< Bisisu 2 >
1 Hina Gode Ea a: igele dunu da Giliga: le fisili Bougimi sogega asili, Isala: ili dunuma amane sia: i, “Na da dili Idibidi sogega esalu amo fisili masa: ne samogele, oule asili, soge amo Na da dilia aowalali ilima imunu ilegele sia: i, amoga oule asi. Na da amane sia: i, ‘Na da gousa: su hou dilima hamoi, amo hamedafa yolesimu.
Malaika wa Bwana akatoka Gilgali, akaenda Bokimu, akasema, “Nimekuleta kutoka Misri, na nimekuleta katika nchi niliyoapa kuwapa baba zako.
2 Be dilia gousa: su eno Ga: ina: ne soge fi dunuma maedafa hamoma. Ilia oloda amo dilia mugululi wadela: lesima.’ Be dilia da Na sia: hamedafa nabasu.
Nikasema, 'Sitakuvunja kamwe agano langu na wewe. Usifanye agano na wale wanaoishi katika nchi hii. Ziangushe madhabahu zao. Lakini hukusikiliza sauti yangu. Je! ni nini hiki ulichokifanya?
3 Amaiba: le, dilia da gusuba: i ahoasea, Na da amo dunu gadili hame sefasimu. Ilia da dilima ha laiwane esalumu, amola ilia ogogole ‘gode’ liligi ilima nodone sia: ne gadosu hou da fedege sia: agoane dilima sani dialumu.”
Basi sasa nasema, “Sitawafukuza Wakanaani mbele yenu, nao watakuwa miiba kwenu, na miungu yao itakuwa mtego kwa ajili yenu.”
4 A: igele dunu da amo sia: sia: beba: le, Isala: ili dunu huluane da dinanu.
Malaika wa Bwana alipowaambia maneno hayo kwa watu wote wa Israeli, watu wakapiga kelele na kulia.
5 Amaiba: le, ilia da amo sogega Bougimi (disu) dio asuli. Amogawi, ilia da Hina Godema gobele salasu hamosu.
Waliita mahali hapo Bokimu. Hapo wakatoa dhabihu kwa Bwana.
6 Yosiua da Isala: ili dunu asunasili, ilia da afae afae amo sogebi ilima ilegei, amo gesowale fimusa: asi.
Yoshua alipowaruhusu watu waende zao, wana wa Israeli kila mmoja akaenda mahali alipopewa, wakiwa na umiliki wa ardhi yao.
7 Yosiua da esalea, amola e da bogoloba, ouligisu dunu da ilia siga Hina Gode Ea Isala: ili fidimusa: gasa bagade hou ba: i, amo dunu amola esalea, Isala: ili dunu da Hina Godema fa: no bobogei.
Watu walimtumikia Bwana wakati wa maisha ya Yoshua na wazee walioendelea baada yake, ni wale waliokuwa wameona matendo yote makuu ya Bwana aliyoyafanya kwa Israeli.
8 Amalalu, Hina Gode ea hawa: hamosu dunu Yosiua (Nane egefe) da ea esalu ode110amo gidigisia, bogoi dagoi.
Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Bwana, alikufa akiwa na umri wa miaka 110.
9 Ilia da ea da: i hodo amo hihima ilegei soge amoga uli dogone sali. Amo soge da Dimina: de Sila moilai Ifala: ime agolo soge ganodini, Ga: ia: sie Goumi amoga gagoe (north) dialu.
Wakamzika ndani ya mpaka wa nchi aliyopewa huko Timnath Heresi, katika mlima wa Efraimu, kaskazini mwa Mlima Gaash.
10 Amo musa: fifi misi dunu huluanedafa da bogogia: i dagoi. Amola fa: no fifi misi dunu ilia da Hina Gode Ea gasa bagade Isala: ili dunuma fidi amo gogolei, amola Hina Gode hamedafa dawa: i.
Kizazi hicho chote kilikusanyika kwa baba zao. Kizazi kingine kilichofuata baada yao ambao hakikumjua Bwana au kile alichokifanya kwa Israeli.
11 Amalalu, Isala: ili dunu da Godema wadela: le hamoi. Ilia da ogogosu ‘gode’ liligi ilia dio amo Ba: ile ilima fa: no bobogesu.
Watu wa Israeli walifanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana, nao wakawatumikia Mabaali.
12 Hina Gode, amo da ilia aowalalia Gode, amola E da ili Idibidi sogega fisili masa: ne asunasi. Be ilia da Hina Gode yolesili, amo hame lalegagui dunu ilia soge ganodini esalu, amo ilia ‘gode’ liligi amoma nodone sia: ne gadosu. Ilia da amo ogogosu ‘gode’ liligi ilima dawa: le begudubiba: le, Hina Gode da ougi bagade ba: i.
Wakaondoka kwa Bwana, Mungu wa baba zao, aliyewatoa kutoka Misri. Wakaifuata miungu mingine, miungu ya watu waliokuwa karibu nao, nao wakaisujudia. Wakamkasirisha BWANA kwa sababu
13 Ilia da Hina Godema nodone sia: ne gadosu hou fisili, Ba: ile amola A: sadalode ogogosu ‘gode’ amoma fa: no bobogei.
waliondoka kwa Bwana na kumwabudu Baal na Maashtoreti.
14 Amaiba: le Hina Gode da ougi bagade ba: i. Ilima ha lai dunu da ilima doagala: musa: amola ilia liligi wamolamusa: manoba, Hina Gode da ilia logo hame hedofai. E da Isala: ili dunu hame fidibiba: le, ilia ha lai dunu da ilima sisiga: le disi, amo da ili hasalasi. Isala: ili dunu da ilima bu gegemu hamedeiwane ba: i.
Hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akawapa washambuliaji walioiba mali zao kutoka kwao. Aliwauza kama watumwa waliofanyika kwa nguvu za maadui zao waliowazunguka, hivyo hawakuweza kujikinga dhidi ya adui zao.
15 Hina Gode Ea sia: i defele, ilia da gegemusa: ahoanoba, Hina Gode da ilima gegebe ba: i. Ilia da se bagade nabi.
Israeli walipokwenda kupigana, mkono wa Bwana ulikuwa dhidi yao kuwashinda, kama alivyowaapia. Na walikuwa katika shida kali.
16 Amalalu, Hina Gode da bisisu dunu Isala: ili dunuma i. Bisisu dunu da gasa bagade gegebeba: le, ilia da Isala: ili dunu ilia ha lai dunu ilima gaga: i.
Ndipo Bwana akawainua waamuzi, waliowaokoa katika mikono ya wale waliokuwa wakiba mali zao.
17 Be Isala: ili dunu da ilia bisisu dunu sia: hame nabasu. Ilia Hina Gode Ea hou fisili, eno ‘gode’ liligi ilima hawa: hamosu. Ilia aowalali eda ilia da Hina Gode Ea sema amoma fa: no bobogesu. Be gaheabolo fi dunu da amo hou hedolowane yolesi.
Hata hivyo hawakuwasikiliza waamuzi wao. Hawakuwa waaminifu kwa Bwana na wakajitoa wenyewe kama makahaba kwa miungu mingine na kuabudu. Waligeuka upesi na kuiacha njia waliyoishi baba zao-wale waliotii amri za Bwana-lakini wao wenyewe hawakufanya hivyo.
18 Eso bagohame, Hina Gode da Isala: ili dunuma bisisu iasu. Amo bisisu dunu da esalea, Hina Gode da e fidibiba: le, Isala: ili dunu ilia ha lai dunu ilima gaga: i. Hina Gode da ilia se nabasu amola gogonomasu amo nababeba: le, E da ilima asigiba: le, ili gaga: i.
Bwana aliinua waamuzi kwa ajili yao, Bwana akawasaidia waamuzi na kuwakomboa kutoka kwa mikono ya adui zao siku zote muamuzi aliishi. Bwana aliwahurumia walipougua kwa sababu ya wale waliowadhulumu na kuwasumbua.
19 Be bisisu da bogoloba, Isala: ili dunu da ilia musa: wadela: i hou amoma sinidigili, ilia wadela: i hou da ilia ada ilia wadela: i hou baligisu. Ilia da ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosu, amola hawa: hamosu. Ilia da musa: wadela: i hou hamedafa yolesi.
Lakini mwamuzi alipokufa, waligeuka na kufanya mambo ambayo yalikuwa mabaya zaidi kuliko baba zao walivyofanya. Wakaenda kuifuata miungu mingine kuitumikia na kuiabudu. Walikataa kuacha matendo yao yote mabaya au njia zao za ukaidi.
20 Amo ba: beba: le, Hina Gode da Isala: ili fi ilima ougi bagade ba: lalu, amane sia: i, “Amo dunu da gousa: su amo Na da ilia aowalali ilima noga: le nabima: ne sia: i, amo ilia da Na sia: hame nababeba: le, wadela: lesi dagoi.
Hasira ya Bwana iliwaka juu ya Israeli; akasema, Kwa sababu taifa hili limevunja masharti ya agano langu ambalo nililiweka kwa ajili ya baba zao-kwa sababu hawakuisikiliza sauti yangu.
21 Amaiba: le, dunu fi da Yosiua esalebe eso amoga, Ga: ina: ne soge ganodini ba: i, amo Na da gadili hame sefasimu.
Tangu sasa sitaliondoa mbele yao taifa lolote aliloliacha Yoshua baada ya kufa.
22 Na da wali esalebe Isala: ili dunu da ilia aowalali defele Nama fa: no bobogema: bela: ? amo adoba: ma: ne, Na da ilima ha lai dunu Ga: ina: ne soge ganodini fima: ne yolesimu.”
Nitafanya hivi ili kuwajaribu Israeli, ikiwa watafuata njia ya Bwana au sivyo, kama vile baba zao walivyoifuata.
23 Amaiba: le, amo dunu fi da Isala: ili soge ganodini bu esaloma: ne, Hina Gode da logo doasi dagoi. Hina Gode Ea hamobeba: le, Yosiua da amo dunuma hame hasali, amola Yosiua da bogoloba, Hina Gode da amo dunu gadili hame sefasi.
Ndiyo sababu Bwana aliwaacha mataifa hayo, wala hakuwafukuza haraka na kuwatia mikononi mwa Yoshua.