< Yone 11 >

1 Bedani moilai dunu afae ea dio amo La: salase, da oloi dialu. Bedani moilaiga Meli amola ea aba Mada da esalu.
Basi mtu mmoja jina lake Lazaro alikuwa mgonjwa. Yeye alikuwa akiishi Bethania kijiji cha Maria na Martha dada zake.
2 (Meli da gabusiga: manoma Yesu Ea emo amoga sogadigili, ea dialuma hinaboga doga: i. Ea ola La: salase da oloi dialu.)
Huyu Maria, ambaye Lazaro kaka yake alikuwa mgonjwa, ndiye yule ambaye alimpaka Bwana mafuta na kuifuta miguu yake kwa nywele zake.
3 Amo a: fini aduna da Yesuma sia: si, “Hina! Dia dogolegei na: iyado da oloi diala.”
Hivyo hawa dada wawili walituma ujumbe kwa Yesu kumwambia, “Bwana, yule umpendaye ni mgonjwa.”
4 Amo sia: nababeba: le, Yesu E amane sia: i, “Amo oloi da La: salase dafawane bogoma: ne hame misi. Be dunu huluane Gode Ea hadigi ida: iwane ba: ma: ne, amola Gode Egefe hadigi lama: ne, amo oloi da mui dagoi.”
Lakini Yesu aliposikia hayo, akasema, “Ugonjwa huu hautaleta mauti bali umetokea ili kudhihirisha utukufu wa Mungu, ili Mwana wa Mungu apate kutukuzwa kutokana na ugonjwa huu.”
5 Yesu da Mada, Meli amola La: salase, ilima bagadewane asigisu.
Pamoja na hivyo, ingawa Yesu aliwapenda Martha, Maria na Lazaro ndugu yao,
6 Be La: salase da oloi dialu nababeba: le, E da hedolo mae asili, eso aduna eno ouesalu
baada ya kusikia kwamba Lazaro ni mgonjwa, aliendelea kukawia huko alikokuwa kwa siku mbili zaidi.
7 Amalalu, E da Ea ado ba: su dunuma amane sia: i, “Ninia Yudia sogega ahoa: di!”
Ndipo akawaambia wanafunzi wake, “Haya, turudi Uyahudi.”
8 Yesu Ea ado ba: su dunu ilia da bu adole i, “Olelesu! Eso enoga, gasidawane, Yudia soge dunu da Di igiga medole legemusa: dawa: i galu. Di da abuliba: le buhagimusa: dawa: bela: ?”
Wanafunzi wake wakamwambia, “Rabi, Wayahudi walikuwa wanataka kukupiga mawe, nawe unataka kurudi huko?”
9 Yesu E amane sia: i, “Esoga da hawa: hamomusa: gini hadigi diala. Nowa da esomogoa ahoasea, e da osobo bagade hadigi amo ganodini ahoabeba: le, hame sadenane dafasa.
Yesu akawajibu, “Si kuna saa kumi na mbili za mchana katika siku moja? Wala watembeao mchana hawawezi kujikwaa kwa maana wanaona nuru ya ulimwengu huu.
10 Be e da gasimogoa ahoasea, hadigi hameba: le, hedolowane sadenane dafasa.”
Lakini wale watembeao usiku hujikwaa kwa sababu hakuna nuru ndani yao.”
11 Amo sia: dagoloba, Yesu E bu sia: i “Ninia na: iyado La: salase, e da golai dialebe ba: i. Be Na da e didilisimusa: masunu.”
Baada ya kusema haya, Yesu akawaambia, “Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini naenda kumwamsha.”
12 Yesu Ea ado ba: su dunu da bu adole i, “E da midi fawane dialebeba: le hedolo uhimu.”
Wanafunzi wakamwambia, “Bwana, kama amelala usingizi ataamka.”
13 La: salase da bogoidafa, Yesu da sia: musa: dawa: i. Be ilia dawa: loba, Yesu da La: salase golai fawane sia: i.
Hata hivyo, Yesu alikuwa anazungumzia kuwa Lazaro amekufa, lakini wanafunzi wake hawakuelewa, walidhani kwamba anasema Lazaro amelala usingizi tu.
14 Amaiba: le, Yesu da moloiwane olelei, “La: salase da bogoidafa.
Kwa hiyo Yesu akawaambia waziwazi, “Lazaro amekufa.
15 Be dilia da Na hou dafawaneyale dawa: ma: ne, Na da La: salase ea bogoi sogebi amoga e fidima: ne hame esalebeba: le, Na da hahawane gala. Ninia da e ba: la ahoa: di!”
Hata hivyo nafurahi kwa kuwa sikuwepo huko kabla ya Lazaro kufa, ili mpate kuamini. Lakini sasa twendeni kwake.”
16 Domase (amo dawa: loma: ne da mano aduna ame afae, eso afae amoga lalelegei) e da eno ado ba: su dunuma amane sia: i, “Defea! Ninia huluane gilisili bogoma: ne, Olelesu sigi masunu da defea.”
Tomaso aliyeitwa Pacha akawaambia wanafunzi wenzake, “Sisi nasi twendeni tukafe pamoja naye.”
17 Yesu da Bedani moilaiga doaga: beba: le, La: salase da eso biyadu agoane bogoi uli dagoi ganodini dialebe, amo E da nabi dagoi.
Yesu alipowasili huko alikuta Lazaro amekuwa kaburini siku nne.
18 Bedani da Yelusaleme moilai bai bagade amoga sedade defei da1 gilomida dialu.
Basi Bethania ulikuwa karibu na Yerusalemu umbali wa karibu maili mbili,
19 Yudia dunu bagohame, Mada amola Meli ela ola bogoiba: le, ela fidimusa: misi esalu.
na Wayahudi wengi walikuwa wamekuja kuwafariji Martha na Maria kwa ajili ya kufiwa na ndugu yao.
20 Yesu Ea misi nababeba: le, Mada da logoga E yosia: musa: asi. Be Meli da diasuga esalu.
Martha aliposikia kwamba Yesu anakuja, alitoka kwenda kumlaki, ila Maria alibaki nyumbani.
21 Mada da Yesuma amane sia: i, “Hina! Di guiguda: esala ganiaba, naola da hame bogola: loba.
Martha akamwambia Yesu, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, ndugu yangu hangalikufa.
22 Be na dawa: ! Di da Godema adole ba: sea, E da Dia hanai liligi Dima imunu.”
Lakini sasa ninajua kuwa chochote utakachomwomba Mungu, atakupa.”
23 Yesu bu adole i, “Diola da uhini bu wa: legadomu.”
Yesu akamwambia, “Ndugu yako atafufuka.”
24 Mada amane sia: i, “Na dawa: ! Soge wadela: mu esoha, dunu huluane da wa: legadomu.”
Martha akamjibu, “Ninajua ya kuwa atafufuka wakati wa ufufuo wa wafu siku ya mwisho.”
25 Yesu E amane sia: i, “Na da Wa: legadosudafa. Na da Fifi Ahoanusudafa. Nowa da bogoiwane dialebe be Na sia: dafawaneyale dawa: sea, e da bu esalumu.
Yesu akamwambia, “Mimi ndiye huo ufufuo na uzima. Yeye aniaminiye mimi, hata akifa atakuwa anaishi
26 Nowa esala dunu da Na sia: dafawaneyale dawa: sea, e da mae bogole esalalalumu. Amo sia: di dafawaneyale dawa: bela: ?” (aiōn g165)
na yeyote aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je, unasadiki haya?” (aiōn g165)
27 Mada da bu adole i, “Ma! Hina! Di da Mesaia, Gode Egefedafa amo da osobo bagadega misunu galu.”
Martha akamwambia, “Ndiyo Bwana, ninaamini ya kuwa wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu, yeye ajaye ulimwenguni.”
28 Amo sia: nanu, Mada buhagili, ea eya Melima wamowane sia: i, “Olelesu da doaga: i dagoi. E da Di Ema misa: ne sia: sa!”
Baada ya kusema haya Martha alikwenda, akamwita Maria dada yake faraghani na kumwambia, “Mwalimu yuko hapa anakuita.”
29 Amo sia: nababeba: le, Meli da hedolowane wa: legadole, asili, Yesu yosia: musa: asi.
Maria aliposikia hivyo, akaondoka upesi akaenda mpaka alipokuwa Yesu.
30 (Yesu da moilaidafa amoga hame doaga: i. E da Mada ea Ema yosia: i sogebi amogai esalu.)
Yesu alikuwa hajaingia kijijini, bali alikuwa bado yuko mahali pale alipokutana na Martha.
31 Meli da hedolowane wa: legadole, asili ba: loba, ea fidisu na: iyado da e da bogoi uli dogoi amoga dimusa: masunu dawa: i galu. Amaiba: le, ilia da ema fa: no bobogei.
Wale Wayahudi waliokuwa pamoja na Maria nyumbani wakimfariji walipoona ameondoka haraka na kutoka nje, walimfuata wakidhani ya kwamba alikuwa anakwenda kule kaburini kulilia huko.
32 Yesu E esalu sogebi doaga: loba, Meli da Ea emo gadenene diasa: ili, amane sia: i, “Hina! Di da guiguda: esala ganiaba, naola da hame bogola: loba.”
Maria alipofika mahali pale Yesu alipokuwa, alipiga magoti miguuni Pake na kusema, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, ndugu yangu hangalikufa.”
33 Meli da dinanebe, amola ea fidisu dunu huluane ilia dinanebe, amo ba: loba, Yesu Ea dogo ganodini dimusa: dawa: i galu.
Yesu alipomwona Maria akilia na wale Wayahudi waliokuja pamoja naye pia wakilia, Yesu alisikia uchungu moyoni, akafadhaika sana.
34 E da ilima amane sia: i, “Dilia ea da: i hodo habi uli dogone salila: ?” Ilia bu adole i, “Hina! Ba: la misa.”
Akauliza, “Mmemweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo upaone.”
35 Yesu da di.
Yesu akalia machozi.
36 Dunu huluane da amane sia: i, “Ba: ma! E da ema bagade asigisa!”
Ndipo Wayahudi wakasema, “Tazama jinsi alivyompenda Lazaro!”
37 Be eno dunu da amane sia: i, “E da si dofoi dunu bu ba: ma: ne, ea si hahamoi. Ebeda! E da gui esala ganiaba, E da La: salase ea bogomu logo hedofala: lobala: ?”
Lakini wengine wakasema, “Je, yule aliyefungua macho ya kipofu, hakuweza kumfanya na huyu asife?”
38 Yesu da ea dogo ganodini se nabawane, La: salase ea uli dogoi amoga doaga: i. Amo da gele gelabo, ea logo holei igi bagadega bebesole ga: si.
Yesu kwa mara nyingine akiwa amefadhaika sana, akafika penye kaburi. Hilo kaburi lilikuwa pango ambalo jiwe lilikuwa limewekwa kwenye ingilio lake.
39 Yesu E amane sia: i, “Gele ga: i bebesole fasima!” Be bogoi ea aba Mada da Yesuma amane sia: i, “Hina! E da eso biyaduyale gala uli dogoi ganodini salabeba: le, dasai dagoi. Gaha bagade ganumu.”
Yesu akasema, “Liondoeni hilo jiwe.” Martha ndugu yake yule aliyekuwa amekufa akasema, “Lakini Bwana, wakati huu atakuwa ananuka kwani amekwisha kuwa kaburini siku nne.”
40 Yesu da bu adole i, “Na musa: dima sia: i dagoi! Di dafawaneyale dawa: sea, Gode Ea hadigidafa ba: mu.”
Yesu akamwambia, “Sikukuambia kwamba kama ukiamini utauona utukufu wa Mungu?”
41 Amalalu, ilia da gele logo ga: su besole fasi. Yesu da ba: le gadole, Godema nodone sia: i, “Ada! Di da Na sia: nababeba: le, Na Dima nodone sia: sa.
Kwa hiyo wakaliondoa lile jiwe kutoka kaburini. Yesu akainua macho yake juu akasema, “Baba, ninakushukuru kwa kuwa wanisikia.
42 Di da eso huluane Na sia: naba! Amo Na dawa: Be dunu gui esala ilia da Dia Na asunasi dagoi amo dafawaneyale dawa: ma: ne, Na da amo sia: sa!”
Ninajua ya kuwa wewe hunisikia siku zote, lakini nimesema haya kwa ajili ya umati huu uliosimama hapa, ili wapate kuamini ya kuwa wewe umenituma.”
43 Amo sia: nanu, E da ha: giwane wele sia: i, “La: salase! Di wa: legadole, misa!”
Baada ya kusema haya, Yesu akapaza sauti yake akaita, “Lazaro, njoo huku!”
44 La: salase da wa: legadole, gadili misi. Ea da: i hodo amola ea odagi da bogoi abula amoga sosoi ba: i. Yesu E amane sia: i, “E hahawane masa: ne, ea bogoi abula fadegale fasima.”
Yule aliyekuwa amekufa akatoka nje, mikono yake na miguu yake ikiwa imeviringishiwa vitambaa vya kitani na leso usoni pake. Yesu akawaambia, “Mfungueni, mwacheni aende zake.”
45 Dunu bagohame Melima fidimusa: misi, amo Yesu Ea hou ba: beba: le, ilia Yesu Ea hou lalegagumusa: dafawaneyale dawa: i dagoi.
Hivyo Wayahudi wengi waliokuwa wamekuja kumfariji Maria, walipoona yale Yesu aliyoyatenda wakamwamini.
46 Be mogili da Fa: lisi dunu ilima buhagili, Yesu Ea hou ilima adole i.
Lakini baadhi yao wakaenda kwa Mafarisayo na kuwaambia mambo Yesu aliyoyafanya.
47 Amalalu, Fa: lisi dunu, gobele salasu ouligisu dunu, amola asigilai Gasolo dunu, ilia da gilisili fofada: lalu, amane sia: i, “Ninia adi hamoma: bela: ? Amo dunu da musa: hame ba: su dawa: digima: ne olelesu bagohame hamonana.
Kwa hiyo viongozi wa makuhani na Mafarisayo wakaita mkutano wa baraza. Wakaulizana, “Tufanyeje? Huyu mtu anafanya ishara nyingi.
48 Ninia da Ea logo hame hedofasea, dunu huluanedafa da ea hou dafawaneyale dawa: mu. Amasea, Louma dadi gagui dunu da wa: legadole, ninia Debolo Diasu amola ninia fi dunu gugunufinisimu.”
Kama tukimwacha aendelee hivi, kila mtu atamwamini, nao Warumi watakuja na kupaharibu mahali petu patakatifu na taifa letu.”
49 Amo ode, dunu ea dio amo Ga: iafa: se da Gobele salasu Ouligisu dunu esalu. E da ilima amane sia: i, “Dilia da gagaoui dunu.
Mmoja wao aliyeitwa Kayafa, ambaye alikuwa kuhani mkuu mwaka huo, akasema, “Ninyi hamjui kitu chochote!
50 Ninia fi dunu huluane bogosa: besa: le, dunu afadafa fawane da dunu huluane mae bogoma: ne hi fawane bogomu da defea. Dilia da amo hame dawa: bela: ?”
Hamjui kwamba ni afadhali mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa lote liangamie?”
51 E da amo sia: hisu fawane hame sia: i. Be e da Gobele salasu Ouligisu dunu hawa: hamobeba: le, Yesu da Yu fi dunu ili wadela: i hou hamoiba: le dabe ima: ne bogomu, amo e da mae dawa: iwane ba: la: lusu.
Hakusema haya kutokana na mawazo yake mwenyewe bali kama kuhani mkuu mwaka huo, alitabiri kuwa Yesu angelikufa kwa ajili ya taifa la Wayahudi,
52 Be Yu fi dunu fidima: ne amo fawane hame. Be Gode Ea fidafa dunu huluane osobo bagadega afafai, amo huluane gilisisu afadafa fawane bu hamoma: ne, e da Yesu da bogomu sia: i.
wala si kwa ajili ya taifa hilo pekee, bali pia kwa ajili ya watoto wa Mungu waliotawanyika, ili kuwaleta pamoja na kuwafanya wawe wamoja.
53 Amogalu, Yu ouligisu dunu mae helefili, Yesu medole legemu logo hogoi helei.
Hivyo tangu siku hiyo wakawa wanafanya mipango ili wamuue Yesu.
54 Amaiba: le, dunu huluane da ba: sa: besa: le, Yesu da Yudia soge ganodini hame ahoasu. Be E da wamowane diasu ea dio amo Ifala: ime, wadela: i hafoga: i soge amo ganodini dialu, amoga asili, E amola Ea ado ba: su dunu esalu.
Kwa hiyo Yesu akawa hatembei hadharani miongoni mwa Wayahudi, bali alijitenga akaenda sehemu iliyo karibu na jangwa kwenye kijiji kiitwacho Efraimu. Akakaa huko na wanafunzi wake.
55 Baligisu Lolo Nasu da gadeneiba: le, dunu bagohame da ilia soge yolesili, Yelusaleme moilai bai bagadega doaga: musa: asi. Ilia musa: hou hahamomusa: , amola sema dodofesu hou hamomusa: , asi.
Basi Pasaka ya Wayahudi ilipokuwa imekaribia, watu wengi walitoka vijijini wakaenda Yerusalemu kabla ya Pasaka ili wakajitakase.
56 Ilia da Yesu hogosu. Be Debolo Diasu ganodini ilia gilisisia, ilia amane sia: dasu, “Dilia adi dawa: bela: ? E da Lolo Nasu amoma misa: bela: ? Ma hame misa: bela: ?”
Watu wakawa wanamtafuta Yesu, nao waliposimama kwenye eneo la Hekalu waliulizana, Je, mtu huyu hatakuja kamwe kwenye Sikukuu?
57 Gobele salasu ouligisu dunu amola Fa: lisi dunu, ilia da dunu huluane ilima ilia da Yesu ba: sea, ilima adoma: ne gasa bagadewane sia: i dagoi. Ilia da Yesu afugili gagulaligimusa: dawa: i galu.
Viongozi wa makuhani na Mafarisayo walikuwa wametoa amri kuwa yeyote atakayejua mahali Yesu aliko, lazima atoe taarifa ili wapate kumkamata.

< Yone 11 >