< Yosiua 17 >

1 Soge eno Yodane Hano eso dabe la: idi ilia da Yousefe ea magobo mano Ma: na: se amo egaga fi mogili ilima ilegei. Gilia: de ea eda amo Ma: ige da Ma: na: se ea magobo mano. E da gegesu ganodini mae beda: iwane gegei. Amaiba: le, Mousese da Yodane eso mabadi la: idi soge amo Gilia: de amola Ba: isa: ne ema i dagoi.
Na huu ndio mgao wa nchi kwa ajili ya kabila la Manase (aliyekuwa mzaliwa wa kwanza wa Yusufu), ambayo ilikuwa kwa ajili ya Makiri, mzaliwa wa kwanza wa Manase, ambaye alikuwa ni baba wa Gilieadi. Watoto wa Makiri walipewa nchi ya Gileadi na Bashani, kwasababu Makiri alikuwa ni mtu wa vita.
2 Be soge amo Yodane Hano eso dabe la: idi diala amo Ma: na: se fi eno da lai dagoi. Amo fi da Ma: na: se (Yousefe egefe) amo egaga fi. Ilia dio da A: ibaise, Hilege, A:seliele, Siegeme, Hife amola Siemaida. Amola ilia da ilia sosogo fi ilima bisilua gala.
Nchi iliyobaki iligawiwa kwa kabila la Manase, walipewa kwa koo zao, ambazo ni Abi Ezeri, Heleki, Asrieli, Shekemu, Heferi, na Shemida. Hawa walikuwa ni watoto wa kiume wa Manase mwana wa Yusufu, waliwakilishwa na koo zao.
3 Siloufiha: de (e da Hife ea mano amola Hife da Gilia: de ea mano. Gilia: de da Ma: ige ea mano amola Ma: ige da Ma: na: se ea mano) da dunu mano hame. E da uda mano fawane lai. Ilia dio da Mala, Nowa, Hogola, Miliga amola Desa.
Basi Zelofehadi mwana wa Heferi mwana wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase hakuwa na watoto wa kiume, bali alikuwa na watoto wa kike tu. Na majina ya binti zake yalikuwa Mahila, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.
4 Ilia da Elia: isa (gobele salasu dunu), Yosiua (Nane ea mano) amola Isala: ili ouligisu dunu ilima misini, amane sia: i, “Hina Gode da Mousesema, e da nini amo ninia dunu fi defele, soge mogili ninima ima: ne sia: i.” Amaiba: le, Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele, ilia da dunu fi defele, Siloufiha: de ea idiwilali ilima soge i.
Walimwendea Eliazeri kuhani, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi na wakasema, “Yahweh alimwagiza Musa atupatie urithi wetu pamoja na kaka zetu.” Hivyo, kwa kuzingatia agizo la Yahweh, aliwapa wanawake hao urithi miongoni mwa ndugu za baba yao.
5 Amaiba: le, Eso Mabe Ma: na: se fi da Yodane Hano eso mabe la: idi amoga Gilia: de amola Ba: isa: ne soge lai. Amola ilia da soge fifi nabuane gala eno lai.
Manase alipewa sehemu kumi za nchi katika Gileadi na Bashani, ambayo iko upande mwingine wa Yordani,
6 Bai Ma: na: se egaga fi dunu da soge lai amola egaga fi uda da soge eno lai.
kwasababu ya binti za Manase walipokea urithi pamona na watoto wake wa kiume. Nchi ya Gileadi iligawanywa kwa kabila la Manase lililosalia.
7 Ma: na: se ea soge alalo da A: sie fi ilia soge amoga asili, Migimida moilai (Siegeme moilai bai bagadega eso mabadi la: idi) amoga doaga: i. Amalu, alalo da ga (south) asili, Eneda: biua dunu fi ilia soge sisiga: i.
Eneo la Manase lilianzia Asheri hadi Mikimethathi, ambayo iko mashariki mwa Shekemu. Kisha mpaka ulienda upande wa kusini kwa wale walioishi karibu na chemichemi ya Tapua.
8 Soge da Da: biua moilai bai bagadega sisiga: le dialu da Ma: na: se egaga fi ilia soge. Be Da: biua moilai bai bagade da soge alalo amoga dialu amola moilai amo Ifala: ime egaga fi da gagui.
( Nchi ya Tapua ilikuwa ni miliki ya Manase, lakini mji wa Tapua katika mpaka wa Manase ilikuwa ni mali ya kabila la Efraimu.)
9 Alalo da asili Gana Hano amoga doaga: i. Moilai amo hano ga (south) dialu da Ifala: ime ea moilai. Be soge amo Ma: na: se da gagui. Ma: na: se soge alalo da hano ga (north) asili, Medidela: inia Hano Wayabo Bagade amoga doaga: i.
Kisha mpaka ulishuka kuelekea kijito cha Kana. Miji hii kusini mwa kijito miongoni mwa miji ya Manase ilikuwa ni mali ya Efraimu. Mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa kijito, na ulikomea katika
10 Ifala: ime da ga (south) dialu amola Ma: na: se da ga (north) dialu. Ilia eso dabe alalo da Medidela: inia Hano Wayabo Bagade. A: sie da ga (north) eso dabe la: idi dialu amola Isaga da ga (north) eso mabadi la: idi dialu.
bahari. Na nchi iliyokuwa upande wa kusini ilikuwa ni ya Efraimu, na nchi iliyo upande wa Kasikazini ilikuwa ni ya Manase; bahari ilikuwa ndoi mpaka. Kwa upande wa kaskazini ulifika hata Asheri, na upande wa mashariki, Isakari.
11 Ma: na: se da Isaga amola A: sie ela soge ganodini moilai bai bagade gagui galu. Amo da Bede Sia: ne, Ibilia: me, Do (amo da hano wayabo bagade bega: ), Enedo, Da: ina: ge, Megidou amola moilai ilima sisiga: le dialu.
Pia katika Isakari na katika Asheri, Manase alimiliki Bethi Shani na vijiji vyake, Ibleamu na vijiji vyake, wenyeji wa Dori na vijiji vyake, wenyeji wa Endori na vijiji vyake, wenyeji wa Taanaki na vijiji vyake, na wenyeji wa Megido na vijiji vyake (na mji wa tatu ni Nafethi).
12 Be Ma: na: se fi dunu da Ga: ina: ne dunu amo moilai bai bagade ganodini esalu amo gadili sefasimusa: hamedei agoane ba: i.
Lakini kabila la Manase halikuweza kuimiliki miji hiyo, kwa kuwa Wakanaani waliendelea kuishi katika nchi hii.
13 Isala: ili dunu ilia gasa da heda: i be amo dunu hame sefasi. Be ilia da amo dunu udigili hawa: hamomusa: logei.
Hata wakati watu wa Israeli walipopata nguvu zaidi, hawakuwafukuzia mbali kabisa Wakanaani, bali waliwafanya kuwa watumwa.
14 Yousefe egaga fi dunu da Yosiuama amane sia: i, “Di da abuliba: le ninima soge afadafa fawane ibala: ? Hina Gode da nini hahawane fidibiba: le, ninia fi da bagade hamoi dagoi.”
Kisha wazawa wa Yusufu wakamwambia Yoshua, wakisema, “Kwanini umetupa mgao mmoja wa nchi na sehemu moja kwa ajili ya urithi, kwa kuwa tuko wengi, na kwa muda wote Yahweh umetubaliriki?
15 Yosiua da ilima bu adole i, “Dilia da dunu bagohameba: le amola Ifala: ime agolo soge da fonobahadi ba: beba: le, defea, iwila soge amo Belesaide dunu amola Lefa: ime dunu ilia sogega asili, moi dogone, dilia sogebi hahamoma.”
Yoshua akawaambia, “Kama ninyi ni watu wengi katika hesabu, pandeni ninyi wenyewe katika msitu na kuisafisha nchi kwa ajili yenu wenyewe katika nchi ya Waperizi na ya Refaimu. Fanyeni hivi kwa kuwa nchi ya milima ya Efraimu ni ndogo kwenu.”
16 Ilia da bu adole i, “Dafawane! Agolo soge da nini huluane fima: ne fonobahadi ba: sa. Be Ga: ina: naide dunu umi sogega esala da ouli sa: liode gala. Ilia da Bede Sia: ne amola Yeseliele Fago amo ganodini esala amola gasa bagade ba: sa.”
Wazawa wa Yusufu wakasema, “Nchi ya milima haitutoshi. Lakini Wakanaani wote wanaoishi katika bonde wana magari ya chuma, wote walio katikaBethi Shani na vijiji vyake, na wale walio katika bonde la Yezreeli.”
17 Yosiua da Ifala: ime fi amola Eso Dabe Ma: na: se fi ilima amane sia: i, “Dafawane! Dilia da dunu bagohame fi. Amola dilia da gasa bagade. Dilia soge fifi amo afadafa baligimu da defea.
Kisha Yoshua akawaambi nyumba ya Yusufu, ambao ni Efraimu na Manase, “Ninyi ni watu mlio wengi katika hesabu, na mna nguvu kubwa. Hamtakiwi kuwa na sehemu moja ya nchi mliogawiwa.
18 Dilia da agolo soge huluane lamu da defea. Amo da iwila gala, be dilia da ifa huluane a: le fasili huluane lamu. Dafawane! Ga: ina: ne dunu da gasa bagade amola ilia da ouli sa: liode gala. Be amo mae dawa: le, dilia da amo dunu huluane gadili sefasimu.”
Nchi ya milima itakuwa yenu pia. Ingawa ni msitu, mtaufyeka na kuimiliki hata mipaka yake ya mbali. Mtawafukuzia mbali Wakanaani, ingawa wanayo magari ya chuma na ingawa pia wanazo nguvu.”

< Yosiua 17 >