< Yude 1 >

1 Na, Yude, da Yesu Ea hawa: hamosu dunu. Na da Ya: mese amo eya esala. Gode da dilima Ema misa: ne wele sia: i dagoiba: le, dilia da Ada Gode Ea asigidafa hou amola Yesu Gelesu Ea gaga: su hou amo ganodini esala. Na dilima meloa dedesa.
Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo na nduguye Yakobo: Kwa wale walioitwa, wapendwa katika Mungu Baba na kuhifadhiwa salama ndani ya Yesu Kristo:
2 Dilia gogolema: ne olofosu, olofosudafa amola asigidafa, baligili lama: ne na dawa: lala.
Rehema, amani na upendo viwe kwenu kwa wingi.
3 Na dogolegei na: iyado dunu! Na da ninia Gode Ea gaga: su hou nini gilisili gagui, amo bu olelema: ne meloa dedemusa: dawa: i galu. Be bu baligiliwane dawa: beba: le, na da hedolowane dilia dogo denesima: ne, dilia dafawaneyale dawa: su hou amo dialalaloma: ne Gode da Ea fi dunuma i, amo fidima: ne dili gegema: ne, na meloa dedemusa: dawa: i.
Wapendwa, ingawa nilikuwa ninatamani sana kuwaandikia kuhusu wokovu ambao tunaushiriki sisi sote, niliona imenipasa kuwaandikia na kuwasihi kwamba mwitetee imani iliyokabidhiwa watakatifu kwa nafasi moja itoshayo.
4 Bai eno hame lalegagui dunu da wamowane ninia fi amo ganodini misiba: le, na meloa dedemusa: dawa: i. Amo dunu ilia wadela: i hou dodofemusa: , ilia da Gode Ea hahawane dogolegele iasu hou giadofale olelesa. Ilia Yesu Gelesu amo ninia Hina Gode higasa. Gode da ilima se imunusa: fofada: su hamoi dagoi, amo balofede (Gode Sia: alofesu dunu) ilia da hemonega Gode Sia: ganodini dedei.
Kwa kuwa kuna watu waliojipenyeza kwa siri katikati yenu, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, waovu, wapotoshao neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi wakimkana yeye aliye Bwana wetu wa pekee, Bwana Yesu Kristo.
5 Amo sia: huluane dilia dawa: , be na da bu olelemu. Hina Gode da musa: Isala: ili fi dunu huluane gaga: musa: , ili Idibidi soge fisili masa: ne asunasi. Be fa: no, Isala: ili dunu mogili da Gode Ea hou dafawaneyale hame dawa: beba: le, Gode da ili gugunufinisi dagoi.
Ingawa mmekwisha kujua haya yote, nataka niwakumbushe kuwa Bwana akiisha kuwaokoa watu wake kutoka nchi ya Misri, baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini.
6 Amola a: igele dunu mogili, ilia ouligisu hou alalo mae dawa: le, hame nabasu hou hamone, ilia sogebi yolesi, amo bu dawa: ma. Ilia da wali sia: ine hame fadegamu liligi amoga la: gili, hagudu gasi sogebi amo ganodini esala. Gode da ilima se imunusa: fofada: mu eso ilegei, amo doaga: ma: ne, ilia oualigisa. (aïdios g126)
Nao malaika ambao hawakulinda nafasi zao, lakini wakayaacha makao yao, hawa amewaweka katika giza, wakiwa wamefungwa kwa minyororo ya milele kwa ajili ya hukumu Siku ile kuu. (aïdios g126)
7 Dilia Sodame, Goumola amola eno gadenene moilai ilia hou bu dawa: ma. Amo fi dunu da waha sia: i dafai a: igele defele, wadela: i uda lasu hou amola inia uda adole lasu hou hamonanusu. Dunu huluane sisasu noga: le ba: ma: ne, amo dunu da lalu hame haba: dosu liligi amoga se nabalebe. (aiōnios g166)
Vivyo hivyo, Sodoma na Gomora na pia ile miji iliyokuwa kandokando, ambayo kwa jinsi moja na hao, walijifurahisha kwa uasherati na kufuata tamaa za mwili zisizo za asili, waliwekwa wawe mfano kwa kuadhibiwa katika moto wa milele. (aiōnios g166)
8 Wali sia: i ogogosu olelesu dunu amo defele ilia esalawane ba: su ba: lalebeba: le, ilisu ilia da: i hodo wadela: ma: ne, wadela: i hou hamosa. Gode da ilima Hinawane esalumu, amo ilia higasa. Ilia da a: igele dunu hadigi hamoi muagado esala, ilima gadesa.
Vivyo hivyo, hawa waotao ndoto huutia mwili unajisi, hukataa kuwa chini ya mamlaka na kunena mabaya juu ya wenye mamlaka.
9 Be a: igele bisilua ouligisu dunu ea dio amo Maigele, hi da Sa: ida: nema diwaneya udidimu hamedeiwane ba: i. E da Mousese ea da: i hodo lama: ne, Sa: ida: nema sia: ga gegeloba, e da Sa: ida: nema gadele diwaneya udidili sia: mu beda: i galu. Amaiba: le, e amane sia: i, “Hina Gode Hi da dima gagabole sia: mu da defea!”
Lakini hata malaika mkuu Mikaeli alipokuwa anashindana na ibilisi juu ya mwili wa Mose, hakuthubutu kumlaumu, bali alimwambia, “Bwana na akukemee!”
10 Be ogogosu olelesu dunu da hou ilia hame dawa: , amoma gadele sia: ga gegesa. Ilia da nimi sigua ohe fi defele, liligi amo ilia hame dawa: amo doagala: sa. Be amo liligi da ili gugunufinisimu.
Lakini watu hawa hunena mabaya dhidi ya mambo wasiyoyafahamu. Na katika mambo yale wanayoyafahamu kwa hisia kama wanyama wasio na akili, hayo ndiyo hasa yanayowaharibu.
11 Ilia da se bagade nabimu. Ilia da Ga: ine ea logoga ahoana dagoi. Ilia muni hanaiba: le, Ba: ila: me ea giadofai hou lalegagui dagoi. Ilia da musa: Isala: ili dunu ea dio amo Goula, amo defele, hame nabasu hou hamobeba: le, ilia e defele gugunufinisi dagoi ba: mu.
Ole wao! Kwa kuwa wanaifuata njia ya Kaini, wamekimbilia faida katika kosa la Balaamu na kuangamia katika uasi wa Kora.
12 Ilia udigili wadela: i hedebeba: le, dilia fi Lolo Nasu amo ganodini ledo daginisi agoane ba: sa. Ilisu hou fawane fidima: ne, hi hanai hou hamosa. Ilia da mu mobi amo da foga sefasisa, be gibu hame gaguli maha, agoane ba: sa. Ilia da fage hame legesa ifa amo da difi a: le fasibale, bioidafa agoane ba: sa.
Watu hawa ni dosari katika karamu zenu za upendo, wakila pamoja nanyi bila hofu, wakijilisha pasipo hofu. Wao ni mawingu yasiyokuwa na maji, yakichukuliwa na upepo, miti isiyo na matunda wakati wa mapukutiko, ambayo hunyauka, iliyokufa mara mbili na kungʼolewa kabisa.
13 Ilia da waiyabo bagade hano gafului nimi bagade hamoi agoane ba: sa. Ilia wadela: i hou da amo ea dubu agoane ba: sa. Ilia da udigili lalebe gasumuni agoane ba: sa. Ilia eso huluane gasidafa amo ganodini esaloma: ne, Gode da ilima sogebi ilegei dagoi. (aiōn g165)
Wao ni mawimbi makali ya bahari, yakitoa povu la aibu yao wenyewe, ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba waliowekewa milele. (aiōn g165)
Enoki, mtu wa saba kuanzia Adamu alitoa unabii kuhusu watu hawa, akisema: “Tazama, Bwana anakuja pamoja na maelfu kwa maelfu ya watakatifu wake,
15 Musa: hemonega, Inage, amo da A: da: me ea aowa lalelegele asili gafeyale gala amo Inage lalelegei, e da ogogosu dunu ilia hou amane olelei, “Hinadafa amola Ea hadigi a: igele dunu osea: i, da ilima fofada: musa: misunu. E da ili wadela: i hou amola Ema lasogole sia: i huluane amoma se dabe imunusa: misunu!”
ili kumhukumu kila mmoja na kuwapatiliza wote wasiomcha Mungu kwa matendo yao yote ya uasi waliyoyatenda, pamoja na maneno yote ya kuchukiza ambayo wenye dhambi wamesema dhidi yake.”
16 Amo ogogosu dunu da eso huluane higale egasa. Wadela: i ba: sea, “Na hame, hi fawane wadela: le hamoi!” ilia da bai sia: sa. Ilia da ilisu wadela: i hanai hou amoma fawane fa: no bobogesa. Ilia gasa fi hamosa hidale sia: sa, amola ilia hanai liligi lama: ne, eno dunu ilia ge noga: ma: ne nodosa.
Watu hawa ni wenye kunungʼunika na wenye kutafuta makosa; wao hufuata tamaa zao mbaya, hujisifu kwa maneno makuu kuhusu wao wenyewe na kuwasifu mno watu wenye vyeo kwa ajili ya kujipatia faida.
17 Be na na: iyado dunu! Hina Gode Yesu Gelesu Ea asunasi dunu musa: dilima olelei liligi, amo bu dawa: ma.
Lakini ninyi wapenzi, kumbukeni yale mitume wa Bwana Yesu Kristo waliyonena zamani.
18 Ilia musa: amane olelei, “Soge wadela: mu eso gadenesea, dilia da dunu amo ilia dilima oufesegale, gadele sia: mu amola ilia wadela: i hanai hou amoma fa: no bobogemu, amo dunu ba: mu galebe.”
Kwa kuwa waliwaambia, “Siku za mwisho kutakuwa na watu wenye kudhihaki, watakaofuata tamaa zao wenyewe za upotovu.”
19 Agoai dunu da afafasu hou bagade olelesa. Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala da ilia dogo ganodini hame aligila sa: iba: le, ilisu ilia hi hanai hou amoma fa: no bobogesa.
Hawa ndio watu wanaowagawa ninyi, wafuatao tamaa zao za asili, wala hawana Roho.
20 Be dilia, na na: iyado dunu! Dilia hadigi dafawaneyale dawa: su hou asigilama: ne hawa: hamonanoma! Dilia Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala amo Ea gasaga sia: ne gadoma.
Lakini ninyi wapendwa, jijengeni katika imani yenu iliyo takatifu sana tena ombeni katika Roho Mtakatifu.
21 Hina Gode Yesu Gelesu amo dilima asigiba: le eso huluane mae bogole Fifi Ahoanusu imunusa: ouesalebeba: le, dilia Gode Ea asigidafa hou amo ganodini esaloma. (aiōnios g166)
Jilindeni katika upendo wa Mungu mkitazamia kwa furaha rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ili awalete katika uzima wa milele. (aiōnios g166)
22 Nowa dunu ea dafawaneyale dawa: su hou da gasa hame gala, dilia agoai dunuma fidima: ne asigima.
Wahurumieni walio na mashaka;
23 Eno dunu ilia da fedege agoane lalu ganodini dafai dagoi, dilia ili gaga: musa: , ili gaguli gadili hiouginana masa. Dilia eno dunuma gilisili asigidafa hou amola beda: su hou olelema. Be ilia wadela: i hanai hou da fedege agoane ilia abula amoga ledo bagade agoane gala, dilia amo wadela: i abula higama.
wengine waokoeni kwa kuwanyakua kutoka kwenye moto; nao wengine wahurumieni mkiwa na hofu, mkichukia hata vazi lenye mawaa na kutiwa unajisi na mwili.
24 Yesu Gelesu da dilia mae dafane, bu moloidafa amola hahawanedafa hamoi, Ema Ea Hadigi ganodini gilisili esaloma: ne oule masusa: dawa:
Kwake yeye awezaye kuwalinda ninyi msianguke na kuwaleta mbele za utukufu wake mkuu bila dosari na kwa furaha ipitayo kiasi:
25 Amaiba: le, ninia Gode, ninia Gaga: sudafa, Ema, ninia Hina Gode Yesu Gelesu da hamobeba: le, hadigi, gasa bagade Hina hou amola Hinadafa Hou, amo musa: hemonega hamonanu, wali hamosa amola hobea mae yolesili hamonanumu, amo E da eso huluane amaiwane esalomu. Amo dawa: le, ninia da mae fisili, Ema nodonanumu da defea! Ama! Sia: Ama Dagoi (aiōn g165)
kwake yeye Mungu pekee Mwokozi wetu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na mamlaka ni vyake tangu milele, sasa na hata milele! Amen. (aiōn g165)

< Yude 1 >