< Bisisu 12 >

1 Ifala: ime dunu da ilia dadi gagui dunu huluane gilisi. Ilia da Yodane Hano degele, Sa: ifone sogega asili, Yefeda ema amane sia: i, “Di da abuli ninima mae adole, udigili disu A: mounaide dunuma gegemusa: asibala: ? Ninia da dia diasu amola di gilisili laluga ulagimu.”
Watu wa Efraimu wakaita majeshi yao, wakavuka kwenda Zafoni, wakamwambia Yefta, “Kwa nini mmekwenda kupigana na Waamoni bila kutuita ili twende pamoja nawe? Basi tutaichoma moto nyumba yako, pamoja nawe ukiwa ndani yake.”
2 Yefeda da ilima amane sia: i, “Na amola na fi dunu da A: mounaide dunuma gegesu bagade ba: i. Na da dilima wele sia: i dagoi, be dilia da na hame fidi.
Yefta akajibu, “Mimi na watu wangu tulikuwa na ugomvi mkubwa na Waamoni, hata ingawa niliwaita hamkuniokoa katika mkono wao.
3 Dilia da na hame fidimu, amo na ba: beba: le, na da na bogomu mae dawa: le, Yodane Hano degele, A:mounaide dunu ilima gegei. Hina Gode da fidibiba: le, ninia da ili hasalasi. Amaiba: le, dilia da abuliba: le wali nama gegemusa: misibala: ?”
Nilipoona kuwa hamkunipa msaada nikauhatarisha uhai wangu na nikavuka kupigana na Waamoni. Naye Bwana akanipatia ushindi dhidi yao. Sasa kwa nini mnanijia leo ili kupigana nami?”
4 Amalalu, Yefeda da Gilia: de dunu huluane gilisili, Ifala: ime fi ilima gegei. Gilia: de dunu da Ifala: ime dunu hasali. Bai Ifala: ime dunu da amane sia: i galu, “Dilia Gilia: de dunu da musa: Ifala: ime fi amola Mana: se fi - ninia fi, be afafane hohonosu hou hamoi.”
Ndipo Yefta akakusanya watu wa Gileadi pamoja na kupigana na Efraimu. Wagileadi wakawashinda Efraimu, kwa kuwa Waefraimu walisema, “Ninyi Wagileadi ni watoro mliotoroka toka Efraimu na Manase.”
5 Gilia: de dunu da Yodane hano degesu huluane amo Ifala: ime sogega ahoasu, amo huluane lai dagoi. Amalalu, Ifala: ime dunu da hano degesu amoga degemusa: dawa: loba, Gilia: de dunu da ema amane adole ba: su, “Di da Ifala: ime dunula: ?” E da “Hame mabu,” sia: noba,
Wagileadi wakaviteka vivuko vya Yordani dhidi ya hao Waefraimu, kisha ilikuwa yeyote yule aliyenusurika katika Efraimu aliposema, “Niache nivuke,” hao watu wa Gileadi walimuuliza, “Je wewe ni Mwefraimu?” Kama alijibu “Hapana,”
6 ilia da ema amane sia: i, “Defea! Di Sibolede sia: ma.” E da sia: hisu amo “Sibolede” amo giadofale sia: noba, ilia da amo dunu gaguli, Yodane Hano degesu amoga medole legei. Amohaga, ilia da Ifala: ime dunu 42,000 medole legei dagoi.
walimwambia, “Sawa, sema ‘Shibolethi.’” Iwapo alitamka, “Sibolethi,” kwa sababu hakuweza kutamka hilo neno sawasawa, walimkamata na kumuua hapo kwenye vivuko vya Yordani. Waefraimu 42,000 waliuawa wakati huo.
7 Yefeda da ode gafeyale amoga, Isala: ili ouligisu. Amalalu e da bogole, ilia da ea da: i hodo amo ea moilaidafa Gilia: de soge ganodini, uli dogone sali.
Yefta akawa mwamuzi wa Waisraeli kwa muda wa miaka sita. Basi Yefta akafa, akazikwa katika mmojawapo wa miji ya Gileadi.
8 Yefeda bagia, Ibisa: ne (Bedeleheme dunu) da Isala: ili fi ouligisu.
Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli.
9 E da dunu mano30amola uda mano 30agoane esalu. Ea uda mano amo ga sosogo fi amo ilia lama: ne asunasiagai. Amola amo dabe uda mano30agoane egefelali ili lama: ne oule misi. Ibisa: ne da ode fesuale amoga, Isala: ili fi ouligisu.
Alikuwa na wana thelathini na binti thelathini. Akawaoza binti zake kwa watu wengine nje ya ukoo wake, na kuwatwalia wanawe wanawake thelathini toka nje ya ukoo wake. Ibzani akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka saba.
10 Amalalu, Ibisa: ne da bogoi. Ilia da ea da: i hodo Bedeleheme moilai amo ganodini uli dogone sali.
Ibzani akafa, akazikwa huko Bethlehemu.
11 Amalalu, Ilone (Sebiulane fi dunu) da ode nabuane amoga, Isala: ili dunu ouligisu.
Baada yake Eloni, Mzabuloni, akawa mwamuzi wa Israeli, naye akawaamua kwa muda wa miaka kumi.
12 Amalalu, Ilone bogole, ilia da ea da: i hodo amo A: idialone moilai (Sebiulane soge ganodini) amogai uli dogone sali.
Kisha Eloni akafa, akazikwa katika Aiyaloni, katika nchi ya Zabuloni.
13 Ilone bagia, A:badone (Hilele egefe. E da Bailadone moilaiga esalu.) e da Isala: ili fi ouligisu.
Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.
14 E da Isala: ili dunu ode godoane amoga ouligisu. A: badone da dunu mano40 amola ea aowa30 esalu. Ilia da dougi 70 amo da: iya fila heda: le, ahoasu.
Naye akazaa wana arobaini na wana wa wanawe thelathini waliopanda punda sabini. Akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka minane.
15 Amalalu, A:badone (Hilele egefe) da bogole, ilia da ea da: i hodo amo Bailadone moilai amo ganodini uli dogone sali. Bailadone moilai da A: ma: legaide agolo soge ganodini, Ifala: ime ilia gagui soge alalo amo ganodini dialebe ba: i.
Ndipo Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, naye akazikwa huko Pirathoni katika Efraimu, katika nchi ya vilima ya Waamaleki.

< Bisisu 12 >