< Yosiua 13 >

1 Yosiua da da: i hamoi galu. Hina Gode da ema amane sia: i, “Di da da: i hamoi dagoi. Be dilia da soge eno hame lai amo bagohame lamu gala.
Sasa Yoshua alikuwa mzee wakati Yahweh alipomwambia, “Umekuwa mzee, lakini bado kuna nchi kubwa ya kuteka.
2 Amo da Filisidia soge, Gesua amola
Nchi iliyosalia ndio hii: mikoa yote ya Wafilisti, na mikoa ile ya Wageshuri,
3 ga (south) soge amo A: ifimi soge. (soge amo da Sayaiho Hano Idibidi alaloa gala, amo gano asili Egelone alalo amoga doaga: le da Ga: ina: ne dunu ilia soge. Filisidini hina bagade dunu da Ga: isa, A:siedode, A:siegelone, Ga: de amola Egelone amo moilai bai bagade gagaiga esalu).
(tangu Shihori, iliyoko mashariki mwa Misri, na upande wa kaskazini kuelekea mpaka wa Ekroni, inayofikiriwa kuwa ni mali ya Wakanaani; wafalme watano wa Wafilisti, wale wafalme wa Gaza, Ashidodi, Ashikeloni, Gathi na Ekroni - miliki ya Waavi.
4 Eno soge hame lai da Ga: ina: ne dunu ilia soge amola Mia: ila (amo soge musa: Saidounia dunu gagui). Soge da asili A: ifege moilai bai bagade, A:moulaide soge la: idi alalo amoga doaga: sa.
Katika upande wa kusini, kulisalia nchi yote ya Wakanaani, na Meara ambayo ni miliki ya Wasidoni, hadi Afeki, hata mpaka wa Waamori;
5 Eno da Gibalaide dunu ilia soge amola Lebanone soge eso mabe la: idi amo da asili Ba: ia: la Ga: de (Hemone Goumia ga diala) asili Ha: ma: de Logo amoga doaga: sa.
nchi ya Wagebali, Lebanoni kuelekea upande wa mapambazuko ya jua, kutoka Baali- Gadi chini ya Mlima Hermoni mpaka Lebo Hamathi.
6 Amo soge ganodini da Saidounia dunu esalebe. Ilia da goumi soge Lebanone Goumi amola Misilifode Ma: imi amo soge dogoa esala. Isala: ili dunu da gaba: i ahoasea, na da amo dunu gadili sefasimu. Na hamoma: ne sia: i defele, di amo soge fifili, Isala: ili dunuma ima.
Pia, wenyeji wote wa nchi ya milima kutoka Lebanoni hadi Misrefothi - Maimu, pamoja na watu wa Sidoni. Nitawafukuza mbele ya jeshi la Israeli. Uwe na uhakika wa kuwapa Waisraeli nchi kama urithi, kama nilivyokuagiza.
7 Wali amo soge fifili Isala: ili fi eno sesegeyale gala amola Mana: se fi la: idi, ilia da eso huluane gaguma: ne, ilima ima.”
Igawanye nchi hii kama urithi kwa makabila tisa na kwa nusu ya kabila la Manase.
8 Liubene fi, Ga: de fi amola Eso Mabadi gusudili Mana: se fi da soge amo Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu Mousese da ilima i amo Yodane Hano eso mabadi la: idi amo da lai dagoi.
Pamoja na nusu nyingine ya kabila la Manase, Wareubeni na Wagadi wamekwisha kupokea urithi wao ambao Musa aliwapa katika upande wa mashariki wa Yordani,
9 Ilia soge da Aloue moilai (Anone Fago bega: gala) amoga asi. Umi soge huluane Mediba amoga Daibone amoga doaga: le da ilia soge lai.
kutoka Aroeri, iliyo katika ukingo wa bonde la mto Arnoni (kujumuisha na mji ambao uko katikati ya bonde), kwa nyanda zote za Medeba hadi Diboni;
10 Amo soge da A: mone dunu ilia soge alaloga asi. Musa: , A: moulaide hina bagade ea dio amo Saihone (e da Hesiabone moilaiga hina bagade esalu) da moilai bai bagade huluane amo ganodini dialu ouligisu.
miji yote ya Sihoni, mfalme wa Waamori, ambaye alitawala katika Heshiboni, hata mpaka wa Waamori,
11 Ilia soge ganodini da Gilia: de, Gesua amola Ma: iaga soge. Amola Hemone Goumi huluane amola Ba: isa: ne soge la: idi (amo ea bega: alalo da Sa: lega) da ilia soge ganodini dialebe ba: i.
Gileadi na mkoa wa Wageshuri na Maakathi, mlima wote wa Hermoni, Bashani yote mpaka Saleka;
12 Eno da hina bagade Oge ea soge. (Oge da Lifa: ime dunu fi gadenene ebelei ba: loba, ilima hina bagade galu. E da A: siadalode moilai bai bagade amola Edeliai moilai bai bagade ouligisu). Mousese da amo dunuma hasalili, gadili sefasi.
ufalme wote wa Ogu katika Bashani, aliyetawala katika Ashitarothi na Edrei - hawa ni wale waliosalia katika Refaimu - ambao Musa aliwapiga na kuwafukuzia mbali.
13 Be Isala: ili dunu da Gise amola Ma: iaga moilai fi dunu hame sefasi. Ilia da Isala: ili fi amo ganodini wali esala.
Lakini watu wa Israeli hawakuwafukuza Wageshuri wala Wamakathi. Badala yake, Wageshuri na Wamakathi wanaishi miongoni mwa Waisraeli hadi leo.
14 Mousese da Lifai fi ilima soge hame i. Hina Gode da Mousesema hamoma: ne sia: i amo defele, ilia labe da gobele salasu Isala: ili Hina Gode Ea oloda da: iya ligisi amo la: idi lasu.
Kabila la Lawi pekee halikupewa urithi na Musa. Urithi wao ni sadaka za Yahweh, Mungu wa Israeli, zilizotolewa kwa moto, kama Mungu alivyomwagiza Musa.
15 Mousese da soge fifili, fifi afae amo Liubene fi gaguma: ne ilima i.
Musa aliwapa urithi kabila la Rubeni, ukoo kwa ukoo.
16 Ilia soge ganodini da Aloue (Anone Fago bega: dialu) amola moilai fago dogoa diala soge huluane amo Mediba sisiga: su,
Miliki yao ilikuwa kutoka Aroeri, juu ya ukingo wa bonde la Mto Arnoni, na mji ulio katikati ya bonde, na nyanda zote za Medeba.
17 Hesiabone, Dibone, Ba: imode Ba: iale, Bede Ba: ialemione,
Wareubeni walipata pia Heshiboni, na miji yake yote zilizo katika uwanda, Diboni, na Bamathi Baali, na Bethi Baalimeoni,
18 Ya: ihase, Gedimode, Mefa: iade,
na Yahazi, na Kedemothi, na Mefaathi,
19 Giliada: imi, Sibima, Silede, Sia: iha, (amo da agologa gagui fago soge ganodini)
na Kiriathaimu, na Sibuma, na Zerethishahari juu ya kilima cha bonde.
20 Bedebio, Bisiga Goumi la: idi amola Bede Yesimode.
Wareubeni walipata pia Bethi Peori, miteremko ya Pisiga, Bethi Yeshimothi,
21 Ilia soge amo ganodini da moilai huluane bi da: iya umiga gagui amola A: moulaide hina bagade dunu Saihone (e da Hesiabone moilaiga esalu) amo ea musa: soge huluane. Mousese da amo hina bagade amola Midia: ne hina bagade dunu (Ifai, Legeme, Sua, Hua amola Liba) amo huluane hasali. Amo hina bagade huluane da hina bagade Saihone ea soge ouligisu.
miji yote ya uwanda, na ufalme wote wa Sihoni, mfalme wa Waamori, ambaye alikuwa ametawala katika Heshiboni, ambaye Musa alikuwa amemshinda pamoja na viongozi wa Midiani, Evi, Rekemu, Zuri, Huri na Reba, wana wa mfalme wa Sihoni, ambao walikuwa wameishi katika nchi.
22 Isala: ili dunu da amo fi huluane fane legei amola ba: la: lusu dunu Ba: ila: me (Bio ea mano) medole legei.
Pia, watu wa Israeli walimwua kwa upanga Baalam mwana wa Beori, ambaye alifanya mambo ya uaguzi, miongoni mwa wale waliowaua.
23 Liubene fi ilia eso dabe alalo da Yodane Hano. Amo moilai amola moilai bai bagade huluane, Mousese da Liubene fi gaguma: ne ilima i.
Mpaka wa kabila la Rubeni ni Mto Yordani; huu ndio mpaka wao. Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Rubeni, uliotolewa kwa kila ukoo, pamoja na miji na vijiji vyao.
24 Mousese da soge fifi afae amo Ga: de fi gaguma: ne ilima i.
Hiki ndicho Musa alilipa kabila la Gadi, ukoo kwa ukoo:
25 Ilia soge ganodini da Ya: ise amola moilai bai bagade huluane Gilia: de soge ganodini amola A: mone soge la: idi (alalo da La: ba moilai eso dabe la: idi amo Aloue)
Himaya yao ilikuwa Yazeri, miji yote ya Gileadi na nusu ya nchi ya Waamoni, hadi Aroeri, iliyo mashariki mwa Raba,
26 Ilia soge da Hesiabone amoga asili La: imade Misibe amola Bedounimi amoga doaga: i. Amola Ma: ihana: imi asili Loudiba alalo amoga doaga: i.
kutoka Heshiboni hadi Ramathi - Mizipe na Betonimu, kutoka Mahanaimu mpaka himaya ya Debiri.
27 Yodane Fago amo ganodini ilia moilai amola moilai bagade lai da Bede Ha: ila: me, Bedenimila, Sagode, Sa: ifone amola Hesiabone hina bagade (Saihone) amo ea soge la: idi. Ilia eso dabe alalo da Yodane Hano amo da asili Ga: lili Hano Wayabo amoga doaga: i.
Katika bonde, Musa aliwapa Bethi -Haramu, Bethi - Nimra, Sukothi, na Zafoni, ufalme uliobakia wa Sihoni mfalme wa Heshiboni, pamoja na Yordani kama mpaka, katika sehemu za chini za mwisho wa Bahari ya Kinerethi, upande wa mashariki ng'ambo ya Yordani.
28 Amo dedei da moilai amola moilai bagade amola sogebi Mousese da Ga: de fi dunu gaguma: ne ilima i.
Huu ni urithi wa kabila la Gadi, ukoo kwa ukoo, pamoja na miji na vijiji vyao.
29 Mousese da soge fifi afae eno Eso Mabadi Mana: se fi gaguma: ne ilima i dagoi.
Musa aliwapa urithi nusu ya kabila la Manase. Urithi uligawiwa kwa nusu ya kabila la watu wa Manase kutokana na kabila zao.
30 Ilia soge da Ma: ihana: imi amoga asi. Ilia da Oge, Ba: isa: ne hina bagade dunu - amo ea soge huluane lai. Amola ilia da Ya: ie sogebi amo Ba: isa: ne soge amo ganodini, moilai fonobahadi 60 agoane lai.
Miliki yao ilikuwa kutoka Mahanaimu, Bashani yote, ufalme wote wa mfalme Ogu wa Bashani, na miji yote ya Yairi, iliyo katika Bashani, miji sitini;
31 Ilia da Gilia: de la: idi, A:siadalode amola Edeliai (amo moilai bai bagade aduna da hina bagade Oge ea soge Ba: isa: ne amo ganodini) amo lai. Amo soge huluane, Mousese da Ma: iga (Mana: se egefe) amo egaga fi ilima i.
nusu ya Gileadi, na Ashitarothi na Edrei (miji ya kifalme ya Ogu katika Bashani). Miji hii iligawanywa kwa ukoo wa Makiri mwana wa Manase -nusu ya watu wa Makiri, walipewa kwa kila familia zao.
32 Mousese da Moua: be umi amo ganodini esalea, soge amo Yeligou amola Yodane Hano eso mabadi la: idi galu agoane fifili iasu.
Huu ndio urithi ambao Musa aliowagawia katika nyanda za Moabu, ng'ambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko.
33 Be Mousese da Lifai fi ilima soge hame i. Ilia labe da gobele salasu Isala: ili Hina Godema iasu liligi amo la: idi ilia da lamu, Mousese da sia: i galu.
Musa hakulipa urithi kabila la Lawi. kwa kuwa Yahweh, Mungu wa israeli, ni urithi wao, kama vile alivyowaambia.

< Yosiua 13 >