< Youele 3 >

1 Hina Gode da amane sia: sa, “Amo esoga, Na da Yuda fi amola Yelusaleme fi ilia hou bu hahamobeba: le, ilia da bu bagade gaguiwane ba: mu.
“Katika siku hizo na wakati huo, nitakaporejesha neema ya Yuda na Yerusalemu,
2 Amasea, Na da dunu fifilai huluane fofada: musa: , Yihosiafa: de Fago soge amoga gilisimu. amogai Na dunu fi huluane ilia hou Na fi Isala: ili ilima hamoi Na da fofada: mu. Ilia da Isala: ili dunu fi da mogi amola ga fi amo ganodini esaloma: ne afagogolesi. amola ilia da Na soge fifili momogi.
nitayakusanya mataifa yote na kuyaleta katika Bonde la Yehoshafati Hapo nitaingia kwenye hukumu dhidi yao kuhusu urithi wangu, watu wangu Israeli, kwa kuwa waliwatawanya watu wangu miongoni mwa mataifa na kuigawa nchi yangu.
3 Ilia da gegesu ganodini dunu gagulaligi amo lama: ne, ululuale hedei. Ilia goi amola a: fini amo ilia udigili bidi mae lale hawa: hamoma: ne, bidi lai. Amo bidi amoga ilia waini hano amola aheda: i uda bidi lai.
Wanawapigia kura watu wangu na kuwauza wavulana ili kupata makahaba; waliwauza wasichana ili wapate kunywa mvinyo.
4 Daia, Saidone amola Filisidia! Dilia da Nama adi hou hamomusa: amasala: ? Ma dilia da Nama dabemusa: amasala: ? Defea, dilia amasa galea, Na hedolodafa dabemu.
“Sasa una nini dhidi yangu, ee Tiro na Sidoni, nanyi nchi zote za Ufilisti? Je, mnanilipiza kwa yale niliyoyafanya? Kama mnalipa, mimi nitalipiza juu ya vichwa vyenu kwa kasi na kwa haraka yale mliyoyatenda.
5 Dilia da Na silifa amola gouli amola Na liligi ida: iwane galaamo dilia debolo diasu ganodini wamolegela asi.
Kwa kuwa mlichukua fedha na dhahabu yangu pia mkabeba hazina zangu nzuri sana mkapeleka kwenye mahekalu yenu.
6 Dilia da Yuda amola Yelusaleme fi dunu amo ilia sogega fadegale, hiouginana asili, Galigi fi ilima bidi lai dagoi.
Mliwauza watu wa Yuda na Yerusalemu kwa Wayunani, ili kwamba mpate kuwapeleka mbali na nchi yao.
7 Waha da Na ili bu oule misunu, amo dunu dilia bidi lai amo. Amola amo defele, dilia da ilima hamoi, amo Na dabemu.
“Tazama nitawaamsha kutoka zile sehemu mlizowauza, nami nitawalipiza juu ya vichwa vyenu kile mlichofanya.
8 Na da dilia didiwi amola egefe huluane Yuda fi dunuma bidi lalesimu. Na da ili da soge badiliadafa, Sabiane dunu fi soge amoga asunasimu. Na da Hina Gode amola Na da sia: i dagoi.
Nitawauza wana wenu na binti zenu kwa watu wa Yuda, nao watawauza kwa Waseba, taifa lililo mbali.” Bwana amesema.
9 Goe sia: dunu fifi asi gala huluanema sisia: lama. Gegemusa: amola dilia dunu ha lai wa: ma amola gegesu dunu ilia mogodigili bulubulusa masa.
Tangazeni hili miongoni mwa mataifa: Jiandaeni kwa vita! Amsha askari! Wanaume wote wapiganaji wasogee karibu na kushambulia.
10 Dilia osobo dogosu afadenene bu gobihei agoai hamoma amola ifa dadamusu gobihei amo afadenene dadi agesoi agoai hamoma. Da: i dia: i dunu amolawane ilia da gegema: mu.
Majembe yenu yafueni yawe panga na miundu yenu ya kukatia iwe mikuki. Aliye dhaifu na aseme, “Mimi nina nguvu!”
11 Fifi asi gala huluane amo da Isala: ili sisiga: sa! Hedolowane misini, fago umi soge ganodini gagadoma! Ma! Hina Gode! Dia gegesu dunu ilima gegema: ne gududili asunasima.
Njooni haraka, ninyi mataifa yote kutoka pande zote, kusanyikeni huko. Shusha wapiganaji wako, Ee Bwana!
12 Dunu fifilai ilia da momagele ouesaloma amola Fofada: su Umi Soge amoga misa: ma. amogai, Na, Hina Gode da Fofada: su Fisu da: iya fila heda: le amola dunu fi la: idi huluane esalebe, ilima fofada: mu.
“Mataifa na yaamshwe; na yasonge mbele kuelekea Bonde la Yehoshafati, kwa kuwa nitaketi mahali pale kuhukumu mataifa yote yaliyoko kila upande.
13 Ilia da wadela: i bagade hamosu dunu. Widi faimusa: damubi amo defele, amo dunu hedofama. Waini hano hamoma: ne waini fage labugili, waini ofodo da nabaiba: le aduga: le dabe amo defele amo dunu labugima.”
Tia mundu, kwa kuwa mavuno yamekomaa. Njooni, mkanyage zabibu, kwa kuwa shinikizo la kukamua zabibu limejaa na mapipa yanafurika: kwa kuwa uovu wao ni mkubwa!”
14 Dunu osea: idafa da Fofada: su Fago amo ganodini gagadoi dagoi ba: sa. amogai Hina Gode Ea Fofada: su Eso da hedolowane doaga: mu.
Umati mkubwa, umati mkubwa katika bonde la uamuzi! Kwa kuwa siku ya Bwana ni karibu katika bonde la uamuzi.
15 Eso amola mu amola da gasi agoane ba: mu amola gasumuni da bu hame nemu.
Jua na mwezi vitatiwa giza, na nyota hazitatoa mwanga wake tena.
16 Hina Gode Ea sia gobagala: i amo Saione Goumi da: iya gadodafa amoga naba. amola Ea sia: amo gugelebe gobagala: i agoane Yelusaleme moilai bai bagadega naba. Mu amola osobo bagade da ugugusa. Be E da Ea Fi amo se mae nabima: ne gaga: mu.
Bwana atanguruma kutoka Sayuni na mshindo wa ngurumo kutoka Yerusalemu; dunia na mbingu vitatikisika. Lakini Bwana atakuwa kimbilio la watu wake, ngome imara kwa ajili ya watu wa Israeli.
17 “Amasea, Isala: ili fi! Na da dilia Hina Gode Saione sema goumia gado esala, amo dilia da dawa: mu. Yelusaleme da hadigi sema moilai bai bagade ba: mu amola dunu enodini misi ilia da mugululi osa: le heda: le bu hamedafa ba: mu.
“Ndipo mtakapojua kwamba Mimi, Bwana Mungu wenu, nakaa Sayuni, mlima wangu mtakatifu. Yerusalemu utakuwa mtakatifu; kamwe wageni hawatavamia tena.
18 Amo esohaga da goumi ea waini ha: i manu sagai da dedeboi dagoi ba: mu. amola bulamagau da agoloa huluane lafiadalebe ba: mu. Yuda ea hano da gilisi dalebe defele ba: mu. Hano da Hina Gode Ea Debolo diasu amodili dalebe ba: mu amola Aga: isia Fago da amo hanoga nasegagi dagoi ba: mu.
“Katika siku hiyo milima itadondosha divai mpya, na vilima vitatiririka maziwa; mabonde yote ya Yuda yatatiririka maji. Chemchemi itatiririka kutoka kwenye nyumba ya Bwana na kunywesha Bonde la Shitimu.
19 Idibidi soge da hafoga: i dagoi ba: mu amola Idome da wadela: lesi dagoi ba: mu. Bai ilia da Yuda fi ilima gegeiba: le amola asaboi dunu amo medole legeiba: le.
Lakini Misri itakuwa ukiwa, Edomu itakuwa jangwa tupu, kwa sababu ya jeuri waliofanya kwa watu wa Yuda, ambao katika nchi yao walimwaga damu isiyo na hatia.
Yuda itakaliwa na watu milele na Yerusalemu itadumu vizazi vyote.
21 Na da dunu fane legesu amo dabema: ne fane legemu amola Na da bidi hamosu dunu amo hame yolesimu. Be Yuda amola Yelusaleme amo ganodini, dunu da eso huluane mae fisili esalebe ba: mu. amola Na, Hina Gode, Na Saione goumi dabua gado esalumu.” Sia: ama dagoi
Hatia yao ya damu, ambayo sijasamehe, nitasamehe.”

< Youele 3 >