< Yosiua 3 >

1 Golale, hahabedafa, Yosiua amola Isala: ili dunu da wa: legadole, abula diasu Aga: isia sogebiga galu amo fisili, Yodane hano bega: asi. Amogawi, ilia da fili, Yodane Hano degemusa: ouesalu.
Yoshua na Waisraeli wote wakaondoka asubuhi na mapema kutoka Shitimu, wakaenda mpaka Mto Yordani, ambako walipiga kambi kabla ya kuvuka.
2 Eso udiana asili, ouligisu dunu da abula diasu gilisisu amo golili asili,
Baada ya siku tatu maafisa wakapita katika kambi yote,
3 dunu huluane ilima amane sia: i, “Dilia gobele salasu dunu amo dilia Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amo gaguli ahoanebe ba: sea, abula diasu mugululi, ilima fa: no bobogema.
wakitoa maagizo kwa watu, wakiwaambia: “Mtakapoona Sanduku la Agano la Bwana Mungu wenu, likichukuliwa na Walawi ambao ndio makuhani, mtaondoka hapo mlipo na kulifuata.
4 Dilia da amoga musa: hame ahoasu. Amaiba: le, ilia da logo dilima olelemu. Be Gode Ea Gousa: su Sema Gagili gadenene mae masa. 1gilomida fisili, sedagaga fa: no bobogema.”
Ndipo mtakapotambua njia mtakayoiendea, kwa kuwa hamjawahi kuipita kabla. Lakini msisogee karibu, bali kuwe na umbali wa dhiraa 2,000 kati yenu na Sanduku.”
5 Yosiua da dunu huluane ilima amane sia: i, “Dilia ledo dodofema. Bai aya Hina Gode da dilia gilisisu ganodini gasa bagade hou hamomu.”
Ndipo Yoshua akawaambia hao watu, “Jitakaseni, kwa kuwa kesho Bwana atatenda mambo ya kushangaza katikati yenu.”
6 Amalalu, e da gobele salasu dunu amo Gode Ea Gousa: su Sema Gagili lale, dunu huluane bisili masa: ne sia: i. Ilia da amo hamoi.
Yoshua akawaambia makuhani, “Liinueni Sanduku la Agano mkatangulie mbele ya watu.” Hivyo wakaliinua na kutangulia mbele yao.
7 Hina Gode da Yosiuama amane sia: i, “Na da wali muni hamosea, Isala: ili dunu da dima beda: iwane nodomu amola Na da Mousesema fidi amo defele dima fidilala amo dawa: mu.
Ndipo Bwana akamwambia Yoshua, “Leo nitaanza kukutukuza machoni pa Israeli yote, ili wapate kujua kuwa niko pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na Mose.
8 Gobele salasu dunu da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili gaguli ahoa ilima ilia da Yodane Hano amoga doaga: sea, ilia da amo hano ganodini asili, hano be gadenene leloma: ne sia: ma.”
Uwaambie makuhani wanaochukua Sanduku la Agano, ‘Mnapofika kwenye ukingo wa maji ya Yordani, nendeni mkasimame ndani ya mto.’”
9 Amalalu, Yosiua da dunu huluane ilima amane sia: i, “Guiguda: misa! Dilia Hina Gode Ea sia: nabima.
Yoshua akawaambia Waisraeli, “Njooni hapa msikilize maneno ya Bwana Mungu wenu.
10 Dilia da gusuba: i ahoasea, E da dafawane Ga: ina: naide, Hidaide, Haifaide, Belesaide, Gegasiaide, A:moulaide amola Yebiusaide dunu huluane sefasimu.
Hivi ndivyo mtakavyojua ya kuwa Mungu aliye hai yupo katikati yenu, na kwamba kwa hakika atawafukuza mbele yenu hao Wakanaani, Wahiti, Wahivi, Waperizi, Wagirgashi, Waamori na Wayebusi.
11 Hina Gode (osobo bagade fifi asi gala ilima Hina esala) amo Ea Gousa: su Sema Gagili da dili bisili Yodane Hano degesea, dilia da Esalalalebe Gode da dilia gilisisu ganodini esala dawa: mu.
Tazameni, Sanduku la Agano la Bwana wa dunia yote litaingia ndani ya Mto Yordani likiwa limewatangulia.
12 Wali dunu fagoyale gala ilegema. Isala: ili fi fagoyale gala afae afae amoga dunu afae ilegema.
Sasa basi, chagueni watu kumi na wawili kutoka makabila ya Israeli, mtu mmoja kutoka kila kabila.
13 Gobele salasu amo da osobo bagade fifi asi gala amo Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili gaguli ahoa amo da ilia emo hano ganodini osa: gisia, Yodane Hano da ea ahoabe fisili, hano da sogebi afae amo ganodini agolo agoane hamomu.”
Mara tu nyayo za makuhani walichukualo Sanduku la Bwana, Bwana wa dunia yote, zitakapokanyaga ndani ya Mto Yordani, maji hayo yatiririkayo kutoka juu yatatindika na kusimama kama chuguu.”
Basi, watu walipovunja kambi ili kuvuka Yordani, makuhani wakiwa wamebeba Sanduku la Agano waliwatangulia.
15 Amo eso da ha: i manu gamibi eso ba: i, amola hano da bagadewane nedei. Isala: ili dunu da ilia esalebe fisili, Yodane Hano degemusa: ahoanoba, gobele salasu dunu da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili gaguli bisili asi. Gobele salasu dunu da hano amo ganodini ahoanoba,
Wakati huu ulikuwa wakati wa mavuno, nao Mto Yordani ulikuwa umefurika hadi kwenye kingo zake. Ilikuwa kawaida ya Yordani kufurika nyakati zote za mavuno. Mara tu makuhani wale waliokuwa wamebeba Sanduku la Agano walipofika mtoni na nyayo zao kuzama ndani ya yale maji,
16 hano da ea ahoabe fisili, sogebi afae amo A: dame moilai bai bagade Sa: leda: ne moilai gadenei amoga agolo bi agoane hamoi. Be Yodane Hano ea ahoabe Bogoi Hano Wayabo amoga da fisi dagoi. Dunu huluane da osobo hafoga: i amoga degei. Ilia da Yeligou moilai bai bagade gadenene degei.
maji hayo yaliyotiririka kutoka upande wa juu yaliacha kutiririka yakasimama kama chuguu mbali kabisa nao, kwenye mji ulioitwa Adamu kwenye eneo la Sarethani, wakati yale maji yaliyokuwa yanatiririka kuingia kwenye Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), yalitindika kabisa. Hivyo watu wakavuka kukabili Yeriko.
17 Isala: ili dunu huluane da hafoga: i osobo amoga degelaloba, gobele salasu dunu ilia da Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili gaguli asili, hafoga: i osobo Yodane Hano dogoa amoga lelu. Dunu huluane da degei dagoiba: le yolesi.
Wale makuhani waliobeba Sanduku la Agano la Bwana, wakasimama imara mahali pakavu katikati ya Mto Yordani, wakati Waisraeli wote wakiwa wanapita hadi taifa lote likaisha kuvuka mahali pakavu.

< Yosiua 3 >