna ilima misa: ne sia: nanu, ilia da Midia: ne dunu sebobogelalu.
Watu wa Israeli wakaitwa kutoka Naftali, Asheri na Manase, wakawafuatia Wamidiani.
24 Gidione da sia: adola ahoasu dunu asunasi. Ilia da Ifala: ime agolo soge amoga lalu, amane sia: i, “Midia: ne dunuma gegemusa: , gudu sa: ima. Ilia da Yodane Hano amola hano huluane asili Bedebala amoga doaga: sa, amo ilia mae degema: ne, noga: le ouligima.” Ilia da Ifala: ime dunu huluane gagadomusa: sia: i, amola ilia da hano huluane amo Yodane Hano amola hano huluane asili, Bedebala amoga doaga: su, amo huluane gagulaligi.
Gideoni akatuma wajumbe katika nchi yote ya vilima vya Efraimu akisema, “Teremkeni dhidi ya Wamidiani na mkazuie vivuko vya maji mbele yao hadi Beth-Bara na pia Yordani.” Hivyo watu wote wa Efraimu wakakutanika pamoja na kuzingira mto wa Yordani hadi Beth-Bara.
25 Ilia da Midia: ne hina dunu aduna amo Oulebe amola Siebe gagulaligi. Ilia da Oulebe amo Oulebe Igi sogebi amoga fuga: i. Amola ilia da Siebe amo Siebe Waini Fage Labugisu amoga fuga: i. Ilia da mae fisili, Midia: ne dunu sefasilalu. Gidione da asili, Yodane Hano ea eso mabe la: idi amoga esalu. Isala: ili dunu da Oulebe amola Siebe ela dialuma damuni, gaguli asili, Gidionema i.
Wakawakamata wakuu wawili wa Midiani, Orebu na Zeebu. Wakamuulia Orebu pale penye mwamba wa Orebu, na Zeebu wakamuulia penye shinikizo la kukamulia divai la Zeebu. Wakawafuatia Wamidiani na kuleta vichwa vya Orebu na Zeebu kwa Gideoni, huko ngʼambo ya Yordani.

< Bisisu 7 >