< Yosiua 19 >

1 Soge ilegesu ageyadu, amo Simione fi da lai dagoi. Ilia soge da asili, Yuda fi ilia soge ganodini asi.
Kura ya pili ikaangukia kabila la Simeoni, ukoo kwa ukoo. Urithi wao ulikuwa ndani ya eneo la Yuda.
2 Ilia da moilai bai bagade amola moilai fonobahadi amo sisiga: le dialu lai dagoi. Moilai bai bagade ilia lai da Biasiba, Siba, Molada,
Ulijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,
3 Ha: isa Siuale, Ba: iala, Iseme,
Hasar-Shuali, Bala, Esemu,
4 Eledoula: de, Beduele, Homa,
Eltoladi, Bethuli, Horma,
5 Sigila: ge, Bede Magabode, Ha: isa Susa,
Siklagi, Beth-Markabothi, Hasar-Susa,
6 Bede Leba: iode amola Sialuhene.
Beth-Lebaothi na Sharuheni; hii ilikuwa miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.
7 Amola ilia da moilai bai bagade biyadu eno amola moilai fonobahadi amo sisiga: le dialu lai, amo A: ini, Limone, Ida amola A: isa: ne.
Pia Aini, Rimoni, Etheri, na Ashani; hii ilikuwa miji minne na vijiji vyake,
8 Simione ilia soge lai amo ganodini moilai huluane asili Ba: ilade Bia (eno dio da Lama) ga (north) ba: i.
pamoja na vijiji vyote vinavyoizunguka miji hii mpaka Baalath-Beeri (ambayo ndiyo Rama iliyo katika Negebu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simeoni ukoo kwa ukoo.
9 Yuda fi da soge bagade baligili lai. Amaiba: le, Yuda fi soge la: idi ilia fadegale bu Simione fi ilima i.
Urithi wa Wasimeoni ulitolewa kutoka fungu la Yuda, kwa kuwa fungu la Yuda lilikuwa kubwa kuliko walivyohitaji. Hivyo kabila la Simeoni lilipewa urithi wao ndani ya eneo la Yuda.
10 Soge ilegesu osoda amo ilia da Sebiulane fi ilima i. Ilia soge lai da asili, Sa: ilidi moilaiga doaga: i.
Kura ya tatu ikaangukia kabila la Zabuloni, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao uliendelea hadi Saridi.
11 Amalu, alalo da eso dabe la: ididili asili, Dabasede amola hano Yogonia: me moilai eso mabadi la: ididili diala amo baligili, Ma: lala moilaiga doaga: i.
Kuelekea upande wa magharibi ukafika Marala, ukagusa Dabeshethi, na kuendelea mpaka kwenye bonde karibu na Yokneamu.
12 Sa: ilidi baligili, eso mabadi la: idi amoga asili, Gisalode Da: ibe ea alalo amo baligili, Dabela: de baligili, Ya: ifia doaga: i.
Ukageuka mashariki, kuanzia Saridi kuelekea mawio ya jua hadi kwenye nchi ya Kisiloth-Tabori, na kwenda hadi Daberathi, kupanda Yafia.
13 Amoga eso mabadili asili, Ga: idehifa amola Ede Ga: isini baligili, selefale Nia amola Limone amoga asi.
Kisha ukaendelea mashariki hadi Gath-Heferi na kufika Eth-Kasini, ukatokea Rimoni na kugeuka kuelekea Nea.
14 Ga (north) alalo da selefale, Ha: nadone amoga asili, Ifadahele Fago amoga doaga: i.
Huko mpaka ukazungukia upande wa kaskazini hadi Hanathoni na kuishia katika Bonde la Ifta-Eli.
Miji mingine iliyojumuishwa ni Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.
16 Sebiulane fi dunu da gesowale fima: ne, soge amo ganodini da moilai bai bagade fagoyale gala amola moilai fonobahadi amo sisiga: le dialu lai. Moilai dedei amola Ga: da: de, Na: ihalale, Similone, Idala amola Bedeleheme ilia da lai dagoi.
Miji hii na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa Zabuloni, ukoo kwa ukoo.
17 Ilia da soge ilegesu biyadu Isaga fi ilima i.
Kura ya nne ikamwangukia Isakari, ukoo kwa ukoo.
18 Ilia soge ganodini da moilai bai bagade galu amola moilai fonobahadi eno sisiga: le dialu ba: i. Ilia soge alalo da Yodane Hano amoga doaga: i. Ilia moilai da Yeselile, Gisalode, Siuneme, Ha: fala: ime, Siaihone, Ana: ihalade, La: bidi, Gisione, Ibese, Limede, Enega: neme, Eneha: da, Bedeba: sese, Da: ibo, Sia: ihasuma amola Bede Simese.
Eneo lao lilijumuisha: Yezreeli, Kesulothi, Shunemu,
Hafaraimu, Shioni, Anaharathi,
Rabithi, Kishioni, Ebesi,
Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.
Mpaka ule ukagusa Tabori, Shahasuma na Beth-Shemeshi, na ukaishia kwenye Yordani. Ilikuwa miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Isakari, ukoo kwa ukoo.
24 Ilia da soge ilegesu bi amo A: sie fi ilima i.
Kura ya tano ikaangukia kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
25 A: sie fi da amo moilai bai bagade lai dagoi. Helegade, Ha: ilai, Bidene, Agasia: fe,
Eneo lao lilijumuisha: Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu,
26 Ala: melege, A:ima: de amola Misia: le. A: sie fi ilia eso mabadi la: idi alalo da Gamele Goumi amola Siaiholibina: de hano amo gadenene asi.
Alameleki, Amadi na Mishali. Upande wa magharibi mpaka uligusa Karmeli na Shihor-Libnathi.
27 Alalo da eso mabadi amoga selefale, Bededa: igone amola Sebiulane fi ilia soge amola Ifadahele Fago baligili, ga (north) amo asili, Bede Imege amola Niaiele baligili, Ga: ibale,
Tena ukageuka mashariki kuelekea Beth-Dagoni, ukagusa Zabuloni na Bonde la Ifta-Eli, ukaenda upande wa kaskazini hadi Beth-Emeki na Neyeli, ukipitia Kabul upande wa kushoto.
28 Ibalone, Lihoube, Ha: mone amola Ga: ina baligili, Saidone moilai bai bagadega doaga: i.
Ukaendelea hadi Abdoni, Rehobu, Hamoni na Kana, na kufika Sidoni Kuu.
29 Amalu, alalo da selefale, La: ima moilai baligili, gagili sali moilai bai bagade Daia, amoga doaga: i. Amalu, alalo da bu selefale, Housa moilai bai bagade baligili, Medidela: inia Hano Wayabo amoga doaga: i. Ilia moilai bai bagade eno lai da Maha: ilabe, A:gasibi, Uma, A:ifege amola Lihoube.
Mpaka huo ukageukia nyuma kuelekea Rama na kwenda hadi kwenye mji wenye ngome wa Tiro, ukageuka kuelekea Hosa na kutokeza baharini katika eneo la Akzibu,
30 Moilai bai bagade huluane ilia idi da 22 amola ilima sisiga: le dialu moilai fonobahadi.
Uma, Afeki na Rehobu. Ilikuwepo miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.
31 A: sie fi da ilia soge ilegei amo ganodini moilai bai bagade22 agoane lai, amola moilale gagai fonobahadi amo sisiga: le dialu lai dagoi.
Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
32 Soge ilegesu gafe, amo Na: fadalai fi huluane ilia lai.
Kura ya sita ikaangukia kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo:
33 Amo soge ea alalo da Hilefe moilaiga asili, ouge ifa Sa: ina: imi sogebiga galu amo baligili asili, A:da: minegebe, Ya: beniele amola La: igame baligili, Yodane Hano amoga doaga: i.
Mpaka wao uliendelea kutoka Helefi na kwenye mti mkubwa ulio katika Saananimu, ukipitia Adami-Nekebu na Yabineeli hadi Lakumu, na kuishia katika Mto Yordani.
34 Amogawi alalo da selefale eso dabe la: idiga asili, A:senode Da: ibo amola Hagoge baligi. Amalalu, Sebiulane da amo alaloga ga (south) ba: i, A: sie da alaloga eso dabe la: idiga ba: i, amola Yodane Hano da alaloga eso mabadi la: idiga ba: i.
Mpaka ukaendelea magharibi kupitia Aznoth-Tabori na kutokea Hukoki. Ukagusa Zabuloni upande wa kusini, Asheri upande wa magharibi, na Yordani upande wa mashariki.
35 Gagili sali moilai bai bagade da Sidimi, Se, Ha: ma: de, La: ga: ide, Ginilede,
Miji yenye ngome ilikuwa Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi,
36 A: dama, La: ima, Ha: iso,
Adama, Rama, Hazori,
37 Gidese, Edeli, Eneha: iso,
Kedeshi, Edrei, na En-Hasori,
38 Ailone, Migadalele, Houleme, Beda: ina: de amola Bedesemese.
Ironi, Migdal-Eli, Horemu, Beth-Anathi na Beth-Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa na vijiji vyake.
39 Amo huluane da19 moilai bai bagade amola moilai fonobahadi amo19 sisiga: le dialu. Huluane da Na: fadalai fi ilia soge gaguma: ne lai, amo ganodini dialu.
Miji hiyo pamoja na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo.
40 Soge ilegesu fesu amo Da: ne fi huluane da lai.
Kura ya saba ikaangukia kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
41 Ilia soge ilegei amo ganodini amo moilai ba: i. Amo Soula, Eseda: iole, Esimese,
Eneo la urithi wao lilijumuisha: Sora, Eshtaoli, Iri-Shemeshi,
42 Sia: ilibimi, A:iyalone, Idala,
Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,
43 Ilone, Dimina, Egelone,
Eloni, Timna, Ekroni,
44 Eledigi, Gibidone, Ba: ialade,
Elteke, Gibethoni, Baalathi,
45 Yihade, Benebila: ge, Ga: idelimane,
Yehudi, Bene-Beraki, Gath-Rimoni,
46 Miyagone, Lagone amola soge amo da Yoba moilai sisiga: i.
Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.
47 Da: ne fi dunu da ilia soge gesowale fimu da gasa bagade ba: i. Amaiba: le, ilia da La: isie moilaiga musa: asi. Ilia da amo moilai hasalale, dunu huluane medole lelegele, moilai amo lai dagoi. Ilia da La: isie dio fadegale, amo moilaiga ilia aowalali amo Da: ne ea dio asuli.
(Lakini Wadani walipata shida kulimiliki eneo lao; kwa hiyo walipanda kuishambulia Leshemu, wakaitwaa, wakawaua watu wake kwa upanga na kuukalia. Walikaa Leshemu na kuuita Dani kufuatana na jina la baba yao.)
48 Amo moilai bai bagade dedei huluane amola moilai fonobahadi ili sisiga: le dialu da soge amo Da: ne fi ilia da fima: ne lai, amo ganodini dialebe ba: i.
Miji hii na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
49 Isala: ili dunu da soge huluane fifili sagoi dagoloba, ilia da Nane egefe Yosiua ema sogebi i.
Walipomaliza kugawanya nchi katika migawo kulingana na sehemu zao zilizowaangukia, Waisraeli wakampa Yoshua mwana wa Nuni urithi katikati yao,
50 Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele, ilia da Yosiua ea adole ba: i moilai bai bagade ema i. Amo da Dimina: de Sila, Ifala: ime agolo soge amo ganodini dialu. Yosiua da amo moilai bu gaguli, amo ganodini fi.
kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru. Walimpa mji alioutaka, ambao ni Timnath-Sera ulio katika nchi ya vilima ya Efraimu. Naye akajenga mji, akakaa huko.
51 Elia: isa (gobele salasu dunu), Nane egefe Yosiua amola Isala: ili fi ilia ouligisu dunu da igi ilegesu ululuasu hou amoga soge fifili ilegei. Hina Gode da amo ilegesu hou ouligima: ne, ilia da Hina Gode Ea Da: bena: gele abula diasu amo Siailou ea logo holeiga hamoi. Ilia da agoane soge fifili ilegei dagoi.
Haya ndiyo maeneo ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliyoyagawanya kwa kura huko Shilo mbele za Bwana penye ingilio la Hema la Kukutania. Hivyo wakamaliza kuigawanya nchi.

< Yosiua 19 >