< Yosiua 15 >
1 Yuda fi da ilia soge lai agoane; Soge da ga (south) asili, Sini wadela: i soge amoga Idome alaloga doaga: i.
Ugawanaji wa nchi kwa kabila la watu wa Yuda, walipewa kwa kufuatana na koo zao, kutoka upande wa kusini hadi mpaka wa Edomu, pamoja na nyika ya Sini iliyokuwa mbali sana kuelekea kusini.
2 Amo alalo da Bogoi Hano Wayabo ea ga alalo,
Mpaka wao wa upande wa kusini ulianzia mwisho wa Bahari ya Chumvi, kutoka ghuba iliyokabili upande wa kusini.
3 ga asili, A:gala: bimi goumi logoga asili, Sini sogega doaga: i. Alalo da Ga: idese Bania amoga ga asili, Hesalone baligili, A:da moilaiga asili, amalu Gaga sogega asi.
Mpaka wao mwingine ulielekea upande wa kusini wa mlima wa Akrabimu na kupita kuelekea Sini, na kupanda upande wa Kadeshi Barnea, karibu na Hezroni, hadi Addari mahali ambapo ulipinda kuelekea Karika.
4 Amalalu, alalo da A: samone sogebiga asili, hano amo da Idibidi soge alalo amoga asili, Medidela: inia Hano Wayabo Bagade amoga doaga: i. Amo da Yuda dunu ilia ga alalo.
Ulipita katika Azimoni, kuelekea kijito cha Misri, na mwisho ulikuwa katika bahari. Huu ulikuwa ni mpaka wa kusini.
5 Eso mabadi alalo da Bogoi Hano Wayabo bega: asili, YodaneHano idimi amoga doaga: i.
Mpaka wa mashariki ulikuwa ni Bahari ya Chumvi, katika mdomo wa Yordani. Mpaka wa upande wa kasikazini ulianzia katika ghuba ya bahari katika mdomo wa Yordani.
6 Ga (north) alalo da Yodane Hano idimi amoga asili, Bede Hogala doaga: le, ga (north) asili, goumi soge amo da Yodane Hano ga (north) asi. Amalalu, alalo da Bouha: ne Gele amoga asili (Bouha: ne da Liubene egefe)
Ulielekea mpaka Bethi Hogla na ulipita kaskazini mwa Bethi Araba. Kisha ulipanda hata JIwe la Bohani mwana wa Rubeni.
7 Bidi Hamosu Fago amoga asili, Dibe moilai baligili, Giliga: le moilai (amo da Adamimi goumi logo fago ga (south) la: idi dialebe) amoga baligili, Enesemese hano bubuga: su baligili, Enelougele asili,
Basi mpaka ule ulienda hadi Debiri kutoka katika bonde la Akori, kuelekea upande wa kasikazini, kuendelea hadi Giligali, ambayo iko mkabala na mlima Adumimu, iliyo upande wa kusini wa bonde. Kisha mpaka uliendelea hata katika chemichemi za Eni Shemeshi na kufika Eni Rogeli.
8 Hinome Fago (agolo amo fago la: idiga gala amoga Yebiusaide dunu fi da Yelusaleme gagui galu) amo baligili, alalo da Hinome Fago ea eso dabe la: idi amoga asili Lifa: ime Fago ga (north) la: idiga asi.
kisha mpaka ulishuka hadi bonde la Beni Hinomu kuelekea upande wa kusini wa mji wa Wayebusi ( ambao ni Yerusalemu). Kisha ulipanda hata katika mlima ulio juu ya bonde la Hinomu, katika upande wa magharibi, ulio mwishoni mwa bonde la Refaimu katika upande wa kasikazini.
9 Amalu, alalo da Nefedona Hano Bubuga: su amoga asili, moilai amo da Efelone Goumi gadenene amoga asi. Amalu, alalo da sinidigili, Gilia: de Yialimi moilai baligili,
Kisha mpaka ulitanuka kutoka katika kilele cha milima hata chemichemi ya Nefutoa, na ulipanda kutoka hapo kuelekea miji ya Mlima Efroni. Kisha mpaka ulipiga kona kuelekea Baala ( ambao ndio Kiriathi Yearimu).
10 bu sinidigili, Idome agolo soge amoga asili, Yialimi goumi amoga eso dabe la: ididili asili, Bedesimese amola Dimina baligili,
Baadaye mpaka ulizunguka kuelekea magharibi mwa Baala kukabili Mlima Seiri, na kupita kufuata upande wa Mlima wa Yearimu katika upande wa kasikazini (ambao ndio Kesaloni), ulienda chini hadi Bethi Shemeshi na kuvuka hata ng'ambo ya Timna.
11 agolo amo Egelone ga (north) la: idiga gala, amoga asili, amalu Sigilone amola Ba: iala Goumi baligili, Ya: minia moilaiga asili, Medidela: inia Hano Wayabo Bagadega doaga: i.
Mpaka uliendelea karibu na mlima wa kasikazini mwa mlima wa Ekroni, na kisha ukakata kona kuzunguka Shikeroni na kupita kuelekea sambasamba na Mlima Baala, kutoka hapo uliendelea hadi Yabneeli. Mpaka ule ulikomea katika bahari.
12 Medidela: inia Hano Wayabo Bagade da Yuda fi ilia soge eso dabe alalo hamoi. Amo alalo ganodini, Yuda fi dunu da esalu.
Mpaka wa magharibi ulikuwa Bahari Kuu na katika ukanda wa pwani yake. Huu ndio mpaka uliozunguka kabila la Yuda, ukoo kwa ukoo.
13 Hina Gode da Yosiuama sia: i amo defele, e da Yuda fi ilia soge fifili, la: idi amo Ga: ilebe (Yefane, Yuda fi dunu ea mano) ilima i. E da Hibalone moilai bai bagade (musa: A:ina: ge ea mano Aba da amo moilai gagui) amo Ga: ilebema i.
Katika kulitunza agizo la Yahweh kwa Yoshua, Yoshua alimpa Kalebu mwana wa Yefune mgao wa nchi ya. miongoni mwa kabila la Yuda, alimgawia nchi Kiriathi Arba, ambayo ndio Hebroni (Arba alikuwa ni baba wa Anaki).
14 Ga: ilebe da A: ina: ge egaga fi (amo da Sisai, Ahaima: ne amola Da: lamai fi dialu) amo gadili sefasi.
Kalebu aliwafukuzia mbali wana watatu wa Anaki: Sheshai, Ahimani na Talmai, wazawa wa Anaki.
15 Amoga asili e da Dibe moilai fi amo doagala: musa: asi (Dibe ea musa: dio da Gilia: de Sefe)
Alipanda kutoka pale kinyume cha wenyeji wa Debiri (Debiri hapo mwanzo iliitwa Kiriathi Seferi).
16 Ga: ilebe da amane sia: i, “Nowa dunu da Gilia: de Sefe amo gegene lasea, na da nadiwi ema imunu.”
Kalebu akasema, “Mtu atakayeishambulia Kiriathi Seferi na kuiteka, nitampa binti yangau, Akisa, awe mke wake.
17 Odeniele amo Ga: ilebe eya Gina: se ea mano da amo moilai lai dagoi. Amaiba: le, Ga: ilebe da ea idiwi A: igasa: amo ema i.
Wakati huo Othinieli mwana wa Kenazi, kaka yake na Kalebu, aliuteka mji, na Kalebu alimpatia Akisa, binti yake awe mke wake.
18 Ea uda lamu esoha, Odeniele da A: igasa: ema ea edama soge adole ba: ma: ne sia: i. A: igasa da dougiga fila heda: i amoga osoboga sa: i. Ga: ilebe da ema amane sia: i, “Di adi laha?”
Mara baada ya hayo, Akisa alienda kwa Othinieli na alimsihi amwombe baba yake shamba. Na mara aliposhuka kutoka katika punda wake, Kalebu alimwambia Akisa, “Unataka nini?”
19 E da bu adole i, “Na dima edegesu gala. Na da hano bubuga: su hanai gala. Soge di da nama i da hafoga: i soge amo ganodini gala.” Amaiba: le, Ga: ilebe da gadodili amola gududili dialebe hano bubuga: su ema i dagoi.
Akisa akamjibu, “Nifanyie neema. Kwa kuwa umeshanipa nchi ya Negevu, nipe pia baadhi ya chemichemi za maji.” Na Kalebu alimpa chemichemi ya juu na chemichemi ya chini.
20 Soge amo Yuda fi dunu da gaguma: ne lai da amo;
Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Yuda, waliopewa kufuatana na koo zao.
21 Moilai ga (south) galu ilia lai (Idome alalo gadenei) da Ga: basiele, Ide, Ya: ige,
Miji iliyo mali ya kabila la Yuda katika upande wa kusini, kuelekea mpaka wa Edomu, ilikuwa ni Kabzeeli, Eda, Yaguri,
22 Gaina, Daimouna, A:ida: da,
Kina, Dimona, Adada,
23 Gidese, Ha: iso, Idena: ne,
Kadeshi, Hazor, Ithinani,
24 Sife, Dileme, Bialode,
Zifu, Telemu, Bealothi.
25 Ha: iso, Hada: da, Giliode, Heselone,
Hazori Hadata, Keriothi Hezroni (mji huu ulijulikana kama Hazori),
26 A: imame, Sima, Molada,
Amamu, shema, Molada,
27 Ha: isa Ga: da, Hesiemone, Bedefilede,
Hazari Gada, Heshimoni, Bethi Peleti,
28 Ha: isa Siuale, Biasiba, Bisiadia,
Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
30 Eledoula: de, Gisili, Homa,
Eltoladi, Kesili, Horma,
31 Sigila: ge, Ma: dama: na, Sa: nasa: na,
Ziklagi, Madimana, Sansana,
32 Leba: iode, Silihimi, A:ini amola Limone. Ilia da moilai bai bagade29 agoane, Idome alalo gadenene lai dagoi. Amola ilia da moilai fonobahadi amo moilai bai bagade sisiga: le dialu lai dagoi.
Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.
33 Amola ilia da agolo fonobahadi soge amo ganodini moilai bai bagade14 agoane amola moilai fonobahadi amo sisiga: le dialu lai. Amo moilai da Eseda: iole, Soula, A:sena, Sanoua, Enega: neme, Dabua, Ina: me, Yamade, Adala: me, Sougo, Asiga, Siala: ime, A:dida: ime amola Gedila.
Katika nchi iliyo chini ya mlima upande wa magharibi, kulikuwa na miji ya Eshtaoli, Zora, Ashina,
Zanaoa, Eni Ganimu, Tapua, Enamu,
Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
Shaaraimu, Adithaimu, na Gedera ( ambayo ndio Gederothaimu). Hesabu ya miji hii ilikuwa ni kumi na nne, pamoja na vijiji vyao.
37 Yuda fi dunu da moilai bai bagade eno16agoane amola moilai fonobahadi ili sisiga: le dialu lai. Amo moilai da Sina: ne, Hada: sia, Migida: liga: ole, Dilia: ne, Misiba, Yogedili, La: igisi, Bosaga: ole, Egelone, Ga: bone, Lama: me, Gidilisi, Gidelode, Bededa: igone, Na: ima amola Ma: gida.
Zena, Hadasha, Migidagadi,
Dileani, Mizipa, Yokitheeli,
Lakishi, Bozikathi, Egloni.
Kaboni, Lahmamu, Kitilishi,
Gederothi, Bethi Dagoni, Naama, Makeda. Hesabu ya miji hii ilikuwa kumi na sita, kujumlisha na vijiji vyao.
42 Ilia da moilai bai bagade eno9agoane amola ilima sisiga: le dialu moilai lai. Amo da Libina, Ida, A:isa: ne, Ifida, A:sena, Nisibi, Gaila, A:gasibi amola Malisia.
Libna, Etheri, Ashani,
Keila, Akizibu, na Maresha. Hii ilikuwa ni miji tisa, kujumlisha na vijiji vyao.
45 Amola ilia da Egelone soge amola moilai amo ganodini dialu huluane lai.
Ekroni, pamoja na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka;
46 Amola moilai huluane A: siedode gadenene amo da Egelone sogega asili Medidela: inia Hano Wayabo Bagade alalo amoga doaga: i.
kutoka Ekroni kuelekea Bahari Kuu, makazi yote ambayo yalikuwa karibu na Ashidodi, pamoja na vijiji vyake.
47 Amola A: siedode, Ga: isa amola sisiga: le dialu moilai huluane ilia da lai. Ilia soge lai da asili, hano da Idibidi la: idi alalo hamoi amo amola Medidela: inia Hano Wayabo Bagade amoga doaga: i.
Ashidodi, na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; Gaza na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; hata kufika kijito cha Misri, na kuelekea Bahari Kuu pamoja na ukanda wake wa pwani.
48 Moilai bai bagade 11eno amola sisiga: le dialu moilai amo agolo soge ganodini galu ilia da lai, amo Sia: ime, Ya: de, Sougo Da: na, Gilia: de Sebe, A:ina: be, Esedamua, A:inimi, Gousiene, Houlone amola Gailou.
Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
Gosheni, Holoni, na Gilo. Hii ilikuwa ni miji kumi na moja, kujumuisha na vijiji vyake.
52 Moilai bai bagade sesege eno amola sisiga: le dialu moilai ilia da lai, amo A: la: be, Duma, Esia: ne, Ya: iname, Bede Dabua, A:figa, Hamada, Hibalone amola Sio.
Arabu, Duma, Ehani,
Yanimu, Bethi Tapua, Afeka,
Humta, Kiriathi Arba (ambayo ndio Hebroni), na Ziori. Hii ilikuwa miji tisa, pamoja na vijiji vyake.
55 Amola moilai bai bagade eno nabuane agoane amola sisiga: le dialu moilai fonobahadi ilia da lai, amo Ma: ione, Gamele, Sife, Yada, Yeseliele, Yogedia: me, Sanoua, Ga: ini, Gibia amola Dimina.
Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
Kaini, Gibea, na Timna. Hii ilikuwa ni miji kumi, kujumuisha na vijiji vyake.
58 Moilai bai bagade eno da Ha: lahale, Bedese, Gido, Ma: lade, Bedea: inode amola Eledigone - moilai bai bagade gafeyale gala amola ilima sisiga: le dialu moilai fonobahadi.
Halhuli, Bethi Zuri, Gedori,
Maarathi, Bethi Anothi, na Elitekoni. Hii ilikuwa miji sita, pamoja na vijiji vyake.
60 Gilia: de Ba: ile amola La: ba - moilai bai bagade aduna amola ilima sisiga: i dialu moilai fonobahadi.
Kiriathi Baali (ambayo ndio Kiriathi Yearimu), na Raba. Hii ilikuwa ni miji miwili, pamoja na vijiji vyake.
61 Wadela: i hafoga: i soge amo ganodini ilia da moilai bai bagade gafeyale eno amola ilia sisiga: le dialu moilai lai. Amo da Bede A: laba, Midini, Sega: iga, Nibisia: ne, Soli amola Enegidai.
Katika nyika, kulikuwa na miji ya Bethi Araba, Midini, Sekaka,
Nibushani, mji wa chumvi, na Eni Gedi. Hii ilikuwa miji, pamoja na vijiji vyao.
63 Be Yuda fi dunu da Yebiusaide dunu Yelusaleme moilai bai bagade ganodini esalu, amo gadili sefasimu hamedeiwane ba: i. Amola Yebiusaide dunu da wali Yelusaleme moilai bai bagadega, Yuda dunu gilisili esalebe ba: sa.
Lakini kwa Wayebusi, wenyeji wa Yerusalemu, kabila la Yuda halikuweza kuwafukuza, na hivyo, Wayebusi wanaishi pamoja na kabila la Yuda hadi leo hii.