< Yosiua 20 >

1 Amalalu, Hina Gode da Yosiuama amane sia: i,
Ndipo Bwana akamwambia Yoshua,
2 “Isala: ili dunuma amane sia: ma, ‘Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade amo Na da Mousese e da dilima alofele olelema: ne sia: i, amo ilegema.
“Waambie Waisraeli, watenge miji mikubwa ya kukimbilia, kama nilivyokuagiza kupitia Mose,
3 Nowa dunu da mae ougili giadofale eno dunu fane legesea, e da maga: me dabe iasu dunu amoga medole legesa: besa: le, amo Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagadega hobeamu da defea.
ili mtu yeyote atakayemuua mtu kwa bahati mbaya na pasipo kukusudia aweze kukimbilia huko na kujiepusha na mlipiza kisasi wa damu.
4 E da Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade afae amoga hobeale asili, fofada: su sogebi amo moilai bai bagade ea logo holeiga asili, moilai bai bagade ouligisu dunu ilima hou da ema doaga: i olelemu. Amasea, ilia da ema logo doasili, e amo moilai bai bagade ganodini esaloma: ne, ea golasu hogomu.
“Anapokimbilia mojawapo ya hii miji mikubwa atasimama kwenye maingilio ya lango la mji mkuu na kueleza wazee wa mji kuhusu shauri lake. Kisha watampokea katika mji wao na kumpa mahali pa kuishi nao.
5 Be maga: me dabe lamu dunu da ema fa: no bobogele, amo moilai bai bagadega doaga: sea, Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade fi dunu da gaga: i dunu amo dabe lamu dunuma hame imunu. Ilia da amo dunu gaga: mu. Bai e da mae ougili, hame dawa: iwane amo dunu mae ougili giadofale medole legei.
Kama mlipiza kisasi wa damu akimfuatilia, wasimkabidhi yule mshtakiwa, kwa sababu alimuua jirani yake bila kukusudia, na bila kuwa na nia ya kudhuru.
6 E da amo Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade ganodini esalu, dunu huluane ba: ma: ne fofada: sea amola Gobele salasu Ouligisu dunu da bogosea, e da hi moilai amoga e da hobea: i, amoga buhagimu da defea.’”
Huyu aliyeua atakaa kwenye mji mkubwa huo mpaka awe amesimama kukabili mashtaka yake mbele ya kusanyiko na mpaka kuhani mkuu anayehudumu kwa wakati huo atakapokufa. Ndipo atakapoweza kurudi nyumbani kwake katika mji ambao aliukimbia.”
7 Amaiba: le, ilia da Yodane Hano eso dabe la: idi, Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade udiana ilegei. Amo da Gidese (Ga: lili soge ganodini Na: fadalai agolo sogega galu), Siegeme (Ifala: ime agolo soge ganodini) amola Hibalone (Yuda agolo soge ganodini.)
Basi wakatenga Kedeshi katika Galilaya kwenye nchi ya vilima ya Naftali, Shekemu katika nchi ya vilima ya Efraimu, na Kiriath-Arba (yaani Hebroni) kwenye nchi ya vilima ya Yuda.
8 Yodane Hano eso mabadi la: idi, ilia hafoga: i soge Yeligou eso mabadi la: idiga galu, amoga Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade udiana ilegei. Amo da Bise (Liubene ea soge ganodini), La: imode (Gilia: de soge ganodini - amo da Ga: de fi ilia soge) amola Goula: ne (Ba: isa: ne sogebi ganodini - amo da Ma: na: se fi ilia soge).
Katika upande wa mashariki mwa Yordani ya Yeriko wakatenga Bezeri katika jangwa katika uwanda wa juu katika kabila la Reubeni, Ramothi katika Gileadi katika kabila la Gadi, na Golani huko Bashani katika kabila la Manase.
9 Amo da Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade ilegei, Isala: ili dunu o ga fi ilia fi ganodini esalu amo gaga: musa: Nowa dunu da mae hanaiwane, mae ougili dunu eno giadofale fane legesea, e da maga: me dabe iasu dunuma gaga: musa: amo moilaiga masa: mu. Amo dunu da maga: me dabe iasu dunu amoga medole legemu da hamedei. E da dunu huluane ba: ma: ne fofada: sea, hi da hi hanaiga medole legei amo ba: sea fawane hame gaga: mu.
Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote aishiye miongoni mwao aliyemuua mtu kwa bahati mbaya, angeweza kukimbilia katika miji mikubwa hiyo iliyotengwa na asiuawe na mlipiza kisasi wa damu kabla hajasimama kukabili mashtaka mbele ya kusanyiko.

< Yosiua 20 >