< Yosiua 4 >
1 Isala: ili fi dunu huluane da Yodane Hano degei dagoloba, Hina Gode da Yosiuama amane sia: i,
Watu wote walipokwisha kuvuka Yordani, Yahweh akamwambia Yoshua,
2 “Dunu fagoyale, Isala: ili fi fagoyale amoga afae afae amo ilegema.
“Chagueni wenyewe watu waume kumi na wawili, mmoja katika kila kabila.
3 Ilia da igi fagoyale Yodane Hano dogoa gobele salasu dunu ilia lelu sogebi gala, amo lale dilia wali gasia esalebego amoga legema: ne sia: ma.”
Wape agizo hilo: 'Chukueni mawe kumi na mbili kutoka katikati ya Yordani mahali wanaposimama makuhani katika nchi kavu, na wayalete na kuyaweka chini katika sehemu ambapo mtalala usiku wa leo.
4 Amalalu, Yosiua da dunu fagoyale gala e da ilegei, ilima misa: ne sia: i.
Kisha Yoshua akawaita wanaume kumi na wawili ambao aliwachagua kutoka katika makabila ya Israeli, mmoja kutoka kila kabila.
5 E da ilima amane sia: i, “Dilia Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amo bisili, Yodane Hano amo ganodini masa. Dilia afae afae igi gisa masa. Amo da Isala: ili fi fagoyale gala afae afae igi afae gala.
Yoshua akawaambia, “Nendeni mbele za sanduku la Yahweh Mungu wenu katikati ya Yordani. Kila mmoja wenu achukue jiwe moja mabegani mwake, kulingana na hesabu ya makabila ya watu wa Israeli.
6 Amo igi ba: sea, Isala: ili dunu da Hina Gode Ea hamoi amo bu dawa: mu. Hobea, dilia mano da amo igi gilisi ea bai amo dilima adole ba: sea,
Hii itakuwa ni ishara miongoni mwenu kwa ajili yenu wakati watoto wenu watakapowauliza katika siku zijazo, 'Nini maana ya mawe haya kwenu?'
7 dilia da amo bai olelemu, amo Isala: ili fi amola Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili da hano degemusa: dawa: loba, hano ea ahoabe da yolesi dagoi. Isala: ili dunu da amo igi ba: sea, ilia da guiguda: hou amo dawa: lalumu.”
Ndipo mtakapowaambia, 'Maji ya Yordani yalitengwa mbele ya sanduku la Yahweh. Lililpopitishwa katika Yordani, maji ya Yordani yalisimamishwa. Hivyo, mawe haya yatakuwa kumbukumbu kwa watu wa Israeli milele.'”
8 Dunu ilegei da Yosiua ea sia: nabi. Hina Gode da Yosiuama sia: i amo defele, ilia da igi fagoyale gala (Isala: ili fi afae afae igi afae gala) amo Yodane Hano dogoa lale, ilia golamu sogebi amoga gisa asili ligisi.
Watu waisraeli walifanya kama Yoshua alivyowaagiza, na walichukua mawe kumi na mbili kutoka katikati ya Yordani, kama Yahweh alivyomwambia Yoshua, walipangwa sawa sawa na hesabu ya makabila ya watu wa Israeli. Waliyachukua mawe mpaka mahali walipolala na wakayaweka chini huko.
9 Amola Yosiua da igi fagoyale gala eno amo gobele salasu ilia Gode Ea Gousa: su Sema Gagili gaguli lelu sogebi Yodane Hano dogoa amoga legesu. (Amo igi da wali amogawi diala.)
Kisha Yoshua akayapanga mawe kumi na mbili katikati ya Yordani, katika sehemu ambapo ilisimama miguu ya makuhani waliolichukua sanduku la agano. Na kumbukumbu hiyo ipo hadi leo.
10 Gobele salasu dunu da Yodane Hano dogoa liligi huluane Hina Gode da Yosiua Isala: ili dunuma hamoma: ne sia: i, amo hamoi dagoi. Ilia da Yodane Hano dogoa ba: musa: lelu. Mousese da amo hou hamoma: ne sia: i. Dunu huluane da hedolo degei dagoi.
Makuhani waliolichukua sanduku walisimama katikati ya Yordani mpaka pale kila kitu ambacho Yahweh alimwamuru Yoshua kuwaambia watu kilipokamilika, sawa sawa na yote ambayo Musa alimwagiza Yoshua. Watu walifanya haraka na wakavuka.
11 Ilia da huluane na: iyado bega: doaga: loba, gobele salasu dunu da dunu eno bisili, Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amo gaguli asi.
Wakati watu wote walipokwisha kuvuka, sanduku la Yahweh pamoja na makuhani walivuka mbele za watu.
12 Mousese ea sia: i defele, Liubene fi, Ga: de fi amola Mana: se fi la: idi ilia da gegesu liligi gaguli, dunu eno bisili degei.
Kabila la Rubeni, kabila la Gadi, na nusu ya kabila la Manase walipita kama jeshi mbele ya watu wa Israeli, kama ambavyo Musa alivyowaambia.
13 Hina Gode ba: ma: ne dunu 40,000 ilia gegesu liligi gaguli, Yodane Hano degele, umi soge Yeligou moilai bai bagade gadenene amoga doaga: i.
Yapata watu watu elfu arobaini walioandaliwa kwa vita walipita mbele za Yahweh, kwa ajili ya vita katika uwanda wa Yeriko.
14 Hina Gode da amo eso hou hamobeba: le, Isala: ili dunu da Yosiua da gasa bagade mimogo dunu dawa: i. E da esalea, ilia da Mousesema dawa: i defele, Yosiuama nodosu.
Katika siku hiyo Yahweh alimfanya Yoshua kuwa mkuu katika macho ya watu wote wa Israeli. Walimheshimu - kama walivyomheshimu Musa - siku zake zote.
15 Amalalu, Hina Gode da Yosiuama amane sia: i,
Kisha Yahweh akamwambia Yoshua,
16 “Gobele salasu dunu amo da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili gaguli ahoa, ilima ilia da Yodane Hano fisili osoboga heda: ma: ne sia: ma.”
“Waamuru makuhani wanaolibeba sanduku la ushuhuda watoke katika Yordani.”
17 Yosiua da agoane sia: i.
Hivyo Yoshua akawaamuru makuhani, '' pandeni mtoke Yordani.”
18 Gobele salasu dunu da hano bega: doaga: le heda: loba, hano da bu ahoasu amola bu bagade nedei.
Wakati makuhani wenye kulibeba sanduku la agano la Yahweh walitoka katikati ya Yordani, na nyayo za miguu yao ilikuwa imeinuliwa katika nchi kavu, kisha maji ya Yordani yalirudi katika sehemu zake na kujaa hadi katika kingo zake kama ilivyokuwa siku nne zilizopita.
19 Eso nabuga amola oubi age amoga, Isala: ili dunu da Yodane Hano degele, Giliga: le soge (Yeligou moilai bai bagade amo ea eso mabadi la: idi gala) amoga ilia abula diasu gaguli gagai.
Katika siku ya kumi ya mwezi wa kwanza, watu walikwea kutoka Yordani. Wakakaa huko Gilgali, mashariki mwa Yeriko.
20 Amogawi Yosiua da igi fagoyale gala e Yodane Hanoga lai, amo legei.
Mawe kumi na mawili ambayo yalichukuliwa katika Yordani, Yoshuua aliyasimamisha hapo Gilgali.
21 E da Isala: ili dunuma amane sia: i, “Hobea dilia mano da amo igi ilia bai dilima adole ba: sea,
Aliwaambia watu wa Israeli, “wakati watoto wenu watakapowauliza baba zao katika wakai ujao, 'Mawe haya ni ya nini?'
22 dilia da esoha amoga Isala: ili dunu da Yodane Hano amo osobo hafoga: i amoga degei ilima olelema.
Waambieni watoto wenu, 'Hapa ndipo Waisraeli walivuka Yordani katika nchi kavu.
23 Dilia Hina Gode da Maga: me Hano Wayabo amo hafoga: i, amo defele Yodane Hano dili degema: ne hafoga: i, amo ilima olelema.
Yahweh Mungu wenu aliyakausha maji ya Yordani, mpaka hapo Yahweh Mungu wako aliyoyafanya katika bahari ya mianzi, ambayo aliikausha kwa ajili yetu ili tupite juu yakes,
24 Amo hou ba: beba: le, osobo bagade fifi asi gala huluane da Hina Gode Ea gasa bagade hou dawa: mu, amola dilia da mae fisili eso huluane dilia Hina Godema nodonanumu.”
ili kwamba watu wote wa nchi wajue kwamba mkono wa Yahweh ni nguvu, na kwamba mtamweshimu Yahweh Mungu wenu milele.''